Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 30
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Hezekia aadhimisha Pasaka (1-27)

2 Mambo ya Nyakati 30:1

Marejeo

  • +2Nya 11:14, 16
  • +2Nya 34:1, 6, 7
  • +Kut 12:43; Law 23:5; Kum 16:2; 2Nya 35:1

2 Mambo ya Nyakati 30:2

Marejeo

  • +Hes 9:10, 11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 83

2 Mambo ya Nyakati 30:3

Marejeo

  • +Kut 12:18
  • +2Nya 29:34

2 Mambo ya Nyakati 30:5

Marejeo

  • +Amu 18:29
  • +2Nya 35:18

2 Mambo ya Nyakati 30:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wakimbiaji.”

Marejeo

  • +2Fa 15:29; 1Nya 5:26; 2Nya 28:20, 21

2 Mambo ya Nyakati 30:7

Marejeo

  • +2Nya 29:8, 9

2 Mambo ya Nyakati 30:8

Marejeo

  • +Kut 32:9
  • +Kum 12:5, 6; Zb 132:13
  • +2Nya 29:10

2 Mambo ya Nyakati 30:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “neema.”

Marejeo

  • +1Fa 8:49, 50
  • +Kum 30:1-3
  • +Kut 34:6; Zb 86:5; Mik 7:18
  • +2Nya 15:2; Isa 55:7; Yak 4:8

2 Mambo ya Nyakati 30:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wakimbiaji.”

Marejeo

  • +2Nya 30:1
  • +2Nya 36:15, 16

2 Mambo ya Nyakati 30:11

Marejeo

  • +2Nya 11:14, 16

2 Mambo ya Nyakati 30:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kuwapa moyo mmoja.”

2 Mambo ya Nyakati 30:13

Marejeo

  • +Hes 9:10, 11
  • +Law 23:6

2 Mambo ya Nyakati 30:14

Marejeo

  • +2Fa 18:22
  • +2Nya 28:24

2 Mambo ya Nyakati 30:16

Marejeo

  • +Law 1:5

2 Mambo ya Nyakati 30:17

Marejeo

  • +2Nya 29:34

2 Mambo ya Nyakati 30:18

Marejeo

  • +2Nya 30:1
  • +Zb 86:5

2 Mambo ya Nyakati 30:19

Marejeo

  • +2Nya 19:2, 3; Ezr 7:10
  • +Hes 9:6, 10

2 Mambo ya Nyakati 30:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akawaponya.”

2 Mambo ya Nyakati 30:21

Marejeo

  • +Law 23:6
  • +Kum 12:5, 7; Ne 8:10
  • +2Nya 29:25

2 Mambo ya Nyakati 30:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akazungumza na moyo wao.”

Marejeo

  • +Law 23:6
  • +Law 3:1

2 Mambo ya Nyakati 30:23

Marejeo

  • +1Fa 8:65

2 Mambo ya Nyakati 30:24

Marejeo

  • +2Nya 35:7, 8
  • +2Nya 29:34

2 Mambo ya Nyakati 30:25

Marejeo

  • +2Nya 30:11, 18
  • +Kut 12:49

2 Mambo ya Nyakati 30:26

Marejeo

  • +1Fa 8:65, 66

2 Mambo ya Nyakati 30:27

Marejeo

  • +Hes 6:23-26; Kum 10:8

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 30:12Nya 11:14, 16
2 Nya. 30:12Nya 34:1, 6, 7
2 Nya. 30:1Kut 12:43; Law 23:5; Kum 16:2; 2Nya 35:1
2 Nya. 30:2Hes 9:10, 11
2 Nya. 30:3Kut 12:18
2 Nya. 30:32Nya 29:34
2 Nya. 30:5Amu 18:29
2 Nya. 30:52Nya 35:18
2 Nya. 30:62Fa 15:29; 1Nya 5:26; 2Nya 28:20, 21
2 Nya. 30:72Nya 29:8, 9
2 Nya. 30:8Kut 32:9
2 Nya. 30:8Kum 12:5, 6; Zb 132:13
2 Nya. 30:82Nya 29:10
2 Nya. 30:91Fa 8:49, 50
2 Nya. 30:9Kum 30:1-3
2 Nya. 30:9Kut 34:6; Zb 86:5; Mik 7:18
2 Nya. 30:92Nya 15:2; Isa 55:7; Yak 4:8
2 Nya. 30:102Nya 30:1
2 Nya. 30:102Nya 36:15, 16
2 Nya. 30:112Nya 11:14, 16
2 Nya. 30:13Hes 9:10, 11
2 Nya. 30:13Law 23:6
2 Nya. 30:142Fa 18:22
2 Nya. 30:142Nya 28:24
2 Nya. 30:16Law 1:5
2 Nya. 30:172Nya 29:34
2 Nya. 30:182Nya 30:1
2 Nya. 30:18Zb 86:5
2 Nya. 30:192Nya 19:2, 3; Ezr 7:10
2 Nya. 30:19Hes 9:6, 10
2 Nya. 30:21Law 23:6
2 Nya. 30:21Kum 12:5, 7; Ne 8:10
2 Nya. 30:212Nya 29:25
2 Nya. 30:22Law 23:6
2 Nya. 30:22Law 3:1
2 Nya. 30:231Fa 8:65
2 Nya. 30:242Nya 35:7, 8
2 Nya. 30:242Nya 29:34
2 Nya. 30:252Nya 30:11, 18
2 Nya. 30:25Kut 12:49
2 Nya. 30:261Fa 8:65, 66
2 Nya. 30:27Hes 6:23-26; Kum 10:8
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 30:1-27

Kitabu cha Pili cha Mambo ya Nyakati

30 Hezekia akatuma ujumbe kwa watu wote wa Israeli+ na Yuda, na hata aliwaandikia barua watu wa Efraimu na Manase+ waje Yerusalemu katika nyumba ya Yehova kuadhimisha Pasaka ya Yehova Mungu wa Israeli.+ 2 Hata hivyo, mfalme, wakuu wake, na kutaniko lote Yerusalemu likaamua kuadhimisha Pasaka katika mwezi wa pili,+ 3 kwa maana hawakuweza kuiadhimisha wakati ambapo iliadhimishwa kwa ukawaida,+ kwa sababu hakukuwa na makuhani wa kutosha waliojitakasa+ na watu hawakuwa wamekusanyika Yerusalemu. 4 Mpango huo ulionekana kuwa mzuri machoni pa mfalme na kutaniko lote. 5 Basi wakaamua kutangaza kotekote Israeli, kuanzia Beer-sheba mpaka Dani,+ kwamba watu waje Yerusalemu kuadhimisha Pasaka ya Yehova Mungu wa Israeli, kwa maana wakiwa kikundi hawakuwa wameiadhimisha kulingana na yaliyoandikwa.+

6 Kisha wajumbe* wakaenda kotekote Israeli na Yuda wakiwa na barua hizo kutoka kwa mfalme na wakuu wake, kama mfalme alivyoamuru, akisema: “Watu wa Israeli, rudini kwa Yehova Mungu wa Abrahamu, Isaka, na Israeli, ili naye arudi kwa watu waliobaki walioponyoka kutoka mikononi mwa wafalme wa Ashuru.+ 7 Msiwe kama mababu zenu na kama ndugu zenu waliokosa kutenda kwa uaminifu kwa Yehova Mungu wa mababu zao, hivi kwamba akawafanya kuwa kitu cha kutisha, kama mnavyoona.+ 8 Sasa msiwe wakaidi kama mababu zenu.+ Jinyenyekezeni kwa Yehova, nanyi mje mahali pake patakatifu+ ambapo amepatakasa milele, mumtumikie Yehova Mungu wenu, ili hasira yake inayowaka iwaondokee.+ 9 Kwa maana mkirudi kwa Yehova, ndugu zenu na wana wenu wataonyeshwa rehema na wale waliowateka,+ nao wataruhusiwa kurudi katika nchi hii;+ kwa maana Yehova Mungu wenu ni mwenye huruma* na rehema,+ naye hataugeuza uso wake mbali nanyi mkirudi kwake.”+

10 Kwa hiyo wajumbe* hao walienda jiji hadi jiji katika nchi yote ya Efraimu na Manase,+ walifika hata Zabuloni, lakini watu walikuwa wakiwafanyia mzaha na kuwadhihaki.+ 11 Hata hivyo, watu fulani kutoka Asheri, Manase, na Zabuloni walijinyenyekeza na kuja Yerusalemu.+ 12 Mkono wa Mungu wa kweli ulikuwa pia juu ya watu wa Yuda ili kuwaunganisha* watekeleze yale ambayo mfalme na wakuu walikuwa wameamuru kulingana na neno la Yehova.

13 Umati wa watu ulikusanyika Yerusalemu katika mwezi wa pili+ kuadhimisha Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu;+ lilikuwa kutaniko kubwa sana. 14 Basi wakaondoa madhabahu zilizokuwa Yerusalemu,+ wakaziondoa madhabahu zote za kufukizia uvumba+ na kuzitupa katika Bonde la Kidroni. 15 Kisha wakamchinja mnyama wa Pasaka katika siku ya 14 ya mwezi wa pili. Makuhani na Walawi wakaona aibu, kwa hiyo wakajitakasa na kuleta dhabihu za kuteketezwa katika nyumba ya Yehova. 16 Nao wakasimama katika nafasi zao za kawaida, kulingana na Sheria ya Musa, mtu wa Mungu wa kweli; kisha makuhani wakanyunyiza damu+ waliyokabidhiwa na Walawi. 17 Kulikuwa na watu wengi katika kutaniko hilo ambao hawakuwa wamejitakasa, na Walawi ndio waliowachinja wanyama wa dhabihu za Pasaka kwa ajili ya wote ambao hawakuwa safi,+ ili wawatakase kwa Yehova. 18 Kwa maana idadi kubwa ya watu, hasa wale waliotoka Efraimu, Manase,+ Isakari, na Zabuloni, hawakuwa wamejitakasa, lakini bado walikula Pasaka, kinyume cha mambo yaliyoandikwa. Lakini Hezekia alisali kwa ajili yao, akisema: “Yehova, wewe uliye mwema,+ msamehe 19 kila mtu ambaye ameutayarisha moyo wake ili kukutafuta wewe Mungu wa kweli,+ Yehova, Mungu wa mababu zake, ingawa hajatakaswa kulingana na kiwango cha utakatifu.”+ 20 Basi Yehova akamsikiliza Hezekia, akawasamehe* watu hao.

21 Kwa hiyo Waisraeli waliokuwa Yerusalemu wakaadhimisha Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu+ kwa siku saba, wakiwa na shangwe nyingi,+ na Walawi na makuhani walikuwa wakimsifu Yehova siku baada ya siku, wakimpigia Yehova ala zao kwa sauti kubwa.+ 22 Zaidi ya hayo, Hezekia alizungumza na Walawi wote waliokuwa wakimtumikia Yehova kwa busara, akawatia moyo.* Nao wakala katika kipindi chote cha sherehe hiyo ya siku saba,+ wakitoa dhabihu za ushirika+ na kumshukuru Yehova Mungu wa mababu zao.

23 Kisha kutaniko lote likaamua kuendelea na sherehe hiyo kwa siku saba zaidi, kwa hiyo waliifanya kwa siku saba zaidi huku wakishangilia.+ 24 Na Mfalme Hezekia wa Yuda alitoa mchango wa ng’ombe dume 1,000 na kondoo 7,000 kwa ajili ya kutaniko, na wakuu walitoa mchango wa ng’ombe dume 1,000 na kondoo 10,000 kwa ajili ya kutaniko;+ na makuhani wengi walikuwa wakijitakasa.+ 25 Na kutaniko lote la Yuda, makuhani, Walawi, kutaniko lote lililotoka Israeli,+ na wakaaji wageni+ waliotoka katika nchi ya Israeli na wale walioishi Yuda wakaendelea kushangilia. 26 Na kulikuwa na shangwe nyingi Yerusalemu, kwa maana tangu siku za Sulemani mwana wa Daudi mfalme wa Israeli, jambo kama hilo halikuwa limeonekana Yerusalemu.+ 27 Hatimaye makuhani Walawi wakasimama na kuwabariki watu;+ na Mungu akasikia sauti yao, na sala yao ikafika katika makao yake matakatifu, mbinguni.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki