Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 33
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati—Yaliyomo

      • Musa ayabariki makabila (1-29)

        • ‘Mikono ya milele’ ya Yehova (27)

Kumbukumbu la Torati 33:1

Marejeo

  • +Mwa 49:28

Kumbukumbu la Torati 33:2

Marejeo

  • +Kut 19:18
  • +Hab 3:3
  • +Da 7:10; Yud 14
  • +Zb 68:17

Kumbukumbu la Torati 33:3

Marejeo

  • +Kum 7:8; Ho. 11:1
  • +Kut 19:6
  • +Kut 19:23
  • +Kut 20:19

Kumbukumbu la Torati 33:4

Marejeo

  • +Kut 24:8
  • +Kum 4:8; Mdo 7:53

Kumbukumbu la Torati 33:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Mnyoofu,” jina la heshima la Israeli.

Marejeo

  • +Isa 44:2
  • +Kut 18:25; 19:7
  • +Hes 1:44, 46

Kumbukumbu la Torati 33:6

Marejeo

  • +Mwa 49:3
  • +Hes 26:7; Yos 13:15

Kumbukumbu la Torati 33:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “imepigania.”

Marejeo

  • +Mwa 49:8; 1Nya 5:2
  • +Zb 78:68
  • +Amu 1:2; 2Sa 7:8, 9

Kumbukumbu la Torati 33:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno “yako” katika mstari huu linamrejelea Mungu.

Marejeo

  • +Mwa 49:5; Hes 3:12
  • +Kut 28:30; Law 8:6, 8
  • +Kut 32:26
  • +Kut 17:7
  • +Hes 20:13

Kumbukumbu la Torati 33:9

Marejeo

  • +Kut 32:27; Law 10:6, 7
  • +Mal 2:4, 5

Kumbukumbu la Torati 33:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “maamuzi yako ya hukumu.”

  • *

    Tnn., “inayopendeza puani mwako.”

Marejeo

  • +Kum 17:9
  • +2Nya 17:8, 9; Mal 2:7
  • +Kut 30:7; Hes 16:40
  • +Law 1:9

Kumbukumbu la Torati 33:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Vivunje viuno vya.”

Kumbukumbu la Torati 33:12

Marejeo

  • +Mwa 49:27

Kumbukumbu la Torati 33:13

Marejeo

  • +Mwa 49:22
  • +Yos 16:1
  • +Mwa 49:25

Kumbukumbu la Torati 33:14

Marejeo

  • +Law 26:5; Zb 65:9

Kumbukumbu la Torati 33:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “milima ya mashariki.”

Marejeo

  • +Yos 17:17, 18

Kumbukumbu la Torati 33:16

Marejeo

  • +Kum 8:7, 8
  • +Kut 3:4; Mdo 7:30
  • +Mwa 37:7; 49:26; 1Nya 5:1, 2

Kumbukumbu la Torati 33:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuyapiga.”

Marejeo

  • +Mwa 48:19, 20

Kumbukumbu la Torati 33:18

Marejeo

  • +Mwa 49:13
  • +Mwa 49:14

Kumbukumbu la Torati 33:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “watanyonya.”

  • *

    Au “hazina zilizofichika.”

Kumbukumbu la Torati 33:20

Marejeo

  • +Mwa 49:19
  • +Yos 13:24-28

Kumbukumbu la Torati 33:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “maamuzi yake ya hukumu.”

Marejeo

  • +Hes 32:1-5
  • +Yos 22:1, 4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 222

Kumbukumbu la Torati 33:22

Marejeo

  • +Mwa 49:16
  • +Amu 13:2, 24; 15:8, 20; 16:30
  • +Yos 19:47

Kumbukumbu la Torati 33:23

Marejeo

  • +Mwa 49:21

Kumbukumbu la Torati 33:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anawe.”

Marejeo

  • +Mwa 49:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 547

Kumbukumbu la Torati 33:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Kama zilivyo siku zako ndivyo zitakavyokuwa nguvu zako.”

Marejeo

  • +Kum 8:7, 9

Kumbukumbu la Torati 33:26

Marejeo

  • +Kut 15:11
  • +Isa 44:2
  • +Zb 68:32-34

Kumbukumbu la Torati 33:27

Marejeo

  • +Zb 46:11; 91:2
  • +Isa 40:11
  • +Kum 9:3
  • +Kum 31:3, 4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2021, uku. 6

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    9/2021, uku. 2

    Ibada Safi, uku. 120

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1991, uku. 13

Kumbukumbu la Torati 33:28

Marejeo

  • +Kum 8:7, 8
  • +Kum 11:11

Kumbukumbu la Torati 33:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “mtakanyaga mahali pao pa juu.”

Marejeo

  • +Zb 33:12; 144:15; 146:5
  • +Kum 4:7; 2Sa 7:23; Zb 147:20
  • +Zb 27:1; Isa 12:2
  • +Zb 115:9
  • +Zb 66:3

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 33:1Mwa 49:28
Kum. 33:2Kut 19:18
Kum. 33:2Hab 3:3
Kum. 33:2Da 7:10; Yud 14
Kum. 33:2Zb 68:17
Kum. 33:3Kum 7:8; Ho. 11:1
Kum. 33:3Kut 19:6
Kum. 33:3Kut 19:23
Kum. 33:3Kut 20:19
Kum. 33:4Kut 24:8
Kum. 33:4Kum 4:8; Mdo 7:53
Kum. 33:5Isa 44:2
Kum. 33:5Kut 18:25; 19:7
Kum. 33:5Hes 1:44, 46
Kum. 33:6Mwa 49:3
Kum. 33:6Hes 26:7; Yos 13:15
Kum. 33:7Mwa 49:8; 1Nya 5:2
Kum. 33:7Zb 78:68
Kum. 33:7Amu 1:2; 2Sa 7:8, 9
Kum. 33:8Mwa 49:5; Hes 3:12
Kum. 33:8Kut 28:30; Law 8:6, 8
Kum. 33:8Kut 32:26
Kum. 33:8Kut 17:7
Kum. 33:8Hes 20:13
Kum. 33:9Kut 32:27; Law 10:6, 7
Kum. 33:9Mal 2:4, 5
Kum. 33:10Kum 17:9
Kum. 33:102Nya 17:8, 9; Mal 2:7
Kum. 33:10Kut 30:7; Hes 16:40
Kum. 33:10Law 1:9
Kum. 33:12Mwa 49:27
Kum. 33:13Mwa 49:22
Kum. 33:13Yos 16:1
Kum. 33:13Mwa 49:25
Kum. 33:14Law 26:5; Zb 65:9
Kum. 33:15Yos 17:17, 18
Kum. 33:16Kum 8:7, 8
Kum. 33:16Kut 3:4; Mdo 7:30
Kum. 33:16Mwa 37:7; 49:26; 1Nya 5:1, 2
Kum. 33:17Mwa 48:19, 20
Kum. 33:18Mwa 49:13
Kum. 33:18Mwa 49:14
Kum. 33:20Mwa 49:19
Kum. 33:20Yos 13:24-28
Kum. 33:21Hes 32:1-5
Kum. 33:21Yos 22:1, 4
Kum. 33:22Mwa 49:16
Kum. 33:22Amu 13:2, 24; 15:8, 20; 16:30
Kum. 33:22Yos 19:47
Kum. 33:23Mwa 49:21
Kum. 33:24Mwa 49:20
Kum. 33:25Kum 8:7, 9
Kum. 33:26Kut 15:11
Kum. 33:26Isa 44:2
Kum. 33:26Zb 68:32-34
Kum. 33:27Zb 46:11; 91:2
Kum. 33:27Isa 40:11
Kum. 33:27Kum 9:3
Kum. 33:27Kum 31:3, 4
Kum. 33:28Kum 8:7, 8
Kum. 33:28Kum 11:11
Kum. 33:29Zb 33:12; 144:15; 146:5
Kum. 33:29Kum 4:7; 2Sa 7:23; Zb 147:20
Kum. 33:29Zb 27:1; Isa 12:2
Kum. 33:29Zb 115:9
Kum. 33:29Zb 66:3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 33:1-29

Kumbukumbu la Torati

33 Sasa hii ndiyo baraka ambayo Musa mtu wa Mungu wa kweli aliwatangazia Waisraeli kabla ya kifo chake.+ 2 Alisema hivi:

“Yehova—alikuja kutoka Sinai,+

Naye akawaangazia kutoka Seiri.

Aliangaza kwa utukufu kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+

Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+

Na mashujaa wake kwenye mkono wake wa kuume.+

 3 Aliwapenda watu wake;+

Watakatifu wao wote wako mikononi mwako.+

Waliketi miguuni pako;+

Walianza kusikiliza maneno yako.+

 4 (Musa alitupatia amri, sheria,+

Kuwa miliki ya kutaniko la Yakobo.)+

 5 Naye akawa mfalme kule Yeshuruni,*+

Viongozi wa watu walipokusanyika pamoja,+

Pamoja na makabila yote ya Israeli.+

 6 Rubeni na aishi wala asife,+

Na watu wake wasiwe wachache.”+

 7 Naye akamtangazia Yuda baraka hii:+

“Ee Yehova, isikie sauti ya Yuda,+

Nawe umrudishe kwa watu wake.

Mikono yake imetetea* kilicho chake,

Nawe umsaidie dhidi ya maadui wake.”+

 8 Akasema hivi kumhusu Lawi:+

“Thumimu yako* na Urimu+ yako ni vya mtu aliye mshikamanifu kwako,+

Uliyemjaribu kule Masa.+

Ulianza kupambana naye karibu na maji ya Meriba,+

 9 Mtu aliyemwambia baba yake na mama yake, ‘Sijawaheshimu.’

Hata ndugu zake hakuwatambua,+

Na watoto wake mwenyewe aliwapuuza.

Kwa maana walitii neno lako,

Na kulishika agano lako.+

10 Acha wamfundishe Yakobo amri zako*+

Na Waisraeli Sheria yako.+

Acha wakufukizie uvumba wenye harufu inayokupendeza*+

Na dhabihu nzima ya kuteketezwa kwenye madhabahu yako.+

11 Ee Yehova, bariki nguvu zake,

Na ufurahie kazi ya mikono yake.

Ivunje miguu ya* wale wanaoinuka dhidi yake,

Ili wale wanaomchukia wasiinuke tena.”

12 Alisema hivi kumhusu Benjamini:+

“Mwache mpendwa wa Yehova akae kwa usalama kando yake;

Akimkinga siku nzima,

Atakaa katikati ya mabega yake.”

13 Alisema hivi kumhusu Yosefu:+

“Nchi yake na ibarikiwe na Yehova+

Kwa vitu bora vya mbinguni,

Kwa umande na maji kutoka katika chemchemi zilizo chini,+

14 Kwa vitu bora vinavyoletwa na jua

Na mazao bora kila mwezi,+

15 Kwa vitu bora kabisa kutoka katika milima ya zamani*+

Na vitu bora kutoka katika vilima vinavyodumu,

16 Kwa vitu bora vya dunia na vitu vinavyoijaza,+

Na kwa kibali cha Yule anayekaa katika kichaka cha miiba.+

Na vije juu ya kichwa cha Yosefu,

Juu ya utosi wa kichwa cha yule aliyechaguliwa kutoka kati ya ndugu zake.+

17 Fahari yake ni kama ya mzaliwa wa kwanza wa ng’ombe dume,

Na pembe zake ni pembe za fahali mwitu.

Atazitumia kuyasukuma* mataifa

Yote pamoja mpaka miisho ya dunia.

Wao ni makumi ya maelfu ya Efraimu,+

Nao ni maelfu ya Manase.”

18 Alisema hivi kumhusu Zabuloni:+

“Shangilia, Ee Zabuloni, unapotoka nje,

Nawe, Isakari, katika mahema yako.+

19 Watayaita mataifa mlimani.

Huko watatoa dhabihu za uadilifu.

Kwa maana watafyonza* utajiri mwingi wa bahari

Na marundo yaliyofichika* mchangani.”

20 Alisema hivi kumhusu Gadi:+

“Amebarikiwa yule anayepanua mipaka ya Gadi.+

Analala huko kama simba,

Akiwa tayari kuunyafua mkono, naam, utosi wa kichwa.

21 Atajichagulia fungu la kwanza,+

Kwa maana huko fungu la mpaji sheria limehifadhiwa.+

Viongozi wa watu watakusanyika pamoja.

Uadilifu wa Yehova atautekeleza,

Na amri zake* pamoja na Israeli.”

22 Alisema hivi kumhusu Dani:+

“Dani ni mwanasimba.+

Ataruka kutoka Bashani.”+

23 Alisema hivi kumhusu Naftali:+

“Naftali ameshiba kibali

Naye amejaa baraka ya Yehova.

Imiliki magharibi na kusini.”

24 Alisema hivi kumhusu Asheri:+

“Asheri amebarikiwa kuwa na wana.

Na apendwe na ndugu zake,

Naye achovye* miguu yake katika mafuta.

25 Makufuli ya lango lako ni chuma na shaba,+

Nawe utakuwa salama siku zako zote.*

26 Hakuna aliye kama Mungu wa kweli+ wa Yeshuruni,+

Anayepita mbinguni kuja kukusaidia

Na kupita juu ya mawingu katika fahari yake.+

27 Mungu ni kimbilio tangu nyakati za kale,+

Mikono yake ya milele iko chini yako.+

Naye atamfukuza adui kutoka mbele yako,+

Naye atasema, ‘Waangamize!’+

28 Israeli atakaa kwa usalama,

Na chemchemi ya Yakobo itatengwa peke yake

Katika nchi ya nafaka na divai mpya,+

Na anga lake litadondosha umande.+

29 Wewe ni mwenye furaha, Ee Israeli!+

Ni nani aliye kama wewe,+

Taifa linalofurahia wokovu wa Yehova,+

Ngao yenu inayowalinda+

Na upanga wenu wenye fahari?

Maadui wenu watajikunyata mbele yenu,+

Nanyi mtawakanyaga migongoni.”*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki