15 Ee Yehova Mungu wa Israeli, wewe ni mwadilifu,+ kwa maana tumebaki tukiwa watu walioponyoka, kama ilivyo leo hii. Tupo hapa mbele zako katika hatia yetu,+ kwa maana haiwezekani kusimama mbele zako kwa sababu ya jambo hili.”+
2 kwa sababu hukumu zake ni za kweli na za uadilifu.+ Kwa maana ametekeleza hukumu juu ya yule kahaba mkubwa aliyeiharibu dunia kwa uasherati wake, naye amelipiza kisasi damu ya watumwa wake mkononi mwake.”+