Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 25:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Basi sasa, bwana wangu, kama anavyoishi Yehova+ na kama inavyoishi nafsi yako,+ Yehova amekuzuia+ usiingie katika hatia ya damu+ na kufanya mkono wako mwenyewe ukuokoe.+ Basi sasa adui zako na wale wanaotafuta kumdhuru bwana wangu na wawe kama Nabali.+

  • 1 Wafalme 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na sasa, kama Yehova anavyoishi+ ambaye amenifanya imara+ na kuendelea kuniketisha juu ya kiti cha ufalme cha Daudi baba yangu+ na ambaye alinifanyia nyumba+ kama vile ambavyo amesema,+ leo Adoniya atauawa.”+

  • 2 Wafalme 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na Eliya akaanza kumwambia Elisha: “Keti hapa, tafadhali, kwa sababu Yehova amenituma niende mpaka Betheli.” Lakini Elisha akasema: “Kama Yehova anavyoishi+ na kama nafsi yako inavyoishi,+ mimi sitakuacha.”+ Basi wakashuka kwenda Betheli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki