Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 19
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wafalme—Yaliyomo

      • Hezekia amwomba Mungu msaada kupitia Isaya (1-7)

      • Senakeribu alitisha jiji la Yerusalemu (8-13)

      • Sala ya Hezekia (14-19)

      • Isaya ampa Hezekia jibu kutoka kwa Mungu (20-34)

      • Malaika awaua Waashuru 185,000 (35-37)

2 Wafalme 19:1

Marejeo

  • +Isa 37:1-4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 337

2 Wafalme 19:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jumba la mfalme.”

Marejeo

  • +Isa 1:1

2 Wafalme 19:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “matusi.”

  • *

    Tnn., “wamefika kwenye mlango wa tumbo la uzazi.”

Marejeo

  • +Isa 26:17, 18

2 Wafalme 19:4

Marejeo

  • +1Sa 17:45; 2Fa 18:35
  • +2Sa 22:7; 2Nya 20:9; 32:20; Zb 50:15

2 Wafalme 19:5

Marejeo

  • +Isa 37:5-7

2 Wafalme 19:6

Marejeo

  • +Kum 20:3; Isa 41:10; 51:7
  • +2Fa 18:17

2 Wafalme 19:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ninatia roho fulani ndani yake.”

Marejeo

  • +2Nya 32:21; Isa 37:37, 38

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 73

2 Wafalme 19:8

Marejeo

  • +2Fa 18:14
  • +Isa 37:8-13

2 Wafalme 19:9

Marejeo

  • +2Fa 18:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    2/8/1991, uku. 20

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1988, kur. 26-27

2 Wafalme 19:10

Marejeo

  • +2Nya 32:15

2 Wafalme 19:11

Marejeo

  • +2Fa 17:5; 2Nya 32:10, 13; Isa 10:8-11

2 Wafalme 19:12

Marejeo

  • +Mwa 11:31

2 Wafalme 19:13

Marejeo

  • +2Fa 17:24; 18:33, 34

2 Wafalme 19:14

Marejeo

  • +1Fa 8:30; Isa 37:14-20

2 Wafalme 19:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “katikati ya.”

Marejeo

  • +2Nya 32:20
  • +Kut 25:22
  • +1Nya 29:10, 11

2 Wafalme 19:16

Marejeo

  • +1Fa 8:29; Zb 65:2
  • +2Nya 16:9; Da 9:18

2 Wafalme 19:17

Marejeo

  • +2Fa 16:8, 9; 17:6, 24

2 Wafalme 19:18

Marejeo

  • +Isa 41:29
  • +Yer 10:3

2 Wafalme 19:19

Marejeo

  • +Zb 83:17, 18; Isa 45:5, 6

2 Wafalme 19:20

Marejeo

  • +2Fa 19:15
  • +Isa 37:21, 22

2 Wafalme 19:22

Marejeo

  • +2Fa 19:10
  • +2Fa 18:30; Isa 10:12, 13
  • +Isa 37:23-25

2 Wafalme 19:23

Marejeo

  • +2Fa 18:17
  • +2Nya 32:17; Isa 10:10, 11

2 Wafalme 19:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nitaikausha mifereji yote ya Nile ya.”

2 Wafalme 19:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “lilifanywa.”

  • *

    Au “nimelitengeneza.”

Marejeo

  • +Isa 14:24
  • +Zb 33:11
  • +Isa 46:10
  • +Isa 10:5; 37:26, 27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    2/2024, uku. 30

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/1999, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 8/15 14

2 Wafalme 19:26

Marejeo

  • +Isa 40:7

2 Wafalme 19:27

Marejeo

  • +Met 5:21; Ebr 4:13
  • +Isa 37:28, 29

2 Wafalme 19:28

Marejeo

  • +Zb 46:6; Isa 10:5, 15
  • +2Fa 18:35; Isa 10:12, 13
  • +Zb 32:9
  • +2Fa 19:33

2 Wafalme 19:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, Hezekia.

  • *

    Au “nafaka zilizoanguka na kuota zenyewe.”

Marejeo

  • +Law 25:4-6
  • +Isa 37:30-32

2 Wafalme 19:30

Marejeo

  • +2Nya 32:22; Isa 10:20

2 Wafalme 19:31

Marejeo

  • +Isa 59:17; Zek 1:14, 15

2 Wafalme 19:32

Marejeo

  • +Isa 10:24
  • +2Nya 32:22
  • +Isa 37:33-35

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1988, uku. 28

2 Wafalme 19:34

Marejeo

  • +Isa 31:5
  • +1Sa 12:22; Isa 43:25; Eze 36:22
  • +2Fa 20:6; Yer 23:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 145

2 Wafalme 19:35

Marejeo

  • +2Nya 32:21; Isa 31:8
  • +Kut 12:30; Isa 37:36-38

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1993, uku. 6

    2/15/1988, uku. 28

2 Wafalme 19:36

Marejeo

  • +Yon 1:2
  • +2Fa 19:7, 28

2 Wafalme 19:37

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hekalu la.”

Marejeo

  • +2Nya 32:21
  • +Mwa 8:4
  • +Ezr 4:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 73

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Fal. 19:1Isa 37:1-4
2 Fal. 19:2Isa 1:1
2 Fal. 19:3Isa 26:17, 18
2 Fal. 19:41Sa 17:45; 2Fa 18:35
2 Fal. 19:42Sa 22:7; 2Nya 20:9; 32:20; Zb 50:15
2 Fal. 19:5Isa 37:5-7
2 Fal. 19:6Kum 20:3; Isa 41:10; 51:7
2 Fal. 19:62Fa 18:17
2 Fal. 19:72Nya 32:21; Isa 37:37, 38
2 Fal. 19:82Fa 18:14
2 Fal. 19:8Isa 37:8-13
2 Fal. 19:92Fa 18:17
2 Fal. 19:102Nya 32:15
2 Fal. 19:112Fa 17:5; 2Nya 32:10, 13; Isa 10:8-11
2 Fal. 19:12Mwa 11:31
2 Fal. 19:132Fa 17:24; 18:33, 34
2 Fal. 19:141Fa 8:30; Isa 37:14-20
2 Fal. 19:152Nya 32:20
2 Fal. 19:15Kut 25:22
2 Fal. 19:151Nya 29:10, 11
2 Fal. 19:161Fa 8:29; Zb 65:2
2 Fal. 19:162Nya 16:9; Da 9:18
2 Fal. 19:172Fa 16:8, 9; 17:6, 24
2 Fal. 19:18Isa 41:29
2 Fal. 19:18Yer 10:3
2 Fal. 19:19Zb 83:17, 18; Isa 45:5, 6
2 Fal. 19:202Fa 19:15
2 Fal. 19:20Isa 37:21, 22
2 Fal. 19:222Fa 19:10
2 Fal. 19:222Fa 18:30; Isa 10:12, 13
2 Fal. 19:22Isa 37:23-25
2 Fal. 19:232Fa 18:17
2 Fal. 19:232Nya 32:17; Isa 10:10, 11
2 Fal. 19:25Isa 14:24
2 Fal. 19:25Zb 33:11
2 Fal. 19:25Isa 46:10
2 Fal. 19:25Isa 10:5; 37:26, 27
2 Fal. 19:26Isa 40:7
2 Fal. 19:27Met 5:21; Ebr 4:13
2 Fal. 19:27Isa 37:28, 29
2 Fal. 19:28Zb 46:6; Isa 10:5, 15
2 Fal. 19:282Fa 18:35; Isa 10:12, 13
2 Fal. 19:28Zb 32:9
2 Fal. 19:282Fa 19:33
2 Fal. 19:29Law 25:4-6
2 Fal. 19:29Isa 37:30-32
2 Fal. 19:302Nya 32:22; Isa 10:20
2 Fal. 19:31Isa 59:17; Zek 1:14, 15
2 Fal. 19:32Isa 10:24
2 Fal. 19:322Nya 32:22
2 Fal. 19:32Isa 37:33-35
2 Fal. 19:34Isa 31:5
2 Fal. 19:341Sa 12:22; Isa 43:25; Eze 36:22
2 Fal. 19:342Fa 20:6; Yer 23:5
2 Fal. 19:352Nya 32:21; Isa 31:8
2 Fal. 19:35Kut 12:30; Isa 37:36-38
2 Fal. 19:36Yon 1:2
2 Fal. 19:362Fa 19:7, 28
2 Fal. 19:372Nya 32:21
2 Fal. 19:37Mwa 8:4
2 Fal. 19:37Ezr 4:2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wafalme 19:1-37

Kitabu cha Pili cha Wafalme

19 Mara tu Mfalme Hezekia aliposikia hilo, akayararua mavazi yake na kuvaa nguo za magunia na kuingia katika nyumba ya Yehova.+ 2 Kisha akamtuma Eliakimu, aliyekuwa msimamizi wa nyumba,* Shebna aliyekuwa mwandishi, na wazee miongoni mwa makuhani, wakiwa wamevaa nguo za magunia, waende kwa nabii Isaya,+ mwana wa Amozi. 3 Wakamwambia: “Hezekia anasema hivi: ‘Leo ni siku ya taabu, ya kemeo,* na ya aibu; kwa maana watoto wako tayari kuzaliwa,* lakini hakuna nguvu za kuwazaa.+ 4 Huenda Yehova Mungu wako atayasikia maneno yote ya Rabshake, aliyetumwa na bwana wake mfalme wa Ashuru ili amdhihaki Mungu aliye hai,+ naye atamfanya awajibike kwa sababu ya maneno ambayo Yehova Mungu wako amesikia. Basi toa sala+ kwa niaba ya watu waliobaki ambao wameokoka.’”

5 Kwa hiyo watumishi wa Mfalme Hezekia wakaenda kwa Isaya,+ 6 naye Isaya akawaambia: “Mwambieni hivi bwana wenu, ‘Yehova anasema hivi: “Usiogope+ kwa sababu ya maneno uliyosikia, maneno ambayo watumishi wa mfalme wa Ashuru waliyasema na kunikufuru.+ 7 Sasa ninatia wazo fulani akilini mwake,* naye atasikia habari na kurudi katika nchi yake mwenyewe; nami nitamuua kwa upanga katika nchi yake mwenyewe.”’”+

8 Baada ya Rabshake kusikia kwamba mfalme wa Ashuru ameondoka Lakishi,+ alirudi na kumkuta akipigana vita na Libna.+ 9 Ndipo mfalme akasikia maneno haya yakisemwa kumhusu Tirhaka mfalme wa Ethiopia: “Ametoka ili kuja kupigana nawe.” Kwa hiyo akawatuma tena wajumbe+ kwa Hezekia, akisema: 10 “Mwambieni hivi Mfalme Hezekia wa Yuda: ‘Usikubali Mungu wako unayemtumaini akudanganye akisema: “Yerusalemu halitatiwa mikononi mwa mfalme wa Ashuru.”+ 11 Tazama! Umesikia mambo ambayo wafalme wa Ashuru walizitendea nchi zote kwa kuziangamiza.+ Je, ni wewe peke yako utakayeokolewa? 12 Je, miungu ya mataifa yaliyoangamizwa na mababu zangu iliyaokoa mataifa hayo? Gozani, Harani,+ Resefu, na watu wa Edeni waliokuwa Tel-asari wako wapi? 13 Yuko wapi mfalme wa Hamathi, mfalme wa Arpadi, na mfalme wa majiji ya Sefarvaimu, na wa Hena, na wa Iva?’”+

14 Hezekia akachukua barua hizo kutoka mikononi mwa wajumbe na kuzisoma. Kisha Hezekia akapanda kwenda katika nyumba ya Yehova, akazitandaza mbele za Yehova.+ 15 Hezekia akaanza kusali+ mbele za Yehova akisema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli, unayeketi kwenye kiti cha ufalme juu ya* makerubi,+ wewe peke yako ndiye Mungu wa kweli wa falme zote za dunia.+ Uliumba mbingu na dunia. 16 Tega sikio lako, Ee Yehova, usikie!+ Fungua macho yako,+ Ee Yehova, uone! Sikia maneno ambayo Senakeribu amesema ili kukudhihaki wewe Mungu uliye hai. 17 Ee Yehova, ni kweli kwamba wafalme wa Ashuru wameharibu mataifa na nchi zao.+ 18 Nao wameitupa miungu yao motoni, kwa sababu haikuwa miungu+ bali kazi ya mikono ya wanadamu,+ miti na mawe. Ndiyo sababu waliweza kuiangamiza. 19 Lakini sasa, Ee Yehova Mungu wetu, tafadhali tuokoe kutoka mikononi mwake, ili falme zote duniani zijue kwamba wewe peke yako ndiye Mungu, Ee Yehova.”+

20 Kisha Isaya mwana wa Amozi akatuma ujumbe huu kwa Hezekia: “Yehova Mungu wa Israeli anasema, ‘Nimesikia sala yako+ ambayo umenitolea kumhusu Mfalme Senakeribu wa Ashuru.+ 21 Hili ndilo neno ambalo Yehova amesema dhidi yake:

“Binti bikira wa Sayuni anakudharau, anakudhihaki.

Binti ya Yerusalemu anakutikisia kichwa.

22 Umemdhihaki na kumkufuru nani?+

Umepaza sauti yako dhidi ya nani+

Na kuinua macho yako yenye kiburi?

Ni dhidi ya Mtakatifu wa Israeli!+

23 Kupitia wajumbe wako+ umemdhihaki Yehova+ ukisema,

‘Kwa wingi wa magari yangu ya vita

Nitapanda vilele vya milima,

Sehemu za mbali sana za Lebanoni.

Nitakata mierezi yake mirefu sana, miberoshi yake iliyo bora.

Nitaingia mahali pake palipo ndani kabisa, misitu yake yenye miti mingi sana.

24 Nitachimba visima na kunywa maji mageni;

Nitavikausha vijito vyote vya* Misri kwa nyayo za miguu yangu.’

25 Je, hujasikia? Tangu zamani za kale liliamuliwa.*+

Tangu siku zilizopita nimelitayarisha.*+

Sasa nitalitimiza.+

Utayabadili majiji yenye ngome yawe marundo ya magofu yenye ukiwa.+

26 Wakaaji wake hawatakuwa na uwezo;

Wataogopeshwa na kuaibishwa.

Watakuwa kama mimea ya shambani na nyasi mbichi,+

Kama nyasi zilizo kwenye paa zinazokaushwa na upepo wa mashariki.

27 Lakini ninajua vizuri unapoketi, unapotoka nje, unapoingia,+

Na unapokuwa na ghadhabu dhidi yangu,+

28 Kwa sababu ghadhabu yako dhidi yangu+ na mngurumo wako umefika masikioni mwangu.+

Basi nitatia kulabu yangu puani mwako na lijamu yangu+ katikati ya midomo yako,

Nami nitakurudisha kupitia njia uliyoitumia kuja.”+

29 “‘Na hii ndiyo itakayokuwa ishara kwako:* Mwaka huu utakula mimea inayoota yenyewe;* na katika mwaka wa pili utakula nafaka inayochipuka kutoka katika mimea hiyo;+ lakini katika mwaka wa tatu utapanda mbegu na kuvuna, nawe utapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.+ 30 Watu wa nyumba ya Yuda watakaoponyoka, wale wanaobaki,+ watatia mizizi chini na kuzaa matunda kwenda juu. 31 Kwa maana waliobaki watatoka Yerusalemu na waokokaji watatoka katika Mlima Sayuni. Bidii ya Yehova wa majeshi itatenda hayo.+

32 “‘Kwa hiyo Yehova anasema hivi kuhusu mfalme wa Ashuru:+

“Hataingia katika jiji hili+

Wala hatapiga mshale humo

Wala kulikabili kwa ngao

Wala kujenga boma la kulizingira.+

33 Atarudi kupitia njia aliyotumia kuja;

Hataingia katika jiji hili,” asema Yehova.

34 “Nitalilinda jiji hili+ na kuliokoa kwa ajili yangu mwenyewe+

Na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.”’”+

35 Usiku huohuo malaika wa Yehova alienda na kuwaua wanaume 185,000 katika kambi ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, waliona maiti zote hizo.+ 36 Kwa hiyo Mfalme Senakeribu wa Ashuru akaondoka, akarudi Ninawi+ na kukaa huko.+ 37 Alipokuwa akiinama chini katika nyumba ya* Nisroki mungu wake, watoto wake mwenyewe wa kiume Adrameleki na Shareza walimuua kwa upanga+ na kutorokea nchi ya Ararati.+ Na Esar-hadoni+ mwanawe akawa mfalme baada yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki