9 Basi yule nabii akasema: “Hakika nitaenda pamoja nawe. Hata hivyo, kile kitu cha kurembesha hakitakuwa chako katika njia unayoiendea, kwa kuwa Yehova atamuuza Sisera katika mkono wa mwanamke.”+ Ndipo Debora akasimama, akaenda pamoja na Baraka mpaka Kedeshi.+
21 Ni nani aliyempiga Abimeleki+ mwana wa Yerubeshethi?+ Je, hakuwa mwanamke aliyemtupia jiwe la juu la kusagia+ kutoka juu ya ukuta, hivi kwamba akafa kule Thebesi?+ Kwa nini mlienda karibu sana na ukuta?’ ndipo nawe useme, ‘Mtumishi wako Uria Mhiti alikufa pia.’”+
22 Mara moja yule mwanamke akaenda kwa watu wote kwa hekima yake,+ nao wakakikata kichwa cha Sheba mwana wa Bikri, wakamtupia Yoabu. Basi akapiga baragumu,+ nao wakatawanyika kutoka kwenye jiji lile, kila mmoja akaenda nyumbani kwake; naye Yoabu akarudi Yerusalemu kwa mfalme.