Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wathesalonike 5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wathesalonike 5:1

Marejeo

  • +Da 2:21; 7:25; Mdo 1:7; Ro 13:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1986, uku. 17

1 Wathesalonike 5:2

Marejeo

  • +Sef 1:14
  • +Mt 24:36; 2Pe 3:10; Ufu 3:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2023, kur. 8-9

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2019, kur. 8-9

    9/2019, uku. 9

    Ufalme wa Mungu Unatawala!, uku. 222

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2012, kur. 3-4

    7/15/2010, uku. 5

    5/1/2009, uku. 14

    5/15/2008, kur. 15-16

    11/1/1988, uku. 6

    10/1/1986, kur. 17-18, 19-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 9/15 3-4; w10 7/15 5; w09 5/1 14; w08 5/15 15-16

1 Wathesalonike 5:3

Marejeo

  • +Yer 8:9
  • +Yer 8:11
  • +Zb 37:10; 2Th 1:9
  • +Zb 48:6; Ho. 13:13
  • +Ebr 2:3; 12:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2023, uku. 21

    6/2023, kur. 9, 13

    2/2023, uku. 16

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2019, kur. 8-9

    9/2019, kur. 9-10

    Ufalme wa Mungu Unatawala!, kur. 222-223

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2013, kur. 12-13

    1/1/2013, uku. 7

    9/15/2012, kur. 3-4

    7/15/2010, uku. 5

    5/15/2008, kur. 15-16

    2/1/2004, kur. 20-21

    6/1/1997, kur. 9-10

    4/15/1995, uku. 25

    8/1/1994, uku. 6

    9/15/1991, uku. 16

    9/1/1991, kur. 5-6, 7-8

    4/15/1991, uku. 7

    11/1/1988, uku. 6

    9/1/1987, kur. 18-20, 23

    5/15/1987, kur. 18-19

    10/1/1986, kur. 18-20

    Amkeni!,

    4/2008, uku. 7

    2/22/1993, uku. 32

    11/8/1990, kur. 19-22

    Upeo wa Ufunuo, kur. 250-251

    Mwabudu Mungu, uku. 182

    Mungu Anatujali, uku. 21

    Kusudi la Uhai, uku. 28

    Jitihada ya Ainabinadamu ya Kutafuta Mungu, kur. 371-372

    Amani na Usalama, kur. 5-7, 84-85

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 9/15 3-4; w10 7/15 5; w08 5/15 15-16; g 4/08 7; re 250-251; w04 2/1 20-21; wt 182; w97 6/1 9-10

1 Wathesalonike 5:4

Marejeo

  • +Ro 13:12; Kol 1:13; 1Pe 2:9
  • +Ayu 24:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2023, uku. 9

1 Wathesalonike 5:5

Marejeo

  • +Yoh 12:36
  • +Mdo 26:18; Ro 13:12; Efe 5:8
  • +Yoh 8:12

1 Wathesalonike 5:6

Marejeo

  • +Efe 5:14
  • +Ro 13:11; 1Ko 11:30
  • +Mt 24:42
  • +1Pe 5:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2023, uku. 10

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2019, uku. 9

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2012, kur. 10-11

    1/1/2003, uku. 11

    10/1/1989, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 3/15 10-11; w03 1/1 11

1 Wathesalonike 5:7

Marejeo

  • +Efe 5:14
  • +Ro 13:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2023, uku. 10

1 Wathesalonike 5:8

Marejeo

  • +Efe 6:14
  • +Efe 6:16
  • +Efe 6:17
  • +Ro 8:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2023, kur. 10-12

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2022, kur. 25-26

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, uku. 232

    “Upendo wa Mungu,” uku. 203

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2013, uku. 11

    12/15/2008, kur. 6-7

    10/1/2006, uku. 29

    1/1/2003, kur. 20-22

    6/1/2000, kur. 9-10

    4/15/1993, kur. 11-13

    1/15/1991, uku. 22

    7/15/1989, uku. 19

    Amkeni!,

    4/22/2004, uku. 12

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 12/15 6-7; lv 203; w06 10/1 29; g04 4/22 12; w03 1/1 20-22; w00 6/1 9-10

1 Wathesalonike 5:9

Marejeo

  • +Ro 9:22
  • +2Th 2:13
  • +2Ti 2:10

1 Wathesalonike 5:10

Marejeo

  • +Ro 5:8; 1Ko 15:3
  • +2Ko 5:15; 1Th 4:17

1 Wathesalonike 5:11

Marejeo

  • +Isa 35:3; Ro 1:12; 15:2
  • +Ro 15:14; 1Th 4:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2023, kur. 11-12

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2022, kur. 20-25

    Furahia Maisha Milele!, somo la 48

    Huduma ya Ufalme,

    9/2005, uku. 7

  • Fahirishi ya Machapisho

    km 9/05 7

1 Wathesalonike 5:12

Marejeo

  • +Ro 12:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2011, kur. 24-28

    6/1/1999, uku. 18

    8/15/1991, uku. 19

    10/1/1988, kur. 15-16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 6/15 24-28; w99 6/1 18

1 Wathesalonike 5:13

Marejeo

  • +Isa 32:2; Flp 2:29; 1Ti 5:17; Ebr 13:7
  • +Mk 9:50; 2Ko 13:11; Ebr 12:14; 1Pe 3:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1999, kur. 18-19

    8/15/1991, uku. 19

    10/1/1988, kur. 15-16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 6/1 18-19

1 Wathesalonike 5:14

Marejeo

  • +Law 19:17; 2Ti 4:2
  • +Isa 61:2; Ebr 12:12
  • +1Ko 13:4; Gal 5:22; Efe 4:2; Kol 3:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, kur. 102-103, 166-167

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2017, uku. 10

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2015, uku. 9

    8/15/2013, uku. 22

    6/15/2010, kur. 12-13

    5/1/2004, uku. 21

    11/1/2001, kur. 17-18

    10/1/1995, kur. 15-16

    3/15/1990, uku. 26

    Amkeni!,

    10/2013, uku. 14

    7/2009, kur. 7-9

    Furaha ya Familia, kur. 36-37

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 6/15 12-13; g 7/09 7, 9; w04 5/1 21; cl 102-103, 166-167; w01 11/1 17-18; fy 37

1 Wathesalonike 5:15

Marejeo

  • +Met 20:22; Mt 5:39; Ro 12:19
  • +Ro 12:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/1990, uku. 26

1 Wathesalonike 5:16

Marejeo

  • +2Ko 6:10; Flp 4:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1991, kur. 8-9

1 Wathesalonike 5:17

Marejeo

  • +Lu 18:1; Ro 12:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    10/1/2010, uku. 9

    9/15/2003, kur. 15-20

    5/15/1990, kur. 15-16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 10/1 9; w03 9/15 15-20

1 Wathesalonike 5:18

Marejeo

  • +Efe 5:20; Kol 3:17

1 Wathesalonike 5:19

Marejeo

  • +Efe 4:30

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2023, kur. 12-13

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2000, uku. 10

    12/1/1989, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 7/1 10

1 Wathesalonike 5:20

Marejeo

  • +1Ko 14:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2023, kur. 12-13

1 Wathesalonike 5:21

Marejeo

  • +1Yo 4:1
  • +Ebr 10:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2023, uku. 13

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/1996, uku. 17

    Amkeni!,

    2/8/1996, uku. 6

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 5/15 17; g96 2/8 6

1 Wathesalonike 5:22

Marejeo

  • +Ayu 2:3

1 Wathesalonike 5:23

Marejeo

  • +Ro 15:33
  • +Ebr 2:11; 1Pe 1:2
  • +1Ko 1:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2008, uku. 29

    5/1/1993, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 9/15 29

1 Wathesalonike 5:25

Marejeo

  • +Ro 15:30

1 Wathesalonike 5:26

Marejeo

  • +Ro 16:16; 1Ko 16:20; 2Ko 13:12

1 Wathesalonike 5:27

Marejeo

  • +Kol 4:16; 2Pe 3:15

1 Wathesalonike 5:28

Marejeo

  • +Ro 16:20

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 The. 5:1Da 2:21; 7:25; Mdo 1:7; Ro 13:11
1 The. 5:2Sef 1:14
1 The. 5:2Mt 24:36; 2Pe 3:10; Ufu 3:3
1 The. 5:3Yer 8:9
1 The. 5:3Yer 8:11
1 The. 5:3Zb 37:10; 2Th 1:9
1 The. 5:3Zb 48:6; Ho. 13:13
1 The. 5:3Ebr 2:3; 12:25
1 The. 5:4Ro 13:12; Kol 1:13; 1Pe 2:9
1 The. 5:4Ayu 24:14
1 The. 5:5Yoh 12:36
1 The. 5:5Mdo 26:18; Ro 13:12; Efe 5:8
1 The. 5:5Yoh 8:12
1 The. 5:6Efe 5:14
1 The. 5:6Ro 13:11; 1Ko 11:30
1 The. 5:6Mt 24:42
1 The. 5:61Pe 5:8
1 The. 5:7Efe 5:14
1 The. 5:7Ro 13:13
1 The. 5:8Efe 6:14
1 The. 5:8Efe 6:16
1 The. 5:8Efe 6:17
1 The. 5:8Ro 8:24
1 The. 5:9Ro 9:22
1 The. 5:92Th 2:13
1 The. 5:92Ti 2:10
1 The. 5:10Ro 5:8; 1Ko 15:3
1 The. 5:102Ko 5:15; 1Th 4:17
1 The. 5:11Isa 35:3; Ro 1:12; 15:2
1 The. 5:11Ro 15:14; 1Th 4:10
1 The. 5:12Ro 12:8
1 The. 5:13Isa 32:2; Flp 2:29; 1Ti 5:17; Ebr 13:7
1 The. 5:13Mk 9:50; 2Ko 13:11; Ebr 12:14; 1Pe 3:11
1 The. 5:14Law 19:17; 2Ti 4:2
1 The. 5:14Isa 61:2; Ebr 12:12
1 The. 5:141Ko 13:4; Gal 5:22; Efe 4:2; Kol 3:13
1 The. 5:15Met 20:22; Mt 5:39; Ro 12:19
1 The. 5:15Ro 12:17
1 The. 5:162Ko 6:10; Flp 4:4
1 The. 5:17Lu 18:1; Ro 12:12
1 The. 5:18Efe 5:20; Kol 3:17
1 The. 5:19Efe 4:30
1 The. 5:201Ko 14:1
1 The. 5:211Yo 4:1
1 The. 5:21Ebr 10:23
1 The. 5:22Ayu 2:3
1 The. 5:23Ro 15:33
1 The. 5:23Ebr 2:11; 1Pe 1:2
1 The. 5:231Ko 1:8
1 The. 5:25Ro 15:30
1 The. 5:26Ro 16:16; 1Ko 16:20; 2Ko 13:12
1 The. 5:27Kol 4:16; 2Pe 3:15
1 The. 5:28Ro 16:20
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wathesalonike 5:1-28

1 Wathesalonike

5 Sasa kwa habari ya nyakati na majira,+ akina ndugu, hamhitaji kuandikiwa kitu. 2 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua vema kabisa kwamba siku ya Yehova+ inakuja sawasawa kabisa kama mwizi usiku.+ 3 Wakati watakapokuwa wakisema:+ “Amani+ na usalama!” ndipo uharibifu+ wa ghafula utakapokuwa juu yao mara moja kama vile maumivu ya taabu juu ya mwanamke mwenye mimba;+ nao hawataponyoka hata kidogo.+ 4 Lakini ninyi, akina ndugu, hamko gizani,+ hivi kwamba siku hiyo iwafikie ninyi kama vile ambavyo ingewafikia wezi,+ 5 kwa maana ninyi nyote ni wana wa nuru+ na wana wa mchana.+ Sisi si wa usiku wala si wa giza.+

6 Kwa hiyo, basi, na tusiendelee kulala usingizi+ kama wengine,+ bali na tukae macho+ na kutunza akili zetu.+ 7 Kwa maana wale wanaolala usingizi+ wana desturi ya kulala usingizi usiku,+ na kwa kawaida wale wanaolewa, hulewa usiku. 8 Lakini kwa habari yetu sisi tulio wa mchana, na tutunze akili zetu na kuvaa bamba la kifuani+ la imani+ na upendo na lile tumaini la wokovu+ kama kofia ya chuma;+ 9 kwa sababu Mungu hakutuweka sisi tupate ghadhabu,+ bali tujipatie wokovu+ kupitia Bwana wetu Yesu Kristo.+ 10 Yeye alikufa kwa ajili yetu,+ ili, kama tunakaa macho au kama tumelala usingizi, tuishi pamoja naye.+ 11 Kwa hiyo endeleeni kufarijiana na kujengana,+ kama vile mnavyofanya.+

12 Sasa tunawaomba ninyi, akina ndugu, mwatilie maanani wale wanaofanya kazi kwa bidii kati yenu na kuwasimamia+ ninyi katika Bwana na kuwaonya ninyi; 13 na kuwafikiria kwa njia inayozidi ile ya kawaida katika upendo kwa sababu ya kazi yao.+ Iweni wenye kufanya amani mtu na mwenzake.+ 14 Kwa upande mwingine, tunawahimiza ninyi, akina ndugu, mwaonye wale wasio na utaratibu,+ semeni kwa kuzifariji nafsi zilizohuzunika,+ tegemezeni walio dhaifu, iweni wenye ustahimilivu+ kuelekea wote. 15 Angalieni kwamba mtu asimlipe mwingine yeyote ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote fuatilieni yaliyo mema kuelekea mtu na mwenzake na kwa wengine wote.+

16 Shangilieni sikuzote.+ 17 Salini bila kuacha.+ 18 Kuhusiana na kila jambo toeni shukrani.+ Kwa maana hayo ndiyo mapenzi ya Mungu katika muungano na Kristo Yesu kwa habari yenu. 19 Msiuzime moto wa roho.+ 20 Msiyatendee kwa dharau maneno ya unabii.+ 21 Hakikisheni mambo yote;+ shikeni sana yaliyo mazuri.+ 22 Jiepusheni na kila namna ya uovu.+

23 Yule Mungu wa amani+ na awatakase ninyi kikamilifu.+ Na vikiwa timamu katika kila jambo, roho na nafsi na mwili wenu akina ndugu na vihifadhiwe kwa namna isiyo na lawama wakati wa kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo.+ 24 Yeye anayewaita ninyi ni mwaminifu, naye atafanya hilo pia.

25 Akina ndugu, endeleeni kusali kwa ajili yetu.+

26 Mwasalimu ndugu wote kwa busu takatifu.+

27 Nawaweka ninyi chini ya wajibu mzito kwa Bwana ili barua hii isomewe ndugu wote.+

28 Fadhili zisizostahiliwa+ za Bwana wetu Yesu Kristo na ziwe pamoja nanyi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki