Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Maombolezo—Yaliyomo

      • Matokeo mabaya ya kuzingirwa kwa Yerusalemu

        • Ukosefu wa chakula (4, 5, 9)

        • Wanawake wawachemsha watoto wao wenyewe (10)

        • Yehova amemwaga hasira yake (11)

Maombolezo 4:1

Marejeo

  • +1Fa 6:22
  • +1Fa 5:17; 7:9-12
  • +Yer 52:12, 13

Maombolezo 4:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “waliokuwa na thamani kama.”

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 4:3

Marejeo

  • +Law 26:29; Kum 28:53-57; Yer 19:9; Omb 4:10
  • +Ayu 39:14-16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 10

    9/1/1988, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 10

Maombolezo 4:4

Marejeo

  • +Omb 1:11; 2:11, 12
  • +Yer 52:6

Maombolezo 4:5

Marejeo

  • +Amo 6:4, 7
  • +Yer 6:2, 26

Maombolezo 4:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Dhambi.”

  • *

    Tnn., “bila mkono wa kulisaidia.”

Marejeo

  • +Eze 16:48
  • +Mwa 19:24, 25; Da 9:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Yeremia, kur. 107-108

  • Fahirishi ya Machapisho

    jr 107

Maombolezo 4:7

Marejeo

  • +Hes 6:2

Maombolezo 4:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “weusi.”

Marejeo

  • +Zb 102:5

Maombolezo 4:9

Marejeo

  • +Yer 29:17; 38:2

Maombolezo 4:10

Marejeo

  • +Law 26:29; Omb 2:20; 4:3
  • +Kum 28:54-57

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Yeremia, kur. 154-155

    Mnara wa Mlinzi,

    8/1/1989, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    jr 155

Maombolezo 4:11

Marejeo

  • +Yer 6:11; 7:20; Eze 22:31
  • +Kum 32:22; 2Fa 25:9, 10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 164

Maombolezo 4:12

Marejeo

  • +Kum 29:24; 1Fa 9:8

Maombolezo 4:13

Marejeo

  • +Yer 5:31; 14:14; Mik 3:11; Sef 3:4
  • +Yer 26:8; Mt 23:31; Mdo 7:52

Maombolezo 4:14

Marejeo

  • +Kum 28:28; Sef 1:17
  • +Isa 1:15; Yer 2:34

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 164

Maombolezo 4:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuishi hapa wakiwa wageni.”

Marejeo

  • +Kum 28:25, 65

Maombolezo 4:16

Marejeo

  • +Law 26:33; Kum 28:64; Yer 24:9
  • +2Fa 25:18, 21
  • +Omb 5:12; Eze 9:6

Maombolezo 4:17

Marejeo

  • +Omb 1:19
  • +Yer 37:7; Eze 29:6

Maombolezo 4:18

Marejeo

  • +2Fa 25:5; Omb 3:52

Maombolezo 4:19

Marejeo

  • +Kum 28:49, 50; Isa 5:26; Yer 4:13; Hab 1:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/1996, kur. 9-10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 6/15 9-10

Maombolezo 4:20

Marejeo

  • +Yer 37:1
  • +2Fa 25:5, 6; Yer 39:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 4:21

Marejeo

  • +Zb 137:7; Oba 12
  • +Yer 25:17, 20; Oba 16
  • +Yer 49:10, 12

Maombolezo 4:22

Marejeo

  • +Law 26:44; Isa 52:1; 60:18
  • +Isa 34:5; Eze 25:13; 35:15; Amo 1:11; Oba 13

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Omb. 4:11Fa 6:22
Omb. 4:11Fa 5:17; 7:9-12
Omb. 4:1Yer 52:12, 13
Omb. 4:3Law 26:29; Kum 28:53-57; Yer 19:9; Omb 4:10
Omb. 4:3Ayu 39:14-16
Omb. 4:4Omb 1:11; 2:11, 12
Omb. 4:4Yer 52:6
Omb. 4:5Amo 6:4, 7
Omb. 4:5Yer 6:2, 26
Omb. 4:6Eze 16:48
Omb. 4:6Mwa 19:24, 25; Da 9:12
Omb. 4:7Hes 6:2
Omb. 4:8Zb 102:5
Omb. 4:9Yer 29:17; 38:2
Omb. 4:10Law 26:29; Omb 2:20; 4:3
Omb. 4:10Kum 28:54-57
Omb. 4:11Yer 6:11; 7:20; Eze 22:31
Omb. 4:11Kum 32:22; 2Fa 25:9, 10
Omb. 4:12Kum 29:24; 1Fa 9:8
Omb. 4:13Yer 5:31; 14:14; Mik 3:11; Sef 3:4
Omb. 4:13Yer 26:8; Mt 23:31; Mdo 7:52
Omb. 4:14Kum 28:28; Sef 1:17
Omb. 4:14Isa 1:15; Yer 2:34
Omb. 4:15Kum 28:25, 65
Omb. 4:16Law 26:33; Kum 28:64; Yer 24:9
Omb. 4:162Fa 25:18, 21
Omb. 4:16Omb 5:12; Eze 9:6
Omb. 4:17Omb 1:19
Omb. 4:17Yer 37:7; Eze 29:6
Omb. 4:182Fa 25:5; Omb 3:52
Omb. 4:19Kum 28:49, 50; Isa 5:26; Yer 4:13; Hab 1:8
Omb. 4:20Yer 37:1
Omb. 4:202Fa 25:5, 6; Yer 39:5
Omb. 4:21Zb 137:7; Oba 12
Omb. 4:21Yer 25:17, 20; Oba 16
Omb. 4:21Yer 49:10, 12
Omb. 4:22Law 26:44; Isa 52:1; 60:18
Omb. 4:22Isa 34:5; Eze 25:13; 35:15; Amo 1:11; Oba 13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Maombolezo 4:1-22

Maombolezo

א [Aleph]

4 Jinsi dhahabu inayong’aa ilivyopoteza mng’ao wake, dhahabu bora!+

Jinsi mawe matakatifu+ yalivyotapakaa kwenye kila pembe ya barabara!+

ב [Beth]

 2 Na wana wa Sayuni wenye thamani, ambao walipimwa kwa uzito wa* dhahabu safi,

Sasa wanaonwa kuwa kama magudulia ya udongo,

Kazi ya mikono ya mfinyanzi!

ג [Gimel]

 3 Hata mbwamwitu huwapa watoto wao matiti wanyonye,

Lakini binti ya watu wangu amekuwa mkatili,+ kama mbuni nyikani.+

ד [Daleth]

 4 Ulimi wa mtoto anayenyonya hushikamana na kaakaa lake kwa sababu ya kiu.

Watoto wadogo wanaombaomba mikate,+ lakini hakuna anayewapa.+

ה [He]

 5 Wale waliokuwa wakila vyakula vitamu wanalala barabarani kwa sababu ya njaa kali.+

Wale waliolelewa wakivaa mavazi mekundu+ wamekumbatia marundo ya majivu.

ו [Waw]

 6 Adhabu* ya binti ya watu wangu ni kubwa kuliko adhabu iliyotolewa kwa sababu ya dhambi ya Sodoma,+

Lililopinduliwa haraka, na hakukuwa na mtu wa kulisaidia.*+

ז [Zayin]

 7 Wanadhiri wake+ walikuwa safi kuliko theluji, weupe kuliko maziwa.

Walikuwa wekundu kuliko marijani; walikuwa kama vito vya yakuti vilivyong’arishwa.

ח [Heth]

 8 Wamekuwa weusi kuliko masizi;*

Hawatambuliwi barabarani.

Ngozi yao imenyauka juu ya mifupa yao;+ imekuwa kama ukuni uliokauka.

ט [Teth]

 9 Waliouawa kwa upanga ni afadhali kuliko waliokufa kwa njaa kali,+

Wale wanaokonda, wanaochomwa kana kwamba kwa upanga kwa sababu ya kukosa chakula kutoka shambani.

י [Yod]

10 Mikono ya wanawake wenye huruma imewachemsha watoto wao wenyewe.+

Wamekuwa chakula chao cha maombolezo wakati wa kuangamia kwa binti ya watu wangu.+

כ [Kaph]

11 Yehova ameonyesha ghadhabu yake;

Amemwaga hasira yake kali.+

Anawasha moto Sayuni unaoteketeza misingi yake.+

ל [Lamed]

12 Wafalme wa dunia na wakaaji wote wa ardhi inayozaa hawakuamini

Kwamba mpinzani na adui wangeingia katika malango ya Yerusalemu.+

מ [Mem]

13 Hilo lilitokea kwa sababu ya dhambi za manabii wake, makosa ya makuhani wake,+

Waliomwaga damu ya waadilifu waliokuwa katika jiji hilo.+

נ [Nun]

14 Wametangatanga kama vipofu+ barabarani.

Wamechafuliwa na damu,+

Hivi kwamba hakuna yeyote anayeweza kuyagusa mavazi yao.

ס [Samekh]

15 “Nendeni zenu! Wachafu!” watu wanawaambia kwa sauti. “Nendeni zenu! Nendeni zenu! Msituguse!”

Kwa maana hawana makao, nao wanatangatanga.

Miongoni mwa mataifa watu wamesema: “Hawawezi kukaa hapa pamoja nasi.*+

פ [Pe]

16 Uso wa Yehova umewatawanya;+

Hatawaonyesha tena kibali chake.

Watu hawatawaheshimu makuhani,+ hawatawatendea wazee kwa fadhili.”+

ע [Ayin]

17 Hata sasa macho yetu yamechoka kabisa tukitarajia kupata msaada bila mafanikio.+

Tulitarajia na kutarajia kupata msaada kutoka kwa taifa ambalo halingeweza kutuokoa.+

צ [Tsade]

18 Wametuwinda katika kila hatua+ hivi kwamba hatungeweza kutembea kwenye viwanja vya jiji letu.

Mwisho wetu umekaribia; siku zetu zimekwisha, kwa maana mwisho wetu umefika.

ק [Qoph]

19 Waliotufuatia walikwenda kasi kuliko tai wa angani.+

Walitukimbiza milimani; walituvamia nyikani.

ר [Resh]

20 Pumzi ya mianzi ya pua zetu, mtiwa-mafuta wa Yehova,+ amenaswa katika shimo lao kubwa,+

Yule tuliyesema hivi kumhusu: “Tutaishi chini ya kivuli chake miongoni mwa mataifa.”

ש [Sin]

21 Furahi na kushangilia, Ee binti ya Edomu,+ unayekaa katika nchi ya Usi.

Lakini wewe pia utapitishiwa kikombe,+ nawe utalewa na kufunua uchi wako.+

ת [Taw]

22 Adhabu ya dhambi yako, Ee binti ya Sayuni, imekwisha.

Hatakupeleka tena uhamishoni.+

Lakini ataukazia uangalifu uovu wako, Ee binti ya Edomu.

Atafunua dhambi zako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki