Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi yule nabii akasema: “Hakika nitaenda pamoja nawe. Hata hivyo, kile kitu cha kurembesha hakitakuwa chako katika njia unayoiendea, kwa kuwa Yehova atamuuza Sisera katika mkono wa mwanamke.”+ Ndipo Debora akasimama, akaenda pamoja na Baraka mpaka Kedeshi.+

  • Waamuzi 5:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Akanyoosha mkono wake akashika kigingi cha hema,

      Nao mkono wake wa kuume ukashika nyundo ya mti ya wafanyakazi wenye bidii.+

      Akampiga Sisera kwa nyundo hiyo, akatoboa kichwa chake,+

      Akapasua na kukata kipaji cha uso wake.

  • 2 Samweli 11:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ni nani aliyempiga Abimeleki+ mwana wa Yerubeshethi?+ Je, hakuwa mwanamke aliyemtupia jiwe la juu la kusagia+ kutoka juu ya ukuta, hivi kwamba akafa kule Thebesi?+ Kwa nini mlienda karibu sana na ukuta?’ ndipo nawe useme, ‘Mtumishi wako Uria Mhiti alikufa pia.’”+

  • 2 Samweli 20:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mara moja yule mwanamke akaenda kwa watu wote kwa hekima yake,+ nao wakakikata kichwa cha Sheba mwana wa Bikri, wakamtupia Yoabu. Basi akapiga baragumu,+ nao wakatawanyika kutoka kwenye jiji lile, kila mmoja akaenda nyumbani kwake; naye Yoabu akarudi Yerusalemu kwa mfalme.

  • Ayubu 31:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Je, hakuna msiba kwa mkosaji,+

      Na maafa kwa wale wanaozoea kufanya madhara?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki