Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+

      Kwa maana njia zake zote ni haki.+

      Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+

      Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+

  • Zaburi 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana Yehova ni mwadilifu;+ yeye huyapenda matendo ya uadilifu.+

      Wanyoofu ndio watakaouona uso wake.+

  • Zaburi 139:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nitakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia ya ajabu yenye kuogopesha.+

      Kazi zako ni za ajabu,+

      Kama vile nafsi yangu inavyojua vema.+

  • Zaburi 139:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Macho yako yalikiona kiini-tete changu,+

      Na katika kitabu chako sehemu zake zote zilikuwa zimeandikwa,

      Kuhusiana na siku ambazo zilifanyizwa+

      Na hakukuwako hata moja kati ya hizo.

  • Danieli 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Naye Yehova akakaa macho kuelekea msiba huo na mwishowe akauleta juu yetu,+ kwa maana Yehova Mungu wetu ni mwadilifu katika kazi zake zote ambazo amefanya; nasi hatukutii sauti yake.+

  • Ufunuo 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema:

      “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki