Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • dx96-12
  • Ndoa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ndoa
  • Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
  • Vichwa vidogo
  • Orodha Kulingana na Maeneo
Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
dx96-12

NDOA

(Ona pia Arusi; Familia ya Kambo; Kutengana [Ndoa]; Mimba, Kuzuia; Ndoa ya Ndugu-Mkwe; Ndoa ya Wake Wengi; Talaka; Wake; Waume)

(Kuna kichwa kidogo: Orodha Kulingana na Maeneo)

agano la Sheria:

ndoa ya wake wengi: cl 135-136

ndoa zilizokatazwa: w12 7/1 29; rs 230-231; w02 2/1 29

‘baada ya upeo wa ujana kupita’ (1Ko 7:36): w08 4/15 18; w00 7/15 31; w99 2/15 5; w96 10/15 14; fy 15-16

biashara za kuvunja ndoa: g03 6/22 28

chanzo: rs 226-227; w00 11/15 25

chati inayoonyesha mambo yanayofanya ndoa iwe yenye furaha: g 7/06 9

desturi:

kufunga ndoa wakati wa ujana: g98 6/22 13-14

kuwaoza binti: g05 2/22 6-7

mahari: km 3/06 4; w04 9/1 27-28; w98 9/15 24-27; fy 17; g96 12/8 20-23

fadhili zenye upendo: w10 8/15 23-24

familia zilizogawanyika kidini: w12 2/15 26-30; w12 5/15 9-12; w10 5/15 13-14; bt 95; w05 3/1 18-20; w03 4/1 22; w03 11/1 11-12; g99 8/8 20

Ezra awahimiza Wayahudi wawafukuze wake zao wa nchi za kigeni: w98 10/15 14-16

kudumisha amani: w12 2/15 26-28

kumsaidia mwenzi wa ndoa ambaye si mwamini akubali kweli: w12 2/15 28-30; km 11/10 5-6; km 1/04 1; km 11/97 1

maadhimisho ya sikukuu za ulimwengu: lv 158-159; w01 12/15 28-29

maoni ya kwamba Mashahidi wanavunja familia: w08 11/1 11-13

uhusiano pamoja na mume ambaye si mwamini: w12 2/15 27-28; w09 10/15 8; w08 11/1 12

hali ya kiroho ya mume na mke: w11 1/15 16-17; w11 11/1 13-15

heshima katika ndoa: w11 8/1 10-12; g 10/09 6; g 7/08 6-7; w98 4/1 29; fy 30-31

ikiwa ndio ufunguo pekee wa kuwa na furaha: w12 10/1 25

jinsi ya kufanikiwa: g 11/11 10-11

“kamba yenye nyuzi tatu” katika ndoa (Mhu 4:12): w08 9/15 16-20; w08 12/15 30; lv 111-112

Kanisa Katoliki:

kubatilisha (kuvunja) ndoa: g 12/07 28

kanuni za Biblia: fy 27, 139

hekima: w04 8/15 5; w00 11/1 4-6; ba 22-24

kati ya mwanamume na mwanamke: g05 4/8 27

ndoa ya mke mmoja: rs 227-229; w03 8/1 28; fy 139

“katika Bwana tu” (1Ko 7:39): w12 5/15 4-5; w12 7/1 29; w12 11/15 7; w11 10/15 15; w08 3/15 8; lv 113; yp2 34; w04 7/1 30-31; w01 5/15 20-21; w01 8/15 30; g99 8/8 18-20; g99 10/8 19; g98 1/22 20

kuwatia moyo wanaongoja kwa uaminifu: w06 3/1 24-25; w03 11/1 15-16

mtu wa familia asipooa au kuolewa katika Bwana: w03 1/15 20

ndugu au dada anayefaa anapokosekana: w11 9/15 14-15; w09 6/15 25-28; w06 3/1 23-25

Waisraeli hawakutii: w06 1/15 20; w02 5/1 17; w98 10/15 14-16

katika siku za mwisho: w08 4/15 16-18

kati ya watu wa jamaa moja: w02 2/1 29

binamu: w10 9/1 25

mwanzoni ndugu na dada wa tumbo moja waliruhusiwa kuoana: w10 9/1 25; rs 230-231

Kiapo cha Uaminifu: w12 12/15 16-17

kuishi kinyume na sheria: w12 12/15 16-17

“kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi” (Ebr 13:4): lv 128-130

kuchagua mwenzi wa ndoa: w12 5/15 3-4; w11 10/15 15; lv 113-115; yp2 28-32, 34-41; w07 2/15 18-19; w06 3/1 23-25; w01 5/15 16-21; w00 10/15 24; g00 5/8 30; w99 2/15 6-8; g99 10/8 18-19; fy 18, 20-24

kuchunguza sifa za mtu: g 1/09 20; g 3/08 30; g 5/07 18-20; g04 10/22 21; fy 22-24

kusali kuhusu kuchagua mume au mke: w11 10/15 15; w09 11/15 11; g01 7/22 14

kusitawisha sifa zitakazomfanya mtu awe mume au mke mzuri: w00 4/15 19-20

kutoamua haraka: w05 3/1 12-13

‘kutofungwa nira isivyo sawa’ (2Ko 6:14): w12 7/1 29; lv 113; yp2 34; w04 7/1 30-31; w03 10/15 32; w02 3/15 28; w02 5/1 17; g98 1/22 20

kuutambua upendo wa kweli: yp1 203-211; g02 8/8 28; w99 2/15 5, 8

kuwauliza watu wanaomjua vizuri mtu anayefikiriwa: w00 4/15 20

mambo ya kufanya mtu anapongoja kupata mume au mke: w11 9/15 14-15; g 9/10 8

mtu kungoja ili apate mume au mke ambaye anaweza kumpenda kikweli: w06 11/15 19

mtu wa jamii au utamaduni tofauti: g99 1/22 14; g98 1/22 20-21

sifa za Rebeka: w04 4/15 9-11

uamuzi wa kuvunja uchumba au la: g 1/09 18-20

vituo (tovuti) vya Intaneti: w06 3/1 24-25; g 3/06 4

kuhalalisha ndoa: jv 174

Bolivia: w06 2/15 11

Guyana: yb05 180

Mexico: jv 467

Msumbiji: w98 6/15 9-11

kuheshimiana katika ndoa: w06 10/15 22-23; g02 2/8 11

kuimarisha ndoa: w12 5/15 10; lv 130-132; g 7/08 8; w06 9/15 27-28; g 7/06 6-9; rs 231; w03 9/15 4-7

katika miaka ya kulea watoto: w09 2/1 10-12

kujifunza Biblia pamoja: w11 4/15 25-26; w11 8/15 7; w11 11/1 15; w08 3/15 10; w08 9/15 17-18; w99 7/1 13

kujitayarisha kutimiza majukumu: w11 10/15 15-17; w09 5/15 15-16; w09 10/15 12; lv 115-117; w99 2/15 3-8; w96 1/15 5-6; fy 13-18, 20-26

‘kukataza kufunga ndoa’ (1Ti 4:3): w96 7/1 6-7

kumsamehe mume au mke: g 10/09 8

kumshukuru mume au mke: w08 8/1 13; w97 8/1 17

kuoa au kuolewa tena:

baada ya talaka isiyopatana na Maandiko: rs 229-230

lazima mtu atoe uthibitisho kwamba ana haki kisheria kufunga ndoa: km 11/08 3

wajane wanawake na wanaume: w10 3/1 21; w10 5/1 10; w10 11/15 18

kuokoa ndoa yako: w12 5/15 9-12; g 2/10 8-9

baada ya mume au mke kufanya uzinzi: w12 5/1 12-15; w12 8/15 30; g99 4/22 5-9; g98 1/22 30; g97 4/8 16-18

kusali pamoja: w08 3/15 10; w08 9/15 18

kushirikiana na marafiki wa zamani: w11 10/15 16-17

kushirikiana na watu wa ukoo (jamaa): w08 3/15 9-10

kutambua jinsi mambo yalivyo kikweli: w11 8/1 12; w11 10/15 15-17; w05 3/1 13-14

kutenga wakati ili kuzungumzia mambo ya kiroho: w11 11/1 14-15

kuwashauri waliooana:

kuwasaidia Wakristo wenzi: w06 9/15 26-27

kuzoea maisha ya ndoa: w10 8/1 10-13; w08 3/15 8-10

maelezo: w12 5/15 3-12; w11 1/15 13-17; w11 2/1 3-9; w11 10/15 13, 15-17; w08 9/15 16-20; lv 110-113, 115-120; g 7/08 3-9; g 7/06 3-9; w05 3/1 10-20; rs 226-231; wt 151-158; g02 2/8 9-11; fy 27-38

mahangaiko (1Ko 7:32-35): w11 10/15 16; w08 7/15 27; w96 10/15 16-17

majukumu ya wazazi: fy 164-166

malezi na utamaduni tofauti: w08 3/15 9

mambo ya fedha: w09 8/1 10-12; w09 8/15 23

mambo yaliyoonwa:

aepuka kutengana na mume wake: w12 5/15 12

baba asiye mwamini atumia vitabu vya Mashahidi kuwashauri binti zake: yb08 62

dada anayesubiri kupata mume ambaye atamfaa: w11 9/15 15

hatimaye wenzi wa ndoa wasio-waamini huvutiwa: w12 2/15 29-30; g 11/12 21-23

kanuni za Biblia zawaunganisha tena waliotengana: yb12 78-79; yb11 140, 143; w01 1/1 14; la 10; w00 11/15 6; g00 5/22 20-23; fy 153, 161-162

“katika Bwana tu” (1Ko 7:39): w12 10/15 20; w11 11/15 16; w01 8/1 24-25

kitabu Furaha ya Familia: g 7/08 32; g 2/07 32; yb06 51; w03 11/15 21; g02 4/22 32; g00 3/8 32; w99 1/1 3; g98 3/8 32

kuhalalisha ndoa: yb09 128; w05 1/15 9; yb05 180; w03 6/1 26; w03 10/15 12; jv 467

kweli ya Biblia yaleta furaha: w12 7/1 12-13; w05 10/15 3, 5; w00 11/15 7; w99 4/1 5-6; w96 5/1 22-23

kweli ya Biblia yazuia ndoa zisivunjike: w12 6/1 28; yb12 77-78; w10 8/1 11-12; rk 6; g 2/07 32; w03 11/15 21; w00 1/1 4; w00 3/1 6, 32; w00 11/1 5; w99 1/1 3; km 5/99 1; w98 1/1 5; w98 7/1 6

mabadiliko ya mke yamvutia mume: w99 1/1 4

mama mzee ahalalisha ndoa na kuwaandikisha watoto 14: yb05 90

msichana akataa kuolewa na mtu anayejifunza: w05 3/15 17

msichana anayefurahi kwamba alingoja: w01 5/15 20

mume akubali kweli: w12 2/15 29-30

mume aliyetumia dawa za kulevya: w05 10/15 5-6

mume amwacha mke na kuiacha kweli: w12 5/15 15

mume na mke waliojenga ukuta ili kugawanya nyumba: w05 5/15 8

ndoa za wake wengi: jv 176-177

trakti Habari za Ufalme Na. 37 yamsaidia mume na mke kuungana: yb08 7

watu waliokataa kuendelea kuishi na watu ambao hakuwa wamefunga ndoa nao: w01 8/1 18

waume wasio waamini washikwa na wasiwasi wake zao wanapoamua kuwa Mashahidi: w08 11/1 11-12

mambo yanayoiathiri ndoa—

kuishi pamoja kabla ya kufunga ndoa: g 6/06 30; g 7/06 4; g04 11/22 31; g03 4/8 29; g02 3/8 29

kustaafu: g 7/06 5

picha au habari chafu (ponografia): w08 11/1 18, 20-21; g04 3/22 30; g03 7/22 6, 8

udanganyifu: g03 10/8 32

uzazi: w11 5/1 11-14; w08 4/15 18; g99 2/22 29

manufaa: g 9/12 11; g99 1/8 28; g99 4/8 28

ulemavu: g 1/10 12

maoni kuhusu ndoa:

maoni ya siku hizi: w08 6/15 20; g 7/06 3-5; w98 4/1 4

ndoa yenye matatizo: w12 5/15 8-12

maoni ya Biblia: w12 5/15 8; w11 10/1 16; g 11/11 10-11; w08 11/1 13; od 194-196; w99 10/1 9-10

kumchezea mwingine kimapenzi: w04 2/15 14-15; g98 7/8 21-22

kuoa au kuolewa ili kupata kibali cha kisheria cha kukaa katika nchi nyingine: g04 5/8 21

Shetani anavyojaribu kuzivunja ndoa: lv 193

utakatifu: g 7/08 6; g04 5/8 20-21

maoni ya uwongo:

mwenzi bora kabisa wa kuwaziwa wa ndoa: g 7/12 21

marafiki za mume au mke kabla ya kufunga ndoa: w11 10/15 16-17

matakwa ya kisheria: km 11/08 3; w06 10/15 19-23; od 195-196; rs 226-227; fy 139

kibali cha serikali kinapokosekana: w12 12/15 16-17

mtu anayeishi kinyume na sheria anaposhindwa kuhalalisha ndoa: w12 12/15 16-17

matatizo ya ndoa: w12 5/15 8-12; g 9/12 12; w08 9/15 18-20; lv 121-132; g 7/08 3-5; w05 3/1 11-12; w03 9/15 3; wt 154-156; w96 2/1 24-25; fy 153-162

“dhiki katika mwili” (1Ko 7:28): w11 10/15 15-16; w08 4/15 20; w07 5/1 19; w06 9/15 28-29; w99 2/15 4; w96 10/15 19

hasira: g01 8/22 30

Hosea: jd 128-131; w03 6/15 20

Intaneti: w11 8/15 4; g03 1/8 29

kukataa kuongea na mke au mume: w06 9/15 23-24; w96 5/15 22-23

kuomba msamaha: g 7/08 9; w96 9/15 23-24

kupuuza wajibu: w11 2/1 6

kushawishiwa kufanya matendo machafu ya ngono: w02 8/15 22

kuvutiwa na mtu wa jinsia tofauti nje ya ndoa: lv 126-128

kuyatatua: w11 2/1 4-9; w11 8/1 12; w08 5/1 10-12; w08 8/15 29; g 7/08 6-8; g 11/08 8-9; w07 5/1 19-20, 23; w06 9/15 21-24; jd 127-131; g 7/06 8-9; g02 2/8 11; g01 1/8 7-14; w96 2/1 24-25; fy 155-158; rq 17

mabishano: w11 5/1 14; yp1 290-291; g 10/07 20; w06 9/15 20-24; w05 6/1 20-23; g01 1/8 13-14

madeni: w12 11/1 18-21

magonjwa ya kudumu: w09 11/1 10-12

maneno yenye kuumiza: w10 9/15 20; g 10/09 6; lv 125-126; w06 9/15 20-24; g97 8/8 30; g96 10/22 3-11

maoni ya mume na mke yanapotofautiana: w11 8/1 12; w11 10/15 15-16; w08 3/15 11; g 7/08 6-8; fy 31, 155-156

matarajio yasipotimizwa: w11 2/1 5-6; w08 3/15 11; g 7/08 4-5; w07 4/15 8-11; g03 6/8 29

matatizo yanayohusu ngono: g01 1/8 5; fy 156-158

mawasiliano: w10 8/1 10-12; g 7/08 5; w06 4/15 3-7

mke asiyejitiisha: w11 2/1 7-8

msaada wa Wakristo wenzi: w06 9/15 26-27

msaada wa wazee Wakristo: w12 5/15 10-11; w06 5/1 25

mume asiye na mwelekeo wa kuongoza familia: w11 2/1 8

mume au mke anapokosa kuwa mwaminifu: w12 4/15 11; w10 6/15 29-32

mume au mke anapokufa: w12 6/1 28; w10 3/1 18-21; w10 5/1 8-12; w10 11/15 17-18; w06 5/1 13; w98 8/15 16-17; fy 170-171

mume na mke wasiofaana hata kidogo: w08 8/15 29

mume na mke wenye vipawa vinavyotofautiana: w11 11/1 15

pesa: w09 8/1 10-12; w09 8/15 23; g 6/07 5-6; g01 1/8 5

tabia zinazoudhi: w11 2/1 8-9

udanganyifu: g 12/06 29

ugomvi: w11 10/15 15-16; w08 2/1 18-20; w08 3/15 11; w08 8/15 29; g 7/08 6-8; w05 6/1 20-23; w01 9/1 11; g01 1/8 6, 11-14; w96 8/1 17-18; fy 31, 37, 155-156

uhusiano unapoharibika pole kwa pole: w11 2/1 4-6

ukosefu wa upendo: w08 3/15 11; g01 1/8 3-14; g01 8/22 30; g01 9/8 30

uzinzi: w12 5/1 12-15; w10 6/15 29-32; lv 128-130; w05 3/1 11-12; g99 4/22 3-12; g98 1/22 30; g97 4/8 16-18

wake wanaopigwa: w10 6/15 29-32; g05 8/8 6-7, 9; g02 6/8 30; g02 6/22 30; g02 7/8 30; g01 11/8 3-12

wakwe: w10 2/1 26-28

watoto wanavyoathiriwa: g01 1/8 6

watu waliobatizwa karibuni: w96 1/15 17

watu waliofunga ndoa karibuni: w10 8/1 10-13

mazungumzo: w11 8/1 11-12; w10 6/15 22-23; w08 3/15 9; g 7/08 5-8; w07 4/15 10; w06 4/15 3-7; w05 3/1 14; g05 2/8 8; w99 7/15 21-23; fy 35-38

baada ya mume au mke kufanya uzinzi: g97 4/8 17-18

kuhusu matarajio: w07 4/15 10-11

kusema kwa busara: w10 8/1 11-12

kushauriana: w10 8/1 10-11

kusikiliza: w11 8/1 11; g 7/08 7-8

maneno yanayoonyesha uthamini: g 7/08 8

mume na mke ambao wamekosana: w11 5/1 14; w11 8/1 12; w08 8/15 29; g 7/08 6-8

mume na mke wazee: fy 167

tofauti kati ya waume na wake: w11 8/1 10

mfano kuhusu karamu ya ndoa (Mt 22):

wageni waalikwa mara tatu: w08 1/15 31

mikataba ya kabla ya kufunga ndoa: g 10/09 30

mtu aliyeoa “amegawanyika” (1Ko 7:34): w96 10/15 16-17

muda ambao ndoa inapaswa kudumu: w08 4/15 17; wt 152-153; g02 2/8 9; g01 2/8 18-19

mume na mke kuhubiri pamoja: w08 9/15 18

“mwili mmoja” (Mwa 2:24; Mt 19:6): w11 1/15 14-16; w03 9/15 5

nadhiri za ndoa: w06 10/15 20; w96 3/1 19-22

kutozivunja: w08 3/15 8, 11

Mashahidi hawazirudii mara ya pili: w06 10/15 19-20

ndoa inaweza kuathiri moyo: g03 10/8 28-29

ndoa nyingi zinavunjika: g 7/06 3-6; g98 1/22 28; g97 5/8 28

ndoa ya kidesturi (kimila): g96 12/8 20-23

ni tofauti na ile ya mwanamume na mwanamke kukaa pamoja bila kufunga ndoa: w06 10/15 21

uhalali: w06 10/15 21-22; g96 12/8 23

“ndoa ya Mwana-Kondoo” (Ufu 19:7-9): re 275-278

mlo wa jioni wakati wa ndoa ya Mwana-Kondoo: re 72, 277-278

wakati itakapokamilika: w98 10/15 22

ndoa ya wake wengi: jv 176-177

agano la Sheria: cl 135-136

maoni ya Biblia: w11 11/1 5-6; w09 6/1 22; w09 7/1 30; lv 115; rs 227-229; w03 8/1 28; fy 17, 139

ndoa yenye furaha: yp1 218-220; lv 118-120; g 7/08 6-9; g 7/06 6-9; rs 231; g04 11/8 28; w02 8/15 6-7; g99 4/8 28; fy 27-38

kufikiria hisia za mume au mke: w08 2/1 19-20

kusaidiana: w05 3/1 14-15

kuwa tayari kukubali maoni ya mwingine: w08 3/15 7-11

mume na mke katika siku za uzee: fy 163-172

utendaji wa kiroho pamoja: w05 3/1 13

ndoa ‘yenye kuheshimika’ (Ebr 13:4): lv 123-130, 132; w06 10/15 18-23

ndoa za watu wa jinsia moja:

Kanisa la Kilutheri lakubali arusi za watu wa jinsia moja kanisani (Sweden): g 9/10 29

Kanisa la Wapinzani wa Utatu laikubali (Marekani): g97 4/8 28

kuhalalisha: g 7/12 20

maoni ya Biblia: g05 4/8 26-27

ndoa zilizopangwa: lv 115; g04 10/22 20; g99 10/8 19

mabibi-arusi wanaoagizwa kwa njia ya posta: g96 1/22 29

ndoa zinazotajwa katika Biblia: w12 5/15 3-4

Adamu na Hawa: w12 5/15 3; rs 227; w00 11/15 25

Akila na Priska: w11 1/15 14-15; w96 12/15 24

Boazi na Ruthu: w12 5/15 6; w12 7/1 29; w12 10/1 20-24; w03 4/15 23-26

Isaka na Rebeka: w10 2/1 24-25; w06 4/15 6

Kaini: w10 9/1 25; rs 95-96

Maloni na Ruthu: w12 7/1 29

Yakobo na Lea na Raheli: w07 10/1 8-11; g 3/06 3, 9; w03 10/15 29-30

Yehova: ip-2 342

Yesu na kutaniko: w09 7/15 8-9; g 7/06 7; w05 3/1 16; bh 135-139; ip-2 342

Yosefu na Maria: w11 1/15 16; w08 7/1 17

Zekaria na Elisabeti: w11 1/15 13-14

ngono: w12 5/15 5; w11 10/15 17; yp1 214, 218; w08 3/15 10-11; km 11/05 5; w03 10/15 16-17; w00 7/15 30; fy 37-38, 156-158

kufurahia ngono: w11 11/1 4-5

‘kutonyimana’ (1Ko 7:5): w11 10/15 17; w96 10/15 16

sherehe za ukumbusho wa kila mwaka: w98 10/15 30

uaminifu katika ndoa: w09 12/15 28; g 4/09 28-29; w06 9/15 25-29; w06 11/15 22-23; w04 8/15 5

uamuzi wa kufunga ndoa au kubaki mseja: w11 10/15 13; lv 110-112

uamuzi wa kutokuwa na watoto: w08 4/15 20; w00 8/1 20-23; w99 10/1 10

uamuzi wa kuwa na watoto: w08 4/15 18-19

ufafanuzi: rs 226

ufufuo: w05 5/1 22

Masadukayo wamuuliza Yesu kuuhusu: be 66, 68

ujitiisho katika ndoa: w02 3/15 10-11

unyenyekevu katika ndoa: w12 11/15 18; g 7/08 7

unyofu katika ndoa: lv 162

upendo: g 8/07 4; w02 4/15 16-17; g02 2/8 10-11; w96 8/1 17-18; fy 27-30, 148-149

ushauri wa Paulo (1Ko 7): w11 10/15 15-17

ushikamanifu: w12 4/15 11-12; w11 1/15 13-14; w05 9/1 4-5; w03 9/15 6-7; w01 10/1 23; w96 3/15 19

ushirikiano: g 10/09 5

vijana:

kama kijana yuko tayari: yp1 212-214, 216-220; w01 5/15 19-20; fy 14-16

kufunga ndoa wakati wa ujana: g98 6/22 13-14

kungoja ni jambo la hekima: w11 1/15 19-20; w08 4/15 17-18; km 6/01 4; w00 7/15 31; w99 2/15 5; fy 15-16

matarajio katika ndoa: g 9/12 10-12; g 10/12 16-18

msichana anapopata mimba: g00 5/22 14-15

tamaa ya kuoa au kuolewa zisizotimizwa: g96 6/8 27

wazazi wanapopinga: g05 11/22 22-23; g98 1/22 19-21

wajane wanawake na wanaume: w10 3/1 21; w10 5/1 10; w10 11/15 18

wajibu wa kutimiza ahadi: w10 1/15 4; g 10/09 4; w08 11/1 18-21; w08 12/15 30; lv 118, 193; g 7/08 9; w03 9/15 4-7; w99 2/15 4-5; fy 14-15

wajibu wa mke: w12 5/15 6-7; w11 5/15 8-10; w10 5/15 12-16; w10 8/1 13; w09 7/15 9-10; w08 9/15 17; lv 41-42; w07 1/15 6-7; w07 2/15 18-22; w07 5/1 22-23; km 11/05 4-5; w02 3/15 11

wajibu wa mume: w12 5/15 6; w08 9/15 17; g 1/08 28-29; w07 1/15 6; w07 5/1 20-22; cf 180; od 207; km 11/05 4; w02 3/15 10-11; cl 99-100; fy 31-34

mume ni kichwa cha familia kama Kristo alivyo kichwa cha kutaniko: w11 5/15 7-8; w10 5/15 11-12; w09 5/15 20; w09 7/15 8-9; w07 2/15 13-17; w06 9/15 24; w05 3/1 16; bh 135-137; wt 154

wanaotaka kuoa au kuolewa: w12 5/15 3-4

zawadi kutoka kwa Yehova: w12 10/1 25; w11 1/15 13, 17; w06 9/15 20

Orodha Kulingana na Maeneo

Afrika Kusini:

Mashahidi waruhusiwa kuandikisha ndoa: yb07 130, 135

ndoa bandia: g05 5/22 28

Asia:

mabibi arusi waletwa kutoka nchi maskini: g 5/11 29

Ghana:

“ndoa ya kidesturi (kimila)”: g96 12/8 20-23

Israeli (la kale): w06 10/15 18-19

wake wa nchi za kigeni katika siku za Ezra: w06 1/15 20

wake wa nchi za kigeni katika siku za Malaki: w02 5/1 17

wanawake wa nchi za kigeni waliotekwa: w04 9/15 28

Kanada: g05 11/8 29; g98 1/22 28; g97 5/8 28

Marekani: g00 1/22 28-29

Uingereza: g 3/12 28; g 2/09 30; g04 12/8 29

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki