Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 32:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana mnara wa makao umeachwa,+ kelele za jiji zimeachwa; Ofeli+ na mnara wa mlinzi umekuwa nyika, kwa wakati usio na kipimo furaha ya punda-milia, malisho ya makundi;

  • Yeremia 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami nitafanya Yerusalemu kuwa rundo la mawe,+ mapango ya mbwa-mwitu;+ na majiji ya Yuda nitayafanya kuwa mahame yenye ukiwa, bila mkaaji.+

  • Maombolezo 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Njia za Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+

      Malango yake yote yamefanywa ukiwa;+ makuhani wake wanaugua.+

      Mabikira wake wamepata huzuni, naye mwenyewe ana uchungu.+

  • Maombolezo 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Malango+ yake yamezama chini kabisa. Ameharibu na kuvunja mapingo yake vipande-vipande.

      Mfalme wake na wakuu wake wako kati ya mataifa.+ Hakuna sheria.+

      Manabii wake pia hawakupata maono kutoka kwa Yehova.+

  • Mika 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Maana jeraha lililo juu yake haliwezi kupona;+ maana limefika mpaka Yuda,+ pigo hilo limefika mpaka lango la watu wangu, mpaka Yerusalemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki