Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • dx96-12
  • Russell, Charles T.

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Russell, Charles T.
  • Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
dx96-12

RUSSELL, CHARLES T.

aanzisha kikundi cha kwanza kwa kusudi la kujifunza Biblia: w06 8/15 13; jv 44, 236-237

akataa mafundisho ya dini zinazodai kuwa za Kikristo: jv 43, 621-622

akiri kwamba wengine walimsaidia: w09 8/15 14-15; jv 43-49, 120

Waadventisti wa Pili: jv 43-44

aliitwa pasta: jv 54; w96 1/15 15

alijitoa kabisa: jv 284

alikuwa tofauti na wengine waliopigania mabadiliko katika siku zake: jv 53-54

alitumiwa na Yehova: jv 621-623

alivyohusika katika uchapishaji wa gazeti Herald of the Morning: jv 46-48, 131, 133-134, 575, 619-620

atafuta kweli: w06 1/15 24; w06 8/15 13; jv 42-45, 122, 707

wafuasi wa kanisa la Waadventisti wa Pili wamsaidia kuiamini Biblia tena: w10 12/15 22-23; jv 43-44

atetea fundisho kuhusu fidia: jv 130-131, 619-620

akataa maoni ya Barbour: jv 47, 131, 620

barua kuhusu utangulizi wa Photo-Drama (sinema na picha kuhusu uumbaji): w98 5/15 13

barua ya kuwakaripia ndugu nchini Finland: jv 640

hisa:

shirika la Tower Publishing Company: jv 576

hotuba mbalimbali: jv 421

jinsi alivyotoa hotuba: jv 53, 55

ramani: jv 405

huduma ya shambani: jv 556-557

kifo: jv 63-64

jiwe la kaburi: jv 64

mazishi: jv 64, 284, 623-624, 646; w96 3/15 10

mgawanyiko baada ya kifo cha Russell: yb07 77; w06 9/1 8

uasi-imani baada ya kifo cha Russell: jv 66-68, 624, 627-628

Wanabetheli walivyoathiriwa: jv 63-64

Wanafunzi wa Biblia walivyotenda: w06 9/1 8; jv 623-626

kuzaliwa kwake: jv 42

kweli za Biblia zilizofunuliwa: jv 44-45, 120-140, 707

hakudai kwamba zilikuwa mpya: jv 48-49, 120

maelezo: re 69-70; jv 42-65

maelezo ya watu waliomfahamu—

Leffler, Ralph: jv 55

mahubiri yake yalichapishwa katika magazeti ya kila siku: w09 5/1 22-23; w09 8/15 15-16; jv 55, 58-59, 421-422, 561

Afrika Kusini: yb07 75

mali zake: jv 351

mambo yaliyoonwa:

nahodha ajifunza kweli: w02 12/1 8

maoni yake kuhusu—

1914: jv 60-63, 134-136, 635-636

Babiloni Mkubwa: jv 51-52

Biblia: jv 53-54, 122, 133

fundisho la kwamba maisha ya wanadamu yameamuliwa mapema (kimbele): jv 43

Har-Magedoni: jv 139-140

idadi ya 144,000: re 118

jina la kikundi cha Wanafunzi wa Biblia: jv 149

jina la Mungu: jv 123-124

jinsi ambavyo gazeti la Mnara wa Mlinzi lingegharimiwa: re 70; jv 340

jinsi ambavyo kazi ya kuhubiri ingekamilishwa kabla ya mwaka wa 1914: w98 5/15 12

kazi ya kuhubiri: jv 51, 209-211

kazi ya kuhubiri ambayo bado ilikuwa mbele yao: jv 63, 623

kuacha kumtumikia Yehova: jv 61

kujaribiwa na kupepetwa: jv 61, 621

kujitakasa (kujiweka wakfu): jv 342

kulinganisha yale aliyoandika na Biblia: jv 622

kutenganishwa kwa jamii ya makasisi na watu wa kawaida: jv 204-205

kuwapo kwa Kristo: jv 45-47, 132-133

kuweka au kuwekwa rasmi: jv 645

kweli za Biblia: w00 4/1 10; jv 121, 133

madhehebu (mafarakano) mengine: jv 48-49

mafundisho ya dini zinazodai kuwa za Kikristo: jv 43

makutaniko: jv 210

mambo ambayo yeye mwenyewe alitimiza: jv 48-49, 143, 622-623, 707

mambo ya kifedha: jv 340, 342, 350-351

“mamlaka ya juu zaidi” (Ro 13:1-7, King James Version): jv 190-191; w96 5/1 13

mapendeleo ya utumishi: jv 211

matarajio ya ongezeko katika nchi mbalimbali: jv 406

mikutano: jv 237

mipango ya usimamizi: jv 204-211

moto wa mateso (motoni): w97 2/15 32; jv 43, 126-130

“mtumwa mwaminifu na mwenye busara” (Mt 24:45-47): jv 142, 626

Nyakati za Mataifa: jv 60-63, 134-136, 635-636

Piramidi Kubwa ya Gizeh (Giza): jv 201

pombe (kileo): jv 182

sifa za Mungu: jv 123

tarehe za matukio (kronolojia): jv 46-47, 49, 60, 135-136

tumaini la wakati ujao: jv 162

ujitiisho kwa serikali: w96 5/1 13

unabii mbalimbali kuhusu kurudishwa: jv 141

Utatu: jv 123-126

uzima wa milele duniani: w09 8/15 14

vitabu vya kujifunzia Biblia: jv 241

Waadventisti wa Pili: jv 43-45

Wayahudi wa siku hizi: re 118

wazee Wakristo: jv 205-209

zawadi za kimuujiza: jv 237

maoni ya Mashahidi kumhusu: jv 621-622

mjadala kati ya Russell na Eaton (1903): jv 128-130, 643-644

maelezo ya kasisi, “Naterema kuona ukielekeza bomba la maji kwenye helo”: jv 130

mke wake: jv 645-646

kwenye mazishi ya Russell: jv 646

maoni yake kuhusu madaraka ya Russell: jv 143

picha: jv 646

talaka: jv 645-646

msimamizi wa Shirika la Watch Tower: jv 576

makao makuu yahamishiwa Brooklyn (1909): w09 5/1 22-24; w09 8/15 23

njama yatungwa juu ya Russell: jv 627

Nyakati za Mataifa: re 105; jv 60-63, 134-136, 635-636

makala katika gazeti la Bible Examiner: jv 134

mwisho wa nyakati za mataifa watangazwa Betheli: re 105; jv 61

orodha ya vichwa vya hotuba:

Kwenda Helo na Kurudi! Nani Walio Humo? Tumaini la Kurudi kwa Wengi (1905-1907): jv 130

Mambo Yahusuyo Ufalme wa Mungu (1880): jv 237

Matumaini na Matarajio ya Mileani (1903): jv 406

Mwivi Katika Paradiso, Tajiri Katika Helo, na Lazaro Kifuani mwa Abrahamu (1909): jv 257

Uzayoni Katika Unabii: jv 141

picha: w06 8/15 12; re 105; jv 42, 53, 121, 208, 405, 420, 625, 646; w96 1/15 16

safari za utumishi: jv 406-407

Austria: jv 406-407

China: jv 419-420, 489

Denmark: jv 406

Filipino: jv 396, 419

Hong Kong: jv 393

India: jv 419-420

Italia: w05 6/15 13

Jamaika: jv 414

Japani: jv 419-420

Kanada: jv 406

Karibea: jv 414

Kuba: jv 414, 458

magari-moshi yakodiwa kuwasafirisha watu makusanyikoni: jv 255-257

Marekani: jv 50, 237

Moldova: yb04 69-70

Norway: yb12 99-100, 163; w97 10/1 21; jv 257

Scotland: jv 257

Uingereza: jv 406-407

Ulaya na Mashariki ya Kati: yb06 68; jv 406-407

ulimwengu: jv 419-421

Urusi: yb08 70; jv 406, 508

upinzani wa makasisi: jv 642-646

makasisi wakanusha kwamba yeye ni mhudumu Mkristo: jv 644-645

makasisi wamshtaki kwa uwongo kuwa mzinzi: jv 645-646

ushikamanifu: w96 3/15 10

vitabu na magazeti: jv 52

gazeti Zion’s Watch Tower: jv 48, 121-122

jinsi vilivyochapishwa: jv 575-577

kijitabu The Object and Manner of Our Lord’s Return: jv 47, 132-133, 575

kitabu The Divine Plan of the Ages: jv 122

kitabu Three Worlds, and the Harvest of This World (Russell alikuwa mmojawapo wa waandikaji): jv 47, 134, 575

makala “Kule Kulipia” katika gazeti Herald of the Morning: jv 47, 620

makala “Nyakati za Mataifa: Zakoma Wakati Gani?” katika gazeti la Bible Examiner: jv 134

makasisi wa dini ya Waldo walivithamini: w02 4/15 28-29

mfululizo wa vitabu Millennial Dawn: jv 52-53, 576, 631

wahamiaji watiwa moyo warudi nchi za kwao: yb06 68-69

walioshirikiana naye mwanzoni: jv 120

Barbour, Nelson H.: jv 46-48, 131, 133-134, 575, 619-620

Dunn, Henry: w09 8/15 15

Jones, A. D.: jv 621

Paton, J. H.: jv 620-621

Russell, J. L.: jv 42

Stetson, George: jv 45

Storrs, George: w09 8/15 15; w06 8/15 13; w00 10/15 30; jv 45-46

wasia: jv 64-65

Halmashauri ya Uhariri ya Mnara wa Mlinzi: jv 65, 623

jinsi ambavyo Wanabetheli na waangalizi wanaosafiri wangetegemezwa kifedha: jv 351

wazazi wake: jv 42-43

wazazi walikuwa wanadini: jv 42-43, 122

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki