KUSEMA MBELE YA WATU
(Ona pia Mfundishaji wa Watu Wote; Shule ya Huduma ya Kitheokrasi)
(Kuna kichwa kidogo: Mashauri ya Kutoa Hotuba Vizuri)
bila kujitayarisha (papo hapo): be 177-178, 208
hotuba ya kusomwa: be 50, 98-99, 101-103, 105-106, 127, 130
hotuba zinazotolewa kupitia mkalimani (mtafsiri): be 55
kufundisha kwa kutumia vitu mbalimbali kama vielelezo: be 247-250
kusoma maandiko: km 9/00 3
kutayarisha hotuba: be 33-34, 46, 116, 136, 157-158, 196, 230-233
hotuba kwa wasikilizaji walio Mashahidi: be 47-51
hotuba za watu wote: be 52-55, 235
hotuba zitakazotolewa katika Shule ya Huduma: be 43-46
hotuba zitakazotolewa makusanyikoni: be 50
kufanya mazoezi: be 46, 54-55, 136, 263-264
kukusanya habari: be 33-38, 231, 234-235
kupanga habari: be 41, 170-173, 212-214
muhtasari: be 39-42, 166-169, 174-177
kutoa hotuba bila kutazama sana maandishi: be 174-178
kutozungumzia sana matatizo: be 202-203
kuwa nadhifu: be 131-134
maelezo: g03 12/22 16-18
mambo yaliyoonwa:
hotuba ya mwanafunzi Shahidi kuhusu porojo: g96 12/22 32
msichana Shahidi ashinda tuzo: w04 12/15 32
Shahidi atoa hotuba papo hapo kwenye chuo cha ualimu: yb07 63-64
watoto: g99 1/8 21
watu wenye kigugumizi: g97 5/8 30; g96 8/22 21-23
mavazi na mapambo: be 131-133
mifano:
mwanasayansi Michael Faraday: w96 8/1 29
sala ya mtu binafsi kabla ya kutoa hotuba: be 136-137
tangulizi mbalimbali: be 177, 208, 215-219
umalizio: be 177, 208, 220-221
vifaa nadhifu: be 134
wasiwasi: g03 12/22 17-18; be 43, 125-126, 135-138
Mashauri ya Kutoa Hotuba Vizuri
Biblia ni msingi: be 8
habari zenye kuarifu: be 33-34, 46, 116, 157-158, 218, 230-233, 256-257
habari zinazoeleweka wazi: be 161, 226-229, 232-233, 242-243
ishara za mwili: be 121-122
kiasi cha sauti: be 102, 107-112
kuboresha sauti: be 119, 137-138, 181-185
kudhibiti pumzi: be 109-110, 181-185
kufikia mioyo: be 33-34, 48-49, 59-60, 166, 258-262
kufikiria wakati: be 34, 45, 175-176, 263-264
kufuatanisha mawazo vizuri (mantiki): be 41, 170-173, 214
kuhimiza: be 265-267
kukazia kichwa kikuu (habari muhimu): be 39-40, 209-211, 217-218, 221, 234
kukazia mambo makuu: be 39-41, 52, 98-99, 105-106, 117, 146, 168-169, 212-214
kukazia maneno na mawazo ifaavyo: be 101-106, 150-152
kuonyesha hisia usoni (ishara za uso): be 119, 121-123
kuonyesha manufaa ya kufuata mashauri katika maandiko: be 60, 157-158, 221, 233
kupambanua mambo (kutofautisha): be 57-58, 171, 213, 232-233
kurudia-rudia habari: be 206-208
kusema kwa njia inayoeleweka (kutamka vizuri): be 86-88
kusema kwa njia inayoeleweka kwa urahisi: w02 9/1 20; be 155, 161, 163, 168-169, 213-214, 218-219, 221, 226-227, 245-246
kusema kwa usadikisho: be 103, 116-117, 122, 157-158, 194-196, 199-200, 221
kusema mambo yaliyo sahihi: be 223-225
kutia moyo, kuimarisha: be 158, 192, 266, 268-271
kutoa hotuba kana kwamba ni mazungumzo pamoja na wasikilizaji: be 129-130, 166, 169, 175, 179-180
kutoa sababu (hoja): be 251-252, 254
kutotazama sana maandishi: be 129, 166, 174-178
kutua: be 93, 97-101, 108, 126
kutumia—
habari zilizoteuliwa: be 234-235
manukuu: be 168, 177, 216, 225, 256
maswali: w02 9/1 21; be 236-239
mfano unaolinganisha vitu viwili vinavyofanana: be 257
muhtasari: be 126, 166-169, 174-177, 264
ucheshi: be 193
vikuza sauti (mikrofoni): be 139-142
kutumia Biblia: be 52-54, 224-225; km 9/00 3
kufafanua maandiko: be 231-233, 254
kuisoma: be 150-152
kuonyesha jinsi ya kufuata mashauri ya Maandiko: be 53-54, 153-156, 233, 254, 256
kutoa tangulizi nzuri za maandiko: be 147-149
kuwatia wasikilizaji moyo wasome maandiko: be 145-146
kutumia maneno yanayofaa: be 160-165, 176, 180, 195, 198-199, 218-219, 221, 226, 240-241
kutumia vitu mbalimbali kama vielelezo: be 247-250
kuwaheshimu wasikilizaji: be 191-193
kuwa mwenye kujenga: be 202-204
kuwasadikisha wasikilizaji: be 255-257
kuwatazama wasikilizaji: be 124-127, 169, 175
kuzungumza kwa njia ya kawaida wakati wa kutoa hotuba: be 121-122, 125, 128-130, 174-176, 179-180, 196
matamshi: be 89-91
mazoea au tabia zinazokengeusha fikira: be 94, 102, 122
kubabaika: g00 3/8 28
wakati wa kusoma mbele ya watu: be 102
wakati wa kutoa hotuba: be 94, 122, 137-138
mifano na visa mbalimbali: be 53, 57, 240-246, 253, 257
mkao wa mwili: be 109-110, 133-134, 137
shauku: be 115-117
ubadilifu wa sauti: be 111-114
uchangamfu na hisia: be 115-116, 118-120, 122-123, 150, 266, 270-271
ufasaha: be 93-96
usomaji: be 26; w99 3/15 20
kukazia maneno na mawazo ifaavyo: be 101-106, 150-152
ufasaha: be 94-95
usahihi: be 83-85