Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 7:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Naye atasema maneno mabaya kumhusu yule Aliye Juu Zaidi,+ naye atawasumbua bila kikomo watakatifu wa Aliye Mkuu Zaidi.+ Na yeye atakusudia kubadili nyakati+ na sheria,+ na wao watatiwa mkononi mwake kwa wakati mmoja, na nyakati na nusu ya wakati.+

  • Danieli 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nami nikaanza kumsikia yule mtu aliyevaa kitani, ambaye alikuwa juu ya maji ya ule mto, alipoinua mkono wake wa kuume na mkono wake wa kushoto kuelekea mbingu na kuapa+ kwa Yule aliye hai kwa wakati usio na kipimo:+ “Itakuwa ni kwa wakati uliowekwa, nyakati zilizowekwa na nusu ya wakati.+ Na mara tu baada ya kuvunjwa vipande-vipande kwa nguvu za watu watakatifu kutakapokwisha,+ mambo hayo yote yatakwisha.”

  • Luka 21:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 nao wataanguka kwa makali ya upanga na watapelekwa mateka katika mataifa yote;+ na Yerusalemu litakanyagwa-kanyagwa na mataifa, mpaka nyakati zilizowekwa+ za mataifa zitimie.

  • Ufunuo 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini yule mwanamke akapewa mabawa mawili ya tai mkubwa,+ ili aruke kwenda nyikani+ mahali pake; hapo ndipo anapolishwa+ kwa wakati na nyakati na nusu ya wakati+ mbali na uso wa yule nyoka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki