Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 17
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mambo ya Walawi—Yaliyomo

      • Hema la ibada, mahali pa kutoa dhabihu (1-9)

      • Wakatazwa kula damu (10-14)

      • Sheria kuhusu wanyama waliokufa (15, 16)

Mambo ya Walawi 17:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Amemwaga damu.”

Mambo ya Walawi 17:5

Marejeo

  • +Law 3:1, 2; 7:11

Mambo ya Walawi 17:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “inayomtuliza.”

Marejeo

  • +Law 3:3-5; 7:29-31

Mambo ya Walawi 17:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kwa wale mbuzi.”

Marejeo

  • +Kum 32:17; Yos 24:14
  • +Kut 34:15; Kum 31:16

Mambo ya Walawi 17:9

Marejeo

  • +Law 1:3; Kum 12:5, 6, 13, 14

Mambo ya Walawi 17:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nitaukaza uso wangu dhidi ya.”

Marejeo

  • +Mwa 9:4; Law 3:17; 7:26; 19:26; 1Sa 14:33; Mdo 15:20, 29

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 39

    Ufahamu, uku. 344

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2014, kur. 10-11

    6/15/1991, uku. 9

    “Kila Andiko,” uku. 29

Mambo ya Walawi 17:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi ya kiumbe imo.”

Marejeo

  • +Law 17:14; Kum 12:23
  • +Law 8:15; 16:18
  • +Mt 26:28; Ro 3:25; 5:9; Efe 1:7; Ebr 9:22; 13:12; 1Pe 1:2; 1Yo 1:7; Ufu 1:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 344

    “Upendo wa Mungu,” uku. 75

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2004, uku. 15

    6/15/1991, uku. 9

  • Fahirishi ya Machapisho

    lv 75; w04 6/15 15

Mambo ya Walawi 17:12

Marejeo

  • +Kut 12:49
  • +Kum 12:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 344

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2004, uku. 15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 6/15 15

Mambo ya Walawi 17:13

Marejeo

  • +Kum 12:16; 15:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Biblia Inatufundisha, uku. 139

    Biblia Inafundisha, uku. 129

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2004, uku. 15

    10/15/2000, kur. 30-31

    3/1/1989, kur. 30-31

  • Fahirishi ya Machapisho

    bh 129; w04 6/15 15; w00 10/15 30-31

Mambo ya Walawi 17:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi ya.”

  • *

    Au “nafsi imo.”

Marejeo

  • +Law 17:10, 11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 41

    Furahia Maisha Milele!, somo la 39

    Ufahamu, uku. 344

    Amkeni!,

    7/8/1991, uku. 15

Mambo ya Walawi 17:15

Marejeo

  • +Kut 22:31; Kum 14:21
  • +Law 11:40

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 344

Mambo ya Walawi 17:16

Marejeo

  • +Hes 19:20

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Law. 17:5Law 3:1, 2; 7:11
Law. 17:6Law 3:3-5; 7:29-31
Law. 17:7Kum 32:17; Yos 24:14
Law. 17:7Kut 34:15; Kum 31:16
Law. 17:9Law 1:3; Kum 12:5, 6, 13, 14
Law. 17:10Mwa 9:4; Law 3:17; 7:26; 19:26; 1Sa 14:33; Mdo 15:20, 29
Law. 17:11Law 17:14; Kum 12:23
Law. 17:11Law 8:15; 16:18
Law. 17:11Mt 26:28; Ro 3:25; 5:9; Efe 1:7; Ebr 9:22; 13:12; 1Pe 1:2; 1Yo 1:7; Ufu 1:5
Law. 17:12Kut 12:49
Law. 17:12Kum 12:23
Law. 17:13Kum 12:16; 15:23
Law. 17:14Law 17:10, 11
Law. 17:15Kut 22:31; Kum 14:21
Law. 17:15Law 11:40
Law. 17:16Hes 19:20
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Mambo ya Walawi 17:1-16

Mambo ya Walawi

17 Yehova akaendelea kumwambia Musa: 2 “Mwambie Haruni na wanawe na Waisraeli wote, ‘Yehova ameamuru hivi:

3 “‘“Mwisraeli yeyote akimchinja ng’ombe dume au mwanakondoo dume au mbuzi ndani au nje ya kambi, 4 na kukosa kumleta kwenye mlango wa hema la mkutano ili kumtolea Yehova dhabihu mbele ya hema la Yehova la ibada, mtu huyo atakuwa na hatia ya damu. Ameua,* naye ni lazima auawe. 5 Itakuwa hivyo ili Waisraeli wamletee Yehova dhabihu wanazotolea mashambani, wamletee kuhani dhabihu hizo kwenye mlango wa hema la mkutano. Wanapaswa kumtolea Yehova dhabihu hizo zikiwa dhabihu za ushirika.+ 6 Naye kuhani atainyunyizia madhabahu ya Yehova damu ya dhabihu hizo kwenye mlango wa hema la mkutano na kuteketeza mafuta yake ili yafuke moshi yakiwa harufu inayompendeza* Yehova.+ 7 Kwa hiyo hawapaswi tena kutoa dhabihu zao kwa roho waovu wenye umbo la mbuzi,*+ wanaofanya nao ukahaba.+ Hiyo itakuwa sheria ya kudumu kwa ajili yenu katika vizazi vyenu vyote.”’

8 “Waambie hivi: ‘Mwisraeli yeyote au mgeni yeyote anayeishi miongoni mwenu atakayetoa dhabihu ya kuteketezwa au dhabihu yoyote 9 na kukosa kuileta kwenye mlango wa hema la mkutano ili kumtolea Yehova ni lazima auawe.+

10 “‘Mwisraeli yeyote au mgeni yeyote anayeishi miongoni mwenu akila damu yoyote ile,+ kwa hakika nitamkataa* mtu anayekula damu, nami nitamwangamiza atoke miongoni mwa watu wake. 11 Kwa maana uhai wa kiumbe umo* katika damu,+ nami nimeitoa kwenye madhabahu+ ili mwitumie kufunika dhambi zenu, kwa maana damu ndiyo inayofunika dhambi+ kupitia uhai ulio ndani yake. 12 Ndiyo sababu nimewaambia Waisraeli hivi: “Hakuna yeyote kati yenu anayepaswa kula damu, na hakuna mgeni yeyote anayeishi miongoni mwenu+ anayepaswa kula damu.”+

13 “‘Mwisraeli yeyote au mgeni yeyote anayeishi miongoni mwenu akiwinda na kumkamata mnyama wa mwituni au ndege anayeweza kuliwa, ni lazima amwage damu yake+ chini na kuifunika kwa udongo. 14 Kwa maana uhai wa* kila kiumbe ni damu yake, kwa sababu uhai umo* ndani ya damu. Kwa hiyo, niliwaambia Waisraeli: “Hampaswi kula damu ya kiumbe yeyote kwa sababu uhai wa kila kiumbe umo katika damu yake. Mtu yeyote anayekula damu atauawa.”+ 15 Mtu yeyote, awe ni mwenyeji au mgeni, akila mnyama aliyepatikana amekufa au aliyeraruliwa na mnyama wa mwituni,+ basi ni lazima afue mavazi yake na kuoga kwenye maji,+ naye hatakuwa safi mpaka jioni. 16 Lakini asipofua mavazi yake na kuoga, atawajibika kwa sababu ya kosa lake.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki