10 Kwa maana kama vile mvua inayonyesha hushuka, na theluji, kutoka mbinguni nayo hairudi mahali pale, mpaka kwa kweli iwe imeinywesha dunia na kuifanya izae na kuchipuka,+ na mbegu kweli iwe imepewa mpandaji na mkate kupewa anayekula,+
22 Je, kati ya sanamu za ubatili+ za mataifa kuna yoyote inayoweza kunyesha mvua, au, je, hata mbingu zinaweza kutoa manyunyu?+ Je, si Wewe, Ee Yehova Mungu wetu?+ Nasi tunakutumaini wewe, kwa maana wewe mwenyewe umeyatenda mambo hayo yote.+