Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndivyo alivyompeleka Yehoyakini+ uhamishoni Babiloni;+ na mama+ ya mfalme na wake za mfalme na maofisa wake wa makao+ ya mfalme na watu wa kwanza kabisa wa nchi akawapeleka wakiwa watu waliohamishwa kutoka Yerusalemu mpaka Babiloni.

  • 1 Mambo ya Nyakati 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na wana wa Yehoyakimu walikuwa Yekonia+ mwana wake, Sedekia mwana wake.

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na mwanzoni+ mwa mwaka Mfalme Nebukadneza akatuma watu,+ akamleta Babiloni+ pamoja na vyombo vyenye kutamanika vya nyumba ya Yehova.+ Tena akamfanya Sedekia+ ndugu ya baba yake kuwa mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu.+

  • Yeremia 22:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Je, mtu huyu Konia+ ni umbo tu lililodharauliwa, lililovunjwa vipande-vipande,+ au ni chombo ambacho hakipendezi?+ Kwa nini yeye na uzao wake ni lazima waangushwe chini na kutupwa katika nchi ambayo hawakuijua?’+

  • Yeremia 37:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Na Mfalme Sedekia+ mwana wa Yosia+ akaanza kutawala mahali pa Konia+ mwana wa Yehoyakimu,+ ambaye Nebukadreza mfalme wa Babiloni alimfanya kuwa mfalme katika nchi ya Yuda.+

  • Yeremia 52:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mwishowe ikawa kwamba katika mwaka wa 37 wa uhamisho wa Yehoyakini+ mfalme wa Yuda, katika mwezi wa 12, katika siku ya 25 ya mwezi huo, Evil-merodaki mfalme wa Babiloni, katika mwaka wa kuwa kwake mfalme, akakiinua kichwa+ cha Yehoyakini mfalme wa Yuda na kumtoa katika nyumba ya gereza.

  • Mathayo 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yosia+ akamzaa Yekonia+ na ndugu zake wakati wa ule uhamisho wa kwenda Babiloni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki