Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 29
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Michango kwa ajili ya hekalu (1-9)

      • Sala ya Daudi (10-19)

      • Watu washangilia; utawala wa Sulemani (20-25)

      • Kifo cha Daudi (26-30)

1 Mambo ya Nyakati 29:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hana uwezo.”

  • *

    Au “ngome; jumba la mfalme.”

Marejeo

  • +1Nya 28:5
  • +1Fa 3:7
  • +2Nya 2:4

1 Mambo ya Nyakati 29:2

Marejeo

  • +1Nya 22:3, 16
  • +1Nya 22:4, 14

1 Mambo ya Nyakati 29:3

Marejeo

  • +Zb 26:8; 27:4; 122:1
  • +1Nya 21:24

1 Mambo ya Nyakati 29:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Talanta moja ilikuwa na uzito wa kilogramu 34.2. Angalia Nyongeza B14.

Marejeo

  • +Ayu 28:16

1 Mambo ya Nyakati 29:5

Marejeo

  • +Kut 35:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1990, uku. 31

1 Mambo ya Nyakati 29:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

Marejeo

  • +Kut 18:25
  • +1Nya 27:25, 29, 31

1 Mambo ya Nyakati 29:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Dariki ilikuwa sarafu ya dhahabu ya Waajemi. Angalia Nyongeza B14.

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, kur. 2013, 2114

    Mnara wa Mlinzi,

    8/1/2009, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 8/1 30

1 Mambo ya Nyakati 29:8

Marejeo

  • +1Nya 26:22
  • +1Nya 6:1

1 Mambo ya Nyakati 29:9

Marejeo

  • +2Ko 9:7

1 Mambo ya Nyakati 29:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “milele na milele.”

1 Mambo ya Nyakati 29:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “adhama.”

  • *

    Tnn., “kichwa.”

Marejeo

  • +Zb 145:3; 1Ti 1:17
  • +Ufu 5:13
  • +1Nya 16:27; Zb 8:1
  • +Zb 24:1; Isa 42:5
  • +Zb 103:19; Mt 6:10

1 Mambo ya Nyakati 29:12

Marejeo

  • +Kum 8:18; Met 10:22; Flp 4:19
  • +2Nya 20:6
  • +Isa 40:26
  • +Kum 3:24; Efe 1:19; Ufu 15:3
  • +2Nya 1:11, 12
  • +2Nya 16:9; Zb 18:32; Isa 40:29

1 Mambo ya Nyakati 29:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2018, uku. 18

    Mnara wa Mlinzi, 3/1/2009, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 3/1 30

1 Mambo ya Nyakati 29:15

Marejeo

  • +Law 25:23; Ebr 11:13
  • +Ayu 14:1, 2; Yak 4:13, 14

1 Mambo ya Nyakati 29:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hali ya kutokuwa na lawama; unyoofu.”

Marejeo

  • +1Nya 28:9
  • +Met 11:20; 15:8; Ebr 1:9

1 Mambo ya Nyakati 29:18

Marejeo

  • +Zb 10:17; 86:11

1 Mambo ya Nyakati 29:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wenye ujitoaji kamili.”

  • *

    Au “ngome au jumba la mfalme.”

Marejeo

  • +Mk 12:30
  • +1Fa 6:12
  • +1Nya 22:14

1 Mambo ya Nyakati 29:21

Marejeo

  • +Law 1:3
  • +Law 23:12, 13; Hes 15:5
  • +1Fa 8:63, 64

1 Mambo ya Nyakati 29:22

Marejeo

  • +Kum 12:7; 2Nya 7:10; Ne 8:12
  • +1Fa 1:38-40; 1Nya 23:1
  • +1Fa 2:35

1 Mambo ya Nyakati 29:23

Marejeo

  • +1Nya 28:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 32

    Ufahamu, uku. 132

1 Mambo ya Nyakati 29:24

Marejeo

  • +1Nya 22:17
  • +1Nya 28:1
  • +1Nya 3:1-9

1 Mambo ya Nyakati 29:25

Marejeo

  • +1Fa 3:12; 2Nya 1:1, 12; Mhu 2:9

1 Mambo ya Nyakati 29:27

Marejeo

  • +2Sa 2:11
  • +2Sa 5:4, 5

1 Mambo ya Nyakati 29:28

Marejeo

  • +1Fa 1:1
  • +1Fa 2:10-12

1 Mambo ya Nyakati 29:29

Marejeo

  • +2Sa 7:2; 12:1
  • +1Nya 21:9, 10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2009, uku. 32

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 3/15 32

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 29:11Nya 28:5
1 Nya. 29:11Fa 3:7
1 Nya. 29:12Nya 2:4
1 Nya. 29:21Nya 22:3, 16
1 Nya. 29:21Nya 22:4, 14
1 Nya. 29:3Zb 26:8; 27:4; 122:1
1 Nya. 29:31Nya 21:24
1 Nya. 29:4Ayu 28:16
1 Nya. 29:5Kut 35:5
1 Nya. 29:6Kut 18:25
1 Nya. 29:61Nya 27:25, 29, 31
1 Nya. 29:81Nya 26:22
1 Nya. 29:81Nya 6:1
1 Nya. 29:92Ko 9:7
1 Nya. 29:11Zb 145:3; 1Ti 1:17
1 Nya. 29:11Ufu 5:13
1 Nya. 29:111Nya 16:27; Zb 8:1
1 Nya. 29:11Zb 24:1; Isa 42:5
1 Nya. 29:11Zb 103:19; Mt 6:10
1 Nya. 29:12Kum 8:18; Met 10:22; Flp 4:19
1 Nya. 29:122Nya 20:6
1 Nya. 29:12Isa 40:26
1 Nya. 29:12Kum 3:24; Efe 1:19; Ufu 15:3
1 Nya. 29:122Nya 1:11, 12
1 Nya. 29:122Nya 16:9; Zb 18:32; Isa 40:29
1 Nya. 29:15Law 25:23; Ebr 11:13
1 Nya. 29:15Ayu 14:1, 2; Yak 4:13, 14
1 Nya. 29:171Nya 28:9
1 Nya. 29:17Met 11:20; 15:8; Ebr 1:9
1 Nya. 29:18Zb 10:17; 86:11
1 Nya. 29:19Mk 12:30
1 Nya. 29:191Fa 6:12
1 Nya. 29:191Nya 22:14
1 Nya. 29:21Law 1:3
1 Nya. 29:21Law 23:12, 13; Hes 15:5
1 Nya. 29:211Fa 8:63, 64
1 Nya. 29:22Kum 12:7; 2Nya 7:10; Ne 8:12
1 Nya. 29:221Fa 1:38-40; 1Nya 23:1
1 Nya. 29:221Fa 2:35
1 Nya. 29:231Nya 28:5
1 Nya. 29:241Nya 22:17
1 Nya. 29:241Nya 28:1
1 Nya. 29:241Nya 3:1-9
1 Nya. 29:251Fa 3:12; 2Nya 1:1, 12; Mhu 2:9
1 Nya. 29:272Sa 2:11
1 Nya. 29:272Sa 5:4, 5
1 Nya. 29:281Fa 1:1
1 Nya. 29:281Fa 2:10-12
1 Nya. 29:292Sa 7:2; 12:1
1 Nya. 29:291Nya 21:9, 10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 29:1-30

Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

29 Sasa Mfalme Daudi akaliambia kutaniko lote: “Mwanangu Sulemani, ambaye Mungu amemchagua+ ni mchanga na hana uzoefu,*+ na kazi hii ni kubwa, kwa maana si hekalu* kwa ajili ya mwanadamu, bali ni kwa ajili ya Yehova Mungu.+ 2 Nami nimejitahidi kabisa kufanya matayarisho kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu, nimetoa dhahabu ya kutengenezea vitu vya dhahabu, fedha ya kutengenezea vitu vya fedha, shaba ya kutengenezea vitu vya shaba, chuma kwa ajili ya vitu vya chuma,+ mbao+ za kutengenezea vitu vya mbao, mawe ya shohamu, na vito vinavyounganishwa kwa saruji, na vijiwe maridadi vya mviringo, kila aina ya mawe yenye thamani, na mawe mengi sana ya alabasta. 3 Isitoshe, kwa sababu ninaipenda nyumba ya Mungu wangu,+ ninatoa pia hazina yangu binafsi+ ya dhahabu na fedha kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu, pamoja na vitu vyote nilivyotayarisha kwa ajili ya nyumba hiyo takatifu, 4 na pia talanta 3,000* za dhahabu ya Ofiri+ na talanta 7,000 za fedha iliyosafishwa, ili zitumiwe kufunika kuta za nyumba, 5 dhahabu ya kutengenezea vitu vya dhahabu na fedha ya kutengenezea vitu vya fedha, na kwa ajili ya kazi yote itakayofanywa na mafundi. Basi ni nani anayejitolea kuja leo akiwa na zawadi mkononi kwa ajili ya Yehova?”+

6 Basi wakuu wa koo,* wakuu wa makabila ya Israeli, wakuu wa maelfu na wa mamia,+ na wakuu wa kazi za mfalme+ wakajitolea kwa hiari. 7 Nao wakatoa kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli: talanta 5,000 za dhahabu, dariki 10,000,* talanta 10,000 za fedha, talanta 18,000 za shaba, na talanta 100,000 za chuma. 8 Mtu yeyote aliyekuwa na mawe yenye thamani aliyatoa kwa ajili ya hazina ya nyumba ya Yehova, chini ya usimamizi wa Yehieli+ Mgershoni.+ 9 Watu walishangilia kwa sababu walitoa matoleo hayo ya hiari, kwa maana walimtolea Yehova matoleo hayo ya hiari kwa moyo kamili,+ na Mfalme Daudi pia alishangilia sana.

10 Kisha Daudi akamsifu Yehova mbele ya kutaniko lote. Daudi akasema: “Na usifiwe, Ee Yehova Mungu wa Israeli baba yetu, kwa umilele wote.* 11 Ee Yehova, ukuu ni wako+ na nguvu+ na uzuri na fahari na utukufu,*+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme ni wako, Ee Yehova.+ Wewe Ndiye unayejikweza mwenyewe ukiwa mkuu* juu ya vyote. 12 Utajiri na utukufu hutoka kwako,+ nawe hutawala kila kitu,+ na mkononi mwako mna nguvu+ na uwezo,+ na mkono wako unaweza kumfanya mtu awe mkuu+ na unaweza kuwapa wote nguvu.+ 13 Na sasa, Ee Mungu wetu, tunakushukuru na kulisifu jina lako linalovutia.

14 “Lakini, mimi ni nani na watu wangu ni nani hivi kwamba tukutolee matoleo haya ya hiari? Kwa maana kila kitu kinatoka kwako, nasi tumekupa vitu vinavyotoka mkononi mwako mwenyewe. 15 Kwa maana sisi ni wakaaji wageni mbele zako na wahamiaji, kama walivyokuwa mababu zetu wote.+ Kwa kuwa siku zetu duniani ni kama kivuli+—hatuna tumaini. 16 Ee Yehova Mungu wetu, utajiri huu wote ambao tumetayarisha ili kukujengea nyumba kwa ajili ya jina lako takatifu unatoka mkononi mwako mwenyewe, wote ni mali yako. 17 Ee Mungu wangu, najua vizuri kwamba wewe huuchunguza moyo,+ na kwamba unapendezwa na utimilifu.*+ Kwa unyoofu wa moyo wangu, nimetoa kwa hiari vitu hivi vyote, nami nimefurikwa na shangwe kuwaona watu wako walio hapa wakikutolea matoleo ya hiari. 18 Ee Yehova, Mungu wa Abrahamu, Isaka, na Israeli, mababu zetu, idumishe mielekeo hii na fikira hizi katika mioyo ya watu wako milele, na uielekeze mioyo yao kwako.+ 19 Mpe mwanangu Sulemani moyo kamili,*+ ili ashike amri zako, vikumbusho vyako,+ na masharti yako na kufanya mambo haya yote na kujenga hekalu* ambalo nimelifanyia matayarisho.”+

20 Kisha Daudi akaliambia kutaniko lote: “Sasa msifuni Yehova Mungu wenu.” Na kutaniko lote likamsifu Yehova Mungu wa mababu zao, wakainama chini na kumsujudia Yehova na mfalme. 21 Nao wakaendelea kumtolea Yehova dhabihu na kumtolea Yehova dhabihu za kuteketezwa+ siku iliyofuata, ng’ombe dume wachanga 1,000, kondoo dume 1,000, wanakondoo dume 1,000, na matoleo yake ya vinywaji;+ walitoa dhabihu nyingi sana kwa ajili ya Waisraeli wote.+ 22 Wakaendelea kula na kunywa mbele za Yehova siku hiyo kwa shangwe nyingi,+ nao wakamweka Sulemani mwana wa Daudi kuwa mfalme kwa mara ya pili na kumtia mafuta mbele za Yehova ili awe kiongozi,+ na pia Sadoki kuwa kuhani.+ 23 Na Sulemani akaketi kwenye kiti cha ufalme cha Yehova+ akiwa mfalme baada ya Daudi baba yake, akafanikiwa, na Waisraeli wote walimtii. 24 Wakuu wote,+ mashujaa wote hodari,+ na pia wana wote wa Mfalme Daudi+ wakajitiisha wenyewe chini ya Mfalme Sulemani. 25 Na Yehova akamfanya Sulemani kuwa mkuu sana machoni pa Waisraeli wote na kumpa fahari ya kifalme ambayo hakuna mfalme yeyote wa Israeli aliyewahi kuwa nayo kabla yake.+

26 Kwa hiyo Daudi mwana wa Yese alitawala Israeli yote, 27 alitawala Israeli kwa miaka 40. Alitawala huko Hebroni kwa miaka 7,+ na Yerusalemu kwa miaka 33.+ 28 Naye akafa akiwa amezeeka kabisa;+ aliishi maisha marefu yenye kuridhisha, akiwa na utajiri, na utukufu; na Sulemani mwanawe akawa mfalme baada yake.+ 29 Historia ya Mfalme Daudi, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, imeandikwa katika maandishi ya mwonaji Samweli, nabii Nathani,+ na mwonaji Gadi,+ 30 pamoja na utawala wake wote, ukuu wake, na matukio yanayohusu nyakati zake na nyakati za Israeli na falme zote zilizomzunguka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki