Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 35
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Yosia apanga Pasaka kubwa (1-19)

      • Farao Neko amuua Yosia (20-27)

2 Mambo ya Nyakati 35:1

Marejeo

  • +Kut 12:3-11; 2Fa 23:21
  • +Kut 12:21
  • +Law 23:5; Kum 16:1

2 Mambo ya Nyakati 35:2

Marejeo

  • +2Nya 23:18; 31:2

2 Mambo ya Nyakati 35:3

Marejeo

  • +Kum 33:10; 2Nya 17:8, 9; Ne 8:7, 8
  • +1Fa 6:38; 2Nya 5:7
  • +Hes 4:15; 1Nya 23:25, 26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/2009, uku. 18

    12/1/2005, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 9/1 18; w05 12/1 20

2 Mambo ya Nyakati 35:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

Marejeo

  • +1Nya 23:6
  • +2Nya 8:14

2 Mambo ya Nyakati 35:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

  • *

    Tnn., “wana wa watu.”

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

2 Mambo ya Nyakati 35:6

Marejeo

  • +Kut 12:21; 2Nya 30:1, 15

2 Mambo ya Nyakati 35:7

Marejeo

  • +2Nya 30:24

2 Mambo ya Nyakati 35:8

Marejeo

  • +2Fa 23:4; 2Nya 34:14

2 Mambo ya Nyakati 35:10

Marejeo

  • +1Nya 23:6

2 Mambo ya Nyakati 35:11

Marejeo

  • +Kut 12:3, 6
  • +2Nya 30:16
  • +2Nya 29:34

2 Mambo ya Nyakati 35:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

2 Mambo ya Nyakati 35:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Waliichoma.”

Marejeo

  • +Kut 12:8; Kum 16:6, 7

2 Mambo ya Nyakati 35:15

Marejeo

  • +1Nya 16:37
  • +1Nya 23:5
  • +1Nya 25:1, 2
  • +1Nya 16:41, 42; 25:3
  • +1Nya 26:12, 13

2 Mambo ya Nyakati 35:16

Marejeo

  • +Law 23:5
  • +2Fa 23:21

2 Mambo ya Nyakati 35:17

Marejeo

  • +Kut 12:15; Law 23:6; Kum 16:3; 2Nya 30:1, 21

2 Mambo ya Nyakati 35:18

Marejeo

  • +2Fa 23:22, 23; 2Nya 30:5, 26

2 Mambo ya Nyakati 35:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nyumba.”

Marejeo

  • +Yer 46:2
  • +2Fa 23:29

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    3/2017, uku. 27

2 Mambo ya Nyakati 35:22

Marejeo

  • +1Fa 22:30
  • +Amu 1:27; 5:19; Zek 12:11; Ufu 16:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    3/2017, uku. 27

2 Mambo ya Nyakati 35:24

Marejeo

  • +2Fa 23:30; 2Nya 34:28

2 Mambo ya Nyakati 35:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “maombolezo.”

Marejeo

  • +Yer 1:1
  • +Yer 9:17, 20

2 Mambo ya Nyakati 35:27

Marejeo

  • +2Fa 23:28

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 35:1Kut 12:3-11; 2Fa 23:21
2 Nya. 35:1Kut 12:21
2 Nya. 35:1Law 23:5; Kum 16:1
2 Nya. 35:22Nya 23:18; 31:2
2 Nya. 35:3Kum 33:10; 2Nya 17:8, 9; Ne 8:7, 8
2 Nya. 35:31Fa 6:38; 2Nya 5:7
2 Nya. 35:3Hes 4:15; 1Nya 23:25, 26
2 Nya. 35:41Nya 23:6
2 Nya. 35:42Nya 8:14
2 Nya. 35:6Kut 12:21; 2Nya 30:1, 15
2 Nya. 35:72Nya 30:24
2 Nya. 35:82Fa 23:4; 2Nya 34:14
2 Nya. 35:101Nya 23:6
2 Nya. 35:11Kut 12:3, 6
2 Nya. 35:112Nya 30:16
2 Nya. 35:112Nya 29:34
2 Nya. 35:13Kut 12:8; Kum 16:6, 7
2 Nya. 35:151Nya 16:37
2 Nya. 35:151Nya 23:5
2 Nya. 35:151Nya 25:1, 2
2 Nya. 35:151Nya 16:41, 42; 25:3
2 Nya. 35:151Nya 26:12, 13
2 Nya. 35:16Law 23:5
2 Nya. 35:162Fa 23:21
2 Nya. 35:17Kut 12:15; Law 23:6; Kum 16:3; 2Nya 30:1, 21
2 Nya. 35:182Fa 23:22, 23; 2Nya 30:5, 26
2 Nya. 35:20Yer 46:2
2 Nya. 35:202Fa 23:29
2 Nya. 35:221Fa 22:30
2 Nya. 35:22Amu 1:27; 5:19; Zek 12:11; Ufu 16:16
2 Nya. 35:242Fa 23:30; 2Nya 34:28
2 Nya. 35:25Yer 1:1
2 Nya. 35:25Yer 9:17, 20
2 Nya. 35:272Fa 23:28
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 35:1-27

Kitabu cha Pili cha Mambo ya Nyakati

35 Yosia alifanya sherehe ya Pasaka+ ya Yehova huko Yerusalemu, nao wakamchinja mnyama wa Pasaka+ katika siku ya 14 ya mwezi wa kwanza.+ 2 Aliwaweka makuhani katika zamu zao na kuwatia moyo watekeleze utumishi wao wa nyumba ya Yehova.+ 3 Kisha akawaambia hivi Walawi, walimu wa Waisraeli wote,+ waliokuwa watakatifu kwa Yehova: “Liwekeni Sanduku takatifu ndani ya nyumba ambayo Sulemani mwana wa Daudi mfalme wa Israeli alijenga;+ hampaswi kulibeba tena mabegani mwenu.+ Sasa mtumikieni Yehova Mungu wenu na watu wake Waisraeli. 4 Na mjitayarishe kulingana na koo zenu,* kulingana na vikundi vyenu, mkifuata mambo yaliyoandikwa na Mfalme Daudi+ wa Israeli na Sulemani mwanawe.+ 5 Simameni mahali patakatifu mkiwa katika vikundi kulingana na koo* za ndugu zenu, ambao si Walawi,* pamoja na kikundi kinacholingana cha ukoo* wa Walawi. 6 Mchinjeni mnyama wa Pasaka+ na mjitakase na kufanya matayarisho kwa ajili ya ndugu zenu ili kutekeleza neno la Yehova kupitia Musa.”

7 Yosia akawachangia watu wote waliokuwepo makundi ya kondoo na mbuzi, wanakondoo dume na wanambuzi dume, kwa ajili ya dhabihu za Pasaka, jumla ya wanakondoo na wanambuzi 30,000, na pia ng’ombe 3,000. Wanyama hao walitolewa katika mali za mfalme mwenyewe.+ 8 Wakuu wake pia walitoa mchango uwe toleo la hiari kwa ajili ya watu, makuhani, na Walawi. Hilkia,+ Zekaria, na Yehieli, viongozi wa nyumba ya Mungu wa kweli, waliwapa makuhani wanyama 2,600 wa dhabihu za Pasaka na ng’ombe 300. 9 Konania na ndugu zake Shemaya na Nethaneli, pamoja na Hashabia, Yeieli, na Yozabadi, wakuu wa Walawi, waliwapa Walawi wanyama 5,000 wa dhabihu za Pasaka pamoja na ng’ombe 500 kuwa mchango.

10 Matayarisho ya utumishi huo yakafanywa, na makuhani wakasimama mahali pao na Walawi wakasimama kulingana na vikundi vyao,+ kama mfalme alivyokuwa ameamuru. 11 Wakawachinja wanyama wa Pasaka,+ na makuhani wakanyunyiza damu waliyopokea kutoka kwao,+ huku Walawi wakiwachuna ngozi wanyama hao.+ 12 Kisha wakatayarisha dhabihu za kuteketezwa ili kuwagawia watu wasio Walawi, ambao walikuwa wamepangwa kulingana na koo zao,* ili zitolewe kwa Yehova kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Musa; wakafanya vivyo hivyo kwa wale ng’ombe. 13 Waliipika* dhabihu ya Pasaka juu ya moto kulingana na desturi;+ nao wakapika matoleo matakatifu kwenye vyungu, sufuria kubwa, na vikaangio, kisha wakawaletea haraka watu wengine wote. 14 Kisha wakaitayarisha kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani, kwa sababu makuhani, wazao wa Haruni, walikuwa wakitoa dhabihu za kuteketezwa na vipande vyenye mafuta mpaka giza lilipoingia, kwa hiyo Walawi wakaitayarisha kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani, wazao wa Haruni.

15 Na waimbaji, wana wa Asafu,+ walisimama mahali pao kama alivyoamuru Daudi,+ Asafu,+ Hemani, na Yeduthuni,+ mwonaji wa mfalme; na walinzi wa malango walikuwa kwenye malango mbalimbali.+ Hawakuhitaji kuacha utumishi wao, kwa sababu ndugu zao Walawi walikuwa wamewatayarishia Pasaka. 16 Kwa hiyo utumishi wote wa Yehova ukatayarishwa siku hiyo ili kuadhimisha Pasaka+ na kutoa dhabihu za kuteketezwa kwenye madhabahu ya Yehova, kulingana na agizo la Mfalme Yosia.+

17 Waisraeli waliokuwepo waliadhimisha Pasaka wakati huo na pia Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu kwa siku saba.+ 18 Pasaka kama hiyo haikuwa imewahi kuadhimishwa Israeli tangu siku za nabii Samweli; wala wafalme wengine wa Israeli hawakuwa wameadhimisha Pasaka kama hiyo iliyoadhimishwa na Yosia,+ makuhani, Walawi, watu wote wa Yuda na Israeli waliokuwepo, na wakaaji wa Yerusalemu. 19 Pasaka hii ilifanywa katika mwaka wa 18 wa utawala wa Yosia.

20 Baada ya hayo yote, Yosia alipokuwa ametayarisha hekalu,* Mfalme Neko+ wa Misri alipanda kuja kupigana Karkemishi karibu na Mto Efrati. Kisha Yosia akaenda kukabiliana naye.+ 21 Kwa hiyo akamtumia Yosia wajumbe, akisema: “Vita hivi vinakuhusuje, Ee mfalme wa Yuda? Sijaja kupigana nawe leo, nimekuja kupigana na nyumba nyingine, na Mungu anasema kwamba ninapaswa kufanya haraka. Kwa faida yako mwenyewe, acha kumpinga Mungu, aliye pamoja nami, la sivyo atakuangamiza.” 22 Hata hivyo, Yosia hakugeuka na kumwacha, lakini alibadili sura yake+ ili apigane naye, akakataa kabisa kusikiliza maneno ya Neko, yaliyotoka kinywani mwa Mungu. Basi akaja kupigana naye katika Nchi Tambarare ya Megido.+

23 Na wapiga mishale wakampiga Mfalme Yosia, akawaambia watumishi wake: “Niondoeni hapa, kwa maana nimejeruhiwa vibaya sana.” 24 Kwa hiyo watumishi wake wakamtoa garini, wakamweka kwenye gari lake la pili la vita na kumpeleka Yerusalemu. Kwa hiyo akafa na kuzikwa katika kaburi la mababu zake,+ na watu wote wa Yuda na Yerusalemu wakamwombolezea Yosia. 25 Na Yeremia+ akamwimbia Yosia wimbo wa maombolezo, na tangu siku hiyo waimbaji wote wa kiume na wa kike+ wanaendelea kuimba kumhusu Yosia katika nyimbo zao za huzuni;* na uamuzi ukafanywa kwamba nyimbo hizo zinapaswa kuimbwa katika nchi ya Israeli, nazo zimeandikwa katika nyimbo za huzuni.

26 Na mambo mengine katika historia ya Yosia na matendo yake ya upendo mshikamanifu, kulingana na mambo yaliyoandikwa katika Sheria ya Yehova, 27 na mambo aliyofanya, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, yameandikwa katika Kitabu cha Wafalme wa Israeli na wa Yuda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki