Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho—Yaliyomo

      • Upendo​—⁠njia bora zaidi (1-13)

1 Wakorintho 13:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, uku. 301

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2015, uku. 4

    7/15/1992, uku. 28

    5/1/1991, kur. 10-11

    11/1/1988, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    cl 301

1 Wakorintho 13:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kusogeza.”

  • *

    Au “sifai kitu.”

Marejeo

  • +1Ko 12:8
  • +1Yo 4:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, uku. 301

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1992, uku. 28

    11/15/1990, uku. 12

  • Fahirishi ya Machapisho

    cl 301

1 Wakorintho 13:3

Marejeo

  • +Mt 6:2
  • +2Ko 9:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1992, uku. 28

    10/1/1991, kur. 20-21

1 Wakorintho 13:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ustahimilivu.”

Marejeo

  • +1Yo 4:8
  • +1Th 5:14
  • +Ro 13:10; Efe 4:32
  • +Gal 5:26
  • +1Pe 5:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    ‘Mfuasi Wangu’, kur. 162-163

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 195

    Mkaribie Yehova, kur. 302-303, 305-306

    Ufahamu, uku. 274

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2014, uku. 20

    10/15/2002, uku. 28

    11/1/2001, kur. 15-16

    2/15/1999, kur. 19-21

    9/15/1995, kur. 14-19

    9/1/1994, uku. 20

    10/15/1993, kur. 19, 21

    7/15/1992, kur. 28-29

    7/15/1991, uku. 14

    10/15/1989, uku. 18

  • Fahirishi ya Machapisho

    cf 162-163; w02 10/15 28; cl 302-303, 305-306; w01 11/1 15-16; w99 2/15 19-21

1 Wakorintho 13:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “makosa.”

Marejeo

  • +Ro 13:13; 1Ko 14:40
  • +1Ko 10:24; Flp 2:4
  • +Mt 5:39; Yak 1:19
  • +Efe 4:32; Kol 3:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    ‘Mfuasi Wangu’, kur. 163-169

    Mkaribie Yehova, kur. 306-307

    Ufahamu, uku. 274

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2016, uku. 27

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2014, kur. 20-21

    8/1/2008, uku. 15

    2/15/1999, kur. 20-21

    10/15/1993, kur. 19-20

    7/15/1992, uku. 29

    10/15/1989, kur. 18-19

    6/15/1989, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 8/1 15; cf 163-165, 167-169; cl 306-307; w99 2/15 20-21

1 Wakorintho 13:6

Marejeo

  • +Ro 12:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, kur. 303, 307-308

    Ufahamu, uku. 274

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2014, uku. 21

    2/15/1999, kur. 20-21

    10/15/1993, kur. 20, 21-22

    7/15/1992, kur. 29-30

    10/15/1989, kur. 18-19

    Amkeni!,

    11/2008, kur. 8-9

  • Fahirishi ya Machapisho

    g 11/08 8-9; cl 303, 307-308; w99 2/15 20-21

1 Wakorintho 13:7

Marejeo

  • +1Pe 4:8
  • +Mdo 17:11
  • +Ro 8:25; 12:12
  • +1Th 1:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    ‘Mfuasi Wangu’, kur. 169-171

    Mkaribie Yehova, kur. 303-305

    Ufahamu, uku. 274

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2014, uku. 21

    12/15/2009, kur. 27-28

    7/15/2000, uku. 23

    2/15/1999, kur. 21-22

    10/15/1993, uku. 22

    7/15/1992, uku. 30

    11/1/1991, kur. 12-13

    10/15/1989, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 12/15 27-28; cf 169-171; cl 303-305; w00 7/15 23; w99 2/15 21-22

1 Wakorintho 13:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, kuzungumza lugha nyingine kimuujiza.

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, kur. 308-309

    Ufahamu, uku. 128

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2014, uku. 21

    12/15/2009, kur. 27-28

    7/1/2003, uku. 7

    10/15/1993, kur. 20-21

    8/15/1992, uku. 5

    7/15/1992, uku. 30

    10/15/1989, uku. 19

    Kutoa Sababu, uku. 123

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 12/15 27-28; rs 123; w03 7/1 7; cl 308-309

1 Wakorintho 13:9

Marejeo

  • +Met 4:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1992, kur. 30-31

1 Wakorintho 13:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1992, kur. 30-31

1 Wakorintho 13:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    10/2011, kur. 4-5

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/2007, uku. 22

    8/1/1992, kur. 9-11

    7/15/1992, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    g 10/11 4-5; w07 9/1 22

1 Wakorintho 13:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “iliyo hafifu.”

  • *

    Au “kikamili.”

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/2015, uku. 15

    3/15/2000, uku. 12

    7/15/1992, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 3/15 12

1 Wakorintho 13:13

Marejeo

  • +Mt 22:37; Ro 13:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2023, uku. 8

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2016, uku. 30

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2008, uku. 27

    7/15/1992, uku. 31

    9/15/1991, uku. 19

    11/15/1990, kur. 10-12, 15

    Furaha ya Familia, kur. 28-29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 7/15 27; fy 29

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Kor. 13:21Ko 12:8
1 Kor. 13:21Yo 4:20
1 Kor. 13:3Mt 6:2
1 Kor. 13:32Ko 9:7
1 Kor. 13:41Yo 4:8
1 Kor. 13:41Th 5:14
1 Kor. 13:4Ro 13:10; Efe 4:32
1 Kor. 13:4Gal 5:26
1 Kor. 13:41Pe 5:5
1 Kor. 13:5Ro 13:13; 1Ko 14:40
1 Kor. 13:51Ko 10:24; Flp 2:4
1 Kor. 13:5Mt 5:39; Yak 1:19
1 Kor. 13:5Efe 4:32; Kol 3:13
1 Kor. 13:6Ro 12:9
1 Kor. 13:71Pe 4:8
1 Kor. 13:7Mdo 17:11
1 Kor. 13:7Ro 8:25; 12:12
1 Kor. 13:71Th 1:3
1 Kor. 13:9Met 4:18
1 Kor. 13:13Mt 22:37; Ro 13:10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wakorintho 13:1-13

Barua ya Kwanza kwa Wakoritho

13 Nikisema kwa lugha za wanadamu na za malaika lakini sina upendo, nimekuwa chuma kinachovuma au toazi linalolia. 2 Na ikiwa nina zawadi ya kutoa unabii nami ninazielewa siri zote takatifu na ujuzi wote,+ na ikiwa nina imani yenye nguvu hata niweze kuhamisha* milima, lakini sina upendo, mimi si kitu.*+ 3 Nami nikitoa mali zangu zote ili kuwalisha wengine,+ na nikiutoa mwili wangu ili nijisifu, lakini sina upendo,+ sipati faida yoyote.

4 Upendo+ ni wenye subira*+ na fadhili.+ Upendo hauna wivu.+ Haujigambi, haujivuni,+ 5 haujiendeshi bila adabu,+ hautafuti faida zake wenyewe,+ hauchokozeki.+ Hauweki hesabu ya ubaya.*+ 6 Haushangilii ukosefu wa uadilifu,+ bali hushangilia pamoja na kweli. 7 Huhimili mambo yote,+ huamini mambo yote,+ hutumaini mambo yote,+ huvumilia mambo yote.+

8 Upendo haushindwi kamwe. Lakini kama kuna zawadi za unabii, zitaondolewa; kama kuna lugha,* zitakoma; kama kuna ujuzi, utaondolewa. 9 Kwa maana tuna ujuzi usio kamili+ nasi tunatoa unabii usio kamili; 10 lakini kile kilicho kamili kitakapokuja, kile kisicho kamili kitaondolewa. 11 Nilipokuwa mtoto, nilikuwa nikisema kama mtoto, nikifikiri kama mtoto, nikiwaza kama mtoto; lakini kwa kuwa sasa nimekuwa mtu mzima, nimeziacha tabia za mtoto. 12 Kwa maana sasa tunaona kwa njia isiyo ya waziwazi* kupitia kioo cha chuma, lakini wakati huo itakuwa uso kwa uso. Kwa sasa sijui kikamili, lakini wakati huo nitajua kwa usahihi,* kama vile ninavyojulikana kwa usahihi. 13 Hata hivyo, sasa yanabaki mambo haya matatu: imani, tumaini, upendo; lakini lililo kubwa zaidi kati ya hayo ni upendo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki