Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Maombolezo—Yaliyomo

      • Jiji la Yerusalemu lafananishwa na mjane

        • Limebaki ukiwa na kuachwa (1)

        • Dhambi nzito sana za Sayuni (8, 9)

        • Sayuni lakataliwa na Mungu (12-15)

        • Hakuna wa kulifariji Sayuni (17)

Maombolezo 1:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Sura ya 1-4 ni nyimbo za maombolezo zilizoandikwa kwa kufuata alfabeti ya Kiebrania au mpangilio wa kishairi.

Maombolezo 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wilaya za utawala.”

Marejeo

  • +Zb 122:3, 4
  • +1Fa 4:20
  • +Kum 28:15, 48; 2Fa 25:11, 12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 1:2

Marejeo

  • +Omb 1:16
  • +Yer 4:30; Eze 16:37
  • +Yer 30:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 1:3

Marejeo

  • +Law 26:33; 2Fa 24:14, 15; 25:21; Yer 39:9; 52:27
  • +Yer 17:4
  • +Kum 28:64

Maombolezo 1:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Wanawali.”

Marejeo

  • +Amo 8:10
  • +Isa 3:26

Maombolezo 1:5

Marejeo

  • +Zek 1:15
  • +2Nya 36:15, 16; Ne 9:33; Da 9:7, 16
  • +Yer 39:9; 52:30

Maombolezo 1:6

Marejeo

  • +Eze 24:21

Maombolezo 1:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kumdhihaki.”

Marejeo

  • +1Fa 10:27
  • +Yer 52:4
  • +Zb 137:7; Omb 2:16

Maombolezo 1:8

Marejeo

  • +Isa 1:4; 59:2; Eze 22:4
  • +Yer 13:22; Eze 23:29
  • +Yer 4:31

Maombolezo 1:9

Marejeo

  • +Yer 8:7
  • +Yer 50:29

Maombolezo 1:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, watu wa Yerusalemu.

Marejeo

  • +Yer 52:17, 19; Da 1:1, 2
  • +2Nya 36:17, 18; Zb 74:7; Yer 52:13

Maombolezo 1:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wahuishe nafsi.”

  • *

    Jiji la Yerusalemu linafananishwa na mwanamke.

Marejeo

  • +Yer 38:9; 52:6; Omb 2:12; 4:4

Maombolezo 1:12

Marejeo

  • +Yer 21:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 8

    9/1/1988, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 8

Maombolezo 1:13

Marejeo

  • +Zb 102:3

Maombolezo 1:14

Marejeo

  • +Law 26:37; Eze 11:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 1:15

Marejeo

  • +2Fa 24:14, 15
  • +2Nya 36:17
  • +Ufu 14:19; 19:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 8

    9/1/1988, kur. 26-27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 8

Maombolezo 1:16

Marejeo

  • +Yer 31:15

Maombolezo 1:17

Marejeo

  • +Yer 4:31
  • +Kum 28:49; 2Fa 24:1, 2; 25:1
  • +Omb 1:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 1:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nimekiasi kinywa chake.”

  • *

    Au “Wanawali.”

Marejeo

  • +Ne 9:33; Da 9:7
  • +1Sa 12:14, 15
  • +Kum 28:32

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 1:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “waihuishe nafsi.”

Marejeo

  • +Yer 30:14
  • +2Fa 25:3; Yer 38:9

Maombolezo 1:20

Marejeo

  • +Zb 107:11; Isa 1:2; 63:10
  • +Kum 32:25; Yer 15:2

Maombolezo 1:21

Marejeo

  • +Eze 25:6, 7; Oba 12
  • +Isa 13:19; Yer 25:12-14; Yoe 3:19
  • +Zb 137:8, 9; Isa 51:22, 23

Maombolezo 1:22

Marejeo

  • +Yer 51:35

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Omb. 1:1Zb 122:3, 4
Omb. 1:11Fa 4:20
Omb. 1:1Kum 28:15, 48; 2Fa 25:11, 12
Omb. 1:2Omb 1:16
Omb. 1:2Yer 4:30; Eze 16:37
Omb. 1:2Yer 30:14
Omb. 1:3Law 26:33; 2Fa 24:14, 15; 25:21; Yer 39:9; 52:27
Omb. 1:3Yer 17:4
Omb. 1:3Kum 28:64
Omb. 1:4Isa 3:26
Omb. 1:4Amo 8:10
Omb. 1:5Zek 1:15
Omb. 1:52Nya 36:15, 16; Ne 9:33; Da 9:7, 16
Omb. 1:5Yer 39:9; 52:30
Omb. 1:6Eze 24:21
Omb. 1:71Fa 10:27
Omb. 1:7Yer 52:4
Omb. 1:7Zb 137:7; Omb 2:16
Omb. 1:8Isa 1:4; 59:2; Eze 22:4
Omb. 1:8Yer 13:22; Eze 23:29
Omb. 1:8Yer 4:31
Omb. 1:9Yer 8:7
Omb. 1:9Yer 50:29
Omb. 1:10Yer 52:17, 19; Da 1:1, 2
Omb. 1:102Nya 36:17, 18; Zb 74:7; Yer 52:13
Omb. 1:11Yer 38:9; 52:6; Omb 2:12; 4:4
Omb. 1:12Yer 21:7
Omb. 1:13Zb 102:3
Omb. 1:14Law 26:37; Eze 11:9
Omb. 1:152Fa 24:14, 15
Omb. 1:152Nya 36:17
Omb. 1:15Ufu 14:19; 19:15
Omb. 1:16Yer 31:15
Omb. 1:17Yer 4:31
Omb. 1:17Kum 28:49; 2Fa 24:1, 2; 25:1
Omb. 1:17Omb 1:8
Omb. 1:18Ne 9:33; Da 9:7
Omb. 1:181Sa 12:14, 15
Omb. 1:18Kum 28:32
Omb. 1:19Yer 30:14
Omb. 1:192Fa 25:3; Yer 38:9
Omb. 1:20Zb 107:11; Isa 1:2; 63:10
Omb. 1:20Kum 32:25; Yer 15:2
Omb. 1:21Eze 25:6, 7; Oba 12
Omb. 1:21Isa 13:19; Yer 25:12-14; Yoe 3:19
Omb. 1:21Zb 137:8, 9; Isa 51:22, 23
Omb. 1:22Yer 51:35
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Maombolezo 1:1-22

Maombolezo

א [Aleph]*

1 Lo! Jiji lililokuwa limejaa watu+ sasa limebaki ukiwa!

Limekuwa kama mjane, jiji lililokuwa na watu wengi miongoni mwa mataifa!+

Jiji lililokuwa binti ya mfalme kati ya mikoa* limefanywa kuwa mtumwa!+

ב [Beth]

 2 Binti huyo analia sana usiku,+ na machozi yake yamefunika mashavu yake.

Miongoni mwa wapenzi wake wote hakuna yeyote wa kumfariji.+

Marafiki zake wote wamemsaliti;+ wamekuwa maadui wake.

ג [Gimel]

 3 Yuda amepelekwa uhamishoni+ kwa mateso na utumwa wa kikatili.+

Ni lazima akae miongoni mwa mataifa;+ hana mahali pa kupumzika.

Wote waliokuwa wakimtesa wamemkabili katika mateso yake.

ד [Daleth]

 4 Barabara zinazoelekea Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+

Malango yake yote yamebaki ukiwa;+ makuhani wake wanalia kwa uchungu.

Mabikira* wake wanaomboleza, naye analia kwa maumivu makali.

ה [He]

 5 Wapinzani wake sasa ni mabwana wakubwa wake; maadui wake hawajali.+

Kwa maana Yehova amemletea huzuni kwa sababu ya dhambi zake nyingi.+

Adui amewapeleka watoto wake utekwani.+

ו [Waw]

 6 Fahari yote ya binti ya Sayuni imetoweka.+

Wakuu wake ni kama paa dume waliokosa malisho,

Nao wanatembea kwa uchovu mbele ya yule anayewafuatia.

ז [Zayin]

 7 Katika siku za mateso yake na za kukosa makao, Yerusalemu hukumbuka

Vitu vyote vyenye thamani vilivyokuwa vyake siku za zamani za kale.+

Watu wake walipotiwa mikononi mwa adui, naye hakuwa na msaidizi,+

Maadui walimwona na kumcheka* alipoanguka.+

ח [Heth]

 8 Yerusalemu ametenda dhambi nzito sana.+

Ndiyo sababu amekuwa kitu kinachochukiza sana.

Wote waliokuwa wakimheshimu sasa wanamtendea kama kitu kinachodharauliwa, kwa maana wameuona uchi wake.+

Yeye mwenyewe analia kwa maumivu+ na kujificha kwa aibu.

ט [Teth]

 9 Uchafu wake umo ndani ya mavazi yake.

Hakufikiria wakati wake ujao.+

Alianguka kwa njia ya kushangaza; hana yeyote wa kumfariji.

Ee Yehova, yaangalie mateso yangu, kwa sababu adui amejitukuza.+

י [Yod]

10 Adui amechukua hazina zake zote.+

Kwa maana ameona* mataifa yakiingia mahali pake patakatifu,+

Watu ulioamuru wasiingie katika kutaniko lako.

כ [Kaph]

11 Watu wake wote wanalia kwa uchungu; wanatafuta mkate.+

Wamewapa vitu vyao vyenye thamani ili wapate kitu cha kula, angalau waendelee kuishi.*

Tazama, Ee Yehova, uone kwamba nimekuwa kama mwanamke asiyefaa kitu.*

ל [Lamed]

12 Enyi nyote mnaopita njiani, mateso yangu kwenu si kitu?

Tazameni mwone!

Je, kuna maumivu kama maumivu niliyoletewa,

Ambayo Yehova aliniletea katika siku ya hasira yake kali?+

מ [Mem]

13 Kutoka juu sana ameushusha moto mifupani mwangu,+ naye anautiisha kila mfupa.

Ametandaza wavu wa kunasa miguu yangu; amenilazimisha nirudi nyuma.

Amenifanya kuwa mwanamke aliye ukiwa.

Mchana kutwa mimi ni mgonjwa.

נ [Nun]

14 Dhambi zangu zimefungwa kama nira, mkono wake umezifunga pamoja.

Zimewekwa shingoni mwangu, nami nimeishiwa na nguvu.

Yehova amenitia mikononi mwa watu ambao siwezi kuwapinga.+

ס [Samekh]

15 Yehova amewatupa pembeni watu wote wenye nguvu kati yangu.+

Ameukusanya umati wa watu dhidi yangu ili kuwaponda vijana wangu wa kiume.+

Yehova amemkanyaga binti bikira wa Yuda katika shinikizo la divai.+

ע [Ayin]

16 Ninalia kwa sababu ya mambo haya;+ macho yangu yanatiririka machozi.

Kwa maana yeyote ambaye angenifariji au kuniburudisha yuko mbali sana nami.

Wanangu wamebaki ukiwa, kwa maana adui ameshinda.

פ [Pe]

17 Sayuni amenyoosha mikono yake;+ hana wa kumfariji.

Yehova amewaagiza maadui wote wanaomzunguka Yakobo wamshambulie.+

Yerusalemu limekuwa kitu cha kuchukiza sana kwao.+

צ [Tsade]

18 Yehova ni mwadilifu,+ kwa kuwa nimeasi amri zake.*+

Sikilizeni, enyi mataifa yote, mwone maumivu yangu.

Mabikira* wangu na vijana wangu wa kiume wamepelekwa utekwani.+

ק [Qoph]

19 Nimewaita wapenzi wangu, lakini wamenisaliti.+

Makuhani wangu na wazee wangu wameangamia jijini,

Walipokuwa wakitafuta chakula ili waendelee kuishi.*+

ר [Resh]

20 Tazama, Ee Yehova, kwa maana ninateseka sana.

Matumbo yangu yanasukasuka.

Moyo wangu umepinduka ndani yangu, kwa maana nimekuwa mwasi kabisa.+

Nje, upanga unaangamiza;+ ndani ya nyumba, ni kama kifo.

ש [Shin]

21 Watu wamesikia kilio changu cha uchungu; hakuna yeyote wa kunifariji.

Maadui wangu wote wamesikia kuhusu msiba wangu.+

Wanashangilia, kwa sababu uliuleta.

Lakini utaleta siku uliyotangaza,+ wakati huo watakuwa kama mimi.+

ת [Taw]

22 Uovu wao wote na uje mbele zako, na uwatese vikali,+

Kama tu ulivyonitesa vikali kwa sababu ya dhambi zangu zote.

Kwa maana vilio vyangu vya uchungu ni vingi, na moyo wangu ni mgonjwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki