Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 16
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati—Yaliyomo

      • Pasaka; Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu (1-8)

      • Sherehe ya Majuma (9-12)

      • Sherehe ya Vibanda (13-17)

      • Kuwaweka waamuzi (18-20)

      • Vitu vya ibada vilivyokatazwa (21, 22)

Kumbukumbu la Torati 16:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza B15.

Marejeo

  • +Kut 12:14; Law 23:5; Hes 9:2; 28:16; 1Ko 5:7
  • +Kut 34:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, kur. 2012, 2116

Kumbukumbu la Torati 16:2

Marejeo

  • +Mt 26:17
  • +Kut 12:5, 6; 2Nya 35:7
  • +1Fa 8:29

Kumbukumbu la Torati 16:3

Marejeo

  • +Kut 13:3; Law 23:6; Hes 28:17; 1Ko 5:8
  • +Kut 12:33
  • +Kut 12:14; 13:8, 9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1990, uku. 15

Kumbukumbu la Torati 16:4

Marejeo

  • +Kut 12:15; 13:7
  • +Kut 12:10; 34:25

Kumbukumbu la Torati 16:6

Marejeo

  • +Kut 12:3, 6; Hes 9:2, 3; Mt 26:19, 20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1990, uku. 10

Kumbukumbu la Torati 16:7

Marejeo

  • +Kut 12:8; 2Nya 35:13
  • +Yoh 2:13; 11:55

Kumbukumbu la Torati 16:8

Marejeo

  • +Kut 12:16; Law 23:8

Kumbukumbu la Torati 16:9

Marejeo

  • +Kut 23:16; 34:22; Law 23:15

Kumbukumbu la Torati 16:10

Marejeo

  • +Hes 28:26
  • +Kum 16:17; 1Ko 16:2; 2Ko 8:12

Kumbukumbu la Torati 16:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “malango.”

Marejeo

  • +Kum 12:5-7

Kumbukumbu la Torati 16:12

Marejeo

  • +Kut 3:7; Kum 5:15

Kumbukumbu la Torati 16:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Vibanda vya Muda.”

Marejeo

  • +Kut 23:16; Law 23:34; Hes 29:12; Kum 31:10, 11; Yoh 7:2

Kumbukumbu la Torati 16:14

Marejeo

  • +Kum 12:12; Ne 8:10, 17; Mhu 5:18

Kumbukumbu la Torati 16:15

Marejeo

  • +Law 23:36, 40; Ne 8:18
  • +Kum 7:13; 28:8; 30:16
  • +Flp 4:4; 1Th 5:16

Kumbukumbu la Torati 16:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Vibanda vya Muda.”

Marejeo

  • +Kut 23:14, 15
  • +Kum 16:10
  • +Kum 16:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    3/2022, uku. 24

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1998, kur. 8-9

    9/15/1995, uku. 22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 3/1 8-9

Kumbukumbu la Torati 16:17

Marejeo

  • +2Ko 8:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 46

    Ufalme wa Mungu Unatawala!, kur. 196-197

Kumbukumbu la Torati 16:18

Marejeo

  • +Kut 18:25, 26; Kum 1:16; 2Nya 19:4, 5

Kumbukumbu la Torati 16:19

Marejeo

  • +Kut 23:2; Law 19:15
  • +Kum 1:17
  • +Kut 23:8; 1Sa 12:3; Mhu 7:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1989, uku. 12

    10/1/1986, uku. 30

Kumbukumbu la Torati 16:20

Marejeo

  • +Mik 6:8

Kumbukumbu la Torati 16:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Kut 34:13

Kumbukumbu la Torati 16:22

Marejeo

  • +Kut 23:24; Law 26:1; Kum 12:3

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 16:1Kut 12:14; Law 23:5; Hes 9:2; 28:16; 1Ko 5:7
Kum. 16:1Kut 34:18
Kum. 16:2Mt 26:17
Kum. 16:2Kut 12:5, 6; 2Nya 35:7
Kum. 16:21Fa 8:29
Kum. 16:3Kut 13:3; Law 23:6; Hes 28:17; 1Ko 5:8
Kum. 16:3Kut 12:33
Kum. 16:3Kut 12:14; 13:8, 9
Kum. 16:4Kut 12:15; 13:7
Kum. 16:4Kut 12:10; 34:25
Kum. 16:6Kut 12:3, 6; Hes 9:2, 3; Mt 26:19, 20
Kum. 16:7Kut 12:8; 2Nya 35:13
Kum. 16:7Yoh 2:13; 11:55
Kum. 16:8Kut 12:16; Law 23:8
Kum. 16:9Kut 23:16; 34:22; Law 23:15
Kum. 16:10Hes 28:26
Kum. 16:10Kum 16:17; 1Ko 16:2; 2Ko 8:12
Kum. 16:11Kum 12:5-7
Kum. 16:12Kut 3:7; Kum 5:15
Kum. 16:13Kut 23:16; Law 23:34; Hes 29:12; Kum 31:10, 11; Yoh 7:2
Kum. 16:14Kum 12:12; Ne 8:10, 17; Mhu 5:18
Kum. 16:15Law 23:36, 40; Ne 8:18
Kum. 16:15Kum 7:13; 28:8; 30:16
Kum. 16:15Flp 4:4; 1Th 5:16
Kum. 16:16Kut 23:14, 15
Kum. 16:16Kum 16:10
Kum. 16:16Kum 16:13
Kum. 16:172Ko 8:12
Kum. 16:18Kut 18:25, 26; Kum 1:16; 2Nya 19:4, 5
Kum. 16:19Kut 23:2; Law 19:15
Kum. 16:19Kum 1:17
Kum. 16:19Kut 23:8; 1Sa 12:3; Mhu 7:7
Kum. 16:20Mik 6:8
Kum. 16:21Kut 34:13
Kum. 16:22Kut 23:24; Law 26:1; Kum 12:3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 16:1-22

Kumbukumbu la Torati

16 “Adhimisheni mwezi wa Abibu* na msherehekee Pasaka ya Yehova Mungu wenu,+ kwa sababu katika mwezi wa Abibu, Yehova Mungu wenu aliwatoa nchini Misri wakati wa usiku.+ 2 Nanyi mnapaswa kumtolea Yehova Mungu wenu dhabihu ya Pasaka+ kutoka katika kondoo wenu na ng’ombe wenu,+ mahali ambapo Yehova atachagua jina lake likae hapo.+ 3 Hampaswi kula kitu chochote chenye chachu pamoja na dhabihu hiyo;+ kwa siku saba mnapaswa kula mikate isiyo na chachu, mikate ya mateso, kwa sababu mlitoka haraka katika nchi ya Misri.+ Fanyeni hivyo sikuzote za maisha yenu ili mkumbuke siku mliyotoka katika nchi ya Misri.+ 4 Msipatikane na unga wowote uliokandwa wenye chachu katika nchi yenu yote kwa siku saba,+ wala nyama yoyote mtakayotoa dhabihu siku ya kwanza jioni haipaswi kubaki usiku kucha mpaka asubuhi.+ 5 Hamtaruhusiwa kutoa dhabihu ya Pasaka katika jiji lolote tu kati ya majiji ambayo Yehova anawapa ninyi. 6 Bali mtafanya hivyo mahali ambapo Yehova Mungu wenu atachagua jina lake likae hapo. Mnapaswa kutoa dhabihu ya Pasaka wakati wa jioni mara tu baada ya jua kutua,+ wakati uleule mliotoka Misri. 7 Mtaipika na kuila+ mahali ambapo Yehova Mungu wenu atachagua,+ na asubuhi mtarudi kwenye mahema yenu. 8 Kwa siku sita mtakula mikate isiyo na chachu, na siku ya saba kutakuwa na kusanyiko takatifu kwa Yehova Mungu wenu. Hampaswi kufanya kazi yoyote.+

9 “Mtahesabu majuma saba. Mnapaswa kuanza kuhesabu majuma saba wakati mnapoanza kuvuna kwa mundu nafaka iliyo shambani.+ 10 Kisha mtafanya Sherehe ya Majuma kwa Yehova Mungu wenu+ kwa toleo la hiari linalotoka mkononi mwenu, kulingana na baraka ambazo Yehova Mungu wenu amewapa.+ 11 Nanyi mnapaswa kushangilia mbele za Yehova Mungu wenu, ninyi na wana wenu, mabinti wenu, watumwa wenu wa kiume, vijakazi wenu, Walawi walio ndani ya majiji* yenu, wakaaji wageni, mayatima, na wajane walio kati yenu, mahali ambapo Yehova Mungu wenu atachagua jina lake likae.+ 12 Kumbukeni kwamba mlikuwa watumwa Misri,+ nanyi mshike na kutekeleza masharti haya.

13 “Mnapaswa kufanya Sherehe ya Vibanda*+ kwa siku saba mnapokusanya nafaka kutoka katika uwanja wenu wa kupuria na kutoka katika shinikizo lenu la mafuta na divai. 14 Shangilieni wakati wa sherehe yenu,+ ninyi na wana wenu, mabinti wenu, watumwa wenu wa kiume, vijakazi wenu, Walawi, wakaaji wageni, mayatima, na wajane walio ndani ya majiji yenu. 15 Kwa siku saba mtamfanyia Yehova Mungu wenu sherehe+ mahali ambapo Yehova atachagua, kwa kuwa Yehova Mungu wenu atabariki mazao yenu yote na kila jambo mnalofanya,+ nanyi mtakuwa na shangwe kwelikweli.+

16 “Mara tatu kwa mwaka, wanaume wenu wote wanapaswa kwenda mbele za Yehova Mungu wenu mahali atakapochagua: katika Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu,+ Sherehe ya Majuma,+ na Sherehe ya Vibanda,*+ na hakuna yeyote kati yao anayepaswa kwenda mbele za Yehova mikono mitupu. 17 Zawadi ambayo kila mtu ataleta inapaswa kulingana na baraka ambazo Yehova Mungu wenu amempa.+

18 “Mnapaswa kuwaweka waamuzi+ na maofisa kwa ajili ya kila kabila katika majiji yenu yote ambayo Yehova Mungu wenu anawapa, nao lazima wawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu. 19 Msipotoshe haki,+ msipendelee,+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotosha maneno ya waadilifu. 20 Haki—mnapaswa kufuatia haki,+ ili mwendelee kuishi na kumiliki nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa ninyi.

21 “Msipande mti wa aina yoyote na kuufanya kuwa mti mtakatifu*+ karibu na madhabahu ya Yehova Mungu wenu ambayo mtajitengenezea.

22 “Wala hampaswi kujisimamishia nguzo takatifu,+ kitu ambacho Yehova Mungu wenu anachukia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki