MIFANO (Vielelezo)
(Ona pia Vielelezo vya Unabii)
(Kuna kichwa kidogo: Mifano Katika Biblia)
kufundisha kwa kutumia mifano: km 4/12 1; jr 134; cf 120-127; w02 9/1 22-24; be 53, 57, 240-246, 257
kulinganisha vitu viwili vinavyofanana: be 257
kutafuta mifano: cf 121, 125-127; w02 9/1 23-24
kutumia mifano katika huduma ya shambani: w05 12/1 29; be 253-254; w99 3/15 19-20
mafunzo ya Biblia: w04 3/15 18
maneno ya Kigiriki: w99 3/15 19
mifano: w02 9/1 23
Adamu na Hawa walianza kufa “katika siku” waliyofanya dhambi kama vile ambavyo tawi huanza kufa linapokatwa (Mwa 5:5): g 6/06 29
baraka za Yehova ni kama chakula kizuri mwilini: w10 9/15 11
Biblia imeongozwa na roho ya Mungu kama mfanyabiashara anavyotunga barua: w12 6/15 26-27
Biblia ni kama mti wa matunda: g 3/10 28-29
dhambi iliyorithiwa ni kama kasoro katika programu ya kompyuta: ct 156-157
dhambi ni kama chembechembe za mchanga katika injini: g 8/12 20
dhambi ni kama mpiga mishale anayekosa shabaha: w06 6/1 12-13
dhambi ni kama ugonjwa ambao mtu hawezi kulipa matibabu yake: w99 2/15 13
dhambi ni kama ugonjwa unaoweza kutibika: w10 3/15 11-12
dhambi ni kama ugonjwa wa kuambukiza usiotibika: w09 9/15 25-26
dhambi yapitishwa kama alama ya mkunjo katika sufuria inayotumiwa kuoka mkate: bh 29; la 24
dhambi yapitishwa kama doa kwenye karatasi inayopigwa fotokopi: g 1/06 8
dhamiri ni kama dira: w09 8/15 19; lv 14-15, 17; g 8/08 27; w02 2/15 3, 5
dhamiri ni kama taa za kuonya: w05 10/1 14
dhamiri ni kama vifaa vya kuongozea ndege za abiria: w01 11/1 3
dini ya kweli inaweza kutambuliwa kama pesa halali zinavyoweza kutambuliwa: bh 144-145
dini za uwongo ni kama eneo lililotiwa sumu: bh 154
dini zinazodai kuwa za Kikristo ni kama yaya ambaye anapuuza watoto ili afanye kazi za nyumbani: cf 186-187
familia za mzazi mmoja ni kama mashua inayokosa mtu mmoja wa kupiga makasia: yp2 210-211
fidia ni kama babu anayelipa madeni ya mwana wake ili kuwasaidia wajukuu: rs 80
fidia ni kama kuokolewa kutoka katika meli inayozama: cl 158, 161
fidia ni kama kuokolewa kutoka katika mgodi: w08 3/1 3, 6-7
fidia ni kama mfadhili anayelipa deni la kiwanda kilichofilisika: cl 143
fidia ni kama tajiri anayenunua benki iliyofilisika na kuwarudishia wateja pesa zao: w10 8/15 14
funzo la Biblia ni kama kutia mafuta kwenye tangi la gari: w10 6/15 4-5
hali ya kutokamilika ni kama gurudumu lenye uvimbe: w07 2/15 28
huduma ya shambani na kuwahudumia ndugu na dada kutanikoni ni kama mabawa mawili ya ndege: w09 1/15 14-15
huduma ya shambani ni kama kazi ya kuwaokoa watu waliopatwa na msiba: km 12/98 1
huduma ya wazee Wakristo ni kama muziki: w97 8/1 18
ibada ya uwongo ni kama pesa bandia: w08 2/15 19; bh 144-145
jamii za wanadamu ni kama maua ya bougainvillea: w96 11/1 32
kaburi ni kama sanduku ambalo Yehova pekee anaweza kufungua: g 8/09 32
kifo ni kama moto unaozimika: w07 1/15 24; bh 59
kinga za kiroho ni kama mfumo wa kinga wa mwili: w05 1/1 23
kuacha Agano la Sheria na kuanza kutumia ‘sheria ya Kristo’ ni kama kubadili katiba ya nchi: w10 2/1 14
kuacha kushirikiana na tengenezo la Yehova ni kama kuogelea katika maji yenye hatari: w10 6/15 6
kuchagua burudani ni kama kuchagua matunda: lv 62-63, 69-70
kucheza michezo yenye jeuri na matendo mapotovu ni kama kucheza na takataka zenye mnururisho: yp2 249-250
kufuata viwango (kanuni) vya Yehova ni kama kudumisha gari: jd 87-88
kujenga upya uhusiano uliovunjika kwa unyenyekevu ni kama kushuka kutoka katika kilele cha mlima mpaka bondeni: w96 9/15 23
kujifunza bila kutenda ni kama kutopanda mbegu katika shamba: w05 4/15 27
kujifunza kuwapenda wengine ni kama kujifunza lugha mpya: w99 2/15 18, 22-23
kujiweka wakfu na ubatizo ni kama ndoa: w98 11/15 12
kukabili hali ngumu maishani kama baharia anavyokabili dhoruba: w08 7/15 31
kukataa mambo maovu bila kukawia kama mtu anavyomzuia mtu anayetaka kugusa jicho lake: w08 3/15 24
kukomaa ni kama kupanda ngazi: g 4/08 27-28
kukombolewa kutoka katika dhambi na kifo ni kama kuponywa ugonjwa usiotibika: w09 9/15 25, 29
kukuza matunda ya roho kama mkulima anavyokuza mazao: w10 3/15 15-16
kumjua Mungu ni kama kumjua mwajiri: ol 5
kumkaribia Yehova na mwenzi wa ndoa ni kama kupanda mlima: lv 121-123
kumsifu Yehova kama ambavyo mtu angemsifu rafiki mwenye kipawa fulani: w05 6/15 24-25
kumtegemea Yehova kama rubani anavyotegemea vyombo vinavyomsaidia kuendesha ndege: w96 5/1 21-24
kumtumikia Yehova kwa nafsi yote, moyo wote, na nguvu zote, bali si kama mtumwa: cl 105
kuomba msaada kama mwana-kondoo aliyeshindwa kurudi kwa mamake: w02 3/1 16
kupanga wakati ni kama kuweka mawe na mchanga ndani ya ndoo: w10 11/15 16
kupenda pesa ni kama mwasho unaotokana na kuumwa na mbu: g 4/06 5
kupenda vitu vya kimwili ni kama mtini unaonyonga: w04 9/15 12
kupunguza bidii ni kama taa ya umeme yenye uwezo mdogo: w12 4/15 16-17
kusaidiana kama tembo wanavyofanya: w04 9/15 13
kusali ni kama kudai zawadi dukani: w06 9/1 27-28
kushika mwongozo wa Yehova kama mtoto anavyoshika mkono wa baba: g96 11/8 26-27
kushughulikia hali katika siku za mwisho ni kama kusafiri kwa mtumbwi kwenye mto wenye maporomoko: w97 4/1 4-5
kushughulikia matatizo kama mti unaojipinda katika upepo mkali: w01 2/1 28-29
kusoma Biblia ni kama nanga: w00 8/15 32
kutafakari kuhusu Paradiso ni kama kusafisha dirisha ili kuona mandhari yenye kupendeza: w06 10/1 28
kutafuta mwongozo stadi ni kama kutoka kwa nahodha wa meli: w12 6/15 30-31
kutanguliza mambo muhimu ni kama kujaza ndoo kwa mawe na mchanga: yp2 294
kutembea katika njia za Yehova ni kama kupanda mlima: w02 7/1 28-30
kutoelewana ni kama mipasuko katika lami barabarani: w08 11/15 17-18
kutojilisha vizuri kiroho ni kama utapiamlo: w01 7/1 20-21
kutokamilika ni kama kasoro za kijuu-juu za nyumba: w08 3/15 27
kutosali baada ya kutenda dhambi ni kama mtu anayekataa kuomba aonyeshwe njia baada ya kupotea: w06 9/1 30
kutoshughulikia hali za kutokubaliana kama watoto: w00 8/15 24
kutumia pesa ovyoovyo ni kama kipofu kuendesha gari: yp2 160-161
kutumia uwezo wa kufikiri kama mabaharia: w02 8/15 21-24
kuvua utu wa zamani kama nyoka anavyoondoa ngozi yake: g05 1/8 19
kuwafundisha wanafunzi ni kama kuwafundisha watu kuendesha gari: w04 7/1 15-16
kuwalea watoto kana kwamba wao ni miche (miti michanga): w96 12/1 10-15
kuwalea watoto ni kama kutengeneza, kulinda, na kuelekeza mishale: w08 4/1 13-16
kuwarudishia wanadamu hali yao ya kwanza kama mjenzi anavyorekebisha nyumba iliyoharibika: w10 5/1 4-6
kuwasamehe wengine ni kama kusafisha bakuli lenye thamani au chupa ya maua yenye thamani uliyopewa: jr 152-153
kuwatafuta watu wanaoweza kuwa wanafunzi ni kama kumtafuta mtoto aliyepotea: w07 11/15 25
kuyaachilia makosa kana kwamba unayatazama ukiwa katika ndege: w99 10/15 15-16
“kuzaliwa tena,” au kuzaliwa mara ya pili, ni kama kumfanya kijana asiye mwenyeji kuwa mwana: w09 4/1 6, 10-11
kuzungumzia matatizo ni kama kutupiana mpira: g01 1/8 10
kweli ni kama ua dogo: w96 5/15 15
maelezo katika Funzo la Mnara wa Mlinzi ni kama shada la maua: w10 10/15 22-23
maisha ya wanadamu ni kama ya wanyama: w97 2/15 10-12
makosa ya rafiki ni kama mbegu za mapera: w00 12/1 22
malaika alijifanya mwenyewe kuwa Ibilisi kama mtunzaji wa hesabu anavyoweza kujifanya mwenyewe kuwa mwizi: w11 3/1 21
“mambo mazito ya Mungu” ni kama matumbawe baharini: w07 11/1 27
maoni ya Yehova ni kama kuona jambo ukiwa katika eneo lililoinuka: w12 11/15 3
marafiki ni kama watu wawili katika gari: g05 7/22 21
matokeo ya nidhamu yanaonekana baada ya muda kama tunda linavyochukua muda kukomaa: w07 3/1 19
mawasiliano ni kama mlango wenye kutu au mlango uliotiwa mafuta: w06 4/15 7
mipaka kuhusu ngono inalinda ndoa kama kuta zinavyolinda mji: w11 10/15 17
mitazamo na tamaa zinaweza kuzorota kama kutu inavyoharibu chuma: w96 6/15 17, 19-20, 22
mke ni kama taa inayoweza kuvunjika kwa urahisi: w06 5/15 32
Mkristo mmoja hawezi kufanya mtu awe mwanafunzi kama tone moja la mvua lisivyotosha kumwagilia mmea: w01 7/1 17
mtu anapaswa kuchunguza mambo ya ulimwengu yanayovutia kama ambavyo angechunguza vazi analotaka kununua: w03 4/15 12-13
mtu mwenye kiasi ni kama msichana mdogo anayeshika mkono wa baba katika dhoruba: w03 8/15 22
mwisho wa ulimwengu ni kama kufukuzwa kwa wapangaji wanaoharibu nyumba: w11 3/1 8-9
mwongozo wa Biblia ni kama chati za vijiti za Visiwa vya Marshall: w06 10/1 32
mwongozo wa Biblia ni kama ishara barabarani: w98 10/1 32
ndoa ni kama gari, itadumu iwapo itatunzwa: w11 2/1 3
ndoa ni kama nyumba iliyopambwa: lv 130, 132
ndoa ni kama ushirikiano kati ya wapiga-ngoma na mwimbaji: w01 5/15 16
ni muhimu kujua vyanzo vya sikukuu kama ilivyo muhimu kujua mahali ambapo peremende iliokotwa: bh 159
pesa ni kama kisu chenye makali: w10 11/15 5; yp2 155
porojo ni kama kutawanya manyoya katika upepo: w11 7/15 19
roho (nguvu ya uhai) ni kama umeme: bh 210-211; w01 7/15 5
roho takatifu ni kama upepo unaoifaa mashua baharini: w10 3/15 18
roho ya kulalamika ni kama kutu: w06 7/15 16-17
roho ya Mungu inazaa matunda sawa na mvua inayonyeshea shamba la matunda: w03 7/1 6
roho ya Mungu ni kama miale ya jua: g 7/06 15
roho ya ulimwengu ni kama gesi zenye sumu katika mgodi: w08 9/15 20-22
roho ya ulimwengu ni kama mnururisho wenye sumu: w97 10/1 25-26
roho ya ulimwengu ni kama upepo unaobeba mbegu: w06 4/1 9
sala ni kama mlango: g 11/08 26-28
shaka zinaanza polepole kama paa linalovuja: w96 5/1 22
shangwe katika huduma ni kama kuwaruzuku watu wa familia: w97 1/15 23-24
sifa mbaya ni kama nguzo mbovu za nyumba: w08 11/15 4
sifa za kiroho zafananishwa na vyuma vinavyounganishwa ili kutengeneza mnyororo: w12 2/1 30
tamaa ni kama moto mdogo wa kupikia na pupa ni kama moto wa msitu: w01 6/15 6
tengenezo la Shetani ni kama kikundi cha wahalifu wanaotaka kupindua serikali ya nchi: w10 11/15 24-26
tofauti kati ya uvumilivu wa Kikristo na kuvumilia kwa lazima inaonyeshwa na mtazamo wa wafungwa wawili: cf 67
ulimwengu huu mwovu ni kama kutembea nyikani bila dira wala ramani: w11 12/15 14
upendo kutanikoni ni kama visehemu vya mnyororo wa nanga: w07 1/1 9
upendo kwa Yehova unaanza kama mbegu ya tunda: bh 186-187
upendo unahitaji kutunzwa kama mmea: cf 132-133
ushikamanifu ni kama mbegu zinazonata kwenye nguo: w05 9/1 4, 6-7
usomaji wa Biblia ni kama chakula maalumu cha mtu aliyepatwa na mshtuko wa moyo: w10 7/1 21
Utatu ni kama mapacha, si kama baba na mwana: w98 5/15 22-23
uthibitisho wa kuwepo kwa Mungu kupitia uumbaji ni kama hatua za mtu anayetembea nje ya nyumba: w12 7/1 5
utii wa Yesu alipoteseka ni kama upanga uliotengenezwa kwa chuma kigumu sana: cf 56-57
utimilifu ni kama nyumba kubwa iliyojengwa kwa matofali ya utii: cf 65
utimilifu ni kama ramani za ujenzi wa nyumba: w08 12/15 7
uvutano unaweza kuwa kama mikondo ya chini ya bahari: g02 11/22 13
uwezo wa kiroho wa kuona unaweza kupotezwa kama uwezo halisi wa kuona unavyoweza kupotea: w04 4/1 20-21
uzima wa milele ni kama hewa nyingi: w04 11/15 5-6
vishawishi ni kama mitego kwenye njia yenye giza: kp 26
wakati wa uumbaji Yehova alikuwa kama mchoraji wa ramani ya ujenzi na Yesu alikuwa kama mjenzi: cf 131-132
Wakristo ni kama almasi zisizong’arishwa: w98 5/15 24-27
Wakristo waliozeeka waheshimiwe kama mti wa Lone Cypress (California, Marekani): w10 5/15 6-7
wanaostahili kubatizwa ni kama kipande cha mbao ambacho kimechongwa katika umbo fulani: w08 11/15 3
watu waliofunga ndoa ni kama wakulima wawili wanaolima shamba moja: w11 11/1 14
watu wanaojisaidia na kuwasaidia wengine ni kama watu waliookoka meli ilipozama: w97 1/15 22
wazazi ni kama rubani anayemsaidia nahodha: w04 10/15 20-24
wazazi wanaolea watoto ni kama watu wanaopiga mishale: w07 9/1 26, 30
Yehova anafurahi watumishi wake wanapomtii kama baba anavyofurahi mtoto wake anapomtii: cf 56
Yehova ana sifa mbalimbali, kama hakimu: w07 9/1 4-5
Yehova anathamini zawadi za watumishi wake kama mzazi anavyothamini zawadi kutoka kwa mtoto: w07 2/1 17-18
Yehova anatumia uwezo wa kujua mambo kabla hayajatukia kama mtu anavyotumia kipawa cha kuimba: cl 178
Yehova anatumia uwezo wa kujua mambo mapema kama mtu anayetazama kipindi cha televisheni kilichorekodiwa: w11 1/1 14
Yehova anatushika mkono kama watoto wake: w12 1/1 18
Yehova atafanya wanadamu wawe wakamilifu kama mchoro wenye thamani unavyofanyiwa ukarabati: cl 246
Yehova atimiza kusudi lake kama msafiri anavyofika anakoenda: w11 5/15 21-22
Yehova hushika mkono wa mtu kama ambavyo kiongozi kwenye kijia cha mlimani angefanya: w04 12/15 17-18
Yehova hushughulikia masuala kama ambavyo kichwa cha familia angeyashughulikia: w07 9/15 6; rs 353
Yehova hushughulikia suala kama ambavyo mwalimu angelishughulikia: bh 110-112
Yehova hutafuta sifa nzuri kana kwamba anatafuta mawe yenye thamani: g 4/12 28
Yehova ni kama hakimu, hasababishi kuteseka kwa mkosaji: w03 9/1 11
Yehova ni kama mzazi, anatufundisha kutembea: jd 133-134; w05 11/1 21; w05 11/15 28
Yehova ni kama mzazi, huona uthibitisho wa upendo katika yale anayofanyiwa: w05 12/1 12
Yehova ni kama mzazi anayefurahi kuona kwamba mtoto wake ni mnyofu: lv 160
Yehova ni kama rafiki ambaye hatuombi kubeba mizigo iliyo mizito mno kwetu kubeba: w09 8/15 19; lv 11-12
Yesu alimfunua Baba kwa wanadamu kama transfoma inavyopunguza umeme: w11 4/1 7
Yesu alitimiza Sheria kama mjenzi anavyotimiza mkataba wa kujenga nyumba: w10 2/1 13
Yesu anaongoza huduma kama dereva anavyoelekeza gari: bt 127
Yesu anatufundisha kupiga mshale: w12 2/15 3
Yesu awaamuru wafuasi wake wawatafute wanafunzi kama mkulima anavyotafuta wafanyakazi kwa ajili ya mavuno: cf 87-88
zawadi ya usemi inapaswa kutumiwa kama gari ambalo mtu amepewa: lv 133
Paulo alivyoitumia: be 245
sitiari: cf 120-121; be 240-241
tashbihi: be 240
ufafanuzi: w02 9/1 13
umuhimu: cf 118-120
Yesu alitumia mifano: cf 118-127; w02 9/1 13-18; be 242-246; cl 213-214
Mifano Katika Biblia
chachu iliyofichwa katika unga (Mt 13; Lu 13): w08 7/15 19-21
maandiko yaeleweka wazi zaidi (2008): w08 7/15 17, 19-20
chungu cha kupikia chenye mdomo mpana (Yer 1:13): jr 14-15
dinari ambayo wafanyakazi wa shamba la mizabibu walilipwa (Mt 20): w10 10/15 10-11; w07 5/1 30; w06 6/1 14-15
divai mpya, viriba vya divai vilivyozeeka (Mt 9; Mk 2; Lu 5): w10 3/1 15
Farisayo na mkusanya-kodi (Lu 18): w12 5/15 28; w10 10/15 8-9; lr 112-116
imani inaweza kuvunjika, kama meli (1Ti 1): w99 7/15 15-20
karamu kubwa ya jioni (Lu 14): w10 4/15 26
karamu ya ndoa (Mt 22):
wageni waalikwa mara tatu: w08 1/15 31
kondoo aliyepotea (Mt 18; Lu 15): w12 4/15 5; w08 2/1 10; w03 2/1 14-17; lr 162-164
kondoo na mbuzi (Mt 25): w10 9/15 28-29; w99 5/1 13; jv 163-164; rq 13
hukumu: w97 2/15 29
kondoo wapata “uzima wa milele”: w09 8/15 8-9
kuwatenganisha: w97 7/1 31
maandiko yaeleweka wazi zaidi (1923): re 120
maandiko yaeleweka wazi zaidi (1995): w97 7/1 31
kuchagua mahali bora (Lu 14): lr 107-109
kujenga kwa vifaa visivyoweza kushika moto (1Ko 3): w99 7/15 12-13; w98 11/1 8-15
kumchuja mbu, kummeza ngamia (Mt 23): w02 9/1 11
kumlipa Kaisari vitu vya Kaisari (Mt 22; Mk 12; Lu 20): w12 5/1 5-6; w11 9/1 22-23; w10 7/1 22-23; w09 6/15 19; lv 53; lr 148-149; g03 12/8 10
kupura bizari (Isa 28): w01 10/1 11-12; ip-1 296, 301
kutaniko la Kikristo ni kama mwili (1Ko 12; Efe 4): w09 10/15 5; w02 11/15 9; w99 6/1 15; w97 10/15 14-15; w96 7/15 20
kuweka mkono kwenye jembe la ng’ombe na kutazama mambo yaliyo nyuma (Lu 9): w12 3/15 25-26; w12 4/15 15-16
lulu yenye thamani kubwa (Mt 13): w05 2/1 8-18
maandamano yenye shangwe (2Ko 2): w10 8/1 23
mabikira kumi (Mt 25): w12 9/15 23, 25-26; w07 9/1 31; re 55-56; w04 3/1 14-15, 17-18; w99 5/1 21-22
mbegu ambazo zimepandwa ni mfano wa ufufuo (1Ko 15): w98 7/1 19-20
mbegu ya haradali (Mt 13; Mk 4; Lu 13): w08 7/15 17-19, 21; g96 8/8 22
maandiko yaeleweka wazi zaidi (2008): w08 7/15 17-19
“mbegu ndogo zaidi kuliko zote”: g96 8/8 22
ndege wapata makao katika mmea uliokomaa: w08 7/15 18-19
mchungaji mwema (Yoh 10): cf 9-10, 124-125; w02 9/1 17-18
sauti: cf 124-125; w04 9/1 13-14, 17
mfalme aliyefuta deni kubwa (Mt 18): w12 11/15 26-27; w07 9/15 29; w05 3/15 6; w04 2/1 15; lr 77-81; w02 9/1 14; w97 12/1 15, 20
mfano wa Yothamu kuhusu miti (Amu 9): w08 2/15 9; w96 5/15 13
michezo ya Wagiriki (1Ko 9): bt 149
mjane na mwamuzi (Lu 18): w06 12/15 25-29
mke ni “chombo dhaifu” (1Pe 3:7): w06 5/15 32
mpandaji (mpanzi) (Mt 13; Mk 4; Lu 8): w08 7/15 12-14; w03 2/1 8-13; w99 11/1 15-17; w96 2/1 17-18
mbegu: w99 11/1 16
mbegu zinazopandwa katika udongo mzuri: od 117-118; w03 2/1 20-23; wt 107; w97 10/15 14
mpandaji (mpanzi): w08 7/15 13-14
udongo: w08 7/15 13-14; w05 2/1 28
Msamaria mwema (Lu 10): w07 9/15 26; w07 10/1 5; my 95; lr 82-86; w02 9/1 4-5, 15; cl 214-215; w01 1/1 14; w98 7/1 30-31; w96 3/15 21-22
barabara kutoka Yerusalemu mpaka Yeriko: cf 122-123; w02 9/1 16-17; w98 7/1 30
chuki ya kijamii: g 8/09 7
hoteli: w98 7/1 30
mafuta na divai yamwagwa kwenye majeraha ya mwanamume: w12 8/1 26
msimamizi-nyumba mwaminifu (Lu 12): w09 6/15 20-21; w07 4/1 22-23; km 6/98 3-4
awekwa juu ya mali za bwana: w08 1/15 24-25; w07 4/1 22-23; w04 3/1 12
msingi wa nyumba (Mt 7): w08 2/15 31-32; w08 11/1 29-31; w07 1/1 32; w07 9/1 31; w05 5/15 32
mtini (Lu 13): w03 5/15 25-26
mtoto mdogo ni mfano wa unyenyekevu (Mt 18; Mk 9; Lu 9): w12 11/15 15-16; w08 3/15 4; w07 2/1 8-10; w05 10/15 28; lr 12
mtu anayetupa mbegu (Mk 4): w08 7/15 14-16
mtumwa anayetoka kufanya kazi shambani (Lu 17): w12 12/15 10-11; w05 3/15 18-19
mtumwa mwaminifu na mwenye busara (Mt 24): w10 9/15 26; w09 6/15 20-24; w07 4/1 22-23; od 15-21; w04 3/1 8-18; w02 3/15 13-14; wt 130-131
mtumwa mwovu (Mt 24): w04 3/1 13-14; w99 7/15 17
mtunza-mlango angojea bwana arudi kutoka ng’ambo (Mk 13): w05 2/1 32; w03 1/1 19
mtu tajiri (Lu 12): w08 7/1 12-13; w07 8/1 26-30; w05 10/1 32; lr 87-91; w98 11/15 19
mwana mpotevu (Lu 15): w02 9/1 14-15; w98 10/1 8-17; w97 9/1 30
mwanamume tajiri achukua kondoo wa mwanamume masikini: w12 2/15 23-24
mzabibu (Zb 80): w06 6/15 17-18
mzabibu (Yoh 15): w09 5/1 15; w06 6/15 18-19; w03 2/1 18-23; w02 2/1 17-18
mzeituni (Ro 11): w11 5/15 22-25; w11 8/15 32; w10 11/1 29; w00 5/15 28-29
kupandikiza “kinyume cha asili”: w11 5/15 24-25; w00 5/15 28-29
ndege anayewalinda vifaranga (Zb 91; Mt 23): w02 10/1 12
ndege na mayungiyungi (Mt 6): w02 9/1 12-13
ngamia anayepita katika tundu la sindano (Mt 19; Mk 10; Lu 18): w06 1/1 22; w04 5/15 30-31
ngano na magugu (Mt 13): w10 3/15 19-23; rk 24-25; g 2/07 7-9; re 188, 208-209; w04 2/15 5-6; w03 9/1 5-6; w02 9/1 16
ghala la ngano: w10 4/15 12
kutenganishwa wakati wa mavuno: w10 3/15 21-23; g 2/07 8-9; wt 178-182; w97 7/1 31
magugu: w10 3/15 20-23
ngano: w10 3/15 19-23; w10 4/15 12
ngano wakati wa karne za uasi-imani: w12 1/15 7-8; w12 4/15 32; w10 3/15 21; re 31, 57; w00 10/15 25-26, 30; jv 44
umalizio wa mfumo wa mambo: w10 3/15 21-23
wakati wa mavuno: w10 3/15 21-23; w10 6/15 5
nguvu za Kristo zinalinda kama hema (2Ko 12:9): w08 6/15 6; w06 12/15 24
pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe (Met 11): w02 7/15 30
rafiki aliyeendelea kuomba (Lu 11): w06 12/15 20-22; w02 9/1 12
sarafu ndogo za mjane (Mk 12): w09 7/15 29; yp2 166; w07 2/1 17-18; w04 11/1 19, 23; lr 96; cl 184-185; ct 150-151; w97 10/15 16-17
thamani ya sarafu za mjane: w09 8/1 30; w08 3/1 12; cl 184
sarafu ya drakma iliyopotea (Lu 15): w12 12/1 21; w03 2/1 14-15, 17-18
thamani ya sarafu: w12 12/1 21
semi za mfano: w09 5/1 13-15
shamba la mizabibu (Isa 5:1-7): w06 6/15 18; ip-1 73-79
shamba la Mungu (1Ko 3): w99 7/15 12
tai, miti, na mzabibu (Eze 17): w07 7/1 12-13
tajiri na Lazaro (Lu 16): rs 159-160
talanta (Mt 25): w12 9/15 23, 25-27; w10 7/15 17-18; w04 3/1 15-18; w04 10/1 22-23; w99 5/1 22-24
bwana alitambua uwezo wa kila mtumwa: w10 7/15 18
wenye kutunza akiba: w11 5/1 26; w08 12/1 8
“tukio la mfano” (Ga 4:24): w06 3/15 10-12
Ufalme wa mbinguni: w96 2/1 17-20
unyasi katika jicho la ndugu (Mt 7): w08 5/15 9-10; w02 9/1 11; w02 11/15 18
utayari wa baba kumpa mtoto kitu kizuri (Mt 7; Lu 11): cf 114-115; w06 12/15 22-23; w02 9/1 12
wakulima wauaji wa shamba la mizabibu (Mt 21; Mk 12; Lu 20): ip-1 76-77
watenda dhambi wamefungwa na dhambi kama ng’ombe anavyofungwa kwa kamba za gari la kukokotwa (Isa 5:18): ip-1 82-83
watiwa-mafuta wafanywa kuwa wana (Ro 8): w05 12/1 29
watoto wawili (Mt 21): fy 76-77
watumwa wanaochagua uadilifu (Ro 6): w05 12/1 29
watumwa wangojea bwana wao arudi kutoka arusini (Lu 12): w04 10/1 21-22; w03 1/1 18; w00 1/15 11
watu wawili waliokuwa na deni (Lu 7): w10 8/15 6
wavu wa kukokotwa (Mt 13): w12 8/1 20; w08 7/15 20-21
maandiko yaeleweka wazi zaidi (2008): w08 7/15 17, 20-21