Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 27
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 27:1

Marejeo

  • +Kum 11:32; 26:16; Lu 11:28

Kumbukumbu la Torati 27:2

Marejeo

  • +Kum 6:1; Yos 4:1

Kumbukumbu la Torati 27:3

Marejeo

  • +Kut 24:12
  • +Yos 8:32
  • +Law 20:24; Hes 13:27; 14:8; Kum 26:9; Yer 11:5; 32:22

Kumbukumbu la Torati 27:4

Marejeo

  • +Kum 11:29; Yos 8:30
  • +Kum 27:2

Kumbukumbu la Torati 27:5

Marejeo

  • +Kut 20:25; Yos 8:31

Kumbukumbu la Torati 27:6

Marejeo

  • +Law 1:9

Kumbukumbu la Torati 27:7

Marejeo

  • +Law 3:1
  • +Law 7:15
  • +Kum 12:7; 16:11

Kumbukumbu la Torati 27:8

Marejeo

  • +Kut 24:12
  • +Hab 2:2

Kumbukumbu la Torati 27:9

Marejeo

  • +Kut 19:5; Kum 26:18

Kumbukumbu la Torati 27:10

Marejeo

  • +Kut 20:6; 1Fa 2:3; Mt 19:17; 1Yo 5:3
  • +1Fa 8:61

Kumbukumbu la Torati 27:12

Marejeo

  • +Kum 11:29

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1997, kur. 30-31

    6/15/1996, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 2/1 30-31; w96 6/15 14

Kumbukumbu la Torati 27:13

Marejeo

  • +Da 9:11
  • +Yos 8:33

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1997, kur. 30-31

    6/15/1996, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 2/1 30-31; w96 6/15 14

Kumbukumbu la Torati 27:14

Marejeo

  • +Kum 33:10; Ne 8:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/1996, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 6/15 14

Kumbukumbu la Torati 27:15

Marejeo

  • +Kut 20:4; Kum 4:16; Isa 44:9
  • +Kut 34:17; Law 19:4; Hes 33:52
  • +Kum 7:25; 29:17
  • +Ho. 13:2
  • +Hes 5:22; Ne 5:13

Kumbukumbu la Torati 27:16

Marejeo

  • +Kut 20:12; Law 19:3; Kum 21:18, 21; Met 20:20; 30:17; Mt 15:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1997, kur. 30-31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 2/1 30-31

Kumbukumbu la Torati 27:17

Marejeo

  • +Kum 19:14; Met 22:28; 23:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1997, kur. 30-31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 2/1 30-31

Kumbukumbu la Torati 27:18

Marejeo

  • +Law 19:14

Kumbukumbu la Torati 27:19

Marejeo

  • +Met 17:23; Mik 3:11
  • +Kum 16:20
  • +Kut 22:21
  • +Kut 22:22; Kum 10:18; 24:17; Mal 3:5; Yak 1:27

Kumbukumbu la Torati 27:20

Marejeo

  • +Law 18:8; 2Sa 16:22; 1Ko 5:1

Kumbukumbu la Torati 27:21

Marejeo

  • +Kut 22:19; Law 18:23; 20:15

Kumbukumbu la Torati 27:22

Marejeo

  • +Law 18:9; 20:17; 2Sa 13:14; Eze 22:11

Kumbukumbu la Torati 27:23

Marejeo

  • +Law 18:17; 20:14

Kumbukumbu la Torati 27:24

Marejeo

  • +Kut 20:13; 21:12; Law 24:17; Hes 35:31

Kumbukumbu la Torati 27:25

Marejeo

  • +Kum 10:17; Eze 22:12; Mt 27:4; Mdo 1:18

Kumbukumbu la Torati 27:26

Marejeo

  • +Kum 28:15; Zb 119:21; Yer 11:3; Gal 3:10

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 27:1Kum 11:32; 26:16; Lu 11:28
Kum. 27:2Kum 6:1; Yos 4:1
Kum. 27:3Kut 24:12
Kum. 27:3Yos 8:32
Kum. 27:3Law 20:24; Hes 13:27; 14:8; Kum 26:9; Yer 11:5; 32:22
Kum. 27:4Kum 11:29; Yos 8:30
Kum. 27:4Kum 27:2
Kum. 27:5Kut 20:25; Yos 8:31
Kum. 27:6Law 1:9
Kum. 27:7Law 3:1
Kum. 27:7Law 7:15
Kum. 27:7Kum 12:7; 16:11
Kum. 27:8Kut 24:12
Kum. 27:8Hab 2:2
Kum. 27:9Kut 19:5; Kum 26:18
Kum. 27:10Kut 20:6; 1Fa 2:3; Mt 19:17; 1Yo 5:3
Kum. 27:101Fa 8:61
Kum. 27:12Kum 11:29
Kum. 27:13Da 9:11
Kum. 27:13Yos 8:33
Kum. 27:14Kum 33:10; Ne 8:7
Kum. 27:15Kut 20:4; Kum 4:16; Isa 44:9
Kum. 27:15Kut 34:17; Law 19:4; Hes 33:52
Kum. 27:15Kum 7:25; 29:17
Kum. 27:15Ho. 13:2
Kum. 27:15Hes 5:22; Ne 5:13
Kum. 27:16Kut 20:12; Law 19:3; Kum 21:18, 21; Met 20:20; 30:17; Mt 15:4
Kum. 27:17Kum 19:14; Met 22:28; 23:10
Kum. 27:18Law 19:14
Kum. 27:19Met 17:23; Mik 3:11
Kum. 27:19Kum 16:20
Kum. 27:19Kut 22:21
Kum. 27:19Kut 22:22; Kum 10:18; 24:17; Mal 3:5; Yak 1:27
Kum. 27:20Law 18:8; 2Sa 16:22; 1Ko 5:1
Kum. 27:21Kut 22:19; Law 18:23; 20:15
Kum. 27:22Law 18:9; 20:17; 2Sa 13:14; Eze 22:11
Kum. 27:23Law 18:17; 20:14
Kum. 27:24Kut 20:13; 21:12; Law 24:17; Hes 35:31
Kum. 27:25Kum 10:17; Eze 22:12; Mt 27:4; Mdo 1:18
Kum. 27:26Kum 28:15; Zb 119:21; Yer 11:3; Gal 3:10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 27:1-26

Kumbukumbu la Torati

27 Na Musa pamoja na wanaume wazee wa Israeli wakawaamuru watu, na kusema: “Kila amri ninayowaamuru ninyi leo, itashikwa.+ 2 Na itatukia kwamba katika siku ambayo mtavuka Yordani+ kuingia katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, utajiwekea pia mawe makubwa na kuyapaka chokaa. 3 Nawe utaandika juu yake maneno yote ya sheria hii+ utakapokuwa umevuka,+ ili uingie katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, nchi inayotiririka maziwa na asali, kulingana na yale ambayo Yehova Mungu wa mababu zako amesema nawe.+ 4 Na itatukia kwamba mtakapokuwa mmevuka Yordani, mtayasimamisha mawe hayo, kama ninavyowaamuru ninyi leo, katika Mlima Ebali,+ nawe utayapaka chokaa.+ 5 Pia utamjengea Yehova Mungu wako madhabahu huko, madhabahu ya mawe. Usitumie chombo cha chuma juu yake.+ 6 Kwa mawe mazima utaijenga madhabahu ya Yehova Mungu wako, nawe utamtolea Yehova Mungu wako matoleo ya kuteketezwa juu yake.+ 7 Nawe utatoa dhabihu za ushirika+ na kuzila huko,+ nawe utashangilia mbele za Yehova Mungu wako.+ 8 Nawe utaandika juu ya mawe hayo maneno yote ya sheria hii,+ na kuyafanya yawe wazi kabisa.”+

9 Ndipo Musa na makuhani Walawi wakasema na Israeli wote, na kuwaambia: “Kaa kimya, usikilize, Ee Israeli. Leo umekuwa kikundi cha watu wa Yehova Mungu wako.+ 10 Nawe uisikilize sauti ya Yehova Mungu wako na kutimiza amri+ zake na masharti+ yake, ninayokuamuru leo.”

11 Naye Musa akaendelea kuwaamuru watu katika siku hiyo, na kusema: 12 “Wanaofuata ndio watakaosimama ili kuwabariki watu kwenye Mlima Gerizimu+ wakati ambapo mtakuwa mmevuka Yordani: Simeoni na Lawi na Yuda na Isakari na Yosefu na Benyamini. 13 Na wanaofuata ndio watakaosimama kwa ajili ya laana+ kwenye Mlima Ebali:+ Rubeni, Gadi na Asheri na Zabuloni, Dani na Naftali. 14 Nao Walawi watamjibu kila mtu wa Israeli na kusema kwa sauti iliyopaazwa:+

15 “‘Amelaaniwa mtu ambaye anafanya sanamu ya kuchongwa+ au sanamu ya kuyeyushwa,+ kitu kinachochukiza kwa Yehova,+ kilichotengenezwa kwa mikono ya mfanyakazi wa mbao na chuma,+ na ambaye amekiweka mafichoni.’ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)+

16 “‘Amelaaniwa yule ambaye humtendea baba yake au mama yake kwa dharau.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

17 “‘Amelaaniwa yule ambaye huisogeza nyuma alama ya mpaka wa mwenzake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

18 “‘Amelaaniwa yule ambaye humpotosha kipofu njiani.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

19 “‘Amelaaniwa yule ambaye hupotosha+ hukumu+ ya mkaaji mgeni,+ mvulana asiye na baba na mjane.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

20 “‘Amelaaniwa yule ambaye hulala na mke wa baba yake, kwa sababu ameufunua upindo wa nguo ya baba yake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

21 “‘Amelaaniwa yule ambaye hulala na mnyama yeyote.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

22 “‘Amelaaniwa yule ambaye hulala na dada yake, binti ya baba yake au binti ya mama yake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

23 “‘Amelaaniwa yule ambaye hulala na mama-mkwe wake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

24 “‘Amelaaniwa yule ambaye kutoka mafichoni humpiga na kumuua mwenzake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

25 “‘Amelaaniwa yule ambaye hukubali rushwa ili kuipiga na kuiua nafsi, wakati ambapo hiyo ni damu isiyo na hatia.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

26 “‘Amelaaniwa yule ambaye hatayatimiza maneno ya sheria hii kwa kuyafanya.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki