PAULO (Sauli)
(Kuna vichwa vidogo: Majaribu; Marafiki; Orodha Kulilngana na Maeneo; Safari ya Kwenda Roma; Safari za Umishonari; Sifa)
afanya mabadiliko: w98 11/1 5-6
afundisha kuhusu ufufuo: w05 5/1 8-10; w00 7/15 17-19; w98 7/1 14-24
afundishwa na Gamalieli: bt 62; w96 7/15 26-29
akata rufani kwa Kaisari: w11 7/1 29; bt 198; w01 12/15 23-24
akubali kwamba Stefano anapaswa kuuawa: bt 51; w08 5/15 22-23; w07 10/15 22; lr 132-133; w99 6/15 29-30
‘alama mwilini mwake’ (Ga 6:17): w10 11/1 15
atabiri kuhusu uasi-imani: w06 1/15 23; re 44
ataka wengine wamwombee: cl 207
awa Mkristo: bt 12, 60-63; bm 25; w05 1/15 28; my 108; lr 133-135; w00 1/15 27-29
Anania wa Damasko alivyohusika: bt 61-63; w00 1/15 29
toba: w01 4/1 5-6
awatesa Wakristo: bt 200; w05 5/15 26-27; w05 12/1 27; w99 6/15 29-31
baada ya kufungwa kwa mara ya kwanza (61-65 W.K.): bt 214
baraza linaloongoza lampa agizo: w03 3/15 24; w00 6/15 14
barua kwa Walaodikia: w08 8/15 28
elimu: w00 11/1 20; w99 5/15 30-31; g98 3/8 20
fundi wa mahema: w12 11/1 15; w09 3/1 26-27; bt 148-150
hakuwa mkamilifu: w05 12/1 29
hisia zake:
woga: g98 7/22 11
huduma: bm 26; wt 171-172, 174
agawiwa eneo (Ga 2:9): w05 10/15 12-13
ahimizwa ‘kuwakumbuka walio maskini’ (Ga 2:10): w12 11/15 8; w06 5/1 5
alibadili njia ya kuhubiri alipokutana na watu tofauti-tofauti: bt 161; w05 12/1 27-31; w02 4/1 22-24; w97 11/1 9-12, 17
alifundisha kwa ustadi: w10 7/15 29-31
aliitimiza kikamili: w08 12/15 16-19
alitoa sababu (alijadiliana) alipohubiri: km 10/05 8
“hatari za baharini” (2Ko 11:26): w99 3/15 29-31
katika masinagogi: w12 6/1 19
nyumba kwa nyumba: bt 42, 169-170; w08 7/15 3-4; w08 12/15 17-18; w04 3/15 12; rs 194-195
roho takatifu yamzuia asihubiri katika Jimbo la Asia (Mdo 16:6): w12 1/15 10
ujasiri: w06 5/15 14
Wayahudi na wageuzwa imani: w05 10/15 13-14
Yesu amwongoza Paulo katika huduma: w12 1/15 9-10; w10 9/15 23-24
kama Paulo alitumika kwenye baraza linaloongoza: bt 120
kuzaliwa kwake: w99 5/15 29
maelezo: bt 62; w99 5/15 29-31
mafundisho ya Yakobo kuhusu imani hayapingi maneno ya Paulo: rs 417-418
majina: w08 3/1 12; w99 5/15 29, 31
maoni yake kuhusu—
dhiki: w01 5/1 14
mambo yaliyo muhimu maishani: w12 6/15 22-23; w12 12/15 6-7; w01 4/1 5-6
tuzo la uzima: w09 3/15 11
wanawake: w03 11/1 14
maono ya paradiso (2Ko 12:1-4): bt 12; w08 7/15 28; w04 10/15 8-10; w00 7/15 27
“mbingu ya tatu” (2Ko 12:2): w04 10/15 8
mfano kwa Wakristo: w08 5/15 21-25
alitenda kulingana na mambo aliyosema: w12 10/15 28-29
huduma ya shambani: bt 63-64, 95, 160-161; w05 12/1 27-31; w03 11/15 8-9, 13-17; w02 4/1 22-24; wt 171-172, 174; km 4/99 4
jitihada za kutowakwaza wengine: w03 12/1 20-21
kazi: w12 6/15 22-23; w00 11/1 20
kesi za mahakamani: bt 193-194, 198, 201-202
kufanikiwa maishani: w12 12/15 6-7
kujifunza Biblia: w11 6/15 19
kutoa ushahidi mbele ya watu wenye cheo (waheshimiwa): w03 11/15 15-17; w98 9/1 30-31; w98 12/15 30
kuwaheshimu wengine: w99 8/1 19
kuwapongeza wasikilizaji kwa busara: w07 9/1 14
maoni kuhusu udhaifu wake mwenyewe: yp2 227
maoni kujihusu: w08 5/15 24-25
useja: w11 10/15 13-14; jr 98
mfano kwa wazee Wakristo: bt 99
aliwathamini Wakristo wenzake: w97 8/1 17-18
aliwatia wengine moyo: bt 166-167
“miaka ya ukimya” (36-45 W.K.): w00 7/15 26-27; w00 8/15 30
michango kwa ajili ya Wakristo huko Yerusalemu na Yudea: w12 11/15 8; bt 169, 182; w03 6/1 6; w02 11/15 13; w02 12/1 5-6; w01 3/15 29-31; w00 11/1 28; w98 7/15 7; w98 11/1 24-26; w98 11/15 30
mifano ambayo alitumia alipofundisha: be 245
mzeituni (Ro 11): w11 5/15 22-25
miujiza:
amfufua Eutiko: bt 12, 165, 168-169; my 111
ampofusha Elima: bt 87-88
amponya baba ya Publio: bt 210
hakufa alipoumwa na nyoka: bt 210; w99 5/1 30-31
mtume wa Yesu Kristo: w04 8/1 10
hakuwa mmoja kati ya mitume 12: bt 19
mwandikaji wa Biblia: ct 164
Waroma: bt 167; w08 6/15 29
Wakorintho (kitabu cha Kwanza na cha Pili): bt 166; w08 7/15 26
Wagalatia: bt 150; w08 8/15 26
Waefeso: bt 212
Wafilipi: bt 212
Wakolosai: bt 212
Wathesalonike (kitabu cha Kwanza na cha Pili): bt 150
Timotheo (kitabu cha Kwanza na cha Pili): bt 166
Tito: bt 166
Filemoni: bt 212
Waebrania: bt 212
barua zake zilipelekwa na wenzake waaminifu: bt 212; w98 7/15 7-8
maandishi yake yaliwafaa watu wa utamaduni wa Ugiriki: w08 12/1 21
roho takatifu ilimwongoza alipoandika maoni yake mwenyewe: w97 6/15 6
umuhimu wa barua za Paulo: bm 27-28
“mwiba katika mwili” (2Ko 12:7): w09 1/1 30; w09 12/15 17; w08 6/15 3-4; w06 8/15 21; w06 12/15 24; w05 8/1 21; w02 2/15 13-14, 18-19; w00 3/1 4; km 5/98 1; w97 6/1 25-26; g97 5/22 18-19
nadhiri: bt 152; w08 5/15 32
pigano la mwili na akili (Ro 7:14-25): w11 11/15 11
raia wa Roma: bt 62, 184; w99 5/15 29-30
roho takatifu ilivyomwongoza Paulo: w11 12/15 24
utume:
Anania (mwanafunzi) ampa utume: w00 1/15 29
kupeleka jina la Yesu mbele ya wafalme (Mdo 9:15): w06 11/15 8-9
watu wa ukoo (jamaa): w99 6/1 29
Paulo aokolewa na mwana wa dada yake (mpwa): w09 6/1 16-17; bt 190-191
Majaribu
alivyotumia majina ya cheo: g 9/08 20-21
maelezo: w06 11/15 8-9; w01 12/15 21-24
mbele ya Feliksi: bt 192-194
mazungumzo pamoja na Feliksi: bt 194-195
mbele ya Festo: bt 196-198; g 9/08 21; w97 6/15 30
mbele ya Herode Agripa wa Pili: bt 12, 198-202; g 9/08 21; w07 9/1 14; w03 11/15 13-17; w01 9/1 10-11; w98 9/1 30-31; w98 12/15 30
mbele ya Sanhedrini: bt 187-188
Anania (kuhani mkuu) aamuru Paulo apigwe: bt 187
maneno ya Paulo: “Mimi ni Farisayo” (Mdo 23:6): bt 187-188; w05 4/15 31
Paulo aomba msamaha kwa kumjibu Anania vibaya: w02 11/1 5
Marafiki
Akila na Prisila (Priska): w03 11/1 14; w03 11/15 19-21; w96 12/15 22-24
Apolo: bt 159-160; w96 10/1 22
Aristarko: w08 2/15 10; w97 9/15 29-31
Barnaba: bt 86; w07 6/15 16; w98 4/15 20-23
akosa kukubaliana na Paulo: w10 3/15 6-8; bt 119-120, 122; w03 1/15 19-20; w98 4/15 22-23
safari ya kwanza ya umishonari: bt 85-99
Epafra: w00 12/15 14-15; w97 5/15 30-31
Epafrodito: w96 8/15 27-30
Filemoni: w98 1/15 29-31
Gayo wa Makedonia: w08 2/15 10
Luka: bt 128, 168; w07 11/15 18-20
alipojiunga na Paulo: bt 12, 128; w07 11/15 18
maelezo: w99 6/1 28-31
Marko: w10 3/15 8-9; w10 6/15 14; bt 118; w08 2/1 25-26
‘msaada wenye kutia nguvu’ (Kol 4:11): w04 5/1 18-20; w04 9/15 13; w00 12/15 17-19; w97 9/15 31
Onesiforo: w97 11/15 29-31
Onesimo: bt 216; w08 10/15 31; w98 1/15 29-31
Petro: w07 6/15 16-17
Sila (Silvano): w08 2/15 11; w99 2/15 26-29
Tertio: w97 7/15 29-31
Tikiko: w08 2/15 8; w98 7/15 7-8
Timotheo: w09 12/15 11; bt 117, 121-123; w08 4/1 24-25; my 110, 113; w99 9/15 29-31
asafiri pamoja na Paulo: bt 121; w98 5/15 9
atahiriwa na Paulo: w03 12/1 20-21
Tito: bt 166; w98 11/15 29-31
aleta habari kuhusu jinsi Wakorintho walivyoitikia mashauri katika barua ya Paulo: bt 166; w96 11/1 10-12
atumwa Dalmatia: bt 12
atumwa Korintho: w96 11/1 11-12
Yakobo (ndugu wa kambo wa Yesu): w07 6/15 16-17
Orodha Kulilngana na Maeneo
Antiokia, Pisidia: bt 88-90, 92; km 10/05 8
picha ya magofu: w07 8/15 9
Antiokia, Siria:
aandika Wagalatia (huenda): bt 150
Arabia, safari ya kwenda: w08 5/15 22; w05 1/15 28-29
Areopago (Kilima cha Mars): w10 7/15 29-31; bt 142-147
abadili mazungumzo ili yawafae wasikilizaji: w08 12/1 20-21; w97 11/1 11
awanukuu washairi: g 3/11 18; bt 146; w08 12/1 21
awapongeza wasikilizaji: w07 9/1 14
bamba la ukumbusho: w08 12/1 20
jinsi Mungu alivyo: ct 74-77
madhabahu ya “Mungu Asiyejulikana” (Mdo 17:23): w12 3/1 18; g 3/11 18; bt 143; w02 7/15 32
Asia (jimbo): w07 8/15 10
dhiki (2Ko 1:8-10): w96 11/1 16
aitwa “mpiga-domo” (Mdo 17:18): bt 141; w03 7/15 22
sokoni: w10 7/15 29
Beroya: bt 137-138; bm 26; w07 4/15 14-15
Damasko: bt 12, 60-64; w05 1/15 28-29; be 170
aponyoka kwa kushushwa katika kapu: w05 1/15 29
barabara inayoitwa Nyoofu: w04 9/15 32; g03 2/8 24, 26; w00 1/15 28
Derbe: bt 99
Efeso: bt 12; w08 12/15 17-18; w07 8/15 9-10; w04 12/15 26-27
aandika kitabu cha Kwanza cha Wakorintho: w08 7/15 26; w96 10/1 22
‘alipigana na wanyama-mwitu’ (1Ko 15:32): bt 163; w02 6/15 26-28; w98 7/1 18; w96 11/1 16
Demetrio achochea ghasia: w09 2/1 19; bt 157, 163-164; w05 5/1 30
karani wa jiji akomesha ghasia: bt 164
matokeo huko Asia Ndogo: w08 12/15 18; w07 8/15 10
miujiza: bt 162
shule ya Tirano: bt 160-161
Wakristo wapya wateketeza vitabu kuhusu uchawi: bt 162-163
ziara fupi 52 W.K. (Mdo 18:19-21): bt 154
apigwa na kufungwa: bt 129-131; km 2/00 4-5
asisitiza aachiliwe na mahakimu: bt 131
Luka ashirikiana na Paulo: w07 11/15 18-19
mlinzi wa jela akubali kweli: w11 4/15 19; bt 130-131; w02 4/15 26
msichana mwenye “roho mwovu wa uaguzi” (Mdo 16:16-18): bt 129
Hispania: bt 214
maelezo ya Klementi wa Roma: bt 214
Ikoniamu: bt 95-96; w98 12/1 16
Ilirikamu: yb10 128; w05 10/15 16-17
Kaisaria: bt 174
afungwa na kupelekwa mahakamani: bt 192-194, 196-202; g98 3/8 29
Feliksi alivyomtendea Paulo: bt 191-195
Festo alivyomtendea Paulo: bt 196-202; w01 12/15 23-24
kipindi ambacho Paulo alikuwa kifungoni: bt 12
Paulo na Luka wakaa kwa Filipo: bt 12, 176-178
Kenkrea: w09 3/1 27
Kipro (Saiprasi): w04 7/1 19-22
kipande cha marumaru kilichochimbuliwa chenye jina la Paulo: g00 11/8 28
Sergio Paulo akubali kweli: bt 87-88
Kolosai:
barua kwa Wakolosai: bt 212
Korintho: w97 11/1 11; g96 10/8 26-27
ziara ya kwanza (miezi 18, 50-52 W.K.): w09 3/1 26-28; bt 12, 148-154
ziara ya pili (miezi 3, 55-56 W.K.): bt 167
aandika kitabu cha Waroma: w08 6/15 29
aandika kitabu cha Wagalatia (huenda): bt 150
aandika kitabu cha Kwanza na cha Pili cha Wathesalonike: bt 12, 150; w96 12/15 23
afarijika kusikia kuhusu jinsi Wakorintho walivyoitikia mashauri katika barua ya kwanza: w96 11/1 11-12
akusanya mchango kwa ajili ya Wakristo huko Yerusalemu na Yudea: bt 169; w02 12/1 5-6; w01 3/15 30-31; w98 11/1 24-26; w98 11/15 30
ashauri kutaniko kuhusu matatizo: w96 11/1 11
ashirikiana na Akila na Priska: w96 12/15 22-23
Galio asikiliza kesi ya Paulo: bt 153, 155
kubadilisha njia kwa ajili ya ziara ya pili: w12 10/15 29
woga na wasiwasi: w08 7/15 27
Listra: bt 93, 96-99; bm 26; w05 12/1 28-29
Paulo na Barnaba wadhaniwa kuwa miungu: bt 97; w08 5/15 32
Makedonia:
aandika kitabu cha Pili cha Wakorintho: bt 12, 166
aandika kitabu cha Kwanza cha Timotheo: bt 12, 166; w08 9/15 29
aandika Tito: bt 12, 166; w08 10/15 30
amwona mwanamume Mmakedonia katika maono: w12 1/15 10; bt 12, 126
Mileto: gl 33
awaita wazee Wakristo wa Efeso waje Mileto: w08 12/15 16-17; w04 10/15 19
mazungumzo pamoja na wazee Wakristo huko Efeso: bt 169-172; w08 12/15 16-19
Pafo: bt 87-88
Roma:
afungwa kwa mara ya kwanza: w12 1/15 12-13; bt 12, 212-217; my 113; w01 12/15 24
afungwa kwa mara ya pili na kuuawa: w11 6/15 19; bt 12, 214; w97 11/15 29-30
aandika kitabu cha Pili cha Timotheo: bt 12; w03 1/1 28
barua alizoandika alipokuwa Roma: bt 212; w98 7/15 7-8
Epafrodito afika: w96 8/15 27-30
Onesiforo alikuwa mshikamanifu: w97 11/15 29-31
Tarso:
malezi: bt 62; w99 5/15 30
Thesalonike: w12 6/1 18-20; bt 12, 133-137
Tiro: bt 175
Troa: w12 1/15 10; bt 166, 168
amfufua Eutiko: bt 12, 165, 168-169; my 111
amwona mwanamume Mmakedonia katika maono: w12 1/15 10; bt 12, 126
picha ya magofu: w07 8/15 9
Yerusalemu:
afanya mkutano pamoja na Yakobo, Petro, na Yohana (Ga 2:9) (m. 49 W.K.): w06 5/1 5
Agabo atabiri kifungo cha Paulo (m. 56 W.K.): bt 177-178
ajitakasa kidesturi hekaluni (56 W.K.): bt 184-185; w03 3/15 24
amtembelea Kefa (Ga 1:18) (m. 36 W.K.): bt 12; w07 6/15 15-17
apeleka msaada pamoja na Barnaba (m. 46 W.K.): bt 12
apeleka msaada pamoja na ndugu kadhaa (56 W.K.): bt 169, 182; w02 11/15 13; w98 7/15 7
mara yake ya kwanza kutembelea Yerusalemu baada ya kuwa Mkristo (m. 36 W.K.): bt 12, 65; w07 6/15 15-17
mara ya mwisho kwenda Yerusalemu (56 W.K.): bt 12, 181-189, 191; w06 11/15 8; w01 12/15 21-22
suala kuhusu tohara (m. 49 W.K.): bm 26; w98 11/15 29
Safari ya Kwenda Roma
aliandamana na—
Aristarko: w97 9/15 30-31
Luka: w97 9/15 30-31
alisafiri kwa meli mbalimbali: w99 3/15 30-31
dhoruba: bt 207-209; g96 10/8 26
maelezo: bt 203-213
mahali mbalimbali:
Adramitiamu: bt 204
Feniki (bandari ya Krete): bt 207
Kauda: bt 207
Kinido: bt 205
Malta, kuvunjika kwa meli: bt 208-210; w04 8/15 30-31; my 112; w99 3/15 29-31; w99 5/1 30-31
Mikahawa Mitatu: w04 12/15 17
Mira: bt 205
Njia ya Apio: w10 1/1 11; bt 212-213; w06 10/15 17; w04 12/15 16
Puteoli: bt 211-212
Sidoni: bt 204
Sirakusa: bt 211; w07 10/15 30
Soko la Apio: bt 212-213; w04 12/15 16-17
mashua yenye sanamu ya “Wana wa Zeu”: w09 3/1 9; bt 211
ndugu kutoka Roma waja kumlaki: bt 212-213; w04 12/15 16-17
ramani: w07 10/15 30; w04 8/15 31; gl 32-33
Safari za Umishonari
maelezo: my 110-111
safari ya kwanza ya umishonari (m. 47-48 W.K.): bt 12, 84-99; w08 5/15 31; w07 8/15 8-9
asafiri pamoja na Barnaba: w98 4/15 21-22
Marko amwacha Paulo: w08 2/1 25-26
ramani: w07 8/15 9; gl 33
Saiprasi: w04 7/1 19-22
safari ya pili ya umishonari (m. 49-52 W.K.): bt 12, 116-117, 119-120, 122-127, 129-155; w08 5/15 31-32; w07 8/15 9; my 110
akosa kuingia Asia: w12 1/15 10; bt 125
apitia Makedonia: g97 8/22 16-18
kuanzia Beroya mpaka Athene: w04 10/15 19
kuanzia Filipi mpaka Thesalonike: bt 133
ramani: w07 8/15 9; gl 33; w99 2/15 29
Sila aandamana na Paulo: w99 2/15 27-29
Timotheo aalikwa kuandamana na Paulo: bt 122-123
safari ya tatu ya umishonari (m. 52-56 W.K.): bt 12, 156-157, 160-179; w08 5/15 32; w07 8/15 9-10
afanya mkutano pamoja na wazee Wakristo huko Mileto: bt 169-170, 172; w04 10/15 19
kuanzia Mileto mpaka Kosi: bt 173-174
meli yatia nanga usiku mmoja huko Patara: bt 174
ramani: w07 8/15 9; gl 33
Sifa
alifikiria dhamiri za wengine: w04 3/1 30
hisia-mwenzi: w02 4/15 26
kiasi: w00 8/1 14-16
mwenye kutosheka: w03 6/1 8-9
ujasiri: w12 2/15 14; w06 10/1 22
unyenyekevu: bt 103; w08 5/15 24-25; w07 11/1 4; w05 6/1 14-15
upendo: w08 5/15 22-24; g96 10/8 26-27
ushikamanifu: w02 8/15 6; w96 3/15 13