Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mambo ya Walawi—Yaliyomo

      • Umajimaji unaotoka kwenye viungo vya uzazi (1-33)

Mambo ya Walawi 15:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mwili wake.”

Marejeo

  • +Law 22:4; Hes 5:2

Mambo ya Walawi 15:5

Marejeo

  • +Law 11:24, 25; 14:46, 47; 17:15; 22:6

Mambo ya Walawi 15:11

Marejeo

  • +Law 15:2

Mambo ya Walawi 15:12

Marejeo

  • +Law 11:32, 33

Mambo ya Walawi 15:13

Marejeo

  • +Law 14:8

Mambo ya Walawi 15:14

Marejeo

  • +Law 1:14

Mambo ya Walawi 15:16

Marejeo

  • +Law 22:4; Kum 23:10, 11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2004, uku. 23

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 5/15 23

Mambo ya Walawi 15:18

Marejeo

  • +Kut 19:15; 1Sa 21:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, kur. 130-131

  • Fahirishi ya Machapisho

    cl 130-131

Mambo ya Walawi 15:19

Marejeo

  • +Law 12:2, 5
  • +Law 20:18

Mambo ya Walawi 15:20

Marejeo

  • +Law 15:4-6

Mambo ya Walawi 15:23

Marejeo

  • +Law 15:10

Mambo ya Walawi 15:24

Marejeo

  • +Law 18:19; 20:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1989, uku. 14

Mambo ya Walawi 15:25

Marejeo

  • +Mt 9:20; Lu 8:43
  • +Law 15:19

Mambo ya Walawi 15:26

Marejeo

  • +Law 15:21

Mambo ya Walawi 15:27

Marejeo

  • +Law 15:22

Mambo ya Walawi 15:28

Marejeo

  • +Law 15:13

Mambo ya Walawi 15:29

Marejeo

  • +Law 1:14
  • +Law 15:14, 15

Mambo ya Walawi 15:30

Marejeo

  • +Law 12:7

Mambo ya Walawi 15:31

Marejeo

  • +Law 19:30; Hes 5:3; 19:20

Mambo ya Walawi 15:32

Marejeo

  • +Law 15:16

Mambo ya Walawi 15:33

Marejeo

  • +Law 15:19
  • +Law 15:2, 25

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Law. 15:2Law 22:4; Hes 5:2
Law. 15:5Law 11:24, 25; 14:46, 47; 17:15; 22:6
Law. 15:11Law 15:2
Law. 15:12Law 11:32, 33
Law. 15:13Law 14:8
Law. 15:14Law 1:14
Law. 15:16Law 22:4; Kum 23:10, 11
Law. 15:18Kut 19:15; 1Sa 21:5
Law. 15:19Law 12:2, 5
Law. 15:19Law 20:18
Law. 15:20Law 15:4-6
Law. 15:23Law 15:10
Law. 15:24Law 18:19; 20:18
Law. 15:25Mt 9:20; Lu 8:43
Law. 15:25Law 15:19
Law. 15:26Law 15:21
Law. 15:27Law 15:22
Law. 15:28Law 15:13
Law. 15:29Law 1:14
Law. 15:29Law 15:14, 15
Law. 15:30Law 12:7
Law. 15:31Law 19:30; Hes 5:3; 19:20
Law. 15:32Law 15:16
Law. 15:33Law 15:19
Law. 15:33Law 15:2, 25
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Mambo ya Walawi 15:1-33

Mambo ya Walawi

15 Yehova akaendelea kuwaambia Musa na Haruni: 2 “Waambieni Waisraeli, ‘Mwanamume akitokwa na umajimaji kwenye kiungo chake cha uzazi,* umajimaji huo unamfanya asiwe safi.+ 3 Yeye si safi kwa sababu ya umajimaji huo, iwe umajimaji huo unaendelea kutoka katika kiungo chake cha uzazi au umezuiwa kutoka, bado yeye si safi.

4 “‘Kitanda chochote anacholalia mtu anayetokwa na umajimaji hakitakuwa safi, na kitu chochote anachokalia hakitakuwa safi. 5 Mtu anayegusa kitanda cha mtu huyo ni lazima afue mavazi yake na kuoga kwenye maji, naye hatakuwa safi mpaka jioni.+ 6 Mtu yeyote anayeketi kwenye kitu kilichokaliwa na mtu anayetokwa na umajimaji anapaswa kufua mavazi yake na kuoga kwenye maji, naye hatakuwa safi mpaka jioni. 7 Mtu yeyote anayemgusa mtu anayetokwa na umajimaji anapaswa kufua mavazi yake na kuoga kwenye maji, naye hatakuwa safi mpaka jioni. 8 Mtu anayetokwa na umajimaji akimtemea mate mtu aliye safi, ni lazima mtu aliyetemewa mate ayafue mavazi yake na kuoga kwenye maji, naye hatakuwa safi mpaka jioni. 9 Matandiko yoyote yaliyo mgongoni mwa mnyama yatakayokaliwa na mtu anayetokwa na umajimaji hayatakuwa safi. 10 Mtu yeyote anayegusa kitu chochote kilichokaliwa na mtu huyo hatakuwa safi mpaka jioni, na yeyote anayebeba vitu hivyo atafua mavazi yake na kuoga kwenye maji, naye hatakuwa safi mpaka jioni. 11 Mtu anayetokwa na umajimaji+ akimgusa mtu mwingine bila kunawa mikono, ni lazima mtu aliyeguswa afue mavazi yake na kuoga kwenye maji, naye hatakuwa safi mpaka jioni. 12 Chombo cha udongo kinachoguswa na mtu anayetokwa na umajimaji kinapaswa kuvunjwa, na chombo chochote cha mbao kinapaswa kusafishwa kwa maji.+

13 “‘Mtu aliyekuwa akitokwa na umajimaji akipona na kuwa safi, atangoja kwa siku saba ili atakaswe, na ni lazima afue mavazi yake na kuoga kwenye maji ya kijito, naye atakuwa safi.+ 14 Siku ya nane, anapaswa kuchukua njiwa tetere wawili au hua wawili wachanga+ na kwenda mbele za Yehova, kwenye mlango wa hema la mkutano na kumpa kuhani ndege hao. 15 Kisha kuhani atamtoa ndege mmoja kwa ajili ya dhabihu ya dhambi na ndege wa pili kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa, naye kuhani atamtolea mtu huyo dhabihu ya kufunika dhambi yake mbele za Yehova ili awe safi kutokana na umajimaji wake.

16 “‘Mwanamume akitokwa na shahawa, anapaswa kuoga mwili mzima kwenye maji naye hatakuwa safi mpaka jioni.+ 17 Ni lazima afue kwa maji vazi lolote na ngozi yoyote iliyomwagikiwa na shahawa, na vitu hivyo havitakuwa safi mpaka jioni.

18 “‘Mwanamume akilala na mwanamke kisha atokwe na shahawa, wote wawili wanapaswa kuoga kwenye maji na hawatakuwa safi mpaka jioni.+

19 “‘Ikiwa mwanamke anatokwa na damu ya hedhi, hatakuwa safi kwa siku saba.+ Mtu yeyote anayemgusa hatakuwa safi mpaka jioni.+ 20 Kitu chochote anacholalia muda wote ambao yeye si safi kwa sababu ya hedhi hakitakuwa safi, na kila kitu anachokalia hakitakuwa safi.+ 21 Mtu yeyote anayegusa kitanda chake anapaswa kufua mavazi yake na kuoga kwenye maji, naye hatakuwa safi mpaka jioni. 22 Mtu yeyote anayegusa kitu chochote alichokalia mwanamke huyo anapaswa kufua mavazi yake na kuoga kwenye maji, naye hatakuwa safi mpaka jioni. 23 Ikiwa mwanamke huyo aliketi kwenye kitanda au kitu kingine, mwanamume anayekigusa hatakuwa safi mpaka jioni.+ 24 Mwanamume akilala na mwanamke huyo kisha damu ya hedhi imguse,+ mwanamume huyo hatakuwa safi kwa siku saba, na kitanda chochote anacholalia hakitakuwa safi.

25 “‘Mwanamke akitokwa na damu kwa siku nyingi+ wakati ambao si wa hedhi,+ au akitokwa na damu kwa muda unaozidi kipindi chake cha hedhi, hatakuwa safi sikuzote anazotokwa na damu, kama tu inavyokuwa wakati wa hedhi. 26 Kitanda chochote anacholalia na kitu chochote anachokalia anapotokwa na damu hakitakuwa safi,+ kitakuwa kama kinavyokuwa wakati wa hedhi. 27 Mtu yeyote anayegusa vitu hivyo hatakuwa safi, ni lazima afue mavazi yake na kuoga kwenye maji, naye hatakuwa safi mpaka jioni.+

28 “‘Hata hivyo, damu yake ikiacha kutoka, atahesabu siku saba, na baada ya siku hizo atakuwa safi.+ 29 Siku ya nane, atachukua njiwa tetere wawili au hua wawili wachanga+ na kumpelekea kuhani kwenye mlango wa hema la mkutano.+ 30 Kuhani atamtoa ndege mmoja kwa ajili ya dhabihu ya dhambi na ndege wa pili kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa, kisha atamtolea mwanamke huyo dhabihu ya kufunika dhambi yake mbele za Yehova ili awe safi kutokana na damu yake.+

31 “‘Kwa hiyo ni lazima muwalinde Waisraeli waepuke uchafu wao, ili wasife katika uchafu wao kwa kulitia unajisi hema langu la ibada ambalo liko kati yao.+

32 “‘Hiyo ndiyo sheria kuhusu mtu anayetokwa na umajimaji, mwanamume asiye safi kwa sababu ya kutokwa na shahawa,+ 33 mwanamke asiye safi kwa sababu ya hedhi,+ mwanamume au mwanamke yeyote anayetokwa na umajimaji mwilini,+ na mwanamume anayelala na mwanamke asiye safi.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki