16 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Tazama! Unalala pamoja na mababu zako;+ na hakika watu hawa watainuka+ na kufanya uasherati na miungu migeni ya nchi wanayoiendea,+ kati yao, nao hakika wataniacha+ na kuvunja agano langu ambalo nimefanya pamoja nao.+
20Basi palikuwa na mtu asiyefaa kitu,+ ambaye jina lake lilikuwa Sheba,+ mwana wa Bikri, Mbenyamini; naye akapiga baragumu+ na kusema: “Hatuna fungu lolote katika Daudi, nasi hatuna urithi wowote katika mwana wa Yese.+ Kila mmoja na aende kwa miungu yake,+ Ee Israeli!”
26 “Hata hivyo, wakakosa kutii,+ wakakuasi+ na kuzidi kutupa sheria yako nyuma ya migongo yao,+ wakawaua manabii wako mwenyewe,+ waliotoa ushahidi juu yao ili kuwarudisha kwako;+ nao wakaendelea kutenda matendo ya ukosefu mkubwa wa heshima.+