12 Ijapokuwa huenda mtenda-dhambi akawa anatenda yaliyo mabaya+ mara mia moja na kuendelea kwa muda mrefu anavyopenda, ninajua pia kwamba mambo yatawaendea vyema wale wanaomwogopa Mungu+ wa kweli, kwa sababu walimwogopa.+
10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuwa mmewahudumia watakatifu+ nanyi mnaendelea kuhudumu.