Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho—Yaliyomo

      • Vielelezo vya kuonya kutokana na historia ya Israeli (1-13)

      • Onyo dhidi ya ibada ya sanamu (14-22)

        • Meza ya Yehova, meza ya roho waovu (21)

      • Uhuru na kuwafikiria wengine (23-33)

        • “Fanyeni mambo yote kwa utukufu wa Mungu” (31)

1 Wakorintho 10:1

Marejeo

  • +Kut 13:21
  • +Kut 14:21, 22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2001, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w01 6/15 14

1 Wakorintho 10:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2001, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w01 6/15 14

1 Wakorintho 10:3

Marejeo

  • +Kut 16:14, 15

1 Wakorintho 10:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ulikuwa.”

Marejeo

  • +Kut 17:6
  • +Hes 20:11; Yoh 4:10, 25

1 Wakorintho 10:5

Marejeo

  • +Hes 14:29, 35

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2001, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w01 6/15 14

1 Wakorintho 10:6

Marejeo

  • +Hes 11:4, 34

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    11/15/2010, uku. 27

    6/15/2001, kur. 14-15

    5/15/1999, kur. 16-17

    3/1/1995, uku. 16

    “Kila Andiko,” uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 11/15 27; w01 6/15 14-15; w99 5/15 16-17

1 Wakorintho 10:7

Marejeo

  • +Kut 32:4, 6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    11/15/2010, uku. 27

    6/15/2001, kur. 15-16

    5/15/1999, kur. 16-17

    3/1/1995, uku. 16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 11/15 27; w01 6/15 15-16; w99 5/15 16-17

1 Wakorintho 10:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Hes 25:1, 9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Upendo wa Mungu,” kur. 97-98

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    11/15/2010, uku. 27

    4/1/2004, uku. 29

    6/15/2001, kur. 16-17

    5/15/1999, kur. 16-17

    3/1/1995, kur. 16-17

    7/15/1992, kur. 4-5

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 11/15 27; lv 98; w04 4/1 29; w01 6/15 16-17; w99 5/15 16-17

1 Wakorintho 10:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Kum 6:16
  • +Hes 21:5, 6; Mt 4:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    11/15/2010, uku. 27

    6/15/2001, uku. 17

    3/1/1995, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 11/15 27; w01 6/15 17

1 Wakorintho 10:10

Marejeo

  • +Hes 14:2
  • +Hes 14:36, 37

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    11/15/2010, uku. 27

    6/15/2001, uku. 17

    3/1/1995, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 11/15 27; w01 6/15 17

1 Wakorintho 10:11

Marejeo

  • +Ro 15:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/1996, kur. 17-22

    “Kila Andiko,” uku. 213

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 6/15 17-22

1 Wakorintho 10:12

Marejeo

  • +Met 28:14; Lu 22:33, 34; Gal 6:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2001, uku. 11

    7/15/1989, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w01 3/15 11

1 Wakorintho 10:13

Marejeo

  • +1Pe 5:8, 9
  • +Lu 22:31, 32; 2Pe 2:9
  • +Isa 40:29; Flp 4:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    3/2024, uku. 4

    4/2019, uku. 3

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2023, kur. 12-13

    Mistari ya Biblia Yafafanuliwa, makala 46

    Ufahamu, uku. 724

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    2/2017, kur. 29-30

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2016, uku. 14

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2015, uku. 26

    4/15/2014, uku. 21

    4/15/2012, uku. 27

    11/15/2010, kur. 27-28

    5/15/2009, uku. 22

    3/15/2008, uku. 13

    3/15/2001, kur. 11-12, 13-14

    6/15/1996, uku. 11

    10/1/1991, kur. 10-11

    3/15/1987, uku. 25

    Kukesha!, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 4/15 27; w10 11/15 27-28; w09 5/15 22; w08 3/15 13; kp 26; w01 3/15 11-14; w96 6/15 11

1 Wakorintho 10:14

Marejeo

  • +Kum 4:25, 26; 2Ko 6:17; 1Yo 5:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Sababu, uku. 214

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 214

1 Wakorintho 10:16

Marejeo

  • +Mt 26:27, 28
  • +Mt 26:26; Lu 22:19; 1Ko 12:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2006, kur. 23-24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 2/15 23-24

1 Wakorintho 10:17

Marejeo

  • +Ro 12:5

1 Wakorintho 10:18

Marejeo

  • +Law 7:15

1 Wakorintho 10:20

Marejeo

  • +Kum 32:17
  • +Yud 6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2004, uku. 5

    1/15/1993, kur. 22-24

    12/1/1990, uku. 5

    Jitihada ya Ainabinadamu ya Kutafuta Mungu, kur. 93-94

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 2/15 5

1 Wakorintho 10:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Eze 41:22; Mal 1:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 24

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2019, uku. 30

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1994, kur. 8-13

    Kutoa Sababu, uku. 144

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 144

1 Wakorintho 10:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Kut 34:14; Kum 32:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/1986, kur. 8-9

1 Wakorintho 10:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “yanakubalika.”

Marejeo

  • +Ro 14:19; 15:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 35

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, kur. 84-85

    “Upendo wa Mungu,” kur. 72-73

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/1998, kur. 19-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    lv 72-73; w98 3/15 19-20

1 Wakorintho 10:24

Marejeo

  • +1Ko 10:32, 33; 13:4, 5; Flp 2:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 35

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, kur. 84-85

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2017, uku. 11

    “Upendo wa Mungu,” kur. 72-73

    Mwabudu Mungu, kur. 140-141

  • Fahirishi ya Machapisho

    lv 72-73; wt 140-141

1 Wakorintho 10:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    10/1/2010, uku. 12

    10/15/1992, uku. 30

    Amkeni!,

    11/8/1991, kur. 17-18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 10/1 12

1 Wakorintho 10:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Zb 24:1; 1Ti 4:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 213

1 Wakorintho 10:28

Marejeo

  • +1Ko 8:7, 10

1 Wakorintho 10:29

Marejeo

  • +Ro 14:15, 16; 1Ko 8:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Insight, uku. 501, 872▪

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 3/1 30

1 Wakorintho 10:30

Marejeo

  • +Ro 14:6; 1Ti 4:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Insight, uku. 501, 872▪

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 3/1 30

1 Wakorintho 10:31

Marejeo

  • +Mt 5:16; Kol 3:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 43

1 Wakorintho 10:32

Marejeo

  • +Ro 14:13; 1Ko 8:13; 2Ko 6:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 43

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2007, uku. 22

    9/1/1992, kur. 21-22

    Mwabudu Mungu, kur. 140-141

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 4/15 22; wt 140-141

1 Wakorintho 10:33

Marejeo

  • +Ro 15:2; Flp 2:4
  • +1Ko 9:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 52

    Mnara wa Mlinzi, 3/1/2004, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 3/1 30

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Kor. 10:1Kut 13:21
1 Kor. 10:1Kut 14:21, 22
1 Kor. 10:3Kut 16:14, 15
1 Kor. 10:4Kut 17:6
1 Kor. 10:4Hes 20:11; Yoh 4:10, 25
1 Kor. 10:5Hes 14:29, 35
1 Kor. 10:6Hes 11:4, 34
1 Kor. 10:7Kut 32:4, 6
1 Kor. 10:8Hes 25:1, 9
1 Kor. 10:9Kum 6:16
1 Kor. 10:9Hes 21:5, 6; Mt 4:7
1 Kor. 10:10Hes 14:2
1 Kor. 10:10Hes 14:36, 37
1 Kor. 10:11Ro 15:4
1 Kor. 10:12Met 28:14; Lu 22:33, 34; Gal 6:1
1 Kor. 10:131Pe 5:8, 9
1 Kor. 10:13Lu 22:31, 32; 2Pe 2:9
1 Kor. 10:13Isa 40:29; Flp 4:13
1 Kor. 10:14Kum 4:25, 26; 2Ko 6:17; 1Yo 5:21
1 Kor. 10:16Mt 26:27, 28
1 Kor. 10:16Mt 26:26; Lu 22:19; 1Ko 12:18
1 Kor. 10:17Ro 12:5
1 Kor. 10:18Law 7:15
1 Kor. 10:20Kum 32:17
1 Kor. 10:20Yud 6
1 Kor. 10:21Eze 41:22; Mal 1:12
1 Kor. 10:22Kut 34:14; Kum 32:21
1 Kor. 10:23Ro 14:19; 15:2
1 Kor. 10:241Ko 10:32, 33; 13:4, 5; Flp 2:4
1 Kor. 10:26Zb 24:1; 1Ti 4:4
1 Kor. 10:281Ko 8:7, 10
1 Kor. 10:29Ro 14:15, 16; 1Ko 8:12
1 Kor. 10:30Ro 14:6; 1Ti 4:3
1 Kor. 10:31Mt 5:16; Kol 3:17
1 Kor. 10:32Ro 14:13; 1Ko 8:13; 2Ko 6:3
1 Kor. 10:33Ro 15:2; Flp 2:4
1 Kor. 10:331Ko 9:22
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wakorintho 10:1-33

Barua ya Kwanza kwa Wakoritho

10 Basi akina ndugu, ninataka mjue kwamba mababu zetu wote walikuwa chini ya wingu+ na wote walipita katika bahari+ 2 na wote walibatizwa katika Musa kupitia wingu na bahari, 3 na wote walikula chakula kilekile cha kiroho+ 4 na wote walikunywa maji yaleyale ya kiroho.+ Kwa maana walikuwa wakinywa kutokana na mwamba wa kiroho uliowafuata, na mwamba huo ulimaanisha* Kristo.+ 5 Hata hivyo, Mungu hakupendezwa na wengi wao, kwa maana waliangamizwa nyikani.+

6 Basi mambo hayo yalikuwa vielelezo kwetu, ili tusitamani mambo mabaya, kama wao walivyotamani.+ 7 Wala tusiwe waabudu sanamu, kama baadhi yao walivyofanya; kama ilivyoandikwa: “Watu wakaketi ili wale na kunywa. Kisha wakasimama ili wajitumbuize.”+ 8 Wala tusifanye uasherati,* kama baadhi yao walivyofanya uasherati,* na 23,000 kati yao wakaanguka kwa siku moja.+ 9 Wala tusimjaribu Yehova,*+ kama baadhi yao walivyomjaribu, wakaangamizwa na nyoka.+ 10 Wala tusiwe wanung’unikaji,+ kama baadhi yao walivyonung’unika, wakaangamizwa na mwangamizaji.+ 11 Basi mambo hayo yaliwapata ili kuwa vielelezo, nayo yaliandikwa ili kuwa onyo kwetu sisi+ ambao tumefikiwa na miisho ya mifumo ya mambo.

12 Basi yule anayefikiri amesimama na ajihadhari asije akaanguka.+ 13 Hakuna majaribu ambayo yamewapata ninyi ila yale yaliyo ya kawaida kwa watu.+ Lakini Mungu ni mwaminifu, naye hatawaacha mjaribiwe kupita mnavyoweza kuhimili,+ bali pamoja na majaribu hayo ataifanya pia njia ya kutokea ili mweze kuyavumilia.+

14 Kwa hiyo, wapendwa wangu, ikimbieni ibada ya sanamu.+ 15 Ninasema kana kwamba ni kwa watu wenye utambuzi; hukumuni wenyewe lile ninalosema. 16 Kikombe cha baraka ambacho tunabariki, je, si kushiriki katika damu ya Kristo?+ Mkate ambao tunamega, je, si kushiriki katika mwili wa Kristo?+ 17 Kwa sababu kuna mkate mmoja, sisi, ingawa tuko wengi, ni mwili mmoja,+ kwa maana sote tunakula mkate huo mmoja.

18 Tazameni Israeli kwa njia ya kimwili: Je, wale wanaokula dhabihu si washiriki pamoja na madhabahu?+ 19 Basi, niseme nini? Je, kile kilichotolewa dhabihu kwa sanamu ni kitu, au je, sanamu ni kitu? 20 Hapana; bali ninasema kwamba vitu ambavyo mataifa huvitoa dhabihu, wao huvitoa dhabihu kwa roho waovu, si kwa Mungu;+ nami sitaki muwe washiriki pamoja na roho waovu.+ 21 Hamwezi kuwa mkinywa kikombe cha Yehova* na kikombe cha roho waovu; hamwezi kuwa mkishiriki “meza ya Yehova”*+ na meza ya roho waovu. 22 Au je, ‘tunamchochea Yehova* kuwa na wivu’?+ Je, sisi tuna nguvu zaidi kuliko yeye?

23 Mambo yote ni halali,* lakini si mambo yote yaliyo na faida. Mambo yote ni halali, lakini si mambo yote yanayojenga.+ 24 Kila mmoja na aendelee kutafuta, si faida yake mwenyewe, bali faida ya yule mtu mwingine.+

25 Kuleni chochote kinachouzwa katika soko la nyama, bila kuchunguza kwa sababu ya dhamiri yenu, 26 kwa maana “dunia na vyote vilivyomo ni vya Yehova.”*+ 27 Mtu asiyeamini akiwaalika nanyi mtake kwenda, kuleni chochote kinachowekwa mbele yenu, bila kuchunguza kwa sababu ya dhamiri yenu. 28 Lakini yeyote akiwaambia, “Hiki ni kitu kilichotolewa katika dhabihu,” msile kwa sababu ya yule aliyewaambia na kwa sababu ya dhamiri.+ 29 Simaanishi dhamiri yako mwenyewe, bali ya yule mtu mwingine. Kwa maana kwa nini uhuru wangu uhukumiwe na dhamiri ya mtu mwingine?+ 30 Ikiwa ninakula nikiwa na shukrani, kwa nini nitukanwe juu ya kile ninachotolea shukrani?+

31 Kwa hiyo, iwe mnakula au mnakunywa au mnafanya jambo lingine lolote, fanyeni mambo yote kwa utukufu wa Mungu.+ 32 Epukeni kuwa vikwazo kwa Wayahudi na vilevile kwa Wagiriki na kwa kutaniko la Mungu,+ 33 kama vile ninavyojaribu kuwapendeza watu wote katika mambo yote, bila kutafuta faida yangu mwenyewe,+ bali faida ya walio wengi, ili wapate kuokolewa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki