Isaya 32:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana mnara wa makao umeachwa,+ kelele za jiji zimeachwa; Ofeli+ na mnara wa mlinzi umekuwa nyika, kwa wakati usio na kipimo furaha ya punda-milia, malisho ya makundi; Yeremia 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami nitafanya Yerusalemu kuwa rundo la mawe,+ mapango ya mbwa-mwitu;+ na majiji ya Yuda nitayafanya kuwa mahame yenye ukiwa, bila mkaaji.+ Maombolezo 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Njia za Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+Malango yake yote yamefanywa ukiwa;+ makuhani wake wanaugua.+Mabikira wake wamepata huzuni, naye mwenyewe ana uchungu.+ Maombolezo 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Malango+ yake yamezama chini kabisa. Ameharibu na kuvunja mapingo yake vipande-vipande.Mfalme wake na wakuu wake wako kati ya mataifa.+ Hakuna sheria.+Manabii wake pia hawakupata maono kutoka kwa Yehova.+ Mika 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Maana jeraha lililo juu yake haliwezi kupona;+ maana limefika mpaka Yuda,+ pigo hilo limefika mpaka lango la watu wangu, mpaka Yerusalemu.+
14 Kwa maana mnara wa makao umeachwa,+ kelele za jiji zimeachwa; Ofeli+ na mnara wa mlinzi umekuwa nyika, kwa wakati usio na kipimo furaha ya punda-milia, malisho ya makundi;
11 Nami nitafanya Yerusalemu kuwa rundo la mawe,+ mapango ya mbwa-mwitu;+ na majiji ya Yuda nitayafanya kuwa mahame yenye ukiwa, bila mkaaji.+
4 Njia za Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+Malango yake yote yamefanywa ukiwa;+ makuhani wake wanaugua.+Mabikira wake wamepata huzuni, naye mwenyewe ana uchungu.+
9 Malango+ yake yamezama chini kabisa. Ameharibu na kuvunja mapingo yake vipande-vipande.Mfalme wake na wakuu wake wako kati ya mataifa.+ Hakuna sheria.+Manabii wake pia hawakupata maono kutoka kwa Yehova.+
9 Maana jeraha lililo juu yake haliwezi kupona;+ maana limefika mpaka Yuda,+ pigo hilo limefika mpaka lango la watu wangu, mpaka Yerusalemu.+