Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wakorintho—Yaliyomo

      • Salamu (1, 2)

      • Faraja kutoka kwa Mungu katika dhiki zote (3-11)

      • Mabadiliko katika mipango ya safari za Paulo (12-24)

2 Wakorintho 1:1

Marejeo

  • +Mdo 16:1, 2; Flp 2:19, 20
  • +1Th 1:8

2 Wakorintho 1:3

Marejeo

  • +Yoh 20:17
  • +Kut 34:6; Zb 86:5; Mik 7:18
  • +Isa 51:3; Ro 15:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    4/2019, uku. 7

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    7/2017, kur. 13, 16

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2011, kur. 23-24

    6/1/2009, uku. 28

    9/1/2008, uku. 18

    7/1/2008, uku. 7

    3/15/2008, uku. 15

    12/15/2007, uku. 5

    12/15/1996, uku. 30

    11/1/1996, kur. 13-14

    6/1/1995, kur. 11-12

    7/15/1992, uku. 21

    2/1/1986, uku. 15

    “Kila Andiko,” uku. 217

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 10/15 23-24; w09 6/1 28; w08 3/15 15; w08 7/1 7; w08 9/1 18; w07 12/15 5; w96 11/1 13-14; w96 12/15 30

2 Wakorintho 1:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hututia moyo.”

  • *

    Au “dhiki.”

  • *

    Au “dhiki.”

Marejeo

  • +Zb 23:4; 2Ko 7:6
  • +Efe 6:21, 22; 1Th 4:18
  • +Ro 15:4; 2Th 2:16, 17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    4/2019, uku. 7

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2011, kur. 23-24

    9/1/2008, uku. 18

    3/15/2008, uku. 15

    2/15/1998, kur. 26-27

    11/1/1996, kur. 13-14

    6/1/1995, kur. 11-12

    7/15/1992, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 10/15 23-24; w08 3/15 15; w08 9/1 18; w98 2/15 26-27; w96 11/1 13-14

2 Wakorintho 1:5

Marejeo

  • +1Ko 4:11-13; Kol 1:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1996, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 11/1 14

2 Wakorintho 1:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “dhiki.”

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1996, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 11/1 14

2 Wakorintho 1:7

Marejeo

  • +Ro 8:18; 2Ti 2:11, 12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1996, kur. 12-13, 14-16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 11/1 12-14, 16

2 Wakorintho 1:8

Marejeo

  • +Mdo 20:18, 19
  • +1Ko 15:32

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Ushahidi, uku. 163

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2014, uku. 23

    12/15/1996, uku. 24

    11/1/1996, kur. 16-17

  • Fahirishi ya Machapisho

    bt 163; w96 11/1 16-17; w96 12/15 24

2 Wakorintho 1:9

Marejeo

  • +2Ko 12:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1996, kur. 16-17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 11/1 16-17

2 Wakorintho 1:10

Marejeo

  • +Zb 34:7, 19; 2Ti 4:18; 2Pe 2:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1996, uku. 16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 11/1 16

2 Wakorintho 1:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwa sababu ya nyuso nyingi zinazosali.”

Marejeo

  • +Flp 1:19; Flm 22
  • +Mdo 12:5; Ro 15:30-32

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 670

2 Wakorintho 1:12

Marejeo

  • +1Ko 2:4, 5

2 Wakorintho 1:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “yale ambayo tayari mnayajua vizuri.”

  • *

    Tnn., “mpaka mwisho.”

2 Wakorintho 1:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “ili mnufaike mara mbili.”

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2014, kur. 30-31

2 Wakorintho 1:16

Marejeo

  • +1Ko 16:5, 6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2014, kur. 30-31

    10/15/2012, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 10/15 29

2 Wakorintho 1:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2014, uku. 31

2 Wakorintho 1:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Pia anaitwa Sila.

Marejeo

  • +Mdo 18:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2014, uku. 31

2 Wakorintho 1:20

Marejeo

  • +Ro 15:8
  • +Ufu 3:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2014, uku. 31

    12/15/2008, uku. 13

    Wapiga-Mbiu, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 12/15 13; jv 20

2 Wakorintho 1:21

Marejeo

  • +1Yo 2:20, 27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1995, uku. 10

2 Wakorintho 1:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “malipo ya awali; uthibitisho (dhamana) wa kile kitakachokuja.”

Marejeo

  • +Efe 4:30
  • +Ro 8:23; 2Ko 5:5; Efe 1:13, 14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2016, uku. 32

    1/2016, uku. 18

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2007, kur. 30-31

    7/1/1995, uku. 10

    8/15/1989, uku. 30

    Upeo wa Ufunuo, kur. 115-116

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 1/1 30-31; re 115-116

2 Wakorintho 1:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “dhidi ya nafsi yangu.”

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2012, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 10/15 29

2 Wakorintho 1:24

Marejeo

  • +Ebr 13:17; 1Pe 5:2, 3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2013, kur. 27-28

    1/15/2003, kur. 15-16

    6/1/1999, kur. 15-16

    3/15/1998, kur. 21-22

    9/1/1996, kur. 22-23

    4/1/1995, uku. 18

    10/1/1994, uku. 20

    9/1/1994, kur. 14-15

    9/15/1989, uku. 17

    2013 Kitabu cha Mwaka, kur. 5-6

  • Fahirishi ya Machapisho

    w03 1/15 15-16; w99 6/1 15-16; w98 3/15 21-22; w96 9/1 22-23

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Kor. 1:1Mdo 16:1, 2; Flp 2:19, 20
2 Kor. 1:11Th 1:8
2 Kor. 1:3Yoh 20:17
2 Kor. 1:3Kut 34:6; Zb 86:5; Mik 7:18
2 Kor. 1:3Isa 51:3; Ro 15:5
2 Kor. 1:4Zb 23:4; 2Ko 7:6
2 Kor. 1:4Efe 6:21, 22; 1Th 4:18
2 Kor. 1:4Ro 15:4; 2Th 2:16, 17
2 Kor. 1:51Ko 4:11-13; Kol 1:24
2 Kor. 1:7Ro 8:18; 2Ti 2:11, 12
2 Kor. 1:8Mdo 20:18, 19
2 Kor. 1:81Ko 15:32
2 Kor. 1:92Ko 12:10
2 Kor. 1:10Zb 34:7, 19; 2Ti 4:18; 2Pe 2:9
2 Kor. 1:11Flp 1:19; Flm 22
2 Kor. 1:11Mdo 12:5; Ro 15:30-32
2 Kor. 1:121Ko 2:4, 5
2 Kor. 1:161Ko 16:5, 6
2 Kor. 1:19Mdo 18:5
2 Kor. 1:20Ro 15:8
2 Kor. 1:20Ufu 3:14
2 Kor. 1:211Yo 2:20, 27
2 Kor. 1:22Efe 4:30
2 Kor. 1:22Ro 8:23; 2Ko 5:5; Efe 1:13, 14
2 Kor. 1:24Ebr 13:17; 1Pe 5:2, 3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wakorintho 1:1-24

Barua ya Pili kwa Wakorintho

1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kupitia mapenzi ya Mungu, na Timotheo+ ndugu yetu, kwa kutaniko la Mungu lililo huko Korintho, pamoja na watakatifu wote walio katika Akaya yote:+

2 Na muwe na fadhili zisizostahiliwa na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.

3 Asifiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo,+ Baba wa rehema nyororo+ na Mungu wa faraja yote,+ 4 ambaye hutufariji* katika majaribu*+ yetu yote, ili tuweze kuwafariji wengine+ walio katika majaribu* ya namna yoyote, kwa faraja ambayo tunapokea kutoka kwa Mungu.+ 5 Kwa maana kama vile mateso kwa ajili ya Kristo yalivyo mengi ndani yetu,+ ndivyo pia faraja tunayopokea kupitia Kristo ilivyo nyingi. 6 Basi tukikabili majaribu,* ni kwa ajili ya faraja na wokovu wenu; na tukifarijiwa, ni kwa ajili ya faraja yenu inayotenda ili kuwasaidia mvumilie mateso yaleyale ambayo sisi pia tunateseka. 7 Na tumaini letu kwa ajili yenu haliyumbi-yumbi, kwa kuwa tunajua kwamba kama vile mnavyoshiriki katika mateso, ndivyo pia mtakavyoshiriki katika faraja.+

8 Kwa maana hatutaki mkose kujua, akina ndugu, kuhusu dhiki tuliyopata katika mkoa wa Asia.+ Tulikuwa na mkazo mkubwa sana unaozidi nguvu zetu wenyewe, hivi kwamba hatukuwa na uhakika hata kuhusu uhai wetu.+ 9 Kwa kweli, tulihisi kwamba tumepokea hukumu ya kifo. Ilikuwa hivyo ili tusijitegemee sisi wenyewe, bali tumtegemee Mungu+ ambaye huwafufua wafu. 10 Alituokoa kutoka katika hatari kubwa ya kifo na atatuokoa, nasi tumeweka tumaini letu kwake kwamba ataendelea kutuokoa.+ 11 Ninyi pia mnaweza kutusaidia kwa kutoa dua kwa ajili yetu,+ ili wengi watoe shukrani kwa ajili yetu kwa kibali tunachopokea kwa sababu ya majibu ya sala za wengi.*+

12 Kwa maana hili ndilo jambo tunalojisifia, dhamiri yetu inatoa ushahidi kwamba tumejiendesha katika ulimwengu, na hasa kuwaelekea ninyi, kwa utakatifu na unyoofu unaotoka kwa Mungu, si kwa hekima ya kimwili,+ bali kwa fadhili zisizostahiliwa za Mungu. 13 Kwa maana kwa kweli hatuwaandikii jambo lolote isipokuwa yale mnayoweza kusoma* na kuyaelewa, nami natumaini mtaendelea kuyaelewa mambo haya kikamili,* 14 kama vile ambavyo pia mmeelewa kwa kadiri fulani, kwamba sisi ni sababu yenu ya kujisifu, kama vile mtakavyokuwa kwetu pia katika siku ya Bwana wetu Yesu.

15 Basi nikiwa na uhakika huu, nilikusudia kuja kwenu kwanza, ili muwe na pindi ya pili ya kuwa na shangwe;* 16 kwa maana nilikusudia kuwatembelea nikiwa safarini kwenda Makedonia, nirudi kwenu baada ya kutoka Makedonia, kisha mnisindikize kwenda Yudea.+ 17 Basi, nilipokusudia hivyo, je, nilipuuza jambo hilo? Au je, mimi ninakusudia mambo kwa njia ya kimwili hivi kwamba ninasema “Ndiyo, ndiyo” na kisha “Siyo, siyo”? 18 Lakini Mungu anaweza kutegemewa ili kwamba yale tunayowaambia yasiwe “ndiyo” na wakati uleule “siyo.” 19 Kwa maana Mwana wa Mungu, Yesu Kristo, aliyehubiriwa miongoni mwenu kupitia sisi, yaani, kupitia mimi na Silvano* na Timotheo,+ hakuwa “ndiyo” na wakati uleule “siyo,” bali kuhusiana naye “ndiyo” imekuwa “ndiyo.” 20 Kwa maana hata ahadi za Mungu ziwe nyingi kadiri gani, zimekuwa “ndiyo” kupitia yeye.+ Kwa hiyo, kupitia yeye pia “Amina” husemwa kwa Mungu,+ nayo humletea utukufu kupitia sisi. 21 Lakini yule anayetoa uhakikisho kwamba ninyi na sisi ni wa Kristo na yule ambaye ametutia mafuta ni Mungu.+ 22 Yeye pia ametia muhuri wake juu yetu+ naye ametupatia rehani ya kile kitakachokuja,* yaani, roho,+ katika mioyo yetu.

23 Sasa ninamwita Mungu awe shahidi dhidi yangu,* kwamba sijaja Korintho kwa sababu ya kuwahurumia ninyi. 24 Si kwamba sisi ni mabwana wa imani yenu,+ bali sisi ni wafanyakazi wenzenu kwa ajili ya shangwe yenu, kwa maana mnasimama kwa imani yenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki