Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wathesalonike 2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wathesalonike—Yaliyomo

      • Yule mtu wa uasi-sheria (1-12)

      • Wahimizwa kubaki imara (13-17)

2 Wathesalonike 2:1

Marejeo

  • +Mt 24:3
  • +1Th 4:17

2 Wathesalonike 2:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kupitia kwa roho.” Angalia Kamusi, “Roho.”

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +1Yo 4:1
  • +Sef 1:14; 2Pe 3:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1990, uku. 12

    3/15/1986, kur. 10-15, 20

    “Kila Andiko,” uku. 232

2 Wathesalonike 2:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “awashawishi.”

Marejeo

  • +1Ti 4:1; 2Ti 2:16-18; 4:3; 2Pe 2:1; 1Yo 2:18, 19
  • +Mt 7:15; Mdo 20:29, 30
  • +2Pe 2:1, 3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2015, kur. 14-15

    9/15/2008, uku. 30

    9/1/2003, uku. 6

    2/1/1990, kur. 10-15

    1/15/1988, uku. 10

    4/1/1986, kur. 11, 19-21

    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, uku. 2034

2 Wathesalonike 2:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “vinavyoheshimiwa.”

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, kur. 0, 311

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1990, kur. 11-12, 13-14

    1/15/1988, uku. 10

2 Wathesalonike 2:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    7/2019, uku. 4

    Ufahamu, uku. 311

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1990, uku. 12

2 Wathesalonike 2:7

Marejeo

  • +Mdo 20:29, 30; 1Ko 11:18, 19; 1Yo 2:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    7/2019, uku. 4

    Ufahamu, kur. 128, 972-973

    Ufahamu, kur. 311-312

    Wapiga-Mbiu, uku. 34

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1990, uku. 10

    1/15/1990, kur. 17-19

2 Wathesalonike 2:8

Marejeo

  • +Isa 11:4; Ufu 19:15
  • +1Ti 6:13-15; 2Ti 4:1, 8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    7/2019, uku. 4

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    9/15/2010, uku. 28

    9/15/2008, uku. 30

    2/1/1990, kur. 10-14, 15-16, 20-21

    Upeo wa Ufunuo, uku. 282

2 Wathesalonike 2:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “miujiza.”

Marejeo

  • +2Ko 11:3
  • +Mt 24:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1990, kur. 10-11

2 Wathesalonike 2:10

Marejeo

  • +Mt 24:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/1991, uku. 24

    2/1/1990, kur. 10-11

2 Wathesalonike 2:11

Marejeo

  • +Mt 24:5; 1Ti 4:1; 2Ti 4:3, 4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi, 4/15/1987, uku. 21

2 Wathesalonike 2:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Yoh 6:44; Ro 8:30
  • +Yoh 17:17; 1Ko 6:11; 1Th 4:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2008, uku. 30

2 Wathesalonike 2:14

Marejeo

  • +1Pe 5:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2008, uku. 30

2 Wathesalonike 2:15

Marejeo

  • +1Ko 15:58; 16:13
  • +1Ko 11:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2013, kur. 8-9

2 Wathesalonike 2:16

Marejeo

  • +1Yo 4:10
  • +1Pe 1:3, 4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/1995, uku. 19

2 Wathesalonike 2:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuwatia nguvu.”

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/1995, uku. 19

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 The. 2:1Mt 24:3
2 The. 2:11Th 4:17
2 The. 2:21Yo 4:1
2 The. 2:2Sef 1:14; 2Pe 3:10
2 The. 2:31Ti 4:1; 2Ti 2:16-18; 4:3; 2Pe 2:1; 1Yo 2:18, 19
2 The. 2:3Mt 7:15; Mdo 20:29, 30
2 The. 2:32Pe 2:1, 3
2 The. 2:7Mdo 20:29, 30; 1Ko 11:18, 19; 1Yo 2:18
2 The. 2:8Isa 11:4; Ufu 19:15
2 The. 2:81Ti 6:13-15; 2Ti 4:1, 8
2 The. 2:92Ko 11:3
2 The. 2:9Mt 24:24
2 The. 2:10Mt 24:11
2 The. 2:11Mt 24:5; 1Ti 4:1; 2Ti 4:3, 4
2 The. 2:13Yoh 6:44; Ro 8:30
2 The. 2:13Yoh 17:17; 1Ko 6:11; 1Th 4:7
2 The. 2:141Pe 5:10
2 The. 2:151Ko 15:58; 16:13
2 The. 2:151Ko 11:2
2 The. 2:161Yo 4:10
2 The. 2:161Pe 1:3, 4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wathesalonike 2:1-17

Barua ya Pili kwa Wathesalonike

2 Hata hivyo, akina ndugu, kuhusu kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo+ na kukusanywa kwetu pamoja kwake,+ tunawaomba 2 msitikiswe upesi kutoka kwenye kufikiri kwenu wala msitishwe na maneno yaliyoongozwa na roho*+ au ujumbe uliosemwa au barua inayodhaniwa kutoka kwetu, kwamba siku ya Yehova*+ imefika.

3 Msiruhusu mtu yeyote awapotoshe* kwa njia yoyote, kwa sababu siku hiyo haitafika kabla uasi imani+ haujatokea kwanza na yule mtu wa uasi sheria+ kufunuliwa, mwana wa maangamizi.+ 4 Yeye ni mpinzani na hujiinua juu ya wale wanaoitwa mungu au vitu vinavyoabudiwa,* na hivyo huketi katika hekalu la Mungu, akijionyesha waziwazi kuwa mungu. 5 Je, hamkumbuki kwamba nilikuwa nikiwaambia mambo hayo nilipokuwa pamoja nanyi?

6 Sasa mnajua kinachomzuia, ili afunuliwe wakati wake unaofaa. 7 Kwa kweli, fumbo la uasi sheria huu tayari linafanya kazi,+ lakini ni mpaka tu yule anayeuzuia sasa atakapoondolewa. 8 Ndipo, kwa kweli, yule mwasi sheria atafunuliwa, ambaye Bwana Yesu atamwangamiza kwa roho ya kinywa chake+ na kumharibu kupitia ufunuo+ wa kuwapo kwake. 9 Lakini kuwapo kwa huyo mwasi sheria ni kupitia kazi ya Shetani+ pamoja na kila tendo lenye nguvu na ishara za uwongo na mambo ya ajabu*+ 10 na kila namna ya udanganyifu usio wa uadilifu+ kwa wale wanaoangamia, kama malipo kwa sababu hawakukubali kuipenda kweli ili waokolewe. 11 Ndiyo sababu Mungu anaacha wapotoshwe kupitia udanganyifu, na hivyo waamini uwongo,+ 12 ili wote wahukumiwe kwa sababu hawakuiamini kweli, bali walipenda ukosefu wa uadilifu.

13 Hata hivyo, tuna wajibu wa kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu akina ndugu mnaopendwa na Yehova,* kwa sababu tangu mwanzo Mungu aliwachagua+ ili mwokolewe kwa kuwatakasa+ kupitia roho yake na imani yenu katika kweli. 14 Aliwaita kupitia habari njema tunayotangaza, ili mpate utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.+ 15 Basi, akina ndugu, simameni imara+ na mwendelee kufuata desturi mlizofundishwa,+ iwe ni kupitia ujumbe wa maneno au barua kutoka kwetu. 16 Zaidi ya hayo, Bwana wetu Yesu Kristo, na Mungu Baba yetu aliyetupenda+ na kutupatia faraja ya milele na tumaini jema+ kupitia fadhili zisizostahiliwa, 17 na aifariji mioyo yenu na kuwaimarisha* katika kila tendo na neno jema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki