Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • dx96-12
  • Sala

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Sala
  • Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
dx96-12

SALA

(Ona pia Dua; Sala ya Kielelezo)

agano la Sheria: w08 2/1 12; w06 9/1 23-24

amina: w09 6/1 27; w06 9/1 28

inafaa kusema amina: bh 170

ikiwa ni lazima kwenda kwenye jengo la ibada ili kusali: g 8/12 14-15

imani inaimarishwa kwa kusali: w03 9/15 17-18; w99 1/1 17-18

imani na desturi za dini mbalimbali:

dini nyingi zaungana na Kanisa Katoliki katika maombi ya amani huko Assisi, Italia (2002): g02 10/22 4-8

Dini ya Kiyahudi: w08 1/1 4

Kanisa Katoliki lapanga “Siku ya Ulimwengu ya Sala kwa Ajili ya Amani,” huko Assisi, Italia (1986): re 249-251

kitabu cha sala cha Kanisa la Anglikana: g05 4/22 28-29

kituo cha Intaneti cha Kanisa la Anglikana: g99 11/8 29

kusali kwa Maria: w09 1/1 9-10; g 7/06 30; g05 9/8 26-27; rs 185

kusali kwa “watakatifu”: g 11/10 20-21; rs 406-407; w02 7/1 8; w02 9/15 4-6; w97 2/15 28; w96 7/15 3-4

kuwaombea wafu: g 10/06 10-11; rs 209; w97 11/15 31

Rozari: g05 9/8 27; g03 6/8 29; w96 7/15 4

Waislamu: g 4/12 17

kama inafaa kusali kuwahusu wale waliotengwa na ushirika: jr 139; w01 12/1 30-31

kama Mungu anasikia sala: w12 7/1 3-6; w11 9/1 16

kama sala ina manufaa: w04 6/15 32; w00 11/15 3-4

kinachowafanya watu wasali: w10 10/1 3; w00 11/15 3-4

kuboresha sala: g 11/08 26-28; w02 12/15 11-12; w97 7/1 28-29

kudumu katika sala: w09 2/1 17; w06 9/1 28; w03 1/15 25; w99 1/15 13; dp 310-311

kufunika kichwa:

wanawake: lv 209-210; rs 402-404

kukesha kuhusiana na sala: w12 1/15 11-12; w12 2/15 4-5

kumsihi Mungu: w09 11/15 3

kusali kwa kuendelea:

mfano kumhusu mjane na mwamuzi (Lu 18): w06 12/15 25-29

mfano kumhusu rafiki aliyeendelea kuomba (Lu 11): w06 12/15 20-22

“msiache [Yehova] anyamaze” (Isa 62:7): ip-2 343-344

kusali kwa njia inayofaa: w11 9/1 16; g 11/08 19; w06 9/1 23, 28; w04 8/15 18-19; w98 9/15 22; rq 14-15

“endeleeni kuomba” (Mt 7:7): w09 2/15 18; w99 1/15 18

faraghani: w10 10/1 9; w09 2/15 16; w96 7/15 6

kimoyo-moyo: w08 2/15 3; lr 68-69

kufikiria mapema mambo ya kutaja: w99 1/15 16

kusali kwa shukrani: w99 5/15 21-24

kutaja mambo hususa: kp 27; w03 4/15 30-31; w00 12/15 15-16

kwa heshima: w09 11/15 10-11

kwa imani: w10 10/1 6; w09 11/15 9-10; w99 1/15 10-11

‘msali mkiwa na roho takatifu’ (Yuda 20): w98 6/1 19

kusali kwa njia isiyofaa au kuhusu mambo yasiyofaa:

desturi ya kurudia-rudia maneno: w09 2/15 16; g 11/08 18-19; w99 1/15 17-18; w96 7/15 7

kujionyesha: w09 2/15 15-16; w96 7/15 6

kuomba Ufalme uje duniani: w96 6/1 31

kusali kwa malaika: w06 1/15 5; w04 4/1 32

kusali kwa Yesu: w05 1/1 31

kuwashauri wengine: w09 2/15 17

mapendezi ya mtu binafsi tu: w11 11/15 7

michezo: g00 4/22 29

mtu anapowakilisha wengine: w99 1/15 16-17

uponyaji wa mwili: w00 3/1 4

kutenda kupatana na sala: jr 124-125; bh 167; w02 8/1 29-30; w99 1/15 14-15

Hezekia wakati Waashuru walipotisha kuvamia Yuda: w11 11/15 7

kupambana na matatizo: w08 3/15 14

kutojua mambo ya kutaja katika sala (Ro 8:26, 27): w09 6/1 30; w09 11/15 7; w08 6/15 30; w05 4/15 18-19

‘kutosema mambo yaleyale tena na tena’ (Mt 6:7): w09 2/15 16; g 11/08 18-19

kuwakilisha wengine katika sala: w09 11/15 6; be 168

matakwa: w99 1/15 15-16

kuwa na hakika wakati wa kusali: w04 8/15 18-19

kwa nini mtu aendelee kuomba ingawa tayari Mungu anajua mahitaji yake? (Mt 6:8): w10 3/15 16

maelezo: w12 7/1 3-10; w10 10/1 3-11; w09 11/15 3-11; w06 9/1 22-31; bh 164-173; od 213-215; rs 257-260; cl 313-314; g02 9/8 26-27; w99 1/15 10-20; w97 7/1 27-30; w96 7/15 3-7; rq 14-15

mafundisho ya Yesu kuhusu sala: w09 2/1 16-17; w09 2/15 15-19

mafunzo ya Biblia: w08 1/15 12; km 3/05 4

kumfundisha mwanafunzi kusali: w00 6/1 17

mafunzo ya Biblia yanayoongozwa mlangoni: km 9/11 3; km 4/06 5

mahali pa kusali: w10 10/1 9

mambo yaliyoonwa:

asali ili Mashahidi wasibishe mlango: yb11 55

mhubiri Mkatoliki amwomba Shahidi awaombee: yb10 247

msichana mwanafunzi atoa sala kabla ya chakula cha mchana: yb05 54-55

mwenye mkahawa avutiwa na vijana wanaosali: g02 4/8 32

sala iliyotolewa kwa sauti yawachochea askari kutoiangamiza familia: yb12 198-199

sala yamvutia mtekaji nyara: yb05 21-22

sala ya watoto mapacha yamchochea baba aache kuvuta sigara: w10 12/15 27-28

walitilia shaka kuwepo kwa Mungu: w12 7/1 8-10

mambo yanayofaa kutajwa katika sala: w12 5/15 25; w09 2/1 17; yp2 293; w06 9/1 23, 25-26, 28-30; bh 168-169; od 214; rs 259-260; lr 70-71; rq 15

dhambi nzito: w09 11/15 3, 11

funzo la kibinafsi la Biblia: w12 1/15 15; km 11/03 4; be 28

hali ya kukata tamaa: yp1 102-103; g 5/08 28; g00 5/8 21

hekima: w12 7/15 15; w10 10/1 10; w09 11/15 8-9; w99 11/15 26; w97 11/15 9

huduma ya shambani: km 5/10 2; w08 7/15 8; w06 7/15 13; wt 169; km 7/99 1

huzuni kuhusu mpendwa aliyemwacha Yehova: w06 9/1 21

imani: w08 6/15 14

jitihada za kuacha kupiga punyeto: g97 5/22 20

kuchagua mume au mke: w11 10/15 15; w09 11/15 11; g01 7/22 14

kufundisha Biblia: be 56, 136-137

kuielewa Biblia: w09 7/1 4-5

kukubali mafundisho ya kiroho: be 14

kuomba msamaha kwa niaba ya wengine: w03 3/1 30-31

kuomba mwongozo: w10 10/1 10; jr 114-115, 124-125; w09 11/15 7-8

kuomba serikali ziwe na amani: w96 5/1 11

kupinga vishawishi: w11 11/15 8-10; w06 9/1 29; kp 25-26; w01 3/15 13, 17

kushuka moyo: g 7/09 6-9

kushukuru: w10 10/1 10; w09 11/15 3-4, 10; w99 1/15 18-19

“kwa ajili ya wafalme” (1Ti 2:2): w96 5/1 20

maamuzi: w11 11/15 7-8; w08 5/1 5; w01 9/1 28; g01 7/22 14

mafunzo ya Biblia nyumbani: km 10/12 7; km 7/03 1

mahangaiko: w09 11/15 8

majaribu: w02 4/1 19; w97 11/15 22-23

matatizo ya mtu binafsi: w10 1/1 7; w03 9/15 18; g02 9/8 27; g01 7/22 14-15; w00 3/15 7-8

Mkristo mwenzetu aliyetubu: w12 11/15 30

msamaha wa dhambi: w10 10/1 8, 10; w06 6/1 10-11; w06 9/1 30; w99 1/15 19

mtu aliyetengwa na ushirika ambaye ametubu: w01 12/1 31

roho takatifu: w11 3/15 11; w09 10/1 8; w06 12/15 20-24; w04 12/15 20; ip-1 160

sala ya kielelezo: g 2/12 12-13; w10 10/1 7-8; w09 2/15 17-18

sifa: w10 10/1 10; w09 11/15 10; w99 1/15 11-12

taabu: w10 10/1 10; w04 8/15 18-19; w01 9/1 17

udhaifu wa mtu binafsi: w03 9/1 17-18; w03 9/15 19

ugonjwa: w11 12/15 28-29; w03 9/1 16; w00 3/1 4; w00 4/15 6

ujasiri: w09 11/15 11; bt 32, 34-35

ujasiri katika huduma: w10 2/15 6-7

uponyaji wa kiroho: w00 3/1 4

usadikisho: w00 12/15 21-24

usomaji wa Biblia: w10 7/1 20; g01 8/22 24; w00 10/1 11-12; w00 10/15 5

Wakristo wenzetu wanaoteseka: w12 1/15 11-12; bt 79

Wakristo wenzi: w09 11/15 4-5; w08 2/15 3-4; w07 6/1 29; od 167-168; w00 12/15 15-16; w97 11/15 23-24

watesaji: w09 10/15 10-11; w07 7/1 24; w05 12/15 23

watoto waliotengwa na ushirika: w01 10/1 16-17

mambo yanayofanya sala zisikubalike: rs 258-259; w00 11/15 4

hatia ya damu: ip-1 24-25

kutomheshimu mke: w07 2/15 14-15; w06 5/15 32

kuwa na moyo usiotii: w03 5/1 9-10

kuzoea kutenda dhambi: w06 9/1 26; w03 8/15 14-15

mambo yanayofunuliwa na sala ya mtu: w09 11/15 5-6; w05 12/1 19; w01 10/15 24

manufaa: yp1 102-103; w10 10/1 10; g 5/08 28; g01 7/22 13-15; w97 11/15 22-24

amani ya akili inaongezeka: w09 7/1 12; w08 3/15 14; g01 7/22 14-15

faraja: w10 11/15 19; w07 5/1 4-5; w00 4/15 6; w99 1/15 19-20

manufaa ya kuwaombea wengine: w10 10/1 10; w07 6/1 29; g 2/06 6-7

msaada wa kulinda moyo: w12 4/15 17

mtu anapokosa uhakika: w04 2/1 30-31

sala inamsaidia mtu awe na uhusiano wa karibu na Yehova: bh 188-189

sala inamsaidia mtu katika vita dhidi ya “majeshi ya roho waovu” (Efe 6:12, 18): bh 104-105; w04 9/15 20; g00 7/22 8; w99 4/15 21-22

sala inamsaidia mtu kutotarajia mengi mno: w00 8/1 30

sala inamsaidia mtu kuvumilia: cf 72-73

wakati wa matatizo: w04 2/15 8-9; w04 8/15 18-19; w03 9/15 18; w97 4/15 5-6

matakwa: w12 1/15 24; w09 2/1 16; w06 9/1 22, 26-27; bh 166-167; rs 257-258; g02 9/8 26-27; rq 15

kusali katika jina la Yesu: w10 10/1 6-7; g 11/10 21; w08 2/1 11-14; cf 19-20; w06 9/1 28; w02 4/15 31; g02 9/8 26-27

mwelekeo wa moyo: w09 11/15 9

watu wanaostahili kumfikia Mungu katika sala: w06 9/1 25

zinapaswa kuelekezwa kwa Yehova: w10 10/1 4-5; w10 12/1 7, 9; g 11/10 20-21; bh 167-168

zinapaswa kupatana na mapenzi ya Yehova: w10 10/1 6; w03 8/15 26-27

mifano katika Biblia: w09 11/15 7-11

Abrahamu: w06 9/1 23

Asa, alipokabili jeshi lenye askari milioni moja: w12 8/15 8-9; w99 1/15 12

Danieli: w11 1/1 22-23; w03 9/15 15; dp 310-311

Danieli asali ijapokuwa alikuwa amekatazwa (Da 6): w07 9/1 19; dp 117-120, 125-126

Danieli asali kuhusu dhambi (Da 9): dp 182-186

Daudi amwomba Mungu asafishe moyo wake (Zb 51:10): w07 5/15 17

Daudi asali kuhusu kupigana na maadui: w11 11/15 8

Daudi ashukuru kwa michango ya kujengea hekalu: w99 1/15 11

Eliya, mwishoni mwa kipindi cha ukame (1Fa 18:42): w09 1/1 15-16; w08 4/1 17-18

Eliya aomba moto ushuke kutoka mbinguni katika Mlima Karmeli (1Fa 18:36, 37): w10 10/1 4-5

Epafra: w08 2/15 3-4; w00 12/15 15-16, 19-24; w97 5/15 31

Hana: w10 7/1 15-18; w09 11/15 9-10; w07 3/15 16-17

Isaya, awakilisha taifa (Isa 63:15–64:12): ip-2 360-365, 367-371, 373

Kornelio: w02 4/15 31

manufaa za kuzichunguza: w02 12/15 12

Maria (mama ya Yesu): w09 11/15 10-11; w08 7/1 16; w03 12/15 7

Mlawi aliyekuwa uhamishoni (Zb 42): w09 11/15 9

Nehemia: w09 11/15 10

Sauli (Mfalme), sala zake hazikujibiwa: w03 5/1 9

Sulemani, wakati wa kuweka wakfu hekalu: w09 11/15 9; w05 7/1 30; w99 1/15 17; w96 7/1 12

Yakobo, kabla ya kukutana na Esau (Mwa 32): w09 11/15 8

Yehoshafati, alipokabili majeshi yaliyoungana: w11 11/15 8; w09 6/15 8; w03 5/1 9; w99 1/15 12-13

Yeremia: jr 117-119

Yesu Kristo: w12 2/15 5; w09 11/15 11; w07 8/1 5-6; cf 72-73, 134, 136; w03 9/15 16; lr 67-71; w98 11/15 14

Yona, akiwa katika tumbo la samaki: w09 1/1 28; jd 92

mifano ya Yesu:

Farisayo na mkusanya-kodi (Lu 18): lr 112-116

mjane na mwamuzi (Lu 18): w06 12/15 25-29

rafiki aliyeendelea kuomba (Lu 11): w06 12/15 20-22

mkao wa mwili wakati wa kusali: w06 9/1 28; bh 168; lr 69-70

nyakati za Biblia: w10 12/1 11

mtazamo unaofaa wakati wa kusali: w11 11/15 7

kufikiria kusudi la Yehova: w11 11/15 7

mtu anajiweka wakfu katika sala: bh 179; w98 11/15 11-12

mtu anapohisi hastahili kusali: g 7/09 6; w06 6/1 10-11; w06 9/1 30; w04 8/15 18-19; w03 9/15 19-20; w00 3/1 6-7; w99 1/15 19; w97 7/1 29-30

mtu anaposhindwa kueleza anavyohisi: g 7/09 7

mtu asipojua la kufanya: w09 6/15 8; w99 1/15 12-13

mume na mke: w08 3/15 10; w08 9/15 18

mwenye nyumba anapotaka kusali pamoja nasi: rs 260

nyakati za Biblia:

mikao ya mwili: w10 12/1 11

‘roho takatifu hutuombea’ (Ro 8:26, 27): w09 6/1 30; w09 11/15 7; w08 6/15 30

sababu za kusali: w06 9/1 27-28; bh 164-166; w00 11/15 5-7

sala ya watu wote: w09 11/15 6; w99 1/15 15-17

jinsi ya kujiendesha wakati wa sala: w09 11/15 6-7

katika mikutano: w10 10/1 9; w10 10/15 20-21; w06 11/1 29; km 6/00 3

katika mikutano ya utumishi wa shambani: km 6/00 3

katika Mkutano wa Watu Wote: km 5/07 3; km 6/00 3

‘kuinua mikono yenye ushikamanifu’ (1Ti 2:8): w02 11/15 19; w99 1/15 15-16

sala zilizojibiwa (visa katika siku zetu): w98 1/1 5

asali ili atembelewe na mtu wa akanisa lao: yb12 76-77

dada aliyevunjika moyo kwa sababu ya umaskini: w97 9/15 4-5

mapainia wasiokuwa na chakula: w96 2/15 21

Mashahidi wamwomba Yehova awape ujasiri wa kusema: w10 2/15 6-7

matatizo ya kujiunga na utumishi wa wakati wote yatatuliwa: w06 9/1 30

mjane mwanamume: w08 7/1 7

Mwislamu aliyetoka katika kanisa kwenye uwanja wa ndege: w98 4/15 27

mzee aliyeshuka moyo: yb09 19

ndugu aliyedhibiti hisia alipotishwa kwa kisu: g01 7/22 14

ndugu aliyevunjika moyo kwa sababu ya kupooza: w06 6/1 19

painia afutwa kazi kwa sababu ya kuhudhuria kusanyiko: w11 1/15 30

sala ili Mashahidi wamtembelee: yb12 59; yb10 57; yb08 61; km 11/01 6; w00 4/15 23-24; km 4/98 4

wahubiri ambao hawajabatizwa wasali wakati wa uasi gerezani: w08 10/15 10-11

watu waliotaka kujiua: w11 8/1 21-22

wavulana waliohitaji mikoba mipya ya kuhubiri: yb04 44-45

ya kujua kama kuna kasoro katika ibada yake kwa Yehova: yb08 216-217

ya kujua mapenzi ya Mungu: yb08 47-48

ya kukutana na Mkristo wa kweli: yb04 59-60

ya kumjua Mungu: yb11 55

ya kumjua Mungu wa kweli: w09 6/15 12

ya kuonyeshwa kweli: yb09 55-56

ya kuonyeshwa njia inayofaa ya kumwabudu Mungu: w00 3/1 19

ya kupata chakula na nafasi ya kulala kitandani mwake tena: yb06 148-149

ya kupata dini ya kweli: w09 6/1 28; yb04 54-55

ya kupata faraja kupitia Neno lake: w00 3/1 5-6

ya kupata funzo la Biblia: yb09 49-50; w00 3/1 6; w96 10/15 32

ya kupata msaada wa kiroho: jv 550

ya kupata msaada wa kuielewa Biblia: w10 7/1 20; bt 59; w06 9/1 31; km 1/98 3

ya kupata msaada wa kujifunza kumhusu Yehova: yb09 186

ya kupata msaada wa kumrudia Yehova: w12 4/1 10-11; w00 3/1 6-7

ya kupata msaada wa kusuluhisha matatizo ya ndoa: w00 3/1 6

ya kupata msaada wa kutatua matatizo: yb12 79-80; w08 10/15 10-11; w00 11/15 6-7

ya kupata msaada wa kuvunja uhusiano usio wa maadili: yb04 52-53

ya kupata msaada wa kuwalea watoto: bt 70

ya kupata mtu anayependezwa: jv 551

ya kuwapata Mashahidi: w06 9/1 31; yb05 53-54; w00 4/15 25

ya kuweza kuhudhuria mikutano: yb11 249-250

Yehova amtume mchungaji: w97 1/1 15

sala zilizojibiwa (visa mbalimbali katika Biblia):

Kornelio: bt 69-70; w00 3/1 5

kutaniko lasali kwa ajili ya Petro (Mdo 12): w12 1/15 11-12

mtumishi wa Abrahamu: w09 11/15 7-8; w08 2/15 3; w02 5/15 14, 19-20; w00 3/1 3

Nehemia: w08 2/15 3

Paulo: w06 5/15 14

Yabesi: w10 10/1 23

sala zinafananishwa na—

“sauti moja kutoka katika zile pembe za madhabahu ya dhahabu” (Ufu 9:13): re 148

uvumba mtakatifu: w06 9/1 25; re 85, 87, 129-131; w99 1/15 10; w96 7/1 18, 21

sala zinafunua kama mtu ni rafiki ya Yehova: w97 7/1 27-30

sala zinazojibiwa: w06 9/1 30-31; w00 3/1 3-7; w97 4/15 6

jinsi Yehova anavyojibu: w10 10/1 11; g 7/09 7-8; w08 5/1 5; w08 10/15 10; bh 170-172; g02 9/8 27; g01 7/22 13-14

kinachofanya sala zote zisijibiwe: w09 1/1 30; w00 3/1 4

mambo ya kufanya ili Yehova ajibu sala: w10 10/1 11

wakati jibu linapoonekana kuchelewa: w06 7/15 12; w06 9/1 28; bh 172-173; w03 1/15 25; w03 9/15 20

sala zinazotumwa kwa barua pepe (e-mail):

zatumwa Yerusalemu: g97 6/22 28

tendo la ibada: g 11/10 21

uchunguzi (Australia): g96 8/8 28-29

ufafanuzi: w04 8/15 18; rs 257; w02 4/15 31

uhuru wa kusema wakati wa kusali: w06 5/15 16

ukawaida: bh 170

“bila kuacha” (1Th 5:17): w10 10/1 9; w03 9/15 15-20

“kila wakati” (Efe 6:18): w04 9/15 20; g00 7/22 8

umuhimu kwa Wakristo watiwa-mafuta: re 85, 87

“upendo mkamilifu hutupa woga nje” (1Yo 4:18): w04 10/1 29

urefu wa sala: bh 169; w03 9/15 17; w99 1/15 16

utakatifu: w06 11/1 24-25

utayari wa Yehova wa kusikia: w10 4/1 7; w10 12/1 9; jr 144-145; w05 12/1 19; w03 5/1 9; cl 313-314; g02 9/8 26; g01 6/22 25-27

Yehova mwenyewe anasikia sala: w10 12/1 7; w02 12/15 16-17; cl 247-248

vijana: yp1 102-103; w10 4/15 5-6; w10 11/15 13; yp2 293-295; g 5/08 28; g 11/08 26-28; w04 5/1 14; g02 2/22 30; g01 7/22 13-15

visa mbalimbali:

binti mdogo ya mtu aliyekufa katika shambulio la magaidi: g02 1/8 11

kifungo cha upweke: w03 9/15 15-16

kijana: w11 2/15 19

msichana anayejitahidi kuepuka kutaja mambo yaleyale kila wakati: yp2 291

wakati unaofaa wa kusali: w10 10/1 9; lr 67-68

wakati wa mlo: w99 1/15 16

wanadamu wana uhitaji wa kusali: w10 10/1 3

watoto:

kusali pamoja na watoto: g 11/12 10; w02 5/1 26-27

kuwafundisha kusali: w10 1/15 17-18; lr 67-71

wazee Wakristo:

kusali bila kuacha: w11 9/15 32

kusali pamoja na Wakristo walio wagonjwa kiroho: w97 11/15 23

Yehova anathamini sala za moyoni: w07 2/1 19

Yehova yuko tayari kusikiliza sala: w11 8/1 28; w10 10/1 23; cl 207; ip-1 309

Yesu Kristo: w09 11/15 11; cf 134, 136; w97 2/1 18-19

‘alitoa dua pamoja na vilio vyenye nguvu na machozi’ (Ebr 5:7): w07 2/15 27; cf 72

asali wakati wa ubatizo wake: w12 4/1 21; w10 8/15 9; w96 7/1 14

“kikombe hiki na kipitilie mbali,” ‘ukiondoe kikombe hiki’ (Mt 26:39; Mk 14:36; Lu 22:42): w11 5/15 18-19; lr 43

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki