Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wathesalonike 5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wathesalonike 5:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1986, uku. 17

1 Wathesalonike 5:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Sef 1:14
  • +Mt 24:36; 2Pe 3:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2023, kur. 8-9

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2019, kur. 8-9

    9/2019, uku. 9

    Ufalme wa Mungu Unatawala!, uku. 222

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2012, kur. 3-4

    7/15/2010, uku. 5

    5/1/2009, uku. 14

    5/15/2008, kur. 15-16

    11/1/1988, uku. 6

    10/1/1986, kur. 17-18, 19-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 9/15 3-4; w10 7/15 5; w09 5/1 14; w08 5/15 15-16

1 Wathesalonike 5:3

Marejeo

  • +Zb 37:10; Yer 8:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2023, uku. 21

    6/2023, kur. 9, 13

    2/2023, uku. 16

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2019, kur. 8-9

    9/2019, kur. 9-10

    Ufalme wa Mungu Unatawala!, kur. 222-223

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2013, kur. 12-13

    1/1/2013, uku. 7

    9/15/2012, kur. 3-4

    7/15/2010, uku. 5

    5/15/2008, kur. 15-16

    2/1/2004, kur. 20-21

    6/1/1997, kur. 9-10

    4/15/1995, uku. 25

    8/1/1994, uku. 6

    9/15/1991, uku. 16

    9/1/1991, kur. 5-6, 7-8

    4/15/1991, uku. 7

    11/1/1988, uku. 6

    9/1/1987, kur. 18-20, 23

    5/15/1987, kur. 18-19

    10/1/1986, kur. 18-20

    Amkeni!,

    4/2008, uku. 7

    2/22/1993, uku. 32

    11/8/1990, kur. 19-22

    Upeo wa Ufunuo, kur. 250-251

    Mwabudu Mungu, uku. 182

    Mungu Anatujali, uku. 21

    Kusudi la Uhai, uku. 28

    Jitihada ya Ainabinadamu ya Kutafuta Mungu, kur. 371-372

    Amani na Usalama, kur. 5-7, 84-85

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 9/15 3-4; w10 7/15 5; w08 5/15 15-16; g 4/08 7; re 250-251; w04 2/1 20-21; wt 182; w97 6/1 9-10

1 Wathesalonike 5:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2023, uku. 9

1 Wathesalonike 5:5

Marejeo

  • +Yoh 12:36; Ro 13:12; Efe 5:8
  • +Yoh 8:12; Kol 1:13; 1Pe 2:9

1 Wathesalonike 5:6

Marejeo

  • +Ro 13:11
  • +Mt 24:42
  • +1Pe 5:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2023, uku. 10

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2019, uku. 9

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2012, kur. 10-11

    1/1/2003, uku. 11

    10/1/1989, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 3/15 10-11; w03 1/1 11

1 Wathesalonike 5:7

Marejeo

  • +Ro 13:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2023, uku. 10

1 Wathesalonike 5:8

Marejeo

  • +Efe 6:14-17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2023, kur. 10-12

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2022, kur. 25-26

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, uku. 232

    “Upendo wa Mungu,” uku. 203

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2013, uku. 11

    12/15/2008, kur. 6-7

    10/1/2006, uku. 29

    1/1/2003, kur. 20-22

    6/1/2000, kur. 9-10

    4/15/1993, kur. 11-13

    1/15/1991, uku. 22

    7/15/1989, uku. 19

    Amkeni!,

    4/22/2004, uku. 12

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 12/15 6-7; lv 203; w06 10/1 29; g04 4/22 12; w03 1/1 20-22; w00 6/1 9-10

1 Wathesalonike 5:9

Marejeo

  • +2Th 2:13

1 Wathesalonike 5:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tumelala usingizi katika kifo.”

Marejeo

  • +Ro 5:8
  • +1Th 4:16, 17

1 Wathesalonike 5:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kufarijiana.”

Marejeo

  • +Ro 1:11, 12; 15:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2023, kur. 11-12

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2022, kur. 20-25

    Furahia Maisha Milele!, somo la 48

    Huduma ya Ufalme,

    9/2005, uku. 7

  • Fahirishi ya Machapisho

    km 9/05 7

1 Wathesalonike 5:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2011, kur. 24-28

    6/1/1999, uku. 18

    8/15/1991, uku. 19

    10/1/1988, kur. 15-16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 6/15 24-28; w99 6/1 18

1 Wathesalonike 5:13

Marejeo

  • +Flp 2:29, 30; 1Ti 5:17; Ebr 13:7
  • +Mk 9:50; 2Ko 13:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1999, kur. 18-19

    8/15/1991, uku. 19

    10/1/1988, kur. 15-16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 6/1 18-19

1 Wathesalonike 5:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwakaripie.”

  • *

    Au “wale waliovunjika moyo.” Tnn., “wale walio na nafsi ndogo.”

Marejeo

  • +Law 19:17; 2Ti 4:2
  • +1Ko 13:4; Gal 5:22; Efe 4:1, 2; Kol 3:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, kur. 102-103, 166-167

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2017, uku. 10

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2015, uku. 9

    8/15/2013, uku. 22

    6/15/2010, kur. 12-13

    5/1/2004, uku. 21

    11/1/2001, kur. 17-18

    10/1/1995, kur. 15-16

    3/15/1990, uku. 26

    Amkeni!,

    10/2013, uku. 14

    7/2009, kur. 7-9

    Furaha ya Familia, kur. 36-37

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 6/15 12-13; g 7/09 7, 9; w04 5/1 21; cl 102-103, 166-167; w01 11/1 17-18; fy 37

1 Wathesalonike 5:15

Marejeo

  • +Mt 5:39
  • +Ro 12:17, 19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/1990, uku. 26

1 Wathesalonike 5:16

Marejeo

  • +2Ko 6:4, 10; Flp 4:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1991, kur. 8-9

1 Wathesalonike 5:17

Marejeo

  • +Lu 18:1; Ro 12:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    10/1/2010, uku. 9

    9/15/2003, kur. 15-20

    5/15/1990, kur. 15-16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 10/1 9; w03 9/15 15-20

1 Wathesalonike 5:18

Marejeo

  • +Efe 5:20; Kol 3:17

1 Wathesalonike 5:19

Marejeo

  • +Efe 4:30

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2023, kur. 12-13

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2000, uku. 10

    12/1/1989, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 7/1 10

1 Wathesalonike 5:20

Marejeo

  • +1Ko 14:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2023, kur. 12-13

1 Wathesalonike 5:21

Marejeo

  • +1Yo 4:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2023, uku. 13

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/1996, uku. 17

    Amkeni!,

    2/8/1996, uku. 6

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 5/15 17; g96 2/8 6

1 Wathesalonike 5:22

Marejeo

  • +Ayu 2:3

1 Wathesalonike 5:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uhai.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +1Ko 1:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2008, uku. 29

    5/1/1993, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 9/15 29

1 Wathesalonike 5:25

Marejeo

  • +Ro 15:30

1 Wathesalonike 5:27

Marejeo

  • +Kol 4:16

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 The. 5:2Sef 1:14
1 The. 5:2Mt 24:36; 2Pe 3:10
1 The. 5:3Zb 37:10; Yer 8:11
1 The. 5:5Yoh 12:36; Ro 13:12; Efe 5:8
1 The. 5:5Yoh 8:12; Kol 1:13; 1Pe 2:9
1 The. 5:6Ro 13:11
1 The. 5:6Mt 24:42
1 The. 5:61Pe 5:8
1 The. 5:7Ro 13:13
1 The. 5:8Efe 6:14-17
1 The. 5:92Th 2:13
1 The. 5:10Ro 5:8
1 The. 5:101Th 4:16, 17
1 The. 5:11Ro 1:11, 12; 15:2
1 The. 5:13Flp 2:29, 30; 1Ti 5:17; Ebr 13:7
1 The. 5:13Mk 9:50; 2Ko 13:11
1 The. 5:14Law 19:17; 2Ti 4:2
1 The. 5:141Ko 13:4; Gal 5:22; Efe 4:1, 2; Kol 3:13
1 The. 5:15Mt 5:39
1 The. 5:15Ro 12:17, 19
1 The. 5:162Ko 6:4, 10; Flp 4:4
1 The. 5:17Lu 18:1; Ro 12:12
1 The. 5:18Efe 5:20; Kol 3:17
1 The. 5:19Efe 4:30
1 The. 5:201Ko 14:1
1 The. 5:211Yo 4:1
1 The. 5:22Ayu 2:3
1 The. 5:231Ko 1:8
1 The. 5:25Ro 15:30
1 The. 5:27Kol 4:16
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wathesalonike 5:1-28

Barua ya Kwanza kwa Wathesalonike

5 Sasa akina ndugu, hamhitaji kuandikiwa chochote kuhusu nyakati na majira. 2 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua vema kwamba siku ya Yehova*+ inakuja kama vile mwizi anavyokuja usiku.+ 3 Wakati watakapokuwa wakisema: “Amani na usalama!” ndipo uharibifu wa ghafla utakapowapata mara moja,+ kama vile maumivu ya kuzaa ya mwanamke mwenye mimba, nao hawataponyoka kamwe. 4 Lakini ninyi, akina ndugu, hamko gizani, hivi kwamba siku hiyo iwafikie ghafla kama vile ingewafikia wezi, 5 kwa maana ninyi nyote ni wana wa nuru na wana wa mchana.+ Sisi si wa usiku wala wa giza.+

6 Basi, tusiendelee kulala usingizi kama wengine wanavyofanya,+ bali tukae macho+ na kutunza akili zetu.+ 7 Kwa maana wale wanaolala usingizi hulala usiku, na wale wanaolewa, hulewa usiku.+ 8 Lakini sisi tulio wa mchana, na tutunze akili zetu na kuvaa bamba la kifuani la imani na upendo na tumaini la wokovu kama kofia ya chuma+ 9 kwa sababu Mungu hakutuchagua ili tupatwe na hasira, bali tupate wokovu+ kupitia Bwana wetu Yesu Kristo. 10 Alikufa kwa ajili yetu,+ ili kama tuko macho au tumelala usingizi,* tuishi pamoja naye.+ 11 Kwa hiyo endeleeni kutiana moyo* na kujengana,+ kama vile kwa kweli mnavyofanya.

12 Sasa tunawaomba, akina ndugu, waheshimuni wale wanaofanya kazi kwa bidii miongoni mwenu na wanaowasimamia katika Bwana na kuwaonya ninyi; 13 na mwafikirie kwa njia inayozidi ile ya kawaida katika upendo kwa sababu ya kazi yao.+ Dumisheni amani miongoni mwenu.+ 14 Kwa upande mwingine, tunawahimiza akina ndugu, waonyeni* wale wasiofuata utaratibu,+ wafarijini wale walioshuka moyo,* wasaidieni walio dhaifu, iweni na subira kwa watu wote.+ 15 Hakikisheni hakuna yeyote anayelipa ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote mwendelee kutendeana mema kati yenu na kwa wengine wote.+

16 Shangilieni sikuzote.+ 17 Salini bila kuacha.+ 18 Toeni shukrani kuhusu kila jambo.+ Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwa ajili yenu katika Kristo Yesu. 19 Msiuzime moto wa roho.+ 20 Msitendee unabii kwa dharau.+ 21 Hakikisheni mambo yote;+ shikamaneni na yaliyo mema. 22 Epukeni kila aina ya uovu.+

23 Mungu wa amani na awatakase kikamili. Na bila kasoro yoyote, roho na nafsi* na mwili wenu akina ndugu, na vihifadhiwe bila lawama wakati wa kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo.+ 24 Yule anayewaita ninyi ni mwaminifu, na kwa hakika atafanya hivyo.

25 Akina ndugu, endeleeni kusali kwa ajili yetu.+

26 Wasalimuni ndugu wote kwa busu takatifu.

27 Ninawaweka chini ya wajibu mzito kwa Bwana mhakikishe kwamba ndugu wote wanasomewa barua hii.+

28 Fadhili zisizostahiliwa za Bwana wetu Yesu Kristo ziwe pamoja nanyi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki