6 Na Yehova akapita karibu mbele ya uso wake na kutangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na neema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo+ na kweli,+
8 Nawe ukaona moyo wake kuwa ni mwaminifu mbele zako;+ basi ukafanya lile agano+ pamoja na yeye ili umpe nchi ya Wakanaani, Wahiti, Waamori na Waperizi na Wayebusi na Wagirgashi, kuupa uzao wake;+ nawe ukatimiza maneno yako, kwa maana wewe ni mwadilifu.+
25 Mungu alimweka kuwa toleo la kupatanisha+ kupitia imani katika damu+ yake. Ilikuwa hivyo ili kuonyesha wazi uadilifu wake mwenyewe, kwa sababu alikuwa akizisamehe dhambi+ zilizotokea wakati uliopita wakati Mungu alipokuwa akivumilia kwa subira;+