Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 7
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati—Yaliyomo

      • Mataifa saba yataangamizwa (1-6)

      • Sababu ya Waisraeli kuchaguliwa (7-11)

      • Utii utawaletea mafanikio wakati ujao (12-26)

Kumbukumbu la Torati 7:1

Marejeo

  • +Kum 31:3
  • +Kut 33:2; Yos 3:10
  • +Mwa 15:16
  • +Mwa 10:15-17
  • +Kum 20:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    ‘Nchi Nzuri’, kur. 10-11

  • Fahirishi ya Machapisho

    gl 10-11

Kumbukumbu la Torati 7:2

Marejeo

  • +Hes 33:52
  • +Law 27:29; Yos 6:17; 10:28
  • +Kut 23:32; 34:15; Kum 20:16, 17

Kumbukumbu la Torati 7:3

Marejeo

  • +Yos 23:12, 13; 1Fa 11:1, 2; Ezr 9:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1989, kur. 20-21

Kumbukumbu la Torati 7:4

Marejeo

  • +Kut 34:16; 1Fa 11:4
  • +Kum 6:14, 15

Kumbukumbu la Torati 7:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Kut 23:24; 34:13
  • +Kum 16:21, 22
  • +Kum 7:25; 12:2, 3

Kumbukumbu la Torati 7:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mali yake anayothamini sana.”

Marejeo

  • +Kut 19:5, 6; Kum 14:2; Amo 3:2

Kumbukumbu la Torati 7:7

Marejeo

  • +Kum 10:15
  • +Kum 10:22

Kumbukumbu la Torati 7:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kutoka mikononi mwa.”

Marejeo

  • +Mwa 22:16, 17
  • +Kut 6:6; 13:3, 14

Kumbukumbu la Torati 7:9

Marejeo

  • +Kut 34:6, 7

Kumbukumbu la Torati 7:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbele ya uso wao.”

  • *

    Tnn., “mbele ya uso wao.”

Marejeo

  • +Met 2:22; 2Pe 3:7

Kumbukumbu la Torati 7:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “maamuzi ya hukumu ambayo.”

Kumbukumbu la Torati 7:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “atabariki uzao wa tumbo lenu.”

Marejeo

  • +Law 26:9
  • +Law 26:4
  • +Mwa 13:14, 15

Kumbukumbu la Torati 7:14

Marejeo

  • +Kum 33:29; Zb 147:20
  • +Kut 23:26; Kum 28:11; Zb 127:3

Kumbukumbu la Torati 7:15

Marejeo

  • +Kum 28:15, 27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/1991, uku. 4

Kumbukumbu la Torati 7:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mtayameza.”

  • *

    Tnn., “Jicho lenu lisiwahurumie.”

Marejeo

  • +Kum 7:1, 2; 20:16; Yos 10:28
  • +Mwa 15:16; Law 18:25; Kum 9:5
  • +Kut 20:3
  • +Kut 23:33; Kum 12:30; Amu 2:2, 3; Zb 106:36

Kumbukumbu la Torati 7:17

Marejeo

  • +Hes 13:31

Kumbukumbu la Torati 7:18

Marejeo

  • +Kum 1:29; 31:6; Zb 27:1; Isa 41:10
  • +Kut 14:13

Kumbukumbu la Torati 7:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “yale majaribu makubwa.”

Marejeo

  • +Ne 9:10, 11; Yer 32:20
  • +Kum 4:34
  • +Kut 23:28; Yos 3:10

Kumbukumbu la Torati 7:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “washikwe na wasiwasi; waogope.”

Marejeo

  • +Kut 23:29; Kum 2:25; Yos 2:9; 24:12

Kumbukumbu la Torati 7:21

Marejeo

  • +Hes 14:9
  • +Kum 10:17; 1Sa 4:7, 8

Kumbukumbu la Torati 7:22

Marejeo

  • +Kut 23:30

Kumbukumbu la Torati 7:23

Marejeo

  • +Kum 9:3

Kumbukumbu la Torati 7:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kutoka chini ya mbingu.”

Marejeo

  • +Yos 10:24; 12:1
  • +Kut 17:14; Zb 9:5
  • +Kum 11:25; Yos 1:5; Ro 8:31
  • +Yos 11:14

Kumbukumbu la Torati 7:25

Marejeo

  • +Kum 12:3; 1Nya 14:12
  • +Isa 30:22
  • +Kum 27:15

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 7:1Kum 31:3
Kum. 7:1Kut 33:2; Yos 3:10
Kum. 7:1Mwa 15:16
Kum. 7:1Mwa 10:15-17
Kum. 7:1Kum 20:1
Kum. 7:2Hes 33:52
Kum. 7:2Law 27:29; Yos 6:17; 10:28
Kum. 7:2Kut 23:32; 34:15; Kum 20:16, 17
Kum. 7:3Yos 23:12, 13; 1Fa 11:1, 2; Ezr 9:2
Kum. 7:4Kut 34:16; 1Fa 11:4
Kum. 7:4Kum 6:14, 15
Kum. 7:5Kut 23:24; 34:13
Kum. 7:5Kum 16:21, 22
Kum. 7:5Kum 7:25; 12:2, 3
Kum. 7:6Kut 19:5, 6; Kum 14:2; Amo 3:2
Kum. 7:7Kum 10:15
Kum. 7:7Kum 10:22
Kum. 7:8Mwa 22:16, 17
Kum. 7:8Kut 6:6; 13:3, 14
Kum. 7:9Kut 34:6, 7
Kum. 7:10Met 2:22; 2Pe 3:7
Kum. 7:13Law 26:9
Kum. 7:13Law 26:4
Kum. 7:13Mwa 13:14, 15
Kum. 7:14Kum 33:29; Zb 147:20
Kum. 7:14Kut 23:26; Kum 28:11; Zb 127:3
Kum. 7:15Kum 28:15, 27
Kum. 7:16Kum 7:1, 2; 20:16; Yos 10:28
Kum. 7:16Mwa 15:16; Law 18:25; Kum 9:5
Kum. 7:16Kut 20:3
Kum. 7:16Kut 23:33; Kum 12:30; Amu 2:2, 3; Zb 106:36
Kum. 7:17Hes 13:31
Kum. 7:18Kum 1:29; 31:6; Zb 27:1; Isa 41:10
Kum. 7:18Kut 14:13
Kum. 7:19Ne 9:10, 11; Yer 32:20
Kum. 7:19Kum 4:34
Kum. 7:19Kut 23:28; Yos 3:10
Kum. 7:20Kut 23:29; Kum 2:25; Yos 2:9; 24:12
Kum. 7:21Hes 14:9
Kum. 7:21Kum 10:17; 1Sa 4:7, 8
Kum. 7:22Kut 23:30
Kum. 7:23Kum 9:3
Kum. 7:24Yos 10:24; 12:1
Kum. 7:24Kut 17:14; Zb 9:5
Kum. 7:24Kum 11:25; Yos 1:5; Ro 8:31
Kum. 7:24Yos 11:14
Kum. 7:25Kum 12:3; 1Nya 14:12
Kum. 7:25Isa 30:22
Kum. 7:25Kum 27:15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 7:1-26

Kumbukumbu la Torati

7 “Yehova Mungu wenu atakapowaleta katika nchi mnayokaribia kuingia na kuimiliki,+ atayaondoa pia mataifa makubwa kutoka mbele yenu:+ Wahiti, Wagirgashi, Waamori,+ Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi,+ mataifa saba makubwa zaidi na yenye nguvu kuliko ninyi.+ 2 Yehova Mungu wenu atawatia watu hao mikononi mwenu, nanyi mtawashinda.+ Mnapaswa kuwaangamiza kabisa.+ Msifanye agano lolote pamoja nao wala kuwahurumia.+ 3 Msioane nao kamwe. Msikubali mabinti wenu waolewe na wana wao wala msikubali wana wenu wawaoe mabinti wao.+ 4 Kwa maana watawapotosha wana wenu waache kumfuata Mungu na kuanza kuabudu miungu mingine;+ kisha hasira ya Yehova itawaka dhidi yenu, naye atawaangamiza upesi.+

5 “Lakini hivi ndivyo mtakavyowatendea: Bomoeni madhabahu zao, vunjeni nguzo zao takatifu,+ kateni miti yao mitakatifu,*+ na kuteketeza sanamu zao za kuchongwa.+ 6 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa Yehova Mungu wenu, na Yehova Mungu wenu amewachagua ninyi muwe watu wake, mali yake ya pekee,* kutoka kati ya mataifa yote yaliyo duniani.+

7 “Yehova hakuwapenda na kuwachagua ninyi eti kwa sababu mlikuwa wengi kuliko mataifa yote,+ kwa maana mlikuwa taifa dogo zaidi kati ya mataifa yote.+ 8 Badala yake, ni kwa sababu Yehova anawapenda na alitimiza kiapo alichowaapia mababu zenu,+ ndiyo maana Yehova aliwatoa Misri kwa mkono wake wenye nguvu na kuwakomboa kutoka katika nyumba ya utumwa,+ kutoka katika nguvu za* Farao mfalme wa Misri. 9 Mnajua vizuri kwamba Yehova Mungu wenu ndiye Mungu wa kweli, Mungu mwaminifu, anayetimiza agano lake na kutenda kwa upendo mshikamanifu kufikia kizazi cha elfu cha wale wanaompenda na kushika amri zake.+ 10 Lakini wale wanaomchukia atawalipa waziwazi* kwa kuwaangamiza.+ Hatakawia kuwaadhibu wale wanaomchukia; atawalipa waziwazi.* 11 Kwa hiyo, muwe waangalifu kushika amri na masharti na sheria ambazo* ninawaamuru leo, kwa kuzifuata.

12 “Mkiendelea kusikiliza sheria hizi na kuzifuata na kuzitekeleza, Yehova Mungu wenu atatimiza lile agano na kuwatendea kwa upendo mshikamanifu kama alivyowaapia mababu zenu. 13 Atawapenda na kuwabariki na kuwafanya mwongezeke. Naam, atawabariki kwa kuwapa watoto wengi,*+ mazao ya ardhi yenu, nafaka yenu, divai yenu mpya, mafuta yenu,+ ndama na wanakondoo wa makundi yenu, katika nchi aliyowaapia mababu zenu kwamba atawapa ninyi.+ 14 Mtabarikiwa kuliko mataifa mengine yote;+ hakuna mwanamume au mwanamke yeyote miongoni mwenu atakayekosa mtoto, wala mifugo yenu haitakosa kuzaa.+ 15 Yehova atawaondolea magonjwa yote, naye hatawaletea ugonjwa wowote unaotisha mlioujua kule Misri.+ Badala yake, atawaletea magonjwa hayo wote wanaomchukia. 16 Mtayaangamiza* mataifa yote ambayo Yehova Mungu wenu atayatia mikononi mwenu.+ Msiwahurumie*+ kamwe, nanyi msiabudu kamwe miungu yao,+ kwa sababu jambo hilo litakuwa mtego kwenu.+

17 “Mkijiambia mioyoni mwenu, ‘Mataifa haya yana watu wengi kuliko sisi. Tunawezaje kuyafukuza?’+ 18 msiwaogope.+ Mnapaswa kujikumbusha mambo ambayo Yehova Mungu wenu alimtendea Farao na nchi yote ya Misri,+ 19 zile hukumu kubwa* ambazo mliona kwa macho yenu na ishara na miujiza+ na mkono wenye nguvu na mkono ulionyooshwa ambao Yehova Mungu wenu aliutumia kuwatoa huko.+ Hivyo ndivyo Yehova Mungu wenu atakavyoyatendea mataifa yote mnayoyaogopa.+ 20 Yehova Mungu wenu atawafanya wavunjike moyo* mpaka watakapoangamia wale waliobaki+ na waliokuwa wakijificha ili msiwapate. 21 Msishtuke kwa sababu yao, kwa maana Yehova Mungu wenu yuko pamoja nanyi,+ Mungu mkuu na mwenye kuogopesha.+

22 “Kwa hakika Yehova Mungu wenu atayafukuza mataifa haya kutoka mbele yenu kidogo kidogo.+ Hamtaruhusiwa kuwaangamiza upesi, ili wanyama wa mwituni wasiongezeke na kuwashambulia ninyi. 23 Yehova Mungu wenu atayatia mikononi mwenu na kuyashinda kabisa mpaka yaangamie.+ 24 Atawatia wafalme wa mataifa hayo mikononi mwenu,+ nanyi mtayafutilia mbali majina yao kutoka duniani.*+ Hakuna mtu atakayewazuia,+ mpaka mtakapowaangamiza.+ 25 Mnapaswa kuchoma moto sanamu za kuchongwa za miungu yao.+ Msitamani fedha na dhahabu ya sanamu hizo wala msiichukue,+ ili isiwe mtego kwenu, kwa maana ni chukizo kwa Yehova Mungu wenu.+ 26 Msilete ndani ya nyumba zenu kitu kinachochukiza kwa sababu mtakuwa kama kitu hicho kinachopaswa kuharibiwa. Mnapaswa kukichukia kabisa na kukikirihi kabisa, kwa sababu ni kitu kinachopaswa kuharibiwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki