Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 12
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Waebrania—Yaliyomo

      • Yesu, Mkamilishaji wa imani yetu (1-3)

        • Wingu kubwa la mashahidi (1)

      • Usiipuuze nidhamu ya Yehova (4-11)

      • Fanyia miguu yako mapito yaliyonyooka (12-17)

      • Kukaribia Yerusalemu la mbinguni (18-29)

Waebrania 12:1

Marejeo

  • +Ebr 3:12
  • +1Ko 9:24, 26; Flp 3:13, 14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2023, kur. 26, 29-31

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2022, uku. 25

    Furahia Maisha Milele!, somo la 19

    Insight, uku. 805, 888-889▪

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2011, kur. 17-18, 20-23

    8/15/2004, kur. 23-24

    1/15/2003, uku. 5

    1/1/2001, kur. 29-30

    10/1/1999, kur. 17-18, 19-21

    1/15/1998, uku. 13

    1/1/1998, kur. 6-11

    1/15/1997, uku. 30

    11/1/1991, kur. 13-18

    10/15/1991, uku. 22

    12/15/1989, kur. 10, 20

    1/15/1987, kur. 10-11

    Amkeni!,

    6/8/2004, uku. 17

    Wapiga-Mbiu, uku. 13

    Jitihada ya Ainabinadamu ya Kutafuta Mungu, uku. 349

    Kutoa Sababu, uku. 191

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 9/15 17-18, 20-23; w06 3/1 31; w04 8/15 23-24; rs 191; g04 6/8 17; w03 1/15 5; w01 1/1 29-30; w99 10/1 17-21; w98 1/1 6-11; w98 1/15 13; w97 1/15 30; jv 13

Waebrania 12:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Yoh 14:6; Mdo 5:31; Ebr 2:10
  • +Zb 110:1; Ebr 10:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    ‘Mfuasi Wangu’, kur. 73-74

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, kur. 232-233

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2016, uku. 27

    4/2016, uku. 15

    “Upendo wa Mungu,” kur. 203-204

    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, uku. 2035

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    8/15/2010, uku. 5

    7/15/2009, uku. 6

    10/15/2008, uku. 32

    10/1/2006, uku. 26

    9/15/2005, uku. 21

    1/1/2005, uku. 15

    1/1/2001, uku. 31

    9/1/2000, uku. 12

    10/1/1999, uku. 21

    5/15/1998, uku. 10

    2/15/1996, kur. 28-29

    10/15/1994, kur. 13-14

    3/1/1994, uku. 30

    9/15/1993, kur. 13-14

    11/1/1991, kur. 13-14

    9/15/1991, uku. 12

    1/1/1991, kur. 16-17

    9/1/1990, uku. 30

    12/15/1989, uku. 10

    7/15/1989, uku. 19

    1/15/1987, kur. 19-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 8/15 5; w09 7/15 6; w08 10/15 32; lv 203-204; cf 73-74; w06 10/1 26; w05 1/1 15; w05 9/15 21; w01 1/1 31; w00 9/1 12; w99 10/1 21; w98 5/15 10; w96 2/15 28-29

Waebrania 12:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “msizimie katika nafsi zenu.”

Marejeo

  • +Mt 27:39
  • +Gal 6:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2016, uku. 15

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2008, uku. 32

    1/15/2008, kur. 26-27

    1/1/2005, uku. 15

    12/1/1995, kur. 13-14

    12/15/1989, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 1/15 27; w08 10/15 32; w05 1/1 15

Waebrania 12:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2008, uku. 32

    4/15/2002, uku. 30

    2/15/2002, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 10/15 32; w02 2/15 29; w02 4/15 30

Waebrania 12:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2012, uku. 29

    12/15/1989, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 3/15 29

Waebrania 12:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

  • *

    Au “humwadhibu.”

Marejeo

  • +Met 3:11, 12

Waebrania 12:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mazoezi.”

Marejeo

  • +2Sa 7:14; Ebr 2:10
  • +Met 13:24

Waebrania 12:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “baba zetu wa mwili.”

Marejeo

  • +Yak 4:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2019, kur. 14-15

Waebrania 12:10

Marejeo

  • +1Pe 1:15, 16

Waebrania 12:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “inahuzunisha.”

  • *

    Tnn., “huzaa tunda lenye kufanya amani la uadilifu.”

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/2007, uku. 19

    4/15/1988, kur. 26-27, 29-31

    10/1/1987, kur. 15-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 3/1 19

Waebrania 12:12

Marejeo

  • +Isa 35:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Unabii wa Isaya 1, uku. 379

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1996, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    ip-1 379; w96 2/15 14

Waebrania 12:13

Marejeo

  • +Met 4:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2008, uku. 32

    12/15/1989, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 10/15 32

Waebrania 12:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “utakatifu.”

Marejeo

  • +Zb 34:14; Ro 12:18; 14:19
  • +Ro 6:19; 1Th 4:3, 4; Ebr 10:10

Waebrania 12:15

Marejeo

  • +Kum 29:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2008, uku. 32

    11/1/2006, uku. 26

    12/15/1989, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 10/15 32; w06 11/1 26

Waebrania 12:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi, “Uasherati.”

Marejeo

  • +Mwa 25:32, 34

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2017, kur. 14-15

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2013, uku. 28

    5/1/2002, kur. 10-11

    12/15/1989, uku. 10

    6/15/1988, kur. 10-11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w02 5/1 11

Waebrania 12:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, fikira za baba yake.

  • *

    Tnn., “hakupata nafasi kwa ajili ya hilo.”

Marejeo

  • +Mwa 27:34

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

Waebrania 12:18

Marejeo

  • +Kut 19:12
  • +Kut 19:18
  • +Kut 19:16

Waebrania 12:19

Marejeo

  • +Kut 19:19
  • +Kum 4:11, 12
  • +Kut 20:18, 19

Waebrania 12:20

Marejeo

  • +Kut 19:12, 13

Waebrania 12:21

Marejeo

  • +Kum 9:19

Waebrania 12:22

Marejeo

  • +Ufu 14:1
  • +Ufu 21:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Upeo wa Ufunuo, uku. 199

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1990, kur. 17-18

    7/1/1990, kur. 21-22

    12/15/1989, uku. 10

    Kutoa Sababu, uku. 414

  • Fahirishi ya Machapisho

    re 199; rs 414

Waebrania 12:23

Marejeo

  • +Da 7:10
  • +Mwa 18:25; Zb 94:2; Isa 33:22
  • +Ebr 12:9
  • +Ebr 10:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1995, uku. 11

Waebrania 12:24

Marejeo

  • +1Ti 2:5; Ebr 9:15
  • +Mt 26:27, 28
  • +Mwa 4:8, 10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2008, kur. 13-14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 12/15 13-14

Waebrania 12:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “msimpe visingizio: msimpuuze.”

Marejeo

  • +Ebr 1:2; 2:2-4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    4/15/2010, kur. 25-26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 4/15 25-26

Waebrania 12:26

Marejeo

  • +Kut 19:18
  • +Hag 2:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2021, uku. 19

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2006, uku. 31

    4/15/2006, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 4/15 20; w06 5/15 31

Waebrania 12:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2021, uku. 19

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2008, uku. 32

    5/15/2006, uku. 31

    4/15/2006, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 10/15 32; w06 4/15 20; w06 5/15 31

Waebrania 12:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2021, uku. 19

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2006, uku. 24

    4/15/2006, uku. 20

    Upeo wa Ufunuo, uku. 199

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 4/15 20; w06 11/15 24; re 199

Waebrania 12:29

Marejeo

  • +Kum 4:24

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Ebr. 12:1Ebr 3:12
Ebr. 12:11Ko 9:24, 26; Flp 3:13, 14
Ebr. 12:2Yoh 14:6; Mdo 5:31; Ebr 2:10
Ebr. 12:2Zb 110:1; Ebr 10:12
Ebr. 12:3Mt 27:39
Ebr. 12:3Gal 6:9
Ebr. 12:6Met 3:11, 12
Ebr. 12:72Sa 7:14; Ebr 2:10
Ebr. 12:7Met 13:24
Ebr. 12:9Yak 4:10
Ebr. 12:101Pe 1:15, 16
Ebr. 12:12Isa 35:3
Ebr. 12:13Met 4:26
Ebr. 12:14Zb 34:14; Ro 12:18; 14:19
Ebr. 12:14Ro 6:19; 1Th 4:3, 4; Ebr 10:10
Ebr. 12:15Kum 29:18
Ebr. 12:16Mwa 25:32, 34
Ebr. 12:17Mwa 27:34
Ebr. 12:18Kut 19:12
Ebr. 12:18Kut 19:18
Ebr. 12:18Kut 19:16
Ebr. 12:19Kut 19:19
Ebr. 12:19Kum 4:11, 12
Ebr. 12:19Kut 20:18, 19
Ebr. 12:20Kut 19:12, 13
Ebr. 12:21Kum 9:19
Ebr. 12:22Ufu 14:1
Ebr. 12:22Ufu 21:2
Ebr. 12:23Da 7:10
Ebr. 12:23Mwa 18:25; Zb 94:2; Isa 33:22
Ebr. 12:23Ebr 12:9
Ebr. 12:23Ebr 10:14
Ebr. 12:241Ti 2:5; Ebr 9:15
Ebr. 12:24Mt 26:27, 28
Ebr. 12:24Mwa 4:8, 10
Ebr. 12:25Ebr 1:2; 2:2-4
Ebr. 12:26Kut 19:18
Ebr. 12:26Hag 2:6
Ebr. 12:29Kum 4:24
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Waebrania 12:1-29

Kwa Waebrania

12 Hivyo basi, kwa kuwa tuna wingu kubwa hivyo la mashahidi linalotuzunguka, acheni sisi pia tuondoe kila uzito na dhambi inayotutatanisha kwa urahisi,+ na tukimbie kwa uvumilivu shindano la mbio lililowekwa mbele yetu,+ 2 huku tukimtazama kwa makini Wakili Mkuu na Mkamilishaji wa imani yetu, Yesu.+ Kwa sababu ya shangwe iliyowekwa mbele yake, alivumilia mti wa mateso,* akaidharau aibu, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Mungu.+ 3 Kwa kweli, mfikirieni sana yule ambaye amevumilia maneno makali kama hayo kutoka kwa watenda dhambi+ kinyume cha faida zao wenyewe, ili msichoke na kukata tamaa.*+

4 Katika pambano lenu na dhambi, hamjapambana kamwe kufikia hatua ya kumwaga damu. 5 Nanyi mmesahau kabisa lile himizo linalosema nanyi kama wana: “Mwanangu, usiipuuze nidhamu kutoka kwa Yehova,* wala usikate tamaa anapokurekebisha; 6 kwa maana Yehova* huwatia nidhamu wale anaowapenda, kwa kweli, humpiga fimbo* kila mtu ambaye amempokea kuwa mwana.”+

7 Mnahitaji kuvumilia kama sehemu ya nidhamu* yenu. Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani ambaye hatiwi nidhamu na baba yake?+ 8 Lakini ikiwa ninyi nyote hamjashiriki katika kupokea nidhamu hii, kwa kweli ninyi ni watoto haramu, bali si wana. 9 Zaidi ya hayo, baba zetu wa kibinadamu* walikuwa wakitutia nidhamu, nasi tuliwapa heshima. Je, hatupaswi kujitiisha hata zaidi kwa Baba wa maisha yetu ya kiroho na kuishi?+ 10 Kwa maana walitutia nidhamu kwa muda mfupi kulingana na jinsi walivyoona kuwa inafaa, lakini yeye hufanya hivyo kwa faida yetu ili tuushiriki utakatifu wake.+ 11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali inaumiza;* lakini baadaye hutokeza amani na uadilifu* kwa wale ambao wamezoezwa nayo.

12 Kwa hiyo, imarisheni mikono inayolegea na magoti yaliyo dhaifu,+ 13 nanyi endeleeni kuifanyia miguu yenu mapito yaliyonyooka,+ ili kile ambacho ni kilemavu kisiteguke, badala yake, kiponywe. 14 Fuatilieni amani pamoja na watu wote+ na utakaso*+ ambao bila huo hakuna mtu atakayemwona Bwana. 15 Iweni waangalifu kwamba yeyote asikose kupata fadhili zisizostahiliwa za Mungu, ili mzizi wowote wenye sumu usichipuke na kusababisha taabu na wengi watiwe unajisi nao;+ 16 na muwe waangalifu ili miongoni mwenu kusiwe na mwasherati* wala yeyote asiyethamini mambo matakatifu, kama Esau, aliyetoa haki zake za kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kubadilishana na mlo mmoja.+ 17 Kwa kuwa mnajua kwamba baadaye alipotaka kuirithi baraka, alikataliwa; kwa maana, ingawa alijaribu kwa bidii kubadili fikira* kwa machozi,+ hakufaulu.*

18 Kwa maana hamkukaribia kitu kinachoweza kuguswa+ na ambacho kimewashwa moto,+ na wingu jeusi na giza zito na dhoruba,+ 19 na mlio wa tarumbeta+ na sauti ya maneno yanayosemwa,+ ambayo watu walipoisikia waliomba kwamba wasiambiwe neno lingine lolote.+ 20 Kwa maana hawakuweza kuivumilia amri hii: “Hata mnyama akiugusa mlima, lazima apigwe mawe.”+ 21 Pia, wonyesho huo ulikuwa wa kutisha sana hivi kwamba Musa akasema: “Ninaogopa na kutetemeka.”+ 22 Lakini ninyi mmeukaribia Mlima Sayuni,+ jiji la Mungu aliye hai, yaani, Yerusalemu la mbinguni,+ na makumi ya maelfu ya malaika 23 katika kusanyiko kuu,+ na kutaniko la wazaliwa wa kwanza ambao wameandikishwa mbinguni, na Mungu Mwamuzi wa wote,+ na maisha ya kiroho+ ya waadilifu ambao wamefanywa wakamilifu,+ 24 na Yesu mpatanishi+ wa agano jipya,+ na damu iliyonyunyizwa, ambayo husema kwa njia bora kuliko damu ya Abeli.+

25 Angalieni kwamba msikatae kumsikiliza* yule anayezungumza. Kwa maana ikiwa wale waliokataa kumsikiliza yule aliyetoa onyo kutoka kwa Mungu duniani hawakuponyoka, je, kweli sisi tutaponyoka ikiwa tutamwacha yule anayezungumza kutoka mbinguni?+ 26 Wakati huo sauti yake iliitikisa dunia,+ lakini sasa ameahidi: “Nitatikisa kwa mara nyingine tena, si dunia tu bali pia mbingu.”+ 27 Sasa maneno “kwa mara nyingine tena” yanaonyesha kuondolewa kwa vitu vinavyotikiswa, vitu vilivyotengenezwa, ili vitu ambavyo havitikiswi vibaki. 28 Kwa hiyo, kwa kuwa tutapokea Ufalme usioweza kutikiswa, acheni tuendelee kupokea fadhili zisizostahiliwa, ambazo zitatuwezesha kumtolea Mungu utumishi mtakatifu kwa njia inayokubalika, kwa kumwogopa Mungu na kumheshimu. 29 Kwa maana Mungu wetu ni moto unaoteketeza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki