Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye akaendelea kutembea katika dhambi zote za baba yake alizotenda kabla yake; na moyo wake haukuwa mkamilifu+ kwa Yehova Mungu wake, kama moyo wa Daudi babu yake.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 21:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yeye pia alikuwa ametengeneza mahali pa juu+ katika milima ya Yuda, ili awasababishe wakaaji wa Yerusalemu kufanya uasherati,+ na ili afukuzie Yuda mbali.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 25:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini ikawa kwamba baada ya Amazia kurudi kutoka kuwapiga Waedomu, akaleta miungu+ ya wana wa Seiri na kujisimamishia iwe miungu,+ naye akaanza kuinama mbele yake,+ naye akaanza kuifukizia moshi wa dhabihu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo akajenga tena mahali pa juu+ ambapo Hezekia baba yake alikuwa amebomoa,+ akasimamisha madhabahu+ kwa Mabaali+ na kutengeneza miti mitakatifu,+ naye akaanza kuliinamia+ jeshi lote la mbinguni+ na kulitumikia.+

  • Yeremia 44:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 lakini hakika tutafanya kila neno ambalo limetoka katika kinywa chetu,+ ili kumfukizia ‘malkia wa mbingu’+ moshi wa dhabihu na kummiminia matoleo ya kinywaji,+ kama sisi wenyewe+ na mababu+ zetu, wafalme+ wetu na wakuu wetu tulivyofanya katika majiji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu, wakati tuliposhiba mkate na kuwa na hali njema, nasi hatukuona msiba wowote kamwe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki