Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 7:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Naye amenipa fadhili zenye upendo+ mbele ya mfalme na washauri+ wake na kuhusu wakuu wote wa mfalme wenye nguvu. Mimi nami nikajitia nguvu kulingana na mkono+ wa Yehova Mungu wangu juu yangu, nami nikawakusanya wakuu kutoka katika Israeli ili waende pamoja nami.

  • Zaburi 18:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Yeye anafanya matendo makuu ya wokovu kwa ajili ya mfalme wake+

      Na kuonyesha fadhili zenye upendo kwa mtiwa-mafuta wake,+

      Kwa Daudi na kwa uzao wake mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Zaburi 68:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Ee Mungu, ulipoenda mbele ya watu wako,+

      Ulipopiga mwendo jangwani+—Sela—

  • Isaya 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na itatukia katika siku hiyo kwamba Yehova atatoa tena mkono wake, mara ya pili,+ ili kuchukua mabaki ya watu wake watakaobaki kutoka Ashuru+ na kutoka Misri+ na kutoka Pathrosi+ na kutoka Kushi+ na kutoka Elamu+ na kutoka Shinari+ na kutoka Hamathi na kutoka visiwa vya bahari.+

  • Isaya 61:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nanyi mtaitwa makuhani wa Yehova;+ itasemekana ninyi ni wahudumu wa Mungu wetu.+ Ninyi mtakula mali za mataifa,+ nanyi mtasema kujihusu ninyi wenyewe kwa kuchangamka katika utukufu wao.+

  • Zekaria 8:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Yehova wa majeshi asema hivi, ‘Na itakuwa katika siku hizo kwamba watu kumi kutoka katika lugha zote za mataifa+ watashika,+ ndiyo, wataushika upindo wa nguo ya mtu aliye Myahudi,+ wakisema: “Tutakwenda pamoja nanyi,+ kwa maana tumesikia ya kuwa Mungu yupo pamoja nanyi.” ’ ”+

  • Mathayo 24:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Naye atawatuma malaika zake pamoja na mvumo mkubwa wa tarumbeta,+ nao watawakusanya pamoja watu wake waliochaguliwa+ kutoka kwenye zile pepo nne,+ kutoka mwisho mmoja wa mbingu mpaka mwisho wake mwingine.

  • Ufunuo 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na baada ya zile siku tatu na nusu+ roho ya uhai kutoka kwa Mungu ikaingia ndani yao,+ nao wakasimama kwa miguu yao, na woga mkubwa ukawaingia wale waliokuwa wakiwatazama.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki