Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 19
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wafalme—Yaliyomo

      • Eliya akimbia ghadhabu ya Yezebeli (1-8)

      • Yehova amtokea Eliya kule Horebu (9-14)

      • Eliya aambiwa amtie mafuta Hazaeli, Yehu, Elisha (15-18)

      • Elisha awekwa rasmi kuchukua nafasi ya Eliya (19-21)

1 Wafalme 19:1

Marejeo

  • +1Fa 16:29; 21:25
  • +1Fa 16:31
  • +1Fa 18:40

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 101

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, uku. 18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 18

1 Wafalme 19:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “sitafanya nafsi yako iwe kama nafsi ya.”

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 101

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 19

1 Wafalme 19:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi yake.”

Marejeo

  • +Kut 2:15; 1Sa 27:1
  • +Mwa 21:31
  • +Yos 15:21, 28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 101-102

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, kur. 19-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 19

1 Wafalme 19:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “iondoe nafsi yangu.”

Marejeo

  • +Hes 11:15; Ayu 3:21; Yon 4:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 158

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2019, kur. 15-16

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2014, uku. 15

    7/1/2011, kur. 19-20

    5/15/1997, uku. 13

    Igeni, kur. 102-103

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 19-20; w97 5/15 13

1 Wafalme 19:5

Marejeo

  • +Da 10:8-10; Mdo 12:7
  • +Zb 34:7; Ebr 1:7, 14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 103

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 20

1 Wafalme 19:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 103

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 20

1 Wafalme 19:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 103

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 20

1 Wafalme 19:8

Marejeo

  • +Kut 3:1; 19:18; Mal 4:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 103-104

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, kur. 20-21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 20-21

1 Wafalme 19:9

Marejeo

  • +Ebr 11:32, 38

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 104

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 21

1 Wafalme 19:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuiondoa nafsi yangu.”

Marejeo

  • +Kut 20:4, 5; Hes 25:11; Zb 69:9
  • +Kum 29:24, 25; Amu 2:20; 1Fa 8:9; 2Fa 17:15
  • +1Fa 18:4
  • +1Fa 19:2; Ro 11:2, 3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 104

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 21

1 Wafalme 19:11

Marejeo

  • +Kut 33:22
  • +Zb 50:3; Isa 29:6
  • +1Sa 14:15; Ayu 9:6; Zb 68:8; Nah 1:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, kur. 37-38, 42-43

    Igeni, kur. 104-106

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, kur. 21-22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 21-22; cl 37, 43

1 Wafalme 19:12

Marejeo

  • +Kum 4:11
  • +Kut 34:5, 6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, kur. 37-38, 42-43

    Igeni, kur. 104-107

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, kur. 21-22

    5/15/1997, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 22; cl 37, 43; w97 5/15 13

1 Wafalme 19:13

Marejeo

  • +Kut 3:6

1 Wafalme 19:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuiondoa nafsi yangu.”

Marejeo

  • +Kum 31:20; Zb 78:37; Isa 1:4; Yer 22:9
  • +Ro 11:2, 3

1 Wafalme 19:15

Marejeo

  • +2Fa 8:7, 8; Amo 1:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 106-107

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, uku. 22

    5/15/1997, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 22; w97 5/15 13

1 Wafalme 19:16

Marejeo

  • +2Fa 9:1-3, 30-33
  • +2Fa 2:9, 15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/1997, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 5/15 13

1 Wafalme 19:17

Marejeo

  • +2Fa 8:12; 10:32; 13:3
  • +2Fa 9:14, 24; 10:6, 7, 23, 25
  • +2Fa 2:23, 24

1 Wafalme 19:18

Marejeo

  • +Ro 11:4
  • +Kut 20:5
  • +Ho. 13:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 107

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, uku. 22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 22

1 Wafalme 19:19

Marejeo

  • +2Fa 2:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 649

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/2014, uku. 12

    11/1/1997, kur. 30-31

    9/1/1990, uku. 16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 11/1 30-31

1 Wafalme 19:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1997, kur. 30-31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 11/1 30-31

1 Wafalme 19:21

Marejeo

  • +Kut 24:13; 2Fa 2:3; 3:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1997, kur. 30-31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 11/1 30-31

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Fal. 19:11Fa 16:29; 21:25
1 Fal. 19:11Fa 16:31
1 Fal. 19:11Fa 18:40
1 Fal. 19:3Kut 2:15; 1Sa 27:1
1 Fal. 19:3Mwa 21:31
1 Fal. 19:3Yos 15:21, 28
1 Fal. 19:4Hes 11:15; Ayu 3:21; Yon 4:3
1 Fal. 19:5Da 10:8-10; Mdo 12:7
1 Fal. 19:5Zb 34:7; Ebr 1:7, 14
1 Fal. 19:8Kut 3:1; 19:18; Mal 4:4
1 Fal. 19:9Ebr 11:32, 38
1 Fal. 19:10Kut 20:4, 5; Hes 25:11; Zb 69:9
1 Fal. 19:10Kum 29:24, 25; Amu 2:20; 1Fa 8:9; 2Fa 17:15
1 Fal. 19:101Fa 18:4
1 Fal. 19:101Fa 19:2; Ro 11:2, 3
1 Fal. 19:11Kut 33:22
1 Fal. 19:11Zb 50:3; Isa 29:6
1 Fal. 19:111Sa 14:15; Ayu 9:6; Zb 68:8; Nah 1:5
1 Fal. 19:12Kum 4:11
1 Fal. 19:12Kut 34:5, 6
1 Fal. 19:13Kut 3:6
1 Fal. 19:14Kum 31:20; Zb 78:37; Isa 1:4; Yer 22:9
1 Fal. 19:14Ro 11:2, 3
1 Fal. 19:152Fa 8:7, 8; Amo 1:4
1 Fal. 19:162Fa 9:1-3, 30-33
1 Fal. 19:162Fa 2:9, 15
1 Fal. 19:172Fa 8:12; 10:32; 13:3
1 Fal. 19:172Fa 9:14, 24; 10:6, 7, 23, 25
1 Fal. 19:172Fa 2:23, 24
1 Fal. 19:18Ro 11:4
1 Fal. 19:18Kut 20:5
1 Fal. 19:18Ho. 13:2
1 Fal. 19:192Fa 2:8
1 Fal. 19:21Kut 24:13; 2Fa 2:3; 3:11
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wafalme 19:1-21

Kitabu cha Kwanza cha Wafalme

19 Kisha Ahabu+ akamwambia Yezebeli+ mambo yote ambayo Eliya alikuwa amefanya na jinsi alivyowaua manabii wote kwa upanga.+ 2 Ndipo Yezebeli akamtuma mjumbe kwa Eliya, akisema: “Miungu na iniadhibu, tena vikali, ikiwa kufikia kesho wakati kama huu sitakufanya uwe kama* kila mmoja wa manabii hao!” 3 Basi Eliya akaogopa, akaondoka na kukimbia ili kuokoa uhai wake.*+ Akafika Beer-sheba,+ jiji la Yuda,+ akamwacha mtumishi wake huko. 4 Akaingia nyikani safari ya siku moja, akafika na kuketi chini ya mti wa mretemu, naye akaomba afe. Akasema: “Imetosha! Sasa, Ee Yehova, niue,*+ kwa sababu mimi si bora kuliko mababu zangu.”

5 Kisha akalala chini na kushikwa na usingizi chini ya mti huo wa mretemu. Lakini kwa ghafla malaika akamgusa+ na kumwambia: “Amka, ule.”+ 6 Alipoangalia, aliona karibu na kichwa chake mkate wa mviringo ukiwa juu ya mawe yenye moto na pia gudulia la maji. Akala na kunywa na kulala chini tena. 7 Baadaye malaika wa Yehova akarudi mara ya pili, akamgusa na kusema: “Amka, ule, kwa maana safari itakuwa ngumu sana kwako.” 8 Basi akaamka, akala na kunywa, na kwa nguvu za chakula hicho akasafiri kwa siku 40, mchana na usiku, mpaka alipofika Horebu, mlima wa Mungu wa kweli.+

9 Huko akaingia pangoni+ na kulala humo usiku; na tazama! neno la Yehova likamjia na kumuuliza: “Unafanya nini hapa, Eliya?” 10 Akajibu: “Nimekuwa na bidii kwelikweli kwa ajili ya Yehova Mungu wa majeshi;+ kwa maana Waisraeli wameliacha agano lako,+ wamebomoa madhabahu zako, na kuwaua manabii wako kwa upanga,+ nimebaki mimi peke yangu. Sasa wanataka kuniua.”*+ 11 Lakini Akasema: “Toka nje, ukasimame mlimani mbele za Yehova.” Na tazama! Yehova alikuwa akipita karibu,+ na upepo mkali na wenye nguvu ulikuwa ukipasua milima na kuvunja miamba mbele za Yehova,+ lakini Yehova hakuwa katika upepo huo. Baada ya upepo, kukawa na tetemeko la ardhi,+ lakini Yehova hakuwa katika tetemeko hilo. 12 Baada ya tetemeko la ardhi, kukawa na moto,+ lakini Yehova hakuwa katika moto huo. Baada ya moto, kukawa na sauti tulivu, ya chini.+ 13 Mara tu Eliya alipoisikia, aliufunika uso wake kwa vazi lake rasmi,+ akatoka nje na kusimama kwenye mlango wa pango. Kisha sauti ikamuuliza: “Unafanya nini hapa, Eliya?” 14 Akasema: “Nimekuwa na bidii kwelikweli kwa ajili ya Yehova Mungu wa majeshi; kwa maana Waisraeli wameliacha agano lako,+ wamebomoa madhabahu zako, na kuwaua manabii wako kwa upanga, nimebaki mimi peke yangu. Sasa wanataka kuniua.”*+

15 Yehova akamwambia: “Rudi, nenda katika nyika ya Damasko. Utakapofika huko, mtie mafuta Hazaeli+ awe mfalme wa Siria. 16 Pia unapaswa kumtia mafuta Yehu+ mjukuu wa Nimshi awe mfalme wa Israeli, na umtie mafuta Elisha mwana wa Shafati kutoka Abel-mehola awe nabii baada yako.+ 17 Mtu yeyote atakayeponyoka upanga wa Hazaeli,+ Yehu atamuua;+ na yeyote atakayeponyoka upanga wa Yehu, Elisha atamuua.+ 18 Na bado nina watu 7,000 waliobaki Israeli,+ watu wote ambao hawakumpigia magoti Baali,+ na ambao hawakumbusu kwa midomo yao.”+

19 Basi akaondoka huko, akamkuta Elisha mwana wa Shafati akilima kwa jozi 12 za ng’ombe dume, naye alikuwa na jozi ya 12. Basi Eliya akamkaribia, akalitupa vazi lake rasmi+ juu yake. 20 Ndipo akawaacha wale ng’ombe dume, akamfuata Eliya mbio na kusema: “Tafadhali, niruhusu nimbusu baba yangu na mama yangu. Kisha nitakufuata.” Eliya akamwambia: “Nenda, rudi nyumbani, nimekuzuia kwa njia gani?” 21 Basi akarudi, akachukua jozi moja ya ng’ombe dume na kuwatoa dhabihu, naye akatumia vifaa vya kulimia kuchemsha nyama ya ng’ombe dume hao, kisha akawapa watu, nao wakala. Baada ya hapo akaondoka na kumfuata Eliya na kuanza kumhudumia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki