Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 34
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Yosia, mfalme wa Yuda (1, 2)

      • Mabadiliko yaliyofanywa na Yosia (3-13)

      • Kitabu cha Sheria chapatikana (14-21)

      • Unabii wa Hulda kuhusu msiba (22-28)

      • Yosia awasomea watu kitabu kilichopatikana (29-33)

2 Mambo ya Nyakati 34:1

Marejeo

  • +1Fa 13:2; Sef 1:1; Mt 1:10
  • +2Fa 22:1, 2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    12/1/2005, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 21

2 Mambo ya Nyakati 34:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    12/1/2005, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 21

2 Mambo ya Nyakati 34:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

  • *

    Au “sanamu za kuyeyushwa.”

Marejeo

  • +2Nya 15:2
  • +2Fa 23:4, 14
  • +2Nya 33:17
  • +2Nya 33:21, 22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1996, kur. 8-9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 3/1 8-9

2 Mambo ya Nyakati 34:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

  • *

    Au “sanamu za kuyeyushwa.”

Marejeo

  • +2Fa 23:6

2 Mambo ya Nyakati 34:5

Marejeo

  • +1Fa 13:2; 2Fa 23:16

2 Mambo ya Nyakati 34:6

Marejeo

  • +2Fa 23:19; 2Nya 30:1

2 Mambo ya Nyakati 34:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +2Fa 17:41
  • +2Nya 31:1

2 Mambo ya Nyakati 34:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nyumba.”

Marejeo

  • +2Fa 22:12
  • +2Fa 22:3-6

2 Mambo ya Nyakati 34:9

Marejeo

  • +2Nya 30:11, 18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 55

2 Mambo ya Nyakati 34:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 55

2 Mambo ya Nyakati 34:11

Marejeo

  • +2Fa 12:11, 12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 55

2 Mambo ya Nyakati 34:12

Marejeo

  • +2Fa 12:15
  • +1Nya 23:6
  • +2Nya 20:19
  • +1Nya 25:1

2 Mambo ya Nyakati 34:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “waliobeba mizigo.”

Marejeo

  • +2Nya 8:14

2 Mambo ya Nyakati 34:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kwa mkono wa.”

Marejeo

  • +2Fa 22:4
  • +Kum 17:18; 31:24-26; Yos 1:8; 2Fa 22:8
  • +Law 26:46

2 Mambo ya Nyakati 34:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Wamemimina.”

2 Mambo ya Nyakati 34:18

Marejeo

  • +2Fa 22:8
  • +Kum 17:18, 19

2 Mambo ya Nyakati 34:19

Marejeo

  • +2Fa 22:11-13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2001, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w01 4/15 27

2 Mambo ya Nyakati 34:20

Marejeo

  • +2Fa 25:22; Yer 40:14

2 Mambo ya Nyakati 34:21

Marejeo

  • +Kum 30:17, 18; 31:16, 24-26; Yos 1:8

2 Mambo ya Nyakati 34:22

Marejeo

  • +Kut 15:20; Amu 4:4; Lu 2:36; Mdo 21:8, 9
  • +2Fa 22:14-20

2 Mambo ya Nyakati 34:24

Marejeo

  • +Yer 35:17
  • +Law 26:16; Kum 28:15; 30:17, 18; Da 9:11

2 Mambo ya Nyakati 34:25

Marejeo

  • +Kum 28:20
  • +2Fa 21:1, 3, 6; 2Nya 28:1, 3
  • +Kum 29:22, 23; Yer 7:20

2 Mambo ya Nyakati 34:26

Marejeo

  • +2Nya 34:19

2 Mambo ya Nyakati 34:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “laini.”

Marejeo

  • +2Nya 32:26; 33:11, 13

2 Mambo ya Nyakati 34:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nitakukusanya kwa mababu zako.” Huu ni msemo wa kishairi unaorejelea kifo.

Marejeo

  • +1Fa 21:29; Isa 39:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 591

2 Mambo ya Nyakati 34:29

Marejeo

  • +2Fa 23:1

2 Mambo ya Nyakati 34:30

Marejeo

  • +2Fa 23:2; 2Nya 17:3, 9; Ne 8:3

2 Mambo ya Nyakati 34:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kufanya upya lile agano.”

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Ezr 10:3
  • +Kum 6:5
  • +Kum 31:24-26; 2Fa 22:8

2 Mambo ya Nyakati 34:32

Marejeo

  • +2Nya 30:1, 12; 33:1, 16

2 Mambo ya Nyakati 34:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “akaondoa miungu yote.”

  • *

    Tnn., “Siku zake zote.”

Marejeo

  • +2Fa 23:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    12/1/2005, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 21

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 34:11Fa 13:2; Sef 1:1; Mt 1:10
2 Nya. 34:12Fa 22:1, 2
2 Nya. 34:32Nya 15:2
2 Nya. 34:32Fa 23:4, 14
2 Nya. 34:32Nya 33:17
2 Nya. 34:32Nya 33:21, 22
2 Nya. 34:42Fa 23:6
2 Nya. 34:51Fa 13:2; 2Fa 23:16
2 Nya. 34:62Fa 23:19; 2Nya 30:1
2 Nya. 34:72Fa 17:41
2 Nya. 34:72Nya 31:1
2 Nya. 34:82Fa 22:12
2 Nya. 34:82Fa 22:3-6
2 Nya. 34:92Nya 30:11, 18
2 Nya. 34:112Fa 12:11, 12
2 Nya. 34:122Fa 12:15
2 Nya. 34:121Nya 23:6
2 Nya. 34:122Nya 20:19
2 Nya. 34:121Nya 25:1
2 Nya. 34:132Nya 8:14
2 Nya. 34:142Fa 22:4
2 Nya. 34:14Kum 17:18; 31:24-26; Yos 1:8; 2Fa 22:8
2 Nya. 34:14Law 26:46
2 Nya. 34:182Fa 22:8
2 Nya. 34:18Kum 17:18, 19
2 Nya. 34:192Fa 22:11-13
2 Nya. 34:202Fa 25:22; Yer 40:14
2 Nya. 34:21Kum 30:17, 18; 31:16, 24-26; Yos 1:8
2 Nya. 34:22Kut 15:20; Amu 4:4; Lu 2:36; Mdo 21:8, 9
2 Nya. 34:222Fa 22:14-20
2 Nya. 34:24Yer 35:17
2 Nya. 34:24Law 26:16; Kum 28:15; 30:17, 18; Da 9:11
2 Nya. 34:25Kum 28:20
2 Nya. 34:252Fa 21:1, 3, 6; 2Nya 28:1, 3
2 Nya. 34:25Kum 29:22, 23; Yer 7:20
2 Nya. 34:262Nya 34:19
2 Nya. 34:272Nya 32:26; 33:11, 13
2 Nya. 34:281Fa 21:29; Isa 39:8
2 Nya. 34:292Fa 23:1
2 Nya. 34:302Fa 23:2; 2Nya 17:3, 9; Ne 8:3
2 Nya. 34:31Ezr 10:3
2 Nya. 34:31Kum 6:5
2 Nya. 34:31Kum 31:24-26; 2Fa 22:8
2 Nya. 34:322Nya 30:1, 12; 33:1, 16
2 Nya. 34:332Fa 23:5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 34:1-33

Kitabu cha Pili cha Mambo ya Nyakati

34 Yosia+ alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 31 huko Yerusalemu.+ 2 Alitenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova na kutembea katika njia za Daudi babu yake, naye hakugeuka na kwenda kulia au kushoto.

3 Katika mwaka wa 8 wa utawala wake, alipokuwa angali mvulana, alianza kumtafuta Mungu wa Daudi babu yake;+ na katika mwaka wa 12, akaanza kusafisha Yuda na Yerusalemu+ kwa kuondoa mahali pa juu+ na miti mitakatifu,* sanamu za kuchongwa,+ na sanamu za chuma.* 4 Pia, walibomoa madhabahu za Mabaali mbele yake, naye akavikatakata vinara vya uvumba vilivyokuwa juu ya madhabahu hizo. Pia alivunja vipandevipande miti mitakatifu,* sanamu za kuchongwa, na sanamu za chuma,* akazipondaponda zikawa ungaunga na kuunyunyiza juu ya makaburi ya wale waliokuwa wakizitolea dhabihu.+ 5 Akaiteketeza mifupa ya makuhani juu ya madhabahu zao.+ Basi akaisafisha nchi ya Yuda na Yerusalemu.

6 Na katika majiji ya Manase, Efraimu,+ Simeoni, na mpaka Naftali, katika magofu yaliyozunguka majiji hayo, 7 alibomoa madhabahu na kupondaponda miti mitakatifu* na sanamu za kuchongwa,+ zikabaki ungaunga; naye akavikatakata vinara vyote vya uvumba katika nchi yote ya Israeli,+ kisha akarudi Yerusalemu.

8 Katika mwaka wa 18 wa utawala wake, alipokuwa ameisafisha nchi na hekalu,* alimtuma Shafani+ mwana wa Azalia, Maaseya mkuu wa jiji, na Yoa mwana wa Yoahazi aliyefanya kazi ya kuweka kumbukumbu ili wairekebishe nyumba ya Yehova Mungu wake.+ 9 Walienda kwa kuhani mkuu Hilkia na kumpa pesa zilizokuwa zimeletwa katika nyumba ya Mungu, ambazo Walawi waliokuwa walinzi wa malango walikuwa wamekusanya kutoka kwa watu wa kabila la Manase, Efraimu, na Waisraeli wengine wote,+ na pia kutoka kwa watu wa Yuda, Benjamini, na wakaaji wa Yerusalemu. 10 Kisha wakawapa pesa hizo wale waliowekwa kusimamia kazi katika nyumba ya Yehova. Halafu wafanyakazi waliokuwa katika nyumba ya Yehova wakazitumia kuikarabati na kuirekebisha nyumba hiyo. 11 Waliwapa mafundi na wajenzi ili wanunue mawe yaliyochongwa na mbao za kuunganisha na za kutengeneza maboriti ya kujenga nyumba ambazo wafalme wa Yuda waliacha ziharibike.+

12 Wanaume hao walifanya kazi hiyo kwa uaminifu.+ Walawi waliowekwa wawasimamie ni Yahathi na Obadia kutoka kwa Wamerari,+ na Zekaria na Meshulamu kutoka kwa Wakohathi,+ ili watumikie wakiwa waangalizi. Na Walawi fulani, ambao wote walikuwa wanamuziki stadi,+ 13 waliwasimamia vibarua* na walikuwa waangalizi wa watu wote waliokuwa wakifanya kazi katika utumishi wa aina mbalimbali; na baadhi ya Walawi walikuwa waandishi, maofisa, na walinzi wa malango.+

14 Walipokuwa wakitoa pesa zilizokuwa zimeletwa katika nyumba ya Yehova,+ kuhani Hilkia alipata kitabu cha Sheria ya Yehova+ kilichotolewa kupitia* Musa.+ 15 Kwa hiyo Hilkia akamwambia mwandishi Shafani: “Nimepata kitabu cha Sheria katika nyumba ya Yehova.” Basi Hilkia akampa Shafani kitabu hicho. 16 Kisha Shafani akampelekea mfalme kitabu hicho na kumwambia: “Watumishi wako wanafanya kila jambo ulilowaambia wafanye. 17 Wamekusanya* pesa zilizopatikana katika nyumba ya Yehova, nao wamewapa wanaume waliowekwa kusimamia kazi na wale wanaofanya kazi.” 18 Pia, mwandishi Shafani akamwambia mfalme: “Kuna kitabu ambacho kuhani Hilkia amenipa.”+ Kisha Shafani akaanza kukisoma mbele ya mfalme.+

19 Mara tu mfalme aliposikia maneno ya kitabu hicho cha Sheria, akayararua mavazi yake.+ 20 Kisha mfalme akamwagiza hivi Hilkia, Ahikamu+ mwana wa Shafani, Abdoni mwana wa Mika, mwandishi Shafani, na Asaya mtumishi wa mfalme: 21 “Nendeni mkatafute ushauri wa Yehova kwa niaba yangu na kwa niaba ya watu ambao wamebaki Israeli na Yuda kuhusu maneno ya kitabu hiki ambacho kimepatikana; kwa maana ghadhabu ya Yehova itakayomwagwa dhidi yetu ni kali kwa sababu mababu zetu hawakutekeleza neno la Yehova kwa kuyashika mambo yote yaliyoandikwa katika kitabu hiki.”+

22 Basi Hilkia, pamoja na wale waliotumwa na mfalme, wakaenda kwa nabii wa kike aliyeitwa Hulda.+ Alikuwa mke wa Shalumu mwana wa Tikva mwana wa Harhasi, mtunzaji wa chumba cha mavazi, naye alikuwa akiishi katika Wilaya ya Pili ya Yerusalemu; wakazungumza naye huko.+ 23 Akawaambia: “Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Mwambieni hivi mtu aliyewatuma kwangu: 24 “Yehova anasema, ‘Nitaleta msiba mahali hapa na kwa wakaaji wake,+ laana zote zilizoandikwa katika kitabu+ walichosoma mbele ya mfalme wa Yuda. 25 Kwa sababu wameniacha+ na wanaifukizia miungu mingine moshi wa dhabihu ili kunikasirisha+ kwa kazi zote za mikono yao, ghadhabu yangu itamwagika mahali hapa nayo haitazimwa.’”+ 26 Lakini mwambieni hivi mfalme wa Yuda aliyewatuma kutafuta ushauri wa Yehova: “Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Kuhusu maneno ambayo umesikia,+ 27 kwa sababu moyo wako ulikuwa msikivu,* nawe ukajinyenyekeza mbele za Mungu uliposikia mambo yake kuhusu mahali hapa na wakaaji wake, ukajinyenyekeza mbele zangu na kuyararua mavazi yako na kulia mbele zangu, mimi pia nimekusikia,+ asema Yehova. 28 Ndiyo sababu nitakuzika pamoja na mababu zako,* nawe utalazwa kwa amani katika kaburi lako, na macho yako hayataona msiba wote nitakaoleta mahali hapa na kwa wakaaji wake.’”’”+

Kisha wakampelekea mfalme jibu hilo. 29 Basi mfalme akatuma ujumbe na kuwakusanya wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.+ 30 Baada ya hayo mfalme akapanda kwenda katika nyumba ya Yehova pamoja na wanaume wote wa Yuda, wakaaji wa Yerusalemu, makuhani, Walawi—watu wote, wadogo kwa wakubwa. Akasoma, watu wote wakisikia, maneno yote ya kitabu cha agano kilichokuwa kimepatikana katika nyumba ya Yehova.+ 31 Mfalme akasimama mahali pake na kufanya agano*+ mbele za Yehova, kwamba atamfuata Yehova na kushika amri zake, vikumbusho vyake, na masharti yake kwa moyo wake wote na kwa nafsi* yake yote+ kwa kutekeleza maneno ya agano hilo yaliyoandikwa katika kitabu hicho.+ 32 Zaidi ya hayo, aliwahimiza watu wote waliokuwa Yerusalemu na Benjamini wakubali agano hilo. Na wakaaji wa Yerusalemu wakatenda kulingana na agano la Mungu, Mungu wa mababu zao.+ 33 Kisha Yosia akaondoa vitu vyote vyenye kuchukiza* katika nchi zote za Waisraeli,+ naye akawafanya watu wote wa Israeli wamtumikie Yehova Mungu wao. Katika maisha yake yote* hawakuacha kumfuata Yehova Mungu wa mababu zao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki