Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 18
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati—Yaliyomo

      • Fungu la makuhani na Walawi (1-8)

      • Mazoea ya kuwasiliana na roho waovu yakatazwa (9-14)

      • Nabii kama Musa (15-19)

      • Jinsi ya kuwatambua manabii wa uwongo (20-22)

Kumbukumbu la Torati 18:1

Marejeo

  • +Hes 18:20, 24; Kum 10:9; Yos 13:14, 33; 1Ko 9:13

Kumbukumbu la Torati 18:4

Marejeo

  • +Kut 23:19; Hes 18:8, 12; 2Nya 31:4; Ne 12:44

Kumbukumbu la Torati 18:5

Marejeo

  • +Kut 28:1; Hes 3:10; Kum 10:8

Kumbukumbu la Torati 18:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, mahali ambapo Yehova anachagua kuwa kitovu cha ibada.

Marejeo

  • +Hes 35:2
  • +Kum 12:5, 6; 16:2; Zb 26:8

Kumbukumbu la Torati 18:7

Marejeo

  • +2Nya 31:2

Kumbukumbu la Torati 18:8

Marejeo

  • +Law 7:10

Kumbukumbu la Torati 18:9

Marejeo

  • +Law 18:26; Kum 12:30

Kumbukumbu la Torati 18:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “anayempitisha.”

  • *

    Au “anayebashiri.”

Marejeo

  • +Kum 12:31; 2Fa 16:1, 3; 2Nya 28:1, 3; Zb 106:35-37; Yer 32:35
  • +2Fa 17:17; Mdo 16:16
  • +Law 19:26; Mdo 19:19
  • +Eze 21:21
  • +Kut 22:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 24

    Amkeni!,

    9/8/1993, uku. 27

Kumbukumbu la Torati 18:11

Marejeo

  • +Law 20:27; 1Nya 10:13
  • +Law 19:31
  • +1Sa 28:7-11; Isa 8:19; Gal 5:19, 20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 67

    Furahia Maisha Milele!, somo la 24

    Amkeni,

    6/2012, kur. 10-11

  • Fahirishi ya Machapisho

    g 6/12 10-11

Kumbukumbu la Torati 18:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 24

Kumbukumbu la Torati 18:13

Marejeo

  • +Mt 5:48; 2Pe 3:14

Kumbukumbu la Torati 18:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ubashiri.”

Marejeo

  • +Law 19:26; 2Fa 21:1, 2, 6
  • +Yos 13:22

Kumbukumbu la Torati 18:15

Marejeo

  • +Mwa 49:10; Hes 24:17; Lu 7:16; Yoh 1:45; 6:14; Mdo 3:22; 7:37

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 146

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2009, kur. 25-28

    Amkeni!,

    4/8/2004, kur. 12-13

    Ulimwengu Usio na Vita, kur. 14-15

    “Kila Andiko,” kur. 40-41

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 4/15 25-28; g04 4/8 12-13

Kumbukumbu la Torati 18:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kukutanika.”

Marejeo

  • +Kut 19:17
  • +Kut 20:19

Kumbukumbu la Torati 18:18

Marejeo

  • +Kut 34:28; Hes 12:3; Mt 4:1, 2; 11:29; Yoh 5:46
  • +Yoh 17:8
  • +Yoh 12:49; Ebr 1:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 146

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2009, kur. 25-28

    2/15/2000, uku. 24

    11/15/1991, kur. 28-31

    Ulimwengu Usio na Vita, kur. 14-15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 4/15 25-28; w00 2/15 24

Kumbukumbu la Torati 18:19

Marejeo

  • +Mdo 3:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 146

    Ulimwengu Usio na Vita, kur. 14-15

Kumbukumbu la Torati 18:20

Marejeo

  • +Kum 13:1-5; Yer 28:11-17

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 18:1Hes 18:20, 24; Kum 10:9; Yos 13:14, 33; 1Ko 9:13
Kum. 18:4Kut 23:19; Hes 18:8, 12; 2Nya 31:4; Ne 12:44
Kum. 18:5Kut 28:1; Hes 3:10; Kum 10:8
Kum. 18:6Hes 35:2
Kum. 18:6Kum 12:5, 6; 16:2; Zb 26:8
Kum. 18:72Nya 31:2
Kum. 18:8Law 7:10
Kum. 18:9Law 18:26; Kum 12:30
Kum. 18:10Kum 12:31; 2Fa 16:1, 3; 2Nya 28:1, 3; Zb 106:35-37; Yer 32:35
Kum. 18:102Fa 17:17; Mdo 16:16
Kum. 18:10Law 19:26; Mdo 19:19
Kum. 18:10Eze 21:21
Kum. 18:10Kut 22:18
Kum. 18:11Law 20:27; 1Nya 10:13
Kum. 18:11Law 19:31
Kum. 18:111Sa 28:7-11; Isa 8:19; Gal 5:19, 20
Kum. 18:13Mt 5:48; 2Pe 3:14
Kum. 18:14Law 19:26; 2Fa 21:1, 2, 6
Kum. 18:14Yos 13:22
Kum. 18:15Mwa 49:10; Hes 24:17; Lu 7:16; Yoh 1:45; 6:14; Mdo 3:22; 7:37
Kum. 18:16Kut 19:17
Kum. 18:16Kut 20:19
Kum. 18:18Kut 34:28; Hes 12:3; Mt 4:1, 2; 11:29; Yoh 5:46
Kum. 18:18Yoh 17:8
Kum. 18:18Yoh 12:49; Ebr 1:2
Kum. 18:19Mdo 3:23
Kum. 18:20Kum 13:1-5; Yer 28:11-17
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 18:1-22

Kumbukumbu la Torati

18 “Makuhani Walawi, naam, kabila lote la Lawi, halitakuwa na fungu au urithi pamoja na Waisraeli. Watakula dhabihu zinazochomwa kwa moto zinazotolewa kwa Yehova, ambazo ni urithi wake.+ 2 Kwa hiyo hawapaswi kuwa na urithi kati ya ndugu zao. Yehova ndiye urithi wao, kama alivyowaambia.

3 “Sasa hii ndiyo haki ambayo makuhani wanastahili kutoka kwa watu: Mtu yeyote anayetoa dhabihu, iwe ni ng’ombe dume au kondoo anapaswa kumpa kuhani mguu wa mbele, mataya, na tumbo. 4 Mnapaswa kumpa mazao ya kwanza ya nafaka yenu, divai yenu mpya, mafuta yenu, na manyoya ya kwanza yaliyokatwa ya kondoo wenu.+ 5 Yehova Mungu wenu amewachagua wao pamoja na wana wao kutoka kati ya makabila yenu yote ili wahudumu katika jina la Yehova daima.+

6 “Lakini ikiwa Mlawi ataondoka katika mojawapo ya majiji yenu katika Israeli alimokuwa akiishi,+ naye angependa kwenda mahali ambapo Yehova anachagua,*+ 7 anaweza kuhudumu huko katika jina la Yehova Mungu wake kama wanavyofanya ndugu zake wote, Walawi, wanaosimama huko mbele za Yehova.+ 8 Atapokea kiasi kilekile cha chakula pamoja nao,+ mbali na malipo anayopata baada ya kuuza mali za mababu zake.

9 “Mtakapoingia katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa, msijifunze kuiga mazoea yenye kuchukiza ya mataifa hayo.+ 10 Asipatikane miongoni mwenu mtu yeyote anayemteketeza* motoni+ mwanawe au binti yake, mtu yeyote anayefanya uaguzi,*+ mtu yeyote anayefanya uchawi,+ mtu yeyote anayetafuta ishara za ubashiri,+ mlozi,+ 11 mtu yeyote anayewafunga wenzake kwa uchawi, mtu yeyote anayetafuta ushauri kutoka kwa watu wanaowasiliana na roho,+ mpiga ramli,+ au mtu yeyote anayetafuta habari kuhusu wafu.+ 12 Kwa maana mtu yeyote anayefanya mambo haya ni chukizo kwa Yehova, na kwa sababu ya mazoea haya yanayochukiza, Yehova Mungu wenu anayafukuza mataifa hayo kutoka mbele yenu. 13 Mnapaswa kudhihirisha kwamba hamna lawama mbele za Yehova Mungu wenu.+

14 “Kwa maana mataifa haya mnayomiliki nchi yao yalikuwa yakiwasikiliza wale waliozoea uchawi+ na uaguzi,*+ lakini Yehova Mungu wenu hajawaruhusu mfanye jambo lolote kama hilo. 15 Yehova Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu. Ni lazima mumsikilize.+ 16 Kwa sababu hilo ndilo mlilomwomba Yehova Mungu wenu kule Horebu katika siku ya kusanyiko,*+ mliposema, ‘Usiache tusikie sauti ya Yehova Mungu wetu au kuona tena moto huu mkubwa, tusije tukafa.’+ 17 Kisha Yehova akaniambia, ‘Jambo walilosema ni sawa. 18 Nitawainulia nabii+ kama wewe kutoka kati ya ndugu zao, nami nitaweka maneno yangu katika kinywa chake,+ naye atawaambia mambo yote nitakayomwamuru.+ 19 Naam, nitamwadhibu kila mtu ambaye hatasikiliza maneno yangu ambayo nabii huyo atasema katika jina langu.+

20 “‘Ikiwa nabii yeyote atasema kwa kimbelembele katika jina langu neno ambalo sikumwamuru aseme au kusema katika jina la miungu mingine, nabii huyo lazima afe.+ 21 Lakini huenda mkasema hivi mioyoni mwenu: “Tutajuaje Yehova hajasema neno hilo?” 22 Nabii akisema neno katika jina la Yehova na neno hilo lisitimie au kufanyika, basi Yehova hakusema neno hilo. Nabii huyo alilisema kwa kimbelembele. Hampaswi kumwogopa.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki