Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • dx96-12
  • Upendo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Upendo
  • Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
  • Vichwa vidogo
  • Manukuu
  • Mifano Katika Biblia
Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
dx96-12

UPENDO

(Ona pia Fadhili Zenye Upendo; Kupumbazwa [Kimahaba]; Upendo wa Kindugu [Shauku ya Kindugu])

(Kuna vichwa vidogo: Manukuu; Mifano Katika Biblia)

agano la Sheria: cl 136-137; w96 9/1 11

“amri mpya”:

Yohana 13:34, 35: w07 10/1 5-6; cf 176-177; w06 3/1 5; w03 3/15 5-6; w02 2/1 15-16; cl 301; jv 711; w96 3/15 9

biashara ya kuandika barua za mapenzi: g02 12/8 29

“bila unafiki” (Ro 12:9): w07 7/1 23-24

chanzo: w08 5/1 9

dini zimeshindwa kuwafundisha wafuasi wapendane: g98 10/22 3-4

“hufunika dhambi nyingi” (1Pe 4:8): kp 30; cl 303-304

“hutupa woga nje” (1Yo 4:18): w04 10/1 29

jinsi ya kumhakikishia mtu anapendwa: g 12/09 22; w99 10/15 11

“jivikeni upendo” (Kol 3:14): g97 9/8 9-10

‘karamu za upendo’ (Yuda 12): w97 9/1 16-17

kujifunza kuwapenda wengine: w03 8/15 30; w99 10/15 8-11

jinsi watoto wanavyojifunza: w03 7/1 4-5

ni kama kujifunza lugha mpya: w99 2/15 18, 22-23

kumpenda jirani (mwanadamu mwenzi): w06 12/1 25-29; w02 9/1 5-7; w01 1/1 13-17, 22

kuheshimu mamlaka kunaonyesha upendo kwa jirani: lv 39-40

upendo kwa jirani umepungua: w02 9/1 3-4

watu wasiomtumikia Yehova: w06 12/1 27

kumpenda Yehova: w09 4/15 10; w09 10/1 10; cf 137-138; w06 6/1 28; w06 12/1 20-24; rs 427; cl 310-319; w01 1/1 10-11; w01 10/15 21; w01 12/1 16-17; gf 26-27

inavyowezekana kumpenda Yehova: w96 6/15 3-7

kusitawisha upendo kwa Yehova: w09 12/15 25-26; w06 12/1 23-24; w04 3/1 19-21; w99 10/15 8-9; w98 11/1 18

kutoacha upendo wa kwanza: w08 6/15 22-26; re 34-36; km 12/06 1

kuwasaidia wanafunzi wa Biblia wampende Yehova: km 4/08 1; km 9/08 4; km 3/06 8; km 11/98 1; w96 2/15 21

kuwasaidia watoto wampende Yehova: w07 9/1 26-30; w07 9/15 8-10; km 10/06 1; w97 7/15 21-22

kwa ‘moyo, nafsi, akili, na nguvu’ (Mt 22:37; Mk 12:30): w10 7/1 23-24; w07 3/1 30; w04 3/1 20-21; cl 105

mambo yanayoonyesha mtu anampenda Yehova: g 4/08 20-21; km 9/08 4; w06 12/1 21-22; w04 3/1 19-21; w02 12/15 10-11

Mashahidi wa Yehova: w07 3/1 6-7; re 35-36

upendo kwa Yehova unamchochea mtu ajifunze Biblia: yb07 4-5

upendo kwa Yehova unamchochea mtu ajiweke wakfu: w10 1/15 6

upendo kwa Yehova unamchochea mtu amtumikie Yehova: w03 12/1 5-6; w99 7/15 19-20

upendo kwa Yehova unamsaidia mtu aepuke dhambi: w06 11/15 21-22

upendo kwa Yehova unapoonekana kukosekana: w96 6/15 5-6

upendo kwa Yehova unawachochea watu wa Yehova wahubiri: w09 7/15 16-17; km 6/09 1; w07 11/15 21-22; yb07 3; w05 7/1 17

utii unaonyesha upendo kwa Yehova: w09 8/15 19; lv 5-13, 38-39; w07 6/15 29-30; w05 8/15 27-28; bh 186-187; w02 6/15 22

kumpenda Yesu Kristo: w09 12/15 26; lv 27; cf 12; w05 1/1 13-14; lr 197-201; w01 1/1 12-13; w99 7/15 20

“ingawa hamkumwona yeye kamwe” (1Pe 1:8): w97 2/1 14-19

upendo kwa Yesu unamsaidia mtu kuepuka dhambi: w06 11/15 22

kuonyeshana upendo wa kimahaba wakati wa kuchumbiana: yp2 43; g04 8/22 18; w99 9/1 17-18; fy 24

kuweka mipaka: yp2 45-47

kuonyesha upendo: rk 27; g 11/08 8-9; w07 7/1 23-24; w04 10/1 17-18; kp 29-31; wt 19-20

kuomba msamaha (radhi): w96 9/15 22-23

“kwa kipimo kamili zaidi” (1Th 4:10): w03 2/1 13-14

mzazi kwa watoto wake: g 10/09 30; g 12/09 22; w08 10/1 19; w05 4/1 10-11; g04 2/8 30; g04 10/22 8; g97 8/8 3-4, 8-9

Yesu aosha miguu ya mitume: w09 1/1 19; w09 11/15 24; cf 32-34; w02 2/1 15

kupata upendo wa kweli: g 3/06 8-9

kupenda fadhili” (Mik 6:8): w12 11/1 22

kupenda pesa: w10 3/15 31-32; w10 9/1 4; w08 6/15 10; g 11/08 6; g 6/07 3-7, 20-21; g03 1/8 27; wt 103-104; w01 6/15 5-6

huathiri furaha: w98 5/15 5-6

huathiri hali ya kiroho: w06 2/1 6

‘kupenda uadilifu, kuchukia uovu [uasi-sheria]’ (Zb 45:7; Ebr 1:9): w11 2/15 24-32; w06 1/1 29; w05 1/1 9-10

kupenda uhai: w99 8/15 3-7

kupenda yaliyo mema: w04 11/15 23-24

kusikiliza kwa upendo: w05 11/15 10-12

kutanikoni:

‘kupanuka’ (2Ko 6:13): w09 11/15 20-22; w07 1/1 9-11; g 3/06 9; w04 10/1 16-17; km 5/04 4; wt 149-150

‘kutoupenda ulimwengu’ (1Yo 2:15-17): w10 1/15 14-15; w06 1/15 24-25; w05 1/1 9-10; w02 3/1 14-15; w02 8/15 23-24

kuufuatilia (1Ti 6:11; 2Ti 2:22): w08 6/15 14

kuusitawisha: w09 12/15 24-28; w03 7/1 4-7; w01 1/1 17, 22

kuwalea watoto: w07 9/1 21-25; w01 10/1 9-10

kuwafundisha kumpenda Yehova: w07 9/1 26-30; w07 9/15 8-10; km 10/06 1; w99 7/1 14

kuwafundisha kuwapenda ndugu na dada Wakristo: w07 9/1 30

kuwafundisha kuwapenda wengine: w03 7/1 4-5; w99 7/1 11

kuwafundisha watoto wa familia moja kupendana: lr 222-226

kuwatia nidhamu kwa upendo: w07 9/1 22-25; w04 7/15 31

upendo wa wazazi: g04 8/8 4-6; g04 10/22 8

watoto wa kambo: w99 3/1 4-5

kuwapenda ndugu Wakristo: w10 9/15 12-13, 19-20; w09 7/15 14; w09 11/15 20-24; cf 177-180; w06 12/1 27-28; cl 300-309; wt 144-150; w01 1/1 15-16; w01 9/15 18-19

kuwahangaikia: od 167-168

kuwapenda wote sawasawa hakutarajiwi: w04 10/1 18

“upendo mkubwa ninyi kwa ninyi” (1Pe 4:8): kp 28-31

“upendo mwororo kwa mtu na mwenzake” (Ro 12:10): w10 10/15 17; w09 7/15 14; w04 10/1 14-19

wazee Wakristo wanaonyesha upendo: w99 3/15 13-14

kuwapenda watu wa familia: w12 7/15 30-31; w09 7/15 12-13; kp 29-30; w02 12/15 26-29; w01 1/1 14-15; w97 6/15 24-25; w96 8/1 17-18; fy 70, 74, 81, 85, 101-102, 119, 148-149, 186-188

mke: w12 5/15 6; w10 5/15 11-12; w09 5/15 19-20; w07 1/15 6; w07 5/1 20; cf 180; w97 8/15 18

mume asiye mwamini: fy 129, 131-132

mume au mke: g 8/07 4; w02 4/15 16-17; g02 2/8 10-11; w96 8/1 17-18; fy 27-30, 148-149

ndugu na dada (watoto wa familia moja): lr 222-226

wazazi wazee: fy 173-174, 176-177

kwa—

kujipenda mwenyewe: w01 8/15 4-5

kweli tunazofundisha: w09 7/15 17-18

maadui: g 11/09 10-11; w08 5/15 7-9; w03 3/15 6; w01 1/1 17; g01 8/8 8-10; g98 10/22 7

Neno la Mungu: w09 6/1 8-11; w00 10/1 14-15; w99 11/1 9-19

sheria za Mungu na viwango: w12 8/15 13

wanafunzi wa Biblia: w99 3/15 12-13

watoto wachanga: w08 5/1 8-9; g03 12/22 5-6; fy 54

watu tunaowafundisha: w09 1/15 6-7; w09 7/15 18-19; w07 11/15 22; cf 81; w02 8/15 18-20

watu tunaowahubiria: jr 41-42; w08 5/15 24; km 4/08 3; km 1/07 1

watu wa ulimwengu: w97 11/1 8-9

maelezo: w09 12/15 24-28; g 3/06 3-9; w01 1/1 8-13; w99 2/15 18-23; g98 5/8 14-15

maelezo ya Paulo (1Ko 13): g 3/06 8; cl 301-309; w99 2/15 19-23

“haushindwi kamwe” (1Ko 13:8): w09 12/15 27-28; w03 7/1 7

“hautafuti faida zake wenyewe” (1Ko 13:5): cf 163-165, 167

“hauweki hesabu ya ubaya” (1Ko 13:5): cf 167-169

“huamini mambo yote” (1Ko 13:7): cf 169-171; w00 7/15 23

“huvumilia mambo yote” (1Ko 13:7): w09 12/15 27-28

“njia iliyo bora zaidi” (1Ko 12:31): w09 12/15 26-27; w99 2/15 22-23

ustahimilivu (1Ko 13:4): cf 162-163; w01 11/1 15-16

mambo yaliyoonwa:

aona upendo kati ya Mashahidi anapowatazama akiwa nje ya Jumba la Ufalme: yb11 248-249

aona upendo wa Mashahidi kuwa wa pekee: yb12 76-77

barua iliyoandikiwa ofisi ya tawi ya Yugoslavia: g00 11/8 32

jirani aanza kujifunza na hatimaye kuwa Shahidi: w99 10/15 10

kuona upendo wa Mashahidi wasiojuana: yb12 73

Myahudi anayependezwa akaribishwa kukaa na familia ya Waarabu: w97 8/1 16

simulizi la maisha “Nimepata Upendo na Amani ya Kweli”: g 6/12 19-21

vishawishi vya kuwa na uhusiano wa kimahaba na wafanyakazi wenzi: w06 6/15 14, 29; w06 9/15 26, 28-29

maneno ya Kigiriki: w09 7/15 12-14; cl 235

agape (upendo unaoongozwa na kanuni): w09 7/15 12-14; g 11/08 8-9; w03 7/1 8; cl 235-236; g01 8/8 8-9; fy 28-29

eros (upendo wa kimahaba): w09 7/15 13-14

philadelphia (upendo wa kindugu): w09 7/15 14; w97 8/1 14

philia (upendo, urafiki): w09 7/15 14

philostorgos (kuwa na upendo mwororo): w09 7/15 14; w04 10/1 15

storge (upendo katika familia, upendo wa asili): w09 7/15 12-13

manufaa kwa—

moyo: w00 3/1 31

Mashahidi wa Yehova: w09 11/15 20; re 35-36; w02 11/1 11; wt 144; w01 3/1 9; g98 10/22 6-7; jv 304-317, 710-712; g97 9/8 9-11

kutanikoni: w03 7/15 4-6; w99 5/15 25-28

wakati wa mateso (mnyanyaso): jv 315-317

matendo mawili ya upendo, makubwa kuliko yote: cl 231-234

methali kuhusu upendo: g98 5/8 14

mfumo wa neva unaohisi mguso mwanana tu: g03 7/22 29

mifano katika Biblia: g 12/09 22

mtu anayeonyesha upendo anavyonufaika: w99 12/15 28

anapata uradhi: w10 11/1 4

ni msingi wa—

umoja: w12 7/15 31

wakati mtu anapomhimiza mwingine: be 266

wa sheria ya Kristo: w96 9/1 20

“sheria ya kifalme” (Yak 2:8): w06 5/1 29-30

“sheria ya Kristo” (Ga 6:2): w05 8/15 26-29

takwa la Kikristo: w09 12/15 14; bm 29; od 198; w03 2/1 13-18; w99 9/15 22-26; jv 30

upendo wa kujidhabihu: w05 3/15 10-15

ufafanuzi: w12 1/1 10; lv 7; g 11/08 8; cf 129-130; cl 234-236; w01 1/1 8-9

uhusiano kati ya upendo na fadhili zenye upendo: w03 8/15 22; w02 5/15 12

uhusiano kati ya upendo na fadhili: w04 4/15 14

ukosefu wa upendo: g98 10/22 3-4

maiti zapatikana nyumbani baada ya miaka kadhaa: w02 9/1 3; g01 2/22 29

matokeo: re 35; g98 5/8 14; g97 9/8 8

“wasio na upendo wa asili” (2Tim 3:3): w11 5/1 7; w09 7/15 12-13; g 10/09 30; g 10/07 9; w06 7/15 27-28; w06 9/15 5

wazazi wasipowapenda watoto: g03 5/8 30; g02 9/22 20-22

ulimwengu mpya: g98 10/22 8-11

upendo utakuwa msingi: g98 6/22 10-11

unafananishwa na “kiumbe hai” mwenye uso wa mwanadamu (Ufu 4:6, 7; 6:5): re 80, 95

unaimarisha uhodari: w06 10/1 21-25

unamsaidia mtu kukomaa kiroho: w00 8/15 28

unamsaidia mtu kutii: km 9/05 8

unamsaidia mtu kutumia nguvu kwa njia inayofaa: cl 98-99

unamsaidia mtu kuudhibiti ulimi: w96 5/15 21-23

unamsaidia mtu kuvumilia: w01 1/1 10; w99 2/15 21-22; w99 12/15 28; g96 10/8 26-27

“una nguvu kama kifo” (Wim 8:6): w06 11/15 20

unashinda chuki: w03 3/15 5-6; g01 8/8 8-10; g97 9/8 9-11

unatambulisha dini ya kweli: w12 3/1 6; w10 1/15 15-16; w09 8/1 6-8; w09 11/15 20; w07 3/1 5-7; cf 177; w06 3/1 5; rs 65-66; w03 2/1 13-14; w99 2/15 22; jv 30, 710-712; rq 26

unatambulisha Neno la Mungu: w07 3/1 5-6

unawachochea watu wa Yehova wahubiri: w12 5/15 26; km 11/11 3; jr 41-42; w09 7/15 15-19; km 6/09 1; w08 5/15 24; w07 11/15 21-22; yb07 3-4; km 1/07 1; jd 177; w05 1/1 13-14; w05 7/1 17; w05 8/15 28; kp 31; w02 2/15 26-27; w02 8/15 15-20; km 3/01 8; km 2/00 4; w98 12/15 16; km 4/98 1

“upendo hujenga” (1Ko 8:1): g 11/08 8

upendo katika familia: w11 5/15 8; w02 12/15 26-29

watoto wanahitaji kuhakikishwa kwamba wanapendwa: g 10/09 30; g 12/09 22; w06 11/1 5; w05 4/1 10-11; g02 12/8 28; g00 12/8 6; g98 10/8 29; g97 8/8 3-4, 8; w96 9/1 20

upendo mkamilifu (Mt 5:44-48): w10 11/15 22

“upendo mkamilifu” (1Yo 4:18): w04 10/1 29

upendo mwororo: w09 7/15 14; w04 10/1 14-19

upendo ni muhimu: g 3/06 3; w03 7/1 3; w01 10/15 12; g98 6/22 11

kwa vijana: g98 8/22 29; fy 70, 74

kwa watoto: w08 5/1 8; w08 10/1 19; g 8/07 4; w05 6/15 22-23; g04 8/8 4-6; g04 10/22 8; g02 12/8 28; g00 12/8 6-9; g98 10/8 29; g97 8/8 3-4, 8

kwa watoto wachanga: w08 5/1 8; g03 12/22 5-6; g98 10/8 29

upendo ni sifa kuu: w08 7/15 27

“upendo uliokuwa nao mwanzoni” (Ufu 2:4): w08 6/15 22-26; w07 3/15 12; re 33-37; w03 5/15 11-12

upendo ‘ungepoa’ (Mt 24:12): g 3/06 5; g98 10/22 3-4

upendo usiofaa: w09 12/15 24-25

upendo wa asili: w09 7/15 12-13; w06 4/1 8

“wasio na upendo wa asili” (2Tim 3:3): g 10/12 28; w11 5/1 7; w09 7/15 12-13; g 10/09 30; g 10/07 9; w06 7/15 27-28; w06 9/15 5; g97 8/8 6-7

upendo wa kimahaba: w09 7/15 13-14; g 3/06 3-7

“bipa za mapenzi”: g99 1/8 28

chati “Ni Upendo Halisi au Ni Upendo wa Kupumbazika?”: yp1 211

chokoleti inatokeza hisia zinazofanana na upendo wa kimahaba: g96 7/8 29

furaha nyingi: g02 8/8 28

haiwezekani kumpenda mtu yeyote tu: w06 11/15 19

kama ni halali kwa watu wanaopendana kufanya ngono kabla ya kufunga ndoa: g 11/06 28-29

kuepuka kuchezea wengine kimapenzi: yp1 192; w10 9/15 19; g 1/10 28; w06 11/15 6; w04 2/15 14-15; g02 7/22 15; g99 3/22 30; g98 7/8 20-22

kuepuka uhusiano wa kimahaba na wafanyakazi wenzi: w12 8/15 27-28; w06 9/15 27

kumpenda asiye mwamini: yp2 34

kumpenda mtu asiyekupenda: g05 10/8 30; g04 12/22 18-20; g99 3/8 30; g98 6/22 12-14

kumpenda mume au mke: w00 7/15 30

kuutambua upendo wa kweli: yp1 203-211; w99 2/15 5, 8

kuvunja urafiki wa kimahaba: yp1 221-227; g 1/09 18-20; g 2/09 18-20; yp2 35-38, 41

mifano katika Biblia: w12 5/15 4; yp2 33

moyo uliovunjika: g 2/09 18-20

nje ya ndoa: w06 9/15 26-29

nje ya ndoa, usiohusisha ngono: g98 7/8 21-22

upendo wa kimahaba unapokosekana: g01 3/22 12-14; g01 11/22 30

upendo wa kupumbazika: yp1 205-206

ushawishi kutoka kwa mtu asiyeamini: w12 11/15 7

upendo wa kindugu: w97 8/1 14-19

visa mbalimbali: w99 5/15 27-28

dada amsaidia jirani aliyemripoti kwa Wanazi ili akamatwe: g98 10/22 7

familia yenye uhitaji yanunuliwa vyakula: jv 306-307

jengo lenye mfumo wa kupasha nyumba joto lajengwa upya: g05 12/8 31

kijana Shahidi ahatarisha uhai wake kwa kuondoa bomu: w99 11/15 29

kuomba msamaha (radhi): w96 9/15 22

Mashahidi waliokuwa uhamishoni Siberia: yb11 207-208

Mashahidi wamsaidia msichana aliyeachwa afie barabarani: w07 2/15 11

Mashahidi wamsaidia Shahidi ambaye mkewe alikufa: w97 10/1 32

Mashahidi wamtendea kwa fadhili mwanamke aliyeketi kando ya barabara akilia: yb05 50

Mashahidi waondoa theluji nje ya nyumba ya mzee: w07 10/1 6

Mashahidi wasaidiana wakati wa matatizo ya uchumi: w01 1/1 15

Mashahidi wawasaidia waliofiwa: g05 10/22 31; w98 7/15 32

mmishonari amtunza dada mwenyeji anayeugua UKIMWI: w05 8/15 29

msaada kwa walioathiriwa na mafuriko: w99 6/15 8

msaada kwa walioathiriwa na mafuriko na matetemeko ya ardhi: yb06 19-20; w05 11/15 32

msaada kwa walioathiriwa na njaa: w04 6/1 30-31

msaada kwa walioathiriwa na vita: w00 12/15 9-10

mtu aliyefukuzwa apata mahali pa kulala: yb05 50-51

mume amwacha papa amshambulie ili amwokoe mke: w06 10/1 21

nyumba yajengwa: w03 9/1 28

nyumba zafanyiwa ukarabati au kujengwa upya: yb11 159; yb09 208; w06 12/1 28; w03 6/1 5-6; g03 7/8 30; g03 8/8 14; g02 11/22 19-24; g01 10/22 26-27; w00 9/15 32; g00 4/22 16-17; w99 5/15 27-28; w99 6/15 8-9; g99 3/8 13; g98 10/8 10; jv 310

Shahidi anayeugua yabisi-kavu asaidiwa: yb08 25-26

Shahidi atafsiri mazungumzo ya simu: km 1/07 1

Shahidi kutoka nchi ya kigeni aliyelazwa hospitalini atunzwa: jv 305-306

Shahidi mgonjwa atunzwa: w03 11/1 32

vijana wanaopenda kweli: w02 10/1 9-11

vitu vya dada asiyetenda vyahamishwa: w04 6/1 30

wake waliopinga wakubali kweli: w03 2/1 26, 28-29; w01 1/1 14

watoto wa Shahidi aliyekufa watunzwa: yb05 44-45

wazee na vijana walio marafiki: g96 2/22 26-27; g96 11/22 30

wazee watunzwa: w08 8/15 19; w04 5/15 19; jv 306

Wakristo wa mapema: w12 3/1 6; g98 10/22 5-6; jv 304

watoto wanahitaji upendo: w08 5/1 8; g 8/07 4; w05 6/15 22-23; g00 12/8 6-9

ili kujifunza: g04 8/8 4-6; g04 10/22 8

jinsi ya kuwahakikishia watoto kwamba wanapendwa: w08 10/1 19; g04 10/22 8; g00 12/8 6; g97 8/8 3-4, 8; w96 9/1 20

kukumbatiwa, kupakatwa, n.k.: g 10/09 30; g 12/09 22; w06 11/1 5; g02 12/8 28; g00 12/8 6; g98 10/8 29

wazee Wakristo:

wachungaji wenye upendo: w06 5/1 17-19

Manukuu

unaweza kuvumilia majaribu, unapoyakabili kwa upendo: w99 12/15 28

upendo ni jambo kuu zaidi katika mahitaji yote ya kibinadamu kama vile jua lilivyo la maana zaidi katika mfumo wetu wa jua: g98 6/22 11

Mifano Katika Biblia

Abrahamu: w12 1/1 10-11

Daudi na Yonathani: w08 2/15 8-9; lv 28-31; w07 9/15 19-20

mwanamke aliyeosha miguu ya Yesu kwa machozi: w99 10/15 12

mwanamwali Mshulami: w12 5/15 4; w06 11/15 17-20

Paulo: w08 5/15 22-24

Yakobo na Raheli: yp1 206-208; w07 10/1 8, 11

Yehova: w10 1/15 26; w10 4/1 6; rk 13-14; w09 12/1 4-5; w09 12/15 25; w08 5/1 8-9; w06 5/15 20; w04 10/1 19; w03 7/1 14-19; cl 229-309; wt 16-19; w98 12/1 32; w97 2/1 9-13

anatamani watu wapate uhai: w10 1/1 29; jd 139-151

anawapenda wanadamu: w07 5/15 25; yb07 3-4

anawapenda watumishi wake: w12 7/1 20-22; jd 50-53; w02 5/1 10; w01 9/1 17-18; ip-2 400-401

kuiga upendo wa Yehova: w12 5/15 26

“Mungu aliupenda ulimwengu sana hivi” (Yoh 3:16): w10 4/1 6; cl 231-235

“Mungu ni upendo” (1Yo 4:8, 16): w03 7/1 14; w02 6/1 6; cl 14-15, 236-237; wt 16-17; w97 2/1 9-10

“Mungu wa upendo na wa amani” (2Ko 13:11): w08 9/1 5

wanaopendwa na Yehova: lv 26-27; w02 2/1 14-18

Yeremia: w11 3/15 29-30

Yesu Kristo: w09 9/15 16-20; cf 128-181; w05 9/15 6; w02 2/1 14-15; cl 290-299; w99 7/1 5

‘alipenda uadilifu’ (Zb 45:7; Ebr 1:9): cf 58-59

aliwapenda watu: w09 1/15 6-7; w09 7/15 18; w08 2/15 15-16; w07 11/15 22; cf 81, 144-147; w02 8/15 12-14

hakuwa na ubaguzi: g 8/09 7-8

“kaeni katika upendo wangu” (Yoh 15:9): w03 3/15 6-7

mfano kwa Wakristo: cf 137-138, 147-149, 158-160, 163, 167, 169-171, 176-181; w97 11/1 8-9

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki