Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 41:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yehova mwenyewe atamlinda na kumhifadhi hai.+

      Atatangazwa kuwa mwenye furaha duniani;+

      Nawe huwezi kamwe kumtia mkononi mwa nafsi ya adui zake.+

  • Methali 11:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mtu mwovu anapata mshahara wa uwongo,+ lakini anayepanda uadilifu, hupata mapato ya kweli.+

  • Methali 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+ na Yeye atamlipa matendo yake.+

  • Mhubiri 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ijapokuwa huenda mtenda-dhambi akawa anatenda yaliyo mabaya+ mara mia moja na kuendelea kwa muda mrefu anavyopenda, ninajua pia kwamba mambo yatawaendea vyema wale wanaomwogopa Mungu+ wa kweli, kwa sababu walimwogopa.+

  • Isaya 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Semeni kwamba itakuwa vema kwa mwadilifu,+ kwa maana watakula matunda ya matendo yao.+

  • Luka 1:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 na kwa vizazi baada ya vizazi rehema yake iko juu ya wale wanaomwogopa.+

  • Waebrania 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuwa mmewahudumia watakatifu+ nanyi mnaendelea kuhudumu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki