Kumbukumbu la Torati 32:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+ Zaburi 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Yehova ni mwadilifu;+ yeye huyapenda matendo ya uadilifu.+Wanyoofu ndio watakaouona uso wake.+ Zaburi 139:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia ya ajabu yenye kuogopesha.+Kazi zako ni za ajabu,+Kama vile nafsi yangu inavyojua vema.+ Zaburi 139:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Macho yako yalikiona kiini-tete changu,+Na katika kitabu chako sehemu zake zote zilikuwa zimeandikwa,Kuhusiana na siku ambazo zilifanyizwa+Na hakukuwako hata moja kati ya hizo. Danieli 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Naye Yehova akakaa macho kuelekea msiba huo na mwishowe akauleta juu yetu,+ kwa maana Yehova Mungu wetu ni mwadilifu katika kazi zake zote ambazo amefanya; nasi hatukutii sauti yake.+ Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+
7 Kwa maana Yehova ni mwadilifu;+ yeye huyapenda matendo ya uadilifu.+Wanyoofu ndio watakaouona uso wake.+
14 Nitakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia ya ajabu yenye kuogopesha.+Kazi zako ni za ajabu,+Kama vile nafsi yangu inavyojua vema.+
16 Macho yako yalikiona kiini-tete changu,+Na katika kitabu chako sehemu zake zote zilikuwa zimeandikwa,Kuhusiana na siku ambazo zilifanyizwa+Na hakukuwako hata moja kati ya hizo.
14 “Naye Yehova akakaa macho kuelekea msiba huo na mwishowe akauleta juu yetu,+ kwa maana Yehova Mungu wetu ni mwadilifu katika kazi zake zote ambazo amefanya; nasi hatukutii sauti yake.+
3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+