Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Sanduku la agano lawekwa hemani (1-6)

      • Wimbo wa shukrani wa Daudi (7-36)

        • “Yehova amekuwa Mfalme!” (31)

      • Utumishi mbele ya sanduku la agano (37-43)

1 Mambo ya Nyakati 16:1

Marejeo

  • +1Fa 8:1; 1Nya 15:1
  • +2Sa 6:17-19; 1Fa 8:5

1 Mambo ya Nyakati 16:2

Marejeo

  • +Law 1:3
  • +Law 3:1

1 Mambo ya Nyakati 16:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wamkumbuke.”

Marejeo

  • +Hes 18:2

1 Mambo ya Nyakati 16:5

Marejeo

  • +1Nya 6:31, 39
  • +1Nya 15:18
  • +1Nya 15:21
  • +1Nya 15:17, 19

1 Mambo ya Nyakati 16:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “alichangia.”

Marejeo

  • +1Nya 6:31, 39

1 Mambo ya Nyakati 16:8

Marejeo

  • +Zb 106:1
  • +Zb 67:2; 105:1-6; Isa 12:4

1 Mambo ya Nyakati 16:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mpigieni muziki.”

  • *

    Au labda, “Zungumzeni kuhusu.”

Marejeo

  • +2Sa 23:1; Efe 5:19
  • +Zb 107:43

1 Mambo ya Nyakati 16:10

Marejeo

  • +Law 22:32; Isa 45:25; Yer 9:24
  • +1Nya 28:9; Flp 4:4

1 Mambo ya Nyakati 16:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uwepo.”

Marejeo

  • +Amo 5:4; Sef 2:3
  • +Zb 24:5, 6

1 Mambo ya Nyakati 16:12

Marejeo

  • +Zb 111:2-4

1 Mambo ya Nyakati 16:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wazao wa.” Tnn., “mbegu ya.”

Marejeo

  • +Isa 41:8
  • +Zb 135:4

1 Mambo ya Nyakati 16:14

Marejeo

  • +Zb 95:7
  • +Zb 105:7-11

1 Mambo ya Nyakati 16:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Neno aliloamuru.”

Marejeo

  • +Kum 7:9

1 Mambo ya Nyakati 16:16

Marejeo

  • +Mwa 15:18; 17:1, 2
  • +Mwa 26:3-5

1 Mambo ya Nyakati 16:17

Marejeo

  • +Mwa 28:14

1 Mambo ya Nyakati 16:18

Marejeo

  • +Mwa 12:7; 17:8; 35:12
  • +Kum 32:8

1 Mambo ya Nyakati 16:19

Marejeo

  • +Mwa 34:30; Kum 26:5; Zb 105:12-15

1 Mambo ya Nyakati 16:20

Marejeo

  • +Mwa 20:1; 46:6

1 Mambo ya Nyakati 16:21

Marejeo

  • +Mwa 31:7, 42
  • +Mwa 12:17; 20:3

1 Mambo ya Nyakati 16:22

Marejeo

  • +Mwa 20:7

1 Mambo ya Nyakati 16:23

Marejeo

  • +Zb 40:10; 96:1-6

1 Mambo ya Nyakati 16:25

Marejeo

  • +Kut 15:11

1 Mambo ya Nyakati 16:26

Marejeo

  • +Isa 45:20; 1Ko 8:4
  • +Isa 44:24

1 Mambo ya Nyakati 16:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “adhama.”

Marejeo

  • +Kum 33:26; Zb 8:1
  • +1Ti 1:11

1 Mambo ya Nyakati 16:28

Marejeo

  • +Zb 68:34; 96:7-13

1 Mambo ya Nyakati 16:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mwabuduni.”

  • *

    Au labda, “kwa sababu ya fahari ya utakatifu wake.”

Marejeo

  • +Kum 28:58; Ne 9:5; Zb 148:13
  • +1Nya 29:3-5; Mt 5:23
  • +Kum 26:10

1 Mambo ya Nyakati 16:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kutikiswa; kufanywa ipepesuke.”

Marejeo

  • +Zb 104:5; Mhu 1:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, kur. 10-11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 10-11

1 Mambo ya Nyakati 16:31

Marejeo

  • +Zb 97:1
  • +Ufu 19:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2014, kur. 10-11

1 Mambo ya Nyakati 16:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “amekuja.”

1 Mambo ya Nyakati 16:34

Marejeo

  • +2Nya 5:13; Lu 18:19
  • +Zb 103:17; Yer 31:3; Omb 3:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2002, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w02 1/15 11

1 Mambo ya Nyakati 16:35

Marejeo

  • +Zb 68:20
  • +Zb 122:4
  • +Isa 43:21

1 Mambo ya Nyakati 16:36

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “milele na milele.”

  • *

    Au “Na iwe hivyo!”

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 9

1 Mambo ya Nyakati 16:37

Marejeo

  • +1Nya 15:16, 17
  • +1Nya 16:4-6
  • +Kut 29:38; 2Nya 13:11; Ezr 3:4

1 Mambo ya Nyakati 16:39

Marejeo

  • +1Nya 12:28
  • +1Fa 3:4

1 Mambo ya Nyakati 16:40

Marejeo

  • +Kut 29:39; 2Nya 2:4

1 Mambo ya Nyakati 16:41

Marejeo

  • +1Nya 25:1
  • +1Nya 16:4
  • +2Nya 5:13; Ezr 3:11

1 Mambo ya Nyakati 16:42

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “na ala za wimbo wa.”

Marejeo

  • +1Nya 6:31, 33; 15:16, 17
  • +1Nya 25:1, 3

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 16:11Fa 8:1; 1Nya 15:1
1 Nya. 16:12Sa 6:17-19; 1Fa 8:5
1 Nya. 16:2Law 1:3
1 Nya. 16:2Law 3:1
1 Nya. 16:4Hes 18:2
1 Nya. 16:51Nya 6:31, 39
1 Nya. 16:51Nya 15:18
1 Nya. 16:51Nya 15:21
1 Nya. 16:51Nya 15:17, 19
1 Nya. 16:71Nya 6:31, 39
1 Nya. 16:8Zb 106:1
1 Nya. 16:8Zb 67:2; 105:1-6; Isa 12:4
1 Nya. 16:92Sa 23:1; Efe 5:19
1 Nya. 16:9Zb 107:43
1 Nya. 16:10Law 22:32; Isa 45:25; Yer 9:24
1 Nya. 16:101Nya 28:9; Flp 4:4
1 Nya. 16:11Amo 5:4; Sef 2:3
1 Nya. 16:11Zb 24:5, 6
1 Nya. 16:12Zb 111:2-4
1 Nya. 16:13Isa 41:8
1 Nya. 16:13Zb 135:4
1 Nya. 16:14Zb 95:7
1 Nya. 16:14Zb 105:7-11
1 Nya. 16:15Kum 7:9
1 Nya. 16:16Mwa 15:18; 17:1, 2
1 Nya. 16:16Mwa 26:3-5
1 Nya. 16:17Mwa 28:14
1 Nya. 16:18Mwa 12:7; 17:8; 35:12
1 Nya. 16:18Kum 32:8
1 Nya. 16:19Mwa 34:30; Kum 26:5; Zb 105:12-15
1 Nya. 16:20Mwa 20:1; 46:6
1 Nya. 16:21Mwa 31:7, 42
1 Nya. 16:21Mwa 12:17; 20:3
1 Nya. 16:22Mwa 20:7
1 Nya. 16:23Zb 40:10; 96:1-6
1 Nya. 16:25Kut 15:11
1 Nya. 16:26Isa 45:20; 1Ko 8:4
1 Nya. 16:26Isa 44:24
1 Nya. 16:27Kum 33:26; Zb 8:1
1 Nya. 16:271Ti 1:11
1 Nya. 16:28Zb 68:34; 96:7-13
1 Nya. 16:29Kum 28:58; Ne 9:5; Zb 148:13
1 Nya. 16:291Nya 29:3-5; Mt 5:23
1 Nya. 16:29Kum 26:10
1 Nya. 16:30Zb 104:5; Mhu 1:4
1 Nya. 16:31Zb 97:1
1 Nya. 16:31Ufu 19:6
1 Nya. 16:342Nya 5:13; Lu 18:19
1 Nya. 16:34Zb 103:17; Yer 31:3; Omb 3:22
1 Nya. 16:35Zb 68:20
1 Nya. 16:35Zb 122:4
1 Nya. 16:35Isa 43:21
1 Nya. 16:371Nya 15:16, 17
1 Nya. 16:371Nya 16:4-6
1 Nya. 16:37Kut 29:38; 2Nya 13:11; Ezr 3:4
1 Nya. 16:391Nya 12:28
1 Nya. 16:391Fa 3:4
1 Nya. 16:40Kut 29:39; 2Nya 2:4
1 Nya. 16:411Nya 25:1
1 Nya. 16:411Nya 16:4
1 Nya. 16:412Nya 5:13; Ezr 3:11
1 Nya. 16:421Nya 6:31, 33; 15:16, 17
1 Nya. 16:421Nya 25:1, 3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 16:1-43

Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

16 Basi wakaliingiza Sanduku la Mungu wa kweli na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amepiga ili aliweke humo;+ nao wakatoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+ 2 Daudi alipomaliza kutoa dhabihu za kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika,+ akawabariki watu katika jina la Yehova. 3 Isitoshe, aliwagawia Waisraeli wote, kila mwanamume na mwanamke, mkate mmoja wa mviringo, keki ya tende, na keki ya zabibu kavu. 4 Kisha akawaweka baadhi ya Walawi wahudumu mbele ya Sanduku la Yehova,+ wamheshimu,* wamshukuru, na kumsifu Yehova Mungu wa Israeli. 5 Asafu+ alikuwa kiongozi, na wa pili Zekaria; naye Yeieli, Shemiramothi, Yehieli, Matithia, Eliabu, Benaya, Obed-edomu, na Yeieli+ walipiga vinanda na vinubi;+ na Asafu alipiga matoazi,+ 6 na makuhani Benaya na Yahazieli walipiga tarumbeta daima mbele ya sanduku la agano la Mungu wa kweli.

7 Hiyo ndiyo siku ambayo Daudi kwa mara ya kwanza alitunga* wimbo huu wa kumshukuru Yehova na kumwagiza Asafu+ na ndugu zake wauimbe:

8 “Mshukuruni Yehova,+ liitieni jina lake,

Yajulisheni mataifa matendo yake!+

9 Mwimbieni, mwimbieni sifa,*+

Tafakarini* kazi zake zote zinazostaajabisha.+

10 Jivunieni jina lake takatifu.+

Mioyo ya wale wanaomtafuta Yehova na ishangilie.+

11 Mtafuteni Yehova+ na nguvu zake,

Utafuteni uso* wake daima.+

12 Kumbukeni kazi zinazostaajabisha alizofanya,+

Miujiza yake na hukumu alizotangaza,

13 Enyi uzao wa* Israeli mtumishi wake,+

Enyi wana wa Yakobo, watu wake aliowachagua.+

14 Yeye ni Yehova Mungu wetu.+

Hukumu zake ziko duniani kote.+

15 Kumbukeni agano lake milele,

Ahadi aliyotoa,* hata kufikia vizazi elfu,+

16 Agano alilofanya na Abrahamu,+

Na kiapo alichomwapia Isaka,+

17 Alichotoa kama amri kwa Yakobo+

Na kama agano la kudumu kwa Israeli,

18 Akisema, ‘Nitakupa nchi ya Kanaani+

Kuwa urithi wako uliogawiwa.’+

19 Mlipokuwa wachache,

Naam, wachache sana, nanyi mlikuwa wageni nchini.+

20 Walitembeatembea kutoka taifa moja hadi taifa lingine,

Kutoka ufalme mmoja hadi ufalme mwingine.+

21 Hakumruhusu mtu yeyote awakandamize,+

Lakini kwa sababu yao aliwakaripia wafalme,+

22 Akisema, ‘Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,

Wala msiwatendee manabii wangu jambo lolote baya.’+

23 Mwimbieni Yehova, dunia yote!

Tangazeni wokovu wake siku baada ya siku!+

24 Tangazeni utukufu wake miongoni mwa mataifa,

Kazi zake zinazostaajabisha miongoni mwa mataifa yote.

25 Kwa maana Yehova ni mkuu na anastahili kusifiwa kuliko wote.

Anaogopesha kuliko miungu mingine yote.+

26 Miungu yote ya mataifa ni miungu ya ubatili,+

Lakini Yehova ndiye aliyeziumba mbingu.+

27 Mbele zake kuna utukufu* na fahari;+

Katika makao yake kuna nguvu na shangwe.+

28 Mpeni Yehova anachostahili, enyi familia za mataifa,

Mpeni Yehova anachostahili kwa sababu ya utukufu wake na nguvu zake.+

29 Mpeni Yehova utukufu ambao jina lake linastahili;+

Leteni zawadi na mje mbele zake.+

Mwinamieni* Yehova katika mapambo matakatifu.*+

30 Tetemekeni mbele zake, dunia yote!

Dunia imeimarishwa kabisa; haiwezi kusogezwa.*+

31 Mbingu na zishangilie, dunia na iwe na shangwe;+

Tangazeni miongoni mwa mataifa: ‘Yehova amekuwa Mfalme!’+

32 Bahari na ingurume na vitu vyote vinavyoijaza;

Mashamba na vitu vyote vilivyomo na vishangilie.

33 Wakati uleule miti ya msituni na ishangilie kwa sauti mbele za Yehova,

Kwa maana anakuja* kuihukumu dunia.

34 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+

Upendo wake mshikamanifu unadumu milele.+

35 Nanyi semeni, ‘Tuokoe, Ee Mungu wa wokovu wetu,+

Tukusanye na kutuokoa kutoka katika mataifa,

Ili tulishukuru jina lako takatifu+

Na tushangilie kukusifu wewe.+

36 Yehova, Mungu wa Israeli, na asifiwe

Kwa umilele wote.’”*

Na watu wote wakasema, “Amina!”* nao wakamsifu Yehova.

37 Kisha Daudi akamwacha Asafu+ na ndugu zake hapo mbele ya sanduku la agano la Yehova ili wahudumu daima mbele ya Sanduku+ hilo, kulingana na utaratibu wa kila siku.+ 38 Obed-edomu na ndugu zake, watu 68, na Obed-edomu mwana wa Yeduthuni, na Hosa walikuwa walinzi wa malango; 39 na kuhani Sadoki+ na makuhani wenzake walikuwa mbele ya hema la ibada la Yehova mahali pa juu kule Gibeoni+ 40 ili wamtolee Yehova kwa ukawaida dhabihu za kuteketezwa kwenye madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa, asubuhi na jioni, na kufanya mambo yote yaliyoandikwa katika Sheria ya Yehova aliyowaamuru Waisraeli wafuate.+ 41 Walikuwa pamoja na Hemani na Yeduthuni+ na wanaume wengine waliochaguliwa na kutajwa majina ili wamshukuru Yehova,+ kwa sababu “upendo wake mshikamanifu unadumu milele”;+ 42 nao walikuwa pamoja na Hemani+ na Yeduthuni ili wapige tarumbeta, matoazi, na ala zilizotumiwa kumsifu* Mungu wa kweli; na wana wa Yeduthuni+ walikuwa langoni. 43 Kisha watu wote wakaenda nyumbani kwao, na Daudi akaenda kuwabariki watu wa nyumba yake mwenyewe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki