Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Timotheo 1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Timotheo—Yaliyomo

      • Salamu (1, 2)

      • Paulo amshukuru Mungu kwa sababu ya imani ya Timotheo (3-5)

      • Endelea kuchochea kama moto zawadi ya Mungu (6-11)

      • Endelea kushika maneno yenye manufaa (12-14)

      • Maadui na marafiki wa Paulo (15-18)

2 Timotheo 1:1

Marejeo

  • +Yoh 3:16; 6:40, 44; 1Pe 1:3, 4

2 Timotheo 1:2

Marejeo

  • +1Ko 4:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2020, uku. 28

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2003, uku. 28

  • Fahirishi ya Machapisho

    w03 1/1 28

2 Timotheo 1:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2015, uku. 15

2 Timotheo 1:5

Marejeo

  • +1Ti 4:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2022, kur. 19-20

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2015, uku. 14

    7/1/1999, kur. 9-10

    5/15/1998, kur. 8-9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 7/1 9-10; w98 5/15 8-9

2 Timotheo 1:6

Marejeo

  • +1Ti 4:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mistari ya Biblia Yafafanuliwa, makala 24

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2020, kur. 28-29

    Vijana Huuliza, Buku la 2, uku. 116

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1998, uku. 26

    Amkeni!,

    3/22/1998, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    yp2 116; w98 2/15 26; g98 3/22 21

2 Timotheo 1:7

Marejeo

  • +Ro 8:15; 1Th 2:2
  • +Lu 24:49; Mdo 1:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mistari ya Biblia Yafafanuliwa, makala 24

    Furahia Maisha Milele!, somo la 47

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2013, kur. 23-24

    5/15/2009, uku. 15

    10/1/2006, uku. 22

    10/15/1988, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 5/15 15; w06 10/1 22

2 Timotheo 1:8

Marejeo

  • +Ro 1:16
  • +Kol 1:24; 2Ti 2:3
  • +Flp 4:13; Kol 1:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/2003, kur. 9-10

    “Kila Andiko,” uku. 182

  • Fahirishi ya Machapisho

    w03 3/1 9-10

2 Timotheo 1:9

Marejeo

  • +Efe 1:4; Ebr 3:1
  • +Efe 2:5, 8; Tit 3:5

2 Timotheo 1:10

Marejeo

  • +Yoh 1:14; Ebr 2:9
  • +1Ko 15:54; Ebr 2:14
  • +Yoh 5:24; 1Yo 1:2
  • +1Pe 1:3, 4
  • +Ro 1:16

2 Timotheo 1:11

Marejeo

  • +Mdo 9:15; 1Ti 2:7

2 Timotheo 1:12

Marejeo

  • +Mdo 9:16; Efe 3:1
  • +2Ko 4:2
  • +2Ti 4:8

2 Timotheo 1:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kielelezo cha.”

  • *

    Au “yenye afya; yenye faida.”

Marejeo

  • +1Ti 6:3, 4; Tit 1:7, 9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2008, uku. 31

    8/15/2008, uku. 24

    3/15/2006, uku. 31

    1/1/2003, uku. 29

    9/15/2002, kur. 16-17

    1/15/1996, uku. 12

    10/1/1989, kur. 19-20

    5/1/1988, kur. 12-13

    11/15/1987, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 8/15 24; w08 9/15 31; w06 3/15 31; w03 1/1 29; w02 9/15 16-17; w96 1/15 12

2 Timotheo 1:14

Marejeo

  • +Ro 8:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2020, uku. 29

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2018, uku. 14

2 Timotheo 1:15

Marejeo

  • +Mdo 19:10

2 Timotheo 1:16

Marejeo

  • +2Ti 4:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2004, uku. 20

    11/15/1997, kur. 29-30

    “Kila Andiko,” uku. 237

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 5/15 20; w97 11/15 29-30

2 Timotheo 1:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1997, kur. 29-30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 11/15 29-30

2 Timotheo 1:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1997, kur. 30-31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 11/15 30-31

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Tim. 1:1Yoh 3:16; 6:40, 44; 1Pe 1:3, 4
2 Tim. 1:21Ko 4:17
2 Tim. 1:51Ti 4:6
2 Tim. 1:61Ti 4:14
2 Tim. 1:7Ro 8:15; 1Th 2:2
2 Tim. 1:7Lu 24:49; Mdo 1:8
2 Tim. 1:8Ro 1:16
2 Tim. 1:8Kol 1:24; 2Ti 2:3
2 Tim. 1:8Flp 4:13; Kol 1:11
2 Tim. 1:9Efe 2:5, 8; Tit 3:5
2 Tim. 1:9Efe 1:4; Ebr 3:1
2 Tim. 1:10Yoh 1:14; Ebr 2:9
2 Tim. 1:101Ko 15:54; Ebr 2:14
2 Tim. 1:10Yoh 5:24; 1Yo 1:2
2 Tim. 1:101Pe 1:3, 4
2 Tim. 1:10Ro 1:16
2 Tim. 1:11Mdo 9:15; 1Ti 2:7
2 Tim. 1:12Mdo 9:16; Efe 3:1
2 Tim. 1:122Ko 4:2
2 Tim. 1:122Ti 4:8
2 Tim. 1:131Ti 6:3, 4; Tit 1:7, 9
2 Tim. 1:14Ro 8:11
2 Tim. 1:15Mdo 19:10
2 Tim. 1:162Ti 4:19
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Timotheo 1:1-18

Barua ya Pili kwa Timotheo

1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu kulingana na ahadi ya uzima ambao ni kupitia Kristo Yesu,+ 2 kwa Timotheo, mtoto mpendwa:+

Na uwe na fadhili zisizostahiliwa, rehema, na amani kutoka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.

3 Ninamshukuru Mungu, ninayemtolea utumishi mtakatifu kama mababu zangu walivyofanya, na nikiwa na dhamiri safi, siachi kamwe kukukumbuka katika dua zangu usiku na mchana. 4 Ninapokumbuka machozi yako, ninatamani kukuona ili nijawe na shangwe. 5 Kwa maana ninaikumbuka imani yako isiyo na unafiki,+ ambayo kwanza ilikuwa ndani ya nyanya yako Loisi na mama yako Eunike, lakini ambayo nina hakika imo ndani yako pia.

6 Kwa sababu hii ninakukumbusha uichochee kama moto zawadi ya Mungu iliyo ndani yako uliyopokea nilipoweka mikono yangu juu yako.+ 7 Kwa maana Mungu hakutupatia roho ya woga,+ bali roho ya nguvu+ na ya upendo na ya utimamu wa akili. 8 Basi usione aibu kuhusu ushahidi juu ya Bwana wetu,+ au kunihusu mimi, mfungwa kwa ajili yake, bali shiriki katika kuvumilia dhiki+ kwa ajili ya habari njema kwa kutegemea nguvu za Mungu.+ 9 Yeye alituokoa na kutuita kwa mwito mtakatifu,+ si kwa sababu ya matendo yetu, bali kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na fadhili zisizostahiliwa.+ Tulipewa fadhili hizo kuhusiana na Kristo Yesu kabla ya nyakati za kale, 10 lakini sasa zimefanywa kuwa wazi kabisa kupitia ufunuo wa Mwokozi wetu, Kristo Yesu,+ ambaye amefuta kifo+ na kuangaza nuru juu ya uzima+ na kutoweza kuharibika+ kupitia habari njema,+ 11 ambayo kwa ajili yake mimi niliwekwa rasmi kuwa mhubiri na mtume na mwalimu.+

12 Ndiyo sababu ninavumilia pia mambo haya,+ lakini sioni aibu.+ Kwa maana ninamjua Yule ambaye nimemwamini, nami nina uhakika kwamba anaweza kulinda kile nilichoweka amana kwake mpaka siku hiyo.+ 13 Endelea kushika kigezo cha* maneno yenye manufaa*+ uliyosikia kutoka kwangu kwa imani na upendo unaotokana na muungano pamoja na Kristo Yesu. 14 Linda amana hii nzuri kupitia roho takatifu, inayokaa ndani yetu.+

15 Unajua jambo hili, kwamba watu wote katika mkoa wa Asia+ wameniacha, Figelo na Hermogene ni kati yao. 16 Bwana na aionyeshe rehema nyumba ya Onesiforo,+ kwa maana aliniburudisha mara nyingi, naye hakuaibika kwa sababu ya minyororo yangu ya gereza. 17 Kinyume chake, alipokuwa Roma, alinitafuta kwa bidii mpaka akanipata. 18 Bwana na amruhusu apate rehema kutoka kwa Yehova* katika siku ile. Nawe unajua vema utumishi wote aliofanya huko Efeso.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki