Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 12
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Samweli—Yaliyomo

      • Hotuba ya mwisho ya Samweli (1-25)

        • ‘Msifuate vitu vya ubatili’ (21)

        • Yehova hatawaacha watu wake (22)

1 Samweli 12:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nimesikiliza sauti yenu kuhusiana na.”

Marejeo

  • +1Sa 8:5; 10:24; 11:14, 15

1 Samweli 12:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “anayetembea mbele yenu.”

Marejeo

  • +1Sa 8:20
  • +1Sa 8:1, 3
  • +1Sa 3:19

1 Samweli 12:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ili inifanye nitazame upande mwingine.”

Marejeo

  • +1Sa 9:16, 17; 10:1
  • +Hes 16:15
  • +Kum 16:19
  • +Kut 22:4; Law 6:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 734

1 Samweli 12:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hamkupata chochote mkononi mwangu.”

1 Samweli 12:6

Marejeo

  • +Kut 6:26

1 Samweli 12:8

Marejeo

  • +Mwa 46:6
  • +Kut 2:23
  • +Kut 3:9, 10
  • +Yos 11:23

1 Samweli 12:9

Marejeo

  • +Kum 32:18, 30; Amu 2:12, 14
  • +Amu 4:2
  • +Amu 10:7; 13:1
  • +Amu 3:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, kur. 734-735

1 Samweli 12:10

Marejeo

  • +Amu 2:18; 3:9
  • +Amu 10:10, 15
  • +Amu 3:7
  • +Amu 2:13

1 Samweli 12:11

Marejeo

  • +Amu 6:32
  • +Amu 11:1
  • +Ebr 11:32
  • +Law 26:6

1 Samweli 12:12

Marejeo

  • +1Sa 11:1
  • +1Sa 8:5, 19
  • +Amu 8:23; 1Sa 8:7; Isa 33:22

1 Samweli 12:13

Marejeo

  • +1Sa 9:16, 17; 10:24

1 Samweli 12:14

Marejeo

  • +Kum 10:12; 17:19
  • +Yos 24:14
  • +Kum 13:4; 28:2

1 Samweli 12:15

Marejeo

  • +Law 26:14, 17; Kum 28:15; Yos 24:20

1 Samweli 12:17

Marejeo

  • +1Sa 8:7; Ho. 13:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 59

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    10/1/2010, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 10/1 14

1 Samweli 12:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 66

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    10/1/2010, uku. 18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 10/1 18

1 Samweli 12:19

Marejeo

  • +1Sa 7:5; 12:23

1 Samweli 12:20

Marejeo

  • +Kum 31:29; Yos 23:6; 1Sa 12:15
  • +Kum 6:5

1 Samweli 12:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “vya kuwaziwa.”

  • *

    Au “vya kuwaziwa.”

Marejeo

  • +Kum 32:21; Yer 2:11
  • +Zb 115:4, 5; Yer 16:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2011, kur. 13-14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/15 13-14

1 Samweli 12:22

Marejeo

  • +Yos 7:9; Zb 23:3; 106:8; Yer 14:21; Eze 20:14
  • +1Fa 6:13; Zb 94:14; Ro 11:1
  • +Kut 19:5; Kum 7:7

1 Samweli 12:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, kur. 28-29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 29

1 Samweli 12:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwa unyoofu.”

Marejeo

  • +1Sa 12:14; Zb 111:10; Mhu 12:13
  • +Kum 10:12, 21

1 Samweli 12:25

Marejeo

  • +Kum 28:15, 36; Yos 24:20

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Sam. 12:11Sa 8:5; 10:24; 11:14, 15
1 Sam. 12:21Sa 8:20
1 Sam. 12:21Sa 8:1, 3
1 Sam. 12:21Sa 3:19
1 Sam. 12:31Sa 9:16, 17; 10:1
1 Sam. 12:3Hes 16:15
1 Sam. 12:3Kum 16:19
1 Sam. 12:3Kut 22:4; Law 6:4
1 Sam. 12:6Kut 6:26
1 Sam. 12:8Mwa 46:6
1 Sam. 12:8Kut 2:23
1 Sam. 12:8Kut 3:9, 10
1 Sam. 12:8Yos 11:23
1 Sam. 12:9Kum 32:18, 30; Amu 2:12, 14
1 Sam. 12:9Amu 4:2
1 Sam. 12:9Amu 10:7; 13:1
1 Sam. 12:9Amu 3:12
1 Sam. 12:10Amu 2:18; 3:9
1 Sam. 12:10Amu 10:10, 15
1 Sam. 12:10Amu 3:7
1 Sam. 12:10Amu 2:13
1 Sam. 12:11Amu 6:32
1 Sam. 12:11Amu 11:1
1 Sam. 12:11Ebr 11:32
1 Sam. 12:11Law 26:6
1 Sam. 12:121Sa 11:1
1 Sam. 12:121Sa 8:5, 19
1 Sam. 12:12Amu 8:23; 1Sa 8:7; Isa 33:22
1 Sam. 12:131Sa 9:16, 17; 10:24
1 Sam. 12:14Kum 10:12; 17:19
1 Sam. 12:14Yos 24:14
1 Sam. 12:14Kum 13:4; 28:2
1 Sam. 12:15Law 26:14, 17; Kum 28:15; Yos 24:20
1 Sam. 12:171Sa 8:7; Ho. 13:11
1 Sam. 12:191Sa 7:5; 12:23
1 Sam. 12:20Kum 31:29; Yos 23:6; 1Sa 12:15
1 Sam. 12:20Kum 6:5
1 Sam. 12:21Kum 32:21; Yer 2:11
1 Sam. 12:21Zb 115:4, 5; Yer 16:19
1 Sam. 12:22Yos 7:9; Zb 23:3; 106:8; Yer 14:21; Eze 20:14
1 Sam. 12:221Fa 6:13; Zb 94:14; Ro 11:1
1 Sam. 12:22Kut 19:5; Kum 7:7
1 Sam. 12:241Sa 12:14; Zb 111:10; Mhu 12:13
1 Sam. 12:24Kum 10:12, 21
1 Sam. 12:25Kum 28:15, 36; Yos 24:20
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Samweli 12:1-25

Kitabu cha Kwanza cha Samweli

12 Hatimaye Samweli akawaambia hivi Waisraeli wote: “Tazameni nimefanya* mambo yote mliyoomba nifanye, nami nimemweka mfalme awatawale.+ 2 Sasa huyu ndiye mfalme anayewaongoza ninyi!*+ Lakini mimi ni mzee mwenye mvi, na wanangu wako hapa pamoja nanyi,+ nami nimewaongoza tangu nilipokuwa kijana mpaka leo hii.+ 3 Niko mbele yenu. Toeni ushahidi dhidi yangu mbele za Yehova na mbele ya mtiwa-mafuta wake:+ Nimechukua ng’ombe dume wa nani au punda wa nani?+ Au nimemlaghai nani au kumkandamiza nani? Nimepokea rushwa kutoka kwa nani ili nipotoshe haki?*+ Ikiwa nimefanya hivyo, nitawarudishia.”+ 4 Nao wakasema: “Hujatulaghai wala kutukandamiza wala kupokea kitu chochote kile kutoka mkononi mwa yeyote.” 5 Basi akawaambia: “Yehova ni shahidi dhidi yenu, na mtiwa-mafuta wake ni shahidi leo kwamba hamkupata shtaka lolote dhidi yangu.”* Nao wakasema: “Yeye ni shahidi.”

6 Basi Samweli akawaambia watu: “Yehova, aliyemtumia Musa na Haruni na ambaye aliwatoa mababu zenu nchini Misri,+ ni shahidi. 7 Sasa simameni mahali penu, nami nitawahukumu mbele za Yehova kwa msingi wa matendo yote ya uadilifu ambayo Yehova amewatendea ninyi na mababu zenu.

8 “Baada tu ya Yakobo kuingia Misri+ na mababu zenu kuanza kumlilia Yehova awasaidie,+ Yehova alimtuma Musa+ na Haruni ili wawaongoze mababu zenu kutoka Misri na kuwawezesha kuishi mahali hapa.+ 9 Lakini walimsahau Yehova Mungu wao, naye akawauza+ mikononi mwa Sisera+ mkuu wa jeshi la Hasori na mikononi mwa Wafilisti+ na mikononi mwa mfalme wa Moabu,+ na maadui hao wakapigana nao. 10 Nao wakamlilia Yehova awasaidie+ na kusema, ‘Tumetenda dhambi,+ kwa maana tumekuacha wewe, Yehova, ili kuabudu Mabaali+ na sanamu za Ashtorethi;+ sasa tuokoe kutoka mikononi mwa maadui wetu ili tukutumikie.’ 11 Ndipo Yehova akamtuma Yerubaali+ na Bedani na Yeftha+ na Samweli,+ naye akawaokoa ninyi kutoka mikononi mwa maadui waliowazunguka, ili mwishi kwa usalama.+ 12 Mlipoona kwamba Nahashi,+ mfalme wa Waamoni amekuja kuwashambulia, mliniambia tena na tena, ‘Hatutaki, tumeazimia kuwa na mfalme wa kututawala!’+ hata ingawa Yehova Mungu wenu ndiye Mfalme wenu.+ 13 Sasa huyu ndiye mfalme mliyemchagua, mliyeomba. Tazameni! Yehova amemweka mfalme awatawale.+ 14 Mkimwogopa Yehova+ na kumtumikia+ na kuitii sauti yake+ na msipoasi agizo la Yehova, na ikiwa ninyi pamoja na mfalme anayewatawala mtamfuata Yehova Mungu wenu, itakuwa vyema. 15 Lakini msipotii sauti ya Yehova na mkiasi agizo la Yehova, mkono wa Yehova utawashambulia ninyi na baba zenu.+ 16 Sasa simameni mahali penu mwone jambo hili kubwa ambalo Yehova anatenda mbele ya macho yenu. 17 Je, huu si wakati wa kuvuna ngano? Nitamwomba Yehova alete ngurumo na mvua; ndipo mtakapojua na kuelewa uovu mkubwa mliofanya machoni pa Yehova kwa kuomba mfalme awatawale.”+

18 Basi Samweli akamwomba Yehova, naye Yehova akaleta ngurumo na mvua siku hiyo, hivi kwamba watu wote wakamwogopa sana Yehova na pia Samweli. 19 Na watu wote wakamwambia Samweli: “Sali kwa Yehova Mungu wako kwa ajili ya watumishi wako,+ kwa maana hatutaki kufa, kwa sababu tumeongeza uovu mwingine juu ya dhambi zetu zote kwa kuomba tupewe mfalme.”

20 Basi Samweli akawaambia watu: “Msiogope. Kwa kweli mmetenda uovu huu wote. Ila tu msigeuke na kuacha kumfuata Yehova,+ mtumikieni Yehova kwa moyo wenu wote.+ 21 Msigeuke na kufuata vitu vya ubatili,*+ ambavyo havina faida yoyote+ na ambavyo haviwezi kuokoa, kwa sababu ni vitu vya ubatili.* 22 Kwa ajili ya jina lake kuu,+ Yehova hatawaacha watu wake,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+ 23 Lakini mimi, siwezi kamwe kuwazia kumtendea Yehova dhambi kwa kuacha kusali kwa ajili yenu, nami nitaendelea kuwafundisha njia iliyo njema na iliyo sawa. 24 Ila tu mwogopeni Yehova,+ mtumikieni kwa uaminifu* kwa moyo wenu wote, kwa maana angalieni mambo makuu aliyowatendea.+ 25 Lakini mkifanya uovu bila kujali, ninyi pamoja na mfalme wenu mtafagiliwa mbali.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki