Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Waebrania—Yaliyomo

      • Himizo na salamu za kumalizia (1-25)

        • Msisahau kuwakaribisha wageni (2)

        • Ndoa na iheshimiwe (4)

        • Watiini wale wanaoongoza (7, 17)

        • Kutoa dhabihu ya sifa (15, 16)

Waebrania 13:1

Marejeo

  • +1Th 4:9; 1Pe 1:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2016, kur. 8-9

    2016 Kitabu cha Mwaka, kur. 2-3

    Mnara wa Mlinzi,

    8/1/1997, kur. 14-19

    12/15/1989, uku. 15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 8/1 14-19

Waebrania 13:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuwaonyesha wageni fadhili; kuwa wakarimu.”

Marejeo

  • +Ro 12:13; 1Ti 3:2
  • +Mwa 18:2, 3; 19:1-3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2016, kur. 8-12

    1/2016, kur. 9-10

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/2012, kur. 18-19

    10/1/1996, kur. 11-12

    12/15/1989, uku. 15

    “Kila Andiko,” uku. 18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 9/1 18-19; w96 10/1 11-12

Waebrania 13:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “waliofungwa; walio katika vifungo.”

  • *

    Au labda, “kana kwamba mnateseka pamoja nao.”

Marejeo

  • +Kol 4:18
  • +Ro 12:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2016, uku. 10

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1997, uku. 29

    12/15/1989, uku. 15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 11/15 29

Waebrania 13:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi, “Uasherati.”

Marejeo

  • +Met 5:16, 20; Mt 5:28
  • +Met 6:32; 1Ko 6:9, 10, 18; Gal 5:19, 21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 184

    Furahia Maisha Milele!, somo la 41

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2018, uku. 10

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, kur. 148-154

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2016, uku. 10

    “Upendo wa Mungu,” kur. 123-132

    Amkeni!,

    5/8/2004, uku. 20

    1/8/2001, uku. 10

    3/8/1993, uku. 27

    Ujuzi, uku. 122

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1993, kur. 12-17

    12/15/1989, uku. 15

    6/1/1989, uku. 13

    5/15/1988, uku. 4

    Kuishi Milele, uku. 244

    Kutoa Sababu, uku. 226

    Amani na Usalama, kur. 143-147

  • Fahirishi ya Machapisho

    lv 123-130, 132; rs 226; g04 5/8 20; g01 1/8 10

Waebrania 13:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “vya sasa.”

Marejeo

  • +1Ti 6:10
  • +Met 30:8, 9; 1Ti 6:8
  • +Kum 31:6, 8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    2/2024, kur. 2-7

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 166

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    11/2023, uku. 7

    Furahia Maisha Milele!, somo la 37

    Amkeni!,

    Na. 1 2021 uku. 8

    9/2015, uku. 5

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2020, uku. 12

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2016, uku. 10

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2014, uku. 26

    10/1/2006, uku. 29

    10/15/2005, kur. 8-11

    6/1/2001, uku. 8

    9/1/1998, kur. 20-21

    8/15/1998, kur. 10-11

    12/15/1989, uku. 15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 10/1 29; w05 10/15 8-11; w01 6/1 8; w98 8/15 10-11; w98 9/1 20-21

Waebrania 13:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Zb 118:6; Da 3:17; Lu 12:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2022, uku. 8

    Furahia Maisha Milele!, somo la 59

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2020, kur. 12-17

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2016, kur. 10-11

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2001, uku. 8

    12/15/1989, uku. 15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w01 6/1 8

Waebrania 13:7

Marejeo

  • +1Ti 5:17; Ebr 13:17
  • +1Ko 11:1; 2Th 3:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tengenezo, kur. 17, 20-23

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    2/2017, uku. 28

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2016, uku. 11

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/2007, uku. 28

    3/15/2002, kur. 17-18

    5/15/1998, kur. 11, 18

    1/15/1994, uku. 20

    12/15/1989, uku. 20

    9/15/1989, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 4/1 28; w02 3/15 17-18; w98 5/15 11, 18

Waebrania 13:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

Waebrania 13:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, sheria zinazohusu chakula.

Marejeo

  • +Ro 14:17; 1Ko 8:8; Kol 2:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

Waebrania 13:10

Marejeo

  • +1Ko 9:13; 10:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2003, kur. 29-30

    7/1/1996, kur. 14-15

    12/15/1989, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w03 2/15 29-30; w96 7/1 15

Waebrania 13:11

Marejeo

  • +Law 16:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

Waebrania 13:12

Marejeo

  • +Yoh 19:17
  • +Ebr 9:13, 14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

Waebrania 13:13

Marejeo

  • +Ro 15:3; 2Ko 12:10; 1Pe 4:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

Waebrania 13:14

Marejeo

  • +Ebr 11:10; 12:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1990, kur. 30-31

    12/15/1989, uku. 20

Waebrania 13:15

Marejeo

  • +Law 7:12; Zb 50:14, 23
  • +Zb 69:30, 31; Ho. 14:2
  • +Ro 10:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/2007, uku. 20

    12/1/2003, uku. 17

    5/1/2003, kur. 28-29

    8/15/2000, kur. 20-21

    9/15/1994, uku. 10

    6/1/1993, uku. 11

    12/15/1989, uku. 20

    Siku ya Yehova, kur. 167-168, 178

    Huduma ya Ufalme,

    10/1995, uku. 1

    “Kila Andiko,” uku. 247

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 4/1 20; jd 168, 178; w03 5/1 28-29; w03 12/1 17; w00 8/15 20-21

Waebrania 13:16

Marejeo

  • +Ro 12:13
  • +Flp 4:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2012, uku. 23

    11/1/2005, uku. 7

    12/15/1989, uku. 20

    10/15/1988, uku. 21

    Huduma ya Ufalme,

    4/2005, uku. 1

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 1/15 23; w05 11/1 7; km 4/05 1

Waebrania 13:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuzilinda nafsi zenu.”

Marejeo

  • +1Th 5:12
  • +Efe 5:21; 1Pe 5:5
  • +Mdo 20:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2023, uku. 10

    Furahia Maisha Milele!, somo la 20

    “Upendo wa Mungu,” kur. 48-49

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2013, kur. 21-25

    6/15/2011, kur. 25-26

    4/1/2007, kur. 24, 28-30

    3/15/2002, kur. 15-17

    6/15/2001, kur. 20-21

    6/1/1999, kur. 17-18

    5/15/1998, uku. 18

    7/15/1993, uku. 25

    7/1/1992, uku. 15

    6/1/1992, kur. 17-18

    12/15/1989, uku. 20

    9/15/1989, kur. 21-22

    9/15/1988, uku. 29

    6/1/1986, kur. 23-24

    Amani na Usalama, kur. 139-140

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 6/15 25-26; lv 48-49; w07 4/1 24, 28-30; od 38; w02 3/15 15-17; w01 6/15 20-21; w99 6/1 17-18; w98 5/15 18

Waebrania 13:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “njema.”

Marejeo

  • +2Ko 1:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, uku. 207

    Furahia Maisha Milele!, somo la 36

    Amkeni!,

    Na. 1 2021 uku. 8

    Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),

    Na. 1 2016 kur. 6-7

    The Watchtower,

    7/15/2005, kur. 28-29

    2/1/2004, uku. 32

    12/15/1989, uku. 20

    2/15/1988, uku. 4

    11/15/1986, kur. 11, 12-14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 7/15 28-29; w04 2/1 32; cl 207

Waebrania 13:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, uku. 207

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    cl 207

Waebrania 13:20

Marejeo

  • +1Pe 5:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 520

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2008, uku. 32

    4/15/1998, uku. 31

    2/15/1998, uku. 16

    2/1/1998, kur. 22-23

    12/15/1989, uku. 20

    Usalama Ulimwenguni Pote, kur. 103, 104-105

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 10/15 32; w98 2/1 22-23; w98 2/15 16; w98 4/15 31

Waebrania 13:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

Waebrania 13:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

Waebrania 13:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

Waebrania 13:24

Marejeo

  • +Mdo 27:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

Waebrania 13:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Ebr. 13:11Th 4:9; 1Pe 1:22
Ebr. 13:2Ro 12:13; 1Ti 3:2
Ebr. 13:2Mwa 18:2, 3; 19:1-3
Ebr. 13:3Kol 4:18
Ebr. 13:3Ro 12:15
Ebr. 13:4Met 5:16, 20; Mt 5:28
Ebr. 13:4Met 6:32; 1Ko 6:9, 10, 18; Gal 5:19, 21
Ebr. 13:51Ti 6:10
Ebr. 13:5Met 30:8, 9; 1Ti 6:8
Ebr. 13:5Kum 31:6, 8
Ebr. 13:6Zb 118:6; Da 3:17; Lu 12:4
Ebr. 13:71Ti 5:17; Ebr 13:17
Ebr. 13:71Ko 11:1; 2Th 3:7
Ebr. 13:9Ro 14:17; 1Ko 8:8; Kol 2:16
Ebr. 13:101Ko 9:13; 10:18
Ebr. 13:11Law 16:27
Ebr. 13:12Yoh 19:17
Ebr. 13:12Ebr 9:13, 14
Ebr. 13:13Ro 15:3; 2Ko 12:10; 1Pe 4:14
Ebr. 13:14Ebr 11:10; 12:22
Ebr. 13:15Law 7:12; Zb 50:14, 23
Ebr. 13:15Zb 69:30, 31; Ho. 14:2
Ebr. 13:15Ro 10:9
Ebr. 13:16Ro 12:13
Ebr. 13:16Flp 4:18
Ebr. 13:171Th 5:12
Ebr. 13:17Efe 5:21; 1Pe 5:5
Ebr. 13:17Mdo 20:28
Ebr. 13:182Ko 1:12
Ebr. 13:201Pe 5:4
Ebr. 13:24Mdo 27:1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Waebrania 13:1-25

Kwa Waebrania

13 Upendo wenu wa kindugu na uendelee.+ 2 Msisahau kuwakaribisha wageni,*+ kwa maana kwa kufanya hivyo watu fulani bila kujua waliwakaribisha malaika.+ 3 Wakumbukeni wale walio gerezani,*+ kana kwamba mmefungwa pamoja nao,+ na wale wanaoteswa, kwa kuwa ninyi pia mko katika mwili.* 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kisiwe na unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati* na wazinzi.+ 5 Njia yenu ya maisha iwe bila upendo wa pesa,+ huku mkiridhika na vitu mlivyo navyo.*+ Kwa maana amesema: “Sitakuacha wala kukutupa kamwe.”+ 6 Ili tuwe hodari na kusema: “Yehova* ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu atanifanya nini?”+

7 Wakumbukeni wale wanaoongoza kati yenu,+ ambao wamelisema neno la Mungu kwenu, nanyi mnapotafakari matokeo ya mwenendo wao, igeni imani yao.+

8 Yesu Kristo ni yuleyule jana, leo, na milele.

9 Msipotoshwe na mafundisho mbalimbali yaliyo mageni, kwa maana ni bora moyo uimarishwe kwa fadhili zisizostahiliwa, bali si kwa vyakula,* ambavyo haviwanufaishi wale wanaojishughulisha navyo.+

10 Sisi tuna madhabahu ambayo wale wanaofanya utumishi mtakatifu katika hema hawana mamlaka ya kula kilicho juu yake.+ 11 Kwa maana miili ya wanyama ambao kuhani mkuu hupeleka damu yao ndani ya mahali patakatifu kama toleo la dhambi huteketezwa nje ya kambi.+ 12 Kwa hiyo, Yesu pia aliteseka nje ya lango la jiji+ ili awatakase watu kwa damu yake mwenyewe.+ 13 Basi, acheni twende kwake nje ya kambi, tukiibeba shutuma aliyoibeba,+ 14 kwa maana hapa hatuna jiji linalodumu, bali tunatafuta kwa bidii lile litakalokuja.+ 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo yetu+ ambalo hulitangaza jina lake hadharani.+ 16 Zaidi ya hayo, msisahau kutenda mema na kushiriki vitu vyenu pamoja na wengine,+ kwa maana Mungu hupendezwa na dhabihu kama hizo.+

17 Watiini wale wanaoongoza kati yenu+ na mnyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuwalinda ninyi* kama wale watakaotoa hesabu,+ ili wafanye hivyo kwa shangwe na si kwa huzuni, kwa maana kufanya hivyo kungewadhuru ninyi.

18 Endeleeni kusali kwa ajili yetu, kwa maana tuna hakika kwamba tuna dhamiri nyoofu,* kwa kuwa tunataka kujiendesha kwa unyoofu katika mambo yote.+ 19 Lakini hasa ninawahimiza ninyi msali kwamba nirudi kwenu haraka iwezekanavyo.

20 Basi Mungu wa amani, aliyemrudisha kutoka kwa wafu mchungaji mkuu+ wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano linalodumu milele, 21 awape vifaa vyote vyema ili mfanye mapenzi yake, akitenda ndani yetu kupitia Yesu Kristo mambo yanayopendeza machoni pake, na awe na utukufu milele na milele. Amina.

22 Sasa ninawahimiza, akina ndugu, msikilize kwa subira neno hili la kutia moyo, kwa maana nimewaandikia barua fupi. 23 Ningependa kuwajulisha kwamba ndugu yetu Timotheo ameachiliwa huru. Akija hivi karibuni, nitakuja pamoja naye kuwaona.

24 Wapeni salamu zangu wote wanaoongoza kati yenu na watakatifu wote. Wale walio Italia+ wanawatumia salamu zao.

25 Fadhili zisizostahiliwa na ziwe pamoja nanyi nyote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki