Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 6
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho—Yaliyomo

      • Kesi miongoni mwa akina ndugu Wakristo (1-8)

      • Wale ambao hawataurithi Ufalme (9-11)

      • Mtukuzeni Mungu katika miili yenu (12-20)

        • “Ukimbieni uasherati!” (18)

1 Wakorintho 6:1

Marejeo

  • +Mt 18:15-17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1995, uku. 30

    11/1/1988, kur. 22-23

1 Wakorintho 6:2

Marejeo

  • +Ufu 2:26, 27; 20:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, kur. 137, 222

1 Wakorintho 6:3

Marejeo

  • +Ro 16:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 1133

    Ufahamu, kur. 211, 222

1 Wakorintho 6:4

Marejeo

  • +Mt 18:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1995, uku. 20

1 Wakorintho 6:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1988, kur. 22-23

1 Wakorintho 6:7

Marejeo

  • +Mt 5:39, 40

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2002, uku. 6

    3/15/1997, kur. 21-22

    3/15/1996, uku. 15

    5/1/1995, uku. 30

    9/15/1988, kur. 29-30

    11/15/1986, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w02 11/1 6; w97 3/15 21-22; w96 3/15 15

1 Wakorintho 6:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Msidanganywe.”

  • *

    Angalia Kamusi, “Uasherati.”

  • *

    Au “wanaume wanaotenda au kukubali kutendewa mambo hayo.” Tnn., “wanaume wanaolala na wanaume.”

Marejeo

  • +Efe 5:5; Ufu 22:15
  • +Ufu 21:8
  • +Kol 3:5
  • +Ebr 13:4
  • +Ro 1:27; 1Ti 1:9, 10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 31

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/2008, kur. 21-22

    Amkeni!,

    2/22/1995, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 5/1 21-22

1 Wakorintho 6:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watu wanaotumia maneno machafu.”

Marejeo

  • +1Ko 5:11
  • +Kum 21:20, 21; Met 23:20; 1Pe 4:3
  • +Ebr 12:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 31

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/2008, kur. 21-22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 5/1 21-22

1 Wakorintho 6:11

Marejeo

  • +Mdo 22:16; Ebr 10:22
  • +Efe 5:25, 26; 2Th 2:13
  • +Ro 5:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 31

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    6/15/2010, kur. 9-10

    4/15/2010, uku. 9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 4/15 9; w10 6/15 9-10

1 Wakorintho 6:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “yanakubalika.’

  • *

    Au “sitakubali kuwa chini ya mamlaka ya kitu chochote.”

Marejeo

  • +1Ko 10:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Neno la Mungu, uku. 166

1 Wakorintho 6:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno la Kigiriki, por·neiʹa. Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Ro 14:17
  • +1Th 4:3

1 Wakorintho 6:14

Marejeo

  • +Mdo 2:24
  • +2Ko 4:14
  • +Ro 8:11; Efe 1:19, 20

1 Wakorintho 6:15

Marejeo

  • +Ro 12:4, 5; 1Ko 12:18, 27; Efe 4:15; 5:29, 30

1 Wakorintho 6:16

Marejeo

  • +Mwa 2:24; Mt 19:4, 5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

1 Wakorintho 6:17

Marejeo

  • +Yoh 17:20, 21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

1 Wakorintho 6:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno la Kigiriki, por·neiʹa. Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Mwa 39:10-12; 1Th 4:3
  • +Ro 1:24, 27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 41

    Amkeni!,

    9/2013, uku. 5

    10/2009, uku. 29

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2008, uku. 27

    6/15/2008, uku. 10

    2/15/2004, kur. 12-14

    9/1/1999, kur. 12-13

    4/15/1993, kur. 16-17

    Kutoa Sababu, uku. 333

  • Fahirishi ya Machapisho

    g 10/09 29; w08 6/15 10; w08 7/15 27; w04 2/15 12-14; rs 333; w99 9/1 12-13

1 Wakorintho 6:19

Marejeo

  • +2Ko 6:16
  • +1Ko 3:16
  • +Ro 14:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

1 Wakorintho 6:20

Marejeo

  • +1Ko 7:23; Ebr 9:12; 1Pe 1:18, 19
  • +Mt 5:16
  • +Ro 12:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    3/15/2005, kur. 15-20

    2/15/1991, kur. 15-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 3/15 15-20

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Kor. 6:1Mt 18:15-17
1 Kor. 6:2Ufu 2:26, 27; 20:4
1 Kor. 6:3Ro 16:20
1 Kor. 6:4Mt 18:17
1 Kor. 6:7Mt 5:39, 40
1 Kor. 6:9Efe 5:5; Ufu 22:15
1 Kor. 6:9Ufu 21:8
1 Kor. 6:9Kol 3:5
1 Kor. 6:9Ebr 13:4
1 Kor. 6:9Ro 1:27; 1Ti 1:9, 10
1 Kor. 6:101Ko 5:11
1 Kor. 6:10Kum 21:20, 21; Met 23:20; 1Pe 4:3
1 Kor. 6:10Ebr 12:14
1 Kor. 6:11Mdo 22:16; Ebr 10:22
1 Kor. 6:11Efe 5:25, 26; 2Th 2:13
1 Kor. 6:11Ro 5:18
1 Kor. 6:121Ko 10:23
1 Kor. 6:13Ro 14:17
1 Kor. 6:131Th 4:3
1 Kor. 6:14Mdo 2:24
1 Kor. 6:142Ko 4:14
1 Kor. 6:14Ro 8:11; Efe 1:19, 20
1 Kor. 6:15Ro 12:4, 5; 1Ko 12:18, 27; Efe 4:15; 5:29, 30
1 Kor. 6:16Mwa 2:24; Mt 19:4, 5
1 Kor. 6:17Yoh 17:20, 21
1 Kor. 6:18Mwa 39:10-12; 1Th 4:3
1 Kor. 6:18Ro 1:24, 27
1 Kor. 6:192Ko 6:16
1 Kor. 6:191Ko 3:16
1 Kor. 6:19Ro 14:8
1 Kor. 6:201Ko 7:23; Ebr 9:12; 1Pe 1:18, 19
1 Kor. 6:20Mt 5:16
1 Kor. 6:20Ro 12:1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wakorintho 6:1-20

Barua ya Kwanza kwa Wakoritho

6 Je, kuna yeyote kati yenu aliye na ugomvi na mwenzake+ atakayethubutu kwenda mahakamani mbele ya watu wasio waadilifu, na si mbele ya watakatifu? 2 Au je, hamjui kwamba watakatifu watauhukumu ulimwengu?+ Na ikiwa ninyi mtauhukumu ulimwengu, je, hamna uwezo wa kuamua mambo madogo sana? 3 Je, hamjui kwamba tutawahukumu malaika?+ Basi, kwa nini isiwe mambo ya maisha haya? 4 Basi, ikiwa mna mambo ya maisha haya yanayohitaji kuamuliwa,+ je, mnawaweka watu wanaodharauliwa na kutaniko kuwa waamuzi? 5 Ninasema ili kuwatia ninyi aibu. Je, hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima miongoni mwenu anayeweza kuhukumu kati ya ndugu zake? 6 Badala yake ndugu anaenda mahakamani kumshtaki ndugu, na tena mbele ya wasio waamini!

7 Kwa kweli, tayari mmeshindwa mnapokuwa na mashtaka ya kisheria wenyewe kwa wenyewe. Je, si afadhali mkubali kukosewa?+ Je, si afadhali mkubali kupunjwa? 8 Badala yake, mnawakosea na kuwapunja, tena ndugu zenu!

9 Au je, hamjui kwamba watu wasio waadilifu hawataurithi Ufalme wa Mungu?+ Msipotoshwe.* Waasherati,*+ waabudu-sanamu,+ wazinzi,+ wanaume wanaofanya ngono na wanaume,*+ 10 wezi, watu wenye pupa,+ walevi,+ watukanaji,* na wanyang’anyi hawataurithi Ufalme wa Mungu.+ 11 Na bado baadhi yenu mlikuwa hivyo. Lakini mmeoshwa mkawa safi;+ mmetakaswa;+ mmetangazwa kuwa waadilifu+ katika jina la Bwana Yesu Kristo na kwa roho ya Mungu wetu.

12 Mambo yote ni halali* kwangu, lakini si mambo yote yenye faida.+ Mambo yote ni halali kwangu, lakini sitaruhusu kitu chochote kinitawale.* 13 Chakula ni kwa ajili ya tumbo, na tumbo ni kwa ajili ya chakula, lakini Mungu atavifanya vyote viwe si kitu.+ Mwili si kwa ajili ya uasherati,* bali ni kwa ajili ya Bwana,+ na Bwana ni kwa ajili ya mwili. 14 Lakini Mungu alimfufua Bwana+ na pia atatufufua sisi kutoka kwenye kifo+ kupitia nguvu zake.+

15 Je, hamjui kwamba miili yenu ni viungo vya Kristo?+ Basi, je, nivichukue viungo vya Kristo na kuviunganisha na kahaba? La hasha! 16 Je, hamjui kwamba yeyote ambaye ameungana na kahaba ni mwili mmoja naye? Kwa maana yeye anasema, “hao wawili watakuwa mwili mmoja.”+ 17 Lakini yeyote anayeungana na Bwana ana umoja naye katika roho.+ 18 Ukimbieni uasherati!*+ Dhambi nyingine yoyote ambayo huenda mtu akafanya iko nje ya mwili wake, lakini yeyote aliye na mazoea ya kufanya uasherati anautendea dhambi mwili wake mwenyewe.+ 19 Je, hamjui kwamba mwili wenu ni hekalu+ la roho takatifu ndani yenu, mliyopokea kutoka kwa Mungu?+ Pia, ninyi si mali yenu wenyewe,+ 20 kwa maana mlinunuliwa kwa bei.+ Kwa vyovyote, mtukuzeni Mungu+ katika mwili wenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki