WATOTO, KUWALEA
(Ona pia Elimu; Ibada ya Familia [Funzo la Biblia la Familia]; Masomo Yangu ya Biblia [Makala Katika gazeti la Mnara wa Mlinzi]; Shule; Wafundishe Watoto Wako [Mfululizo wa Makala Katika Mnara wa Mlinzi]; Watoto; Wazazi)
adabu: w11 2/15 3-5; w09 11/15 28-29
Afrika: g96 5/8 30
babu na nyanya: g99 3/22 4, 9-11
dini: ed 24-25; g97 3/8 26-27
haki za mzazi asiye mwamini: ed 24-25; g02 10/8 7-8
maoni ya watoto kuhusu dini: g98 12/8 29
familia kubwa: w99 2/15 9-12
familia za mzazi mmoja: g 11/12 8; w06 4/1 10-11; w04 6/1 17; w03 7/1 5; g02 10/8 7-12; w00 8/1 5-6
familia zilizogawanyika kidini: w02 8/15 30-31; ed 24-25; g02 10/8 7-8; w98 5/15 7-9; w96 10/15 22; fy 133-134
huduma ya shambani: km 1/11 7; w07 9/15 10; km 5/07 4; w05 6/15 21-22; km 5/05 4; km 7/05 7; w01 5/15 24-25; km 1/01 4; km 6/97 3; w96 12/1 13
kujitayarisha pamoja: km 11/02 6; w99 7/1 21-22
huduma ya wakati wote: km 4/02 4; km 6/01 5
Israeli (la kale): ed 8-9
jinsi ya kufaulu: g 8/07 3-9; g97 8/8 8-11
uchunguzi kuwahusu wazazi waliolea watoto vizuri: ed 27-28
kanuni za maadili: w06 11/1 5; g04 8/22 11
kuchanganua muziki mzuri na mbaya: g 8/11 6-9
kuepuka—
kumdharau mzazi asiyeishi nyumbani: g00 2/8 10
kuwachambua: g97 8/8 3-4
‘kuwakasirisha watoto wako’ (Efe 6:4; Kol 3:21): w05 6/15 22-23; g05 2/8 12-13; w97 8/1 12; g96 10/22 6
kuepuka UKIMWI: g04 11/22 10-11
kufanya hali ya nyumbani iwe yenye amani: w07 9/1 29-30
kuithamini Biblia: lr 16-20
kumlea mtoto kabla ya kuanza shule: g 10/11 5-6
kupata habari kuhusu sinema kabla ya kuitazama: g05 5/8 12-14
kushinda ushawishi wa watoto wengine: w05 1/1 24-25
kushinda vishawishi: lr 52-56
kusoma: g96 1/22 23
kuwasomea watoto: g 5/10 30; g05 1/8 28; g04 8/8 6, 8; g04 10/22 9-10, 31; g01 11/22 14; g01 12/22 28; w99 5/1 25; fy 54-55; g96 1/22 23
kuwasomea watoto wachanga: g05 1/22 28; g04 10/22 31; w03 2/15 24; w96 7/15 31; fy 54-55
manufaa ya kusoma kwa ukawaida: g03 8/8 29
watoto wanaoandika vitabu vyao wenyewe: g01 10/22 28
watoto wenye tatizo la kusoma: g96 8/8 12-13
kutia damu mishipani: km 12/05 6
kutokata tamaa: w05 1/1 26-27; w01 10/1 18; w99 2/15 12
kutowapuuza watoto: w99 2/1 32
kutumia Intaneti: g 10/08 3-9; g 10/07 10
kutumia makala za Amkeni! kuhusu maumbile: g99 5/22 30
kutumia vifaa vya mawasiliano ifaavyo: g 11/09 6-7
kuufikia moyo: w06 5/1 32; jd 132-133; w05 4/1 14-16
kuwafundisha kuhusu mambo ya ngono: yp1 307-308; w10 11/1 12-14; g 10/07 6-8; w05 4/1 17-18; fy 90-94
jinsi ya kuepuka kudhulumiwa kingono: g 2/11 32; w10 11/1 13; w08 10/1 21; g 10/07 7-8; lr 170-171; g97 4/8 14; w96 12/1 13-14; fy 60, 62
mwenendo mchafu kuhusiana na ngono: g 3/07 29; w05 4/1 15-16; lr 57-60
vijana: w11 2/1 18-20; w10 11/1 13-14
wajibu wa wazazi: w11 11/1 29; g03 7/22 29; w98 2/15 8-11; w97 7/15 22-23
watoto ambao bado hawajaanza kwenda shuleni: w10 11/1 13
watoto wa shule ya msingi: w10 11/1 13
kuwafundisha mapema: g 10/11 4-6; g05 8/8 30; g04 10/22 3-10
kuwafundisha watoto—
jinsi ya kukaa macho: w11 10/1 24-25
kuacha kuwadhulumu wengine: g03 8/22 8-9, 11
kufanya kazi: w07 2/15 24; w03 2/1 5-6; lr 217-221; w99 7/1 11
kufanya uamuzi: w11 4/15 17
kuheshimu mamlaka: g00 2/22 29
kujizuia: w03 10/15 21-22
kumpenda Yesu: lr 197-201
kupenda kusoma na kujifunza: w10 7/15 25-28; w10 8/15 20
kusamehe: g 10/11 10-11; g 10/09 8; w07 12/1 19-20; lr 77-81
kushukuru (kusema asante): g 10/11 11; w08 8/1 13-14; lr 97-101
kutoiba: lr 127-131
kutokuwa na wivu: w08 10/1 16-17
kutokuwa wenye ubinafsi: lr 107-111
kutosema uwongo: lr 117-121
kuwaheshimu watu wengine: w12 7/15 30-31; w11 2/15 3-5
kuwahudumia wengine: w04 8/1 18; lr 37-41
kuwapenda ndugu na dada Wakristo: w07 9/1 30
kuwapenda wengine: w03 7/1 4-5; lr 222-226; w99 7/1 11
kuwasaidia wengine: km 12/04 1
kuwa wanyenyekevu: w96 5/15 13
kuwa wanyofu: lv 162-163
kuwa washikamanifu: w96 5/15 13-14
kuwa wenye amani: w07 12/1 17-20
kuwa wenye busara: w03 8/1 29-30
kuwa wenye fadhili: lr 82-86; g99 7/22 29
kuwa wenye kutegemeka: g 10/11 19-20; w10 5/1 18-20; g98 1/22 4-5
kuwa wenye utaratibu: w11 2/15 4
kuwafunza kazi za jikoni: g97 1/8 16-20; g97 10/22 30
kuwafunza upishi: g97 1/8 16-20
kuwalea kwa upendo: w07 9/1 21-25; w01 10/1 9-10
kuwalea watoto katika nchi ya kigeni: w02 10/15 22-26
kuwa na usawaziko: w06 11/1 6-7
kuwapa wengine vitu: lr 92-96
kuwasaidia kukariri maandiko: yb10 47-48
kuwasaidia watoto—
kuchagua kazi inayowafaa: w98 7/15 4-5
kuepuka kujisifu: lr 112-116
kuepuka kupigana: lr 102-106
kuepuka ubaguzi: g 8/09 4-5; lr 82-86
kufanya mema ijapokuwa wanakabili upinzani: lr 137-141
kufikia malengo (miradi): w11 11/1 20
kufikia miradi (malengo) ya kiroho: w10 6/15 11-12; w01 5/15 23
kufurahia kujifunza: g04 8/8 4-10
kulifahamu vizuri tengenezo la Yehova: w11 3/15 17-20; w10 10/15 25-28
kupata elimu iliyo bora: w07 5/15 14-16
kushinda woga: lr 157-166
kutopenda mali: lr 87-91
kuwa na mazoea mazuri: km 1/01 4
kuwa na miradi (malengo) inayofaa: yb04 5
kuzoeza nguvu za ufahamu: g 10/11 17-19
kuzuia hasira: w07 12/1 19
kuwasaidia watoto kuchagua marafiki: w07 9/15 10; w05 1/1 23-24; g05 4/22 29
kuwalinda wasiathiriwe na marafiki wabaya: g 8/09 4-5
Wakristo ambao wamekomaa kiroho: w10 1/15 20; w09 7/15 10-11; w07 9/1 30
watu wazima: g 10/11 19
kuwasaidia wazazi kufanya kazi za nyumbani: g00 6/8 28; w98 4/1 8; g98 1/22 5
kuwatayarisha kujitegemea wanapoondoka nyumbani: yp1 305-306; g 10/11 25; g 7/10 13; g98 1/22 4-8
kuwatayarisha watoto kwa ajili ya maisha ya wakati ujao: w08 4/1 14-15; jd 161; w05 10/1 26-31; w98 7/15 4-6
kuwawekea mipaka: g 11/12 8; g00 7/22 32; fy 82, 99-100
kuwazoeza kula vyakula vipya: g99 4/22 30
maadili: g 10/12 24-25; g 11/12 9; w11 2/1 18-20; g 10/11 6; g 3/07 9; w05 4/1 14-16; lr 6; ed 24; w97 10/15 32
wajibu wa wazazi: g 3/07 5-7; ed 24; g97 6/8 8-10; g97 11/8 29; g96 7/8 29
maelezo: g 10/11 2, 4-25; w08 4/1 13-16; w07 5/15 14-16; w07 9/1 21-25; g 8/07 3-9; w06 4/1 8-11; w06 11/1 3-7; w05 1/1 23-27; w05 4/1 9-19; w04 6/15 3-10; w03 2/15 23-27; w01 10/1 8-18; g97 8/8 8-11; w96 12/1 10-15; fy 51-60, 62-63
mambo ya kufanya mtoto anapohisi kama ametengwa na wengine: w11 6/1 26-27
mambo yaliyoonwa: g 10/11 7, 13, 21; g 8/07 28
kuwafundisha watoto kuhusu ngono: w98 2/15 10-11
mazungumzo pamoja na daktari shuleni: w03 10/1 8
mmishonari amshawishi mtoto aache kucheza na bunduki bandia: w06 5/1 32
mtu aliyeokoka Maangamizi Makubwa (enzi ya Wanazi) avutiwa na mwenendo wa watoto: w05 1/15 32
ndugu ashukuru kwa kulelewa na wazazi Mashahidi: w01 11/1 24
wazazi wamsaidia msichana kukabili matatizo shuleni: w98 1/1 23
marafiki: g 3/07 8-9; w04 6/15 6-7; g04 12/8 11; lr 227-231; fy 95-97
mashauri kutoka kwa “wataalamu”: w06 11/1 3, 5
mashauri ya Biblia yana matokeo mazuri: w06 11/1 4-7; w04 8/15 5-7; la 5; w98 4/1 17-18
masimulizi ya maisha:
Kusitawisha Upendo wa Yehova Katika Mioyo ya Watoto Wetu: w02 5/1 25-29
Magumu na Baraka za Kulea Wana Saba: g99 1/8 18-22; g99 9/8 30; g99 10/8 30
Nilifundishwa Kumpenda Mungu Tangu Utotoni: g04 10/22 11-15
Shangwe na Matatizo ya Kuwalea Watoto Wanane Ili Wafuate Njia za Yehova: w06 1/1 8-12
masomo ya muziki: g04 4/22 28; g98 7/8 28-29
mazungumzo: w10 1/15 18-19; w07 9/1 25; w07 9/15 8; w04 6/15 5; w01 10/1 10-11; fy 56-58
kuwasaidia watoto wajieleze: w07 6/15 18-19; g97 8/8 8-9
mifano: yb08 111, 114-115, 118-120; w03 2/15 24-25; w02 6/1 27-28; w97 7/15 20-23
aliyekuwa mwangalizi anayesafiri: w96 10/1 27-28
baba aacha kazi ili arudi nyumbani kuishi pamoja na familia yake: yb07 93-94
barua za uthamini kutoka kwa watoto: g 11/08 8; g99 3/8 25
daktari na mke wake: g00 8/22 14-15
familia za mzazi mmoja (mama): g 10/11 15; w06 4/1 10-11; w04 6/1 17; g02 10/8 11-12
funzo la Biblia la familia na utendaji mwingine wa kiroho: w11 2/15 11; w11 8/15 6; w09 10/15 32; w05 1/1 25-26; w02 5/1 27; km 11/02 5-6; km 2/99 4
kijana afiwa na baba, kisha yeye mwenyewe akabili kifo: w08 10/1 28-31
kutanguliza ibada ya kweli: g97 12/8 26-27
mama aliyekuwa thabiti kuhusu kuhudhuria mikutano: w97 9/1 25
mama asoma andiko la siku kila asubuhi: km 1/00 3
mama mwenye wana watano: g99 3/22 20-23
mwana kiziwi: g97 8/22 30; g96 11/8 10-13
mwanamume mjane maskini: w97 9/15 5
waangalizi wanaosafiri: g04 10/22 14-15
waliokuwa wamishonari: w02 11/1 24-25
watoto wanaodumisha hali nzuri ya kiroho: w06 8/1 12-14; w04 10/15 26-27; w02 5/1 25-29; w00 8/1 27-28; w97 12/1 7-8
wazazi wanaowastahi watoto: w98 4/1 29
mifano katika Biblia:
mama na nyanya ya Timotheo: w06 4/1 10-11; w98 5/15 7-9
wazazi wa Musa: w97 5/1 31
mikutano: km 1/10 2; w06 11/1 30; w04 9/15 27; w01 5/15 23-24; km 8/01 4
kutayarisha: km 11/02 6; w00 3/15 19; w99 7/1 18-20; w99 8/15 29
kutoa maelezo: w06 11/15 31; w96 12/1 13
kuwazoeza kusikiliza: be 16; w00 3/15 17-18; w00 4/15 30
msaada kutoka kwa Yehova: w05 4/1 13-15
mtazamo kuhusu kuwalea watoto: w99 2/1 32
mtoto anayedhulumiwa anayoweza kufanya: g03 8/22 9-11
mtu wa familia anapokuwa mgonjwa: fy 123-124
nidhamu: g 10/11 11-13; w08 10/1 20-21; w06 4/1 9-10; w06 11/1 5; jd 131-134; w05 6/15 23; od 207; w04 6/15 5-6; w04 8/15 5-7; g04 10/22 10; g04 11/8 26-27; w03 10/1 21-23; g03 3/22 20; cl 100-101; w01 10/1 8-9; w01 12/15 28; g01 11/8 32; w00 8/1 5; w98 4/1 17-18; w97 10/15 32; ba 24; g97 8/8 10-11; w96 9/1 20-21; w96 12/1 14-15; fy 59-61
fadhili: w07 9/1 22-25
familia za mzazi mmoja: g 11/12 8; w00 8/1 5-6; fy 108-110
fimbo ya nidhamu: w04 7/15 31; cl 101; la 5; ba 24
inawasaidia watoto kutaka kubadilika: lr 132-136
jinsi ya kutia nidhamu: w07 9/1 24-25; w01 10/1 11-12; fy 60
kuithamini: w96 12/1 14-15
kutopuuza kumtia mtoto nidhamu: w08 4/1 14; w07 9/1 23; w06 7/1 14; w04 7/15 31; w96 12/1 14-15
kuwatia watoto nidhamu kwa njia ya heshima: g 10/11 12; w00 6/15 20-21; w98 4/1 29
kwa upendo: w07 9/1 22-25; w04 7/15 31
lengo la kutoa nidhamu: w96 9/1 20-21
maoni ya wazazi yanapotofautiana: w09 2/1 10-12
maoni yenye makosa kuhusu uendekevu (kuwaacha watoto wafanye wapendavyo): w08 4/1 13-16; w07 9/1 22; w04 7/15 31; w04 8/15 5-6; g03 6/22 29; g02 7/8 28; w96 1/15 11; fy 72, 80-81
umuhimu wa sheria na mwongozo: g 11/12 8; g 10/11 11-12; w07 9/1 23-24; g00 2/22 29; g00 7/22 32
uthabiti: g 10/11 11; fy 84
vijana: g 9/09 9; g05 4/8 7; g98 1/22 6-7; fy 71-72
wakati unaofaa kuanza kuwatia watoto nidhamu: w00 8/1 5
watoto chini ya umri wa miaka mitano: g 10/11 7
watoto wa kambo: g 4/12 6; w99 3/1 5-6
watoto wanahimizwa wathamini nidhamu: w07 2/15 27
wazazi wenye msimamo mmoja: w09 2/1 11-12; w00 8/1 5
pongezi: w10 1/15 20; w08 10/1 19; w04 10/1 18-19; w02 11/1 32; g97 8/8 8
kwa jitihada: g98 1/22 5-6
roho wazuri na roho wabaya: lr 47-51, 57-66
sheria za wazazi: g 11/12 8; yp1 297-302; g 10/11 11-12; w07 9/1 23-24; la 5; g00 7/22 32; w96 9/1 20-21
shule: od 141-142; w03 3/15 10-14; ed 2-31
elimu ya juu: w08 4/15 4; w05 10/1 26-31
elimu ya msingi kwa watoto wote ulimwenguni: g99 7/8 29; g99 8/8 28
iwapo hakuna shule: w03 3/15 12-13
kujiunga na shule mbali na nyumbani: w96 10/1 30-31
kuwatayarisha watoto kiroho: km 7/11 2
shule za bweni: km 11/09 5-8; w97 3/15 25-28
wajibu wa wazazi: g 10/12 8-9; yp1 304-305; g 11/10 29; g 4/09 9; g 5/09 14; ed 27-30; w96 8/1 20; fy 94-95
sifa za kiroho: yp1 315-317; w08 10/1 20; g04 8/8 6
subira yahitajika: w05 4/1 9-10
tafrija: w05 1/1 25; w04 6/15 6; fy 97-101
tangu utotoni: g 8/12 32; w10 4/15 18-19; w06 4/1 9; w03 2/15 23-24; w98 3/15 14; w98 4/15 32; w96 7/15 31; w96 12/1 11-13; fy 53
uhusiano pamoja na Yehova: w11 8/1 3-9; g 10/11 18-19; w07 5/15 14-16; jd 132; w04 6/15 8-10; w03 2/15 24; lr 142-146; w01 5/15 21-26; w99 2/1 12-13; w97 7/15 20-23; w96 12/1 11-13; fy 55-59
familia kubwa: w99 2/15 10-12
jina la Yehova: lr 26-31
kujenga utu wa Kikristo: w98 11/1 12-13
kumfurahisha Yehova: lr 207-216
kumpenda Yehova: w07 9/1 26-30; w07 9/15 8-10; km 10/06 1; w99 7/1 14; w97 7/15 21-22
kumtii Yehova: lr 48-51, 147-148, 150-151
kumwogopa Yehova: w07 3/1 27; w07 5/15 14-15; w97 7/15 22
kuondoa shaka: g 10/11 18; w00 6/1 18-19
kuthamini uumbaji: w11 8/1 8-9
kuufikia moyo wa mtoto: jd 132-133; w05 2/1 28-30; w05 4/1 14-16
‘kuwajulisha’ mambo ambayo Yehova amefanya (Kum 4:9): w06 6/1 29-30
kuwa wanafunzi wa Kristo: lr 72-76
‘mlee mvulana; atakapozeeka hatageuka kando’ (Met 22:6): w08 4/1 16; w07 6/1 31
“mwongozo wa akilini wa Yehova” (Efe 6:4): w12 7/15 30-31; w06 7/1 27-28; w06 11/1 6; w05 1/1 25-26; w05 4/1 15-16; g04 11/8 27; w96 12/1 11
sala: w10 1/15 17-18; lr 67-71; w02 5/1 26-27
uaminifu kwa Yehova: w99 7/1 11; w96 5/15 14
ubatizo: yb09 4; w06 4/1 27-28; lr 236-237
ulinzi wa Yehova: lr 167-170
upendo wa Yehova: lr 162-166
uthibitisho wa kwamba kuna Mungu: lr 21-25
vijana wanaobalehe: w12 2/1 18-21; yp1 315-318
wajibu wa baba: w11 8/1 6-7
wajibu wa wazazi: w10 1/15 17-18; w10 2/15 29; w08 4/15 19; w06 4/1 8-9; jd 131-132; w05 6/15 20-22; km 1/02 8; w00 6/1 18-19; w98 7/15 6; g97 8/8 11; w96 12/15 17-18
watoto ambao wameacha kweli: jd 133-134; w01 10/1 13-18
watoto wasiopendezwa tena na mambo ya kiroho: yp1 317-318
wazazi wanapata shangwe: w01 7/1 13
wazazi wanapoacha kumtumikia Yehova: w12 12/1 30-31
‘yakazie maneno haya’ (Kum 6:6, 7): w08 4/1 14; w07 5/15 16; w07 9/1 22; w06 4/1 8-9; w05 4/1 12; w05 4/15 6-7; w05 6/15 20-21; w96 12/1 11
umuhimu wa—
kutobadili sheria: g 10/11 7
kuwaonyesha watoto upendo kwa kuwakumbatia, kuwapakata, n.k.: g 10/09 30; w06 11/1 5
upendo wa mzazi: w08 10/1 19; g04 8/8 4-6; g04 10/22 8
urafiki pamoja na watoto: fy 56
ustahimilivu wa wazazi: w07 9/1 21-22
wazazi kuwafikiria watoto: g05 2/8 12-13; g00 8/22 28
uthamini kwa ajili ya: yb12 158-159
utii: w12 6/1 30-31; w03 2/15 24-25; lr 42-46, 48-51, 147-151
kwa serikali: lr 150-151
uwezo wa watoto wa kujifunza lugha: fy 54-55
kuepuka mazungumzo ya kitoto: g97 4/8 28
kuwasaidia watoto kujifunza lugha zaidi ya moja: g 10/09 30; g05 5/8 29
vijana: yp1 289-318; g 10/11 16-23; g 3/07 8-9; w03 2/15 25-26; fy 64-75
kuwalea ili wafanikiwe maishani baada ya kuondoka nyumbani: yp1 305-306; g 10/11 25; g 7/10 13; w09 5/1 10-12; w03 10/15 25
kuwapa uhuru wa kujiamulia mambo hatua kwa hatua: g 10/11 21; g 6/08 7-9; fy 73, 82-84
nidhamu: g 9/09 9
usawaziko kati ya kazi na mchezo: fy 72-74
wajibu wa baba: w11 8/1 6-7; w08 10/1 18-21; od 207; g05 2/8 12; g04 8/22 3-11; g01 8/22 31; w96 10/15 21-23; fy 51-52
wajibu wa mama: w11 8/1 7; w08 2/1 29-30; g05 2/22 3-11; g05 12/8 30; fy 51-52
wakati unahitajika: g 10/11 13; w07 5/15 16
wanyama vipenzi:
mbwa: g97 7/8 20-21
watoto viziwi: g98 9/8 19-23
watoto wa kambo: w02 3/15 11; w99 3/1 4-7
watoto walemavu:
ugonjwa wa Down syndrome: g 6/11 19-22
watoto waliotengwa na ushirika: lv 208; w07 1/15 20; km 8/02 4; w01 10/1 16-17
watoto wanavyoweza kujilinda: g98 10/8 6
watoto wenye akili punguani: g 4/06 25-28
watoto wenye matatizo: g05 8/8 28
wazazi “thabiti” wanaoweka mipaka imara ni bora: w08 4/1 15-16
wazazi wanapaswa kuwa mfano mzuri kwa watoto: w12 6/15 31; jr 141; w08 10/1 19, 21; w07 5/15 15-16; w07 9/1 26-27; w07 9/15 8-9; g 8/07 9; w04 6/15 4-5; be 61; w99 7/1 8-12; km 9/99 1; w96 12/1 13; fy 56, 67-69
funzo la Biblia: w07 9/1 27-28
kukiri makosa: w07 9/1 29-30
kuomba msamaha: w08 10/1 19; w07 12/1 18; g 8/07 9; w02 5/1 27
unyofu: lv 163
Yesu ni mfano kwa watoto: w11 8/1 9; w05 4/1 9-11