Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Samweli—Yaliyomo

      • Daudi amsifu Mungu kwa sababu ya matendo yake ya wokovu (1-51)

        • “Yehova ni jabali langu” (2)

        • Yehova ni mshikamanifu kwa walio washikamanifu (26)

2 Samweli 22:1

Marejeo

  • +Kut 15:1; Amu 5:1
  • +Zb 34:19
  • +1Sa 23:14; Zb 18:utangulizi

2 Samweli 22:2

Marejeo

  • +Zb 31:3
  • +Zb 18:2, 3

2 Samweli 22:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

  • *

    Au “mwokozi wangu mwenye nguvu.”

  • *

    Au “kilele changu salama.”

Marejeo

  • +Kum 32:4; 1Sa 2:1, 2
  • +Mwa 15:1; Kum 33:29; Zb 3:3
  • +Zb 9:9; Met 18:10
  • +Zb 59:16
  • +Isa 12:2; Lu 1:46, 47; Tit 3:4

2 Samweli 22:5

Marejeo

  • +Zb 69:14
  • +Zb 18:4

2 Samweli 22:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Zb 116:3, 4
  • +Zb 18:5

2 Samweli 22:7

Marejeo

  • +Zb 142:1; Yon 2:2
  • +Kut 3:7; Zb 18:6; 34:15

2 Samweli 22:8

Marejeo

  • +Amu 5:4
  • +Ayu 26:11
  • +Zb 18:7-12; 77:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

2 Samweli 22:9

Marejeo

  • +Isa 30:27

2 Samweli 22:10

Marejeo

  • +Zb 144:5; Isa 64:1
  • +Kum 4:11; 1Fa 8:12; Zb 18:9; 97:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

2 Samweli 22:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ya upepo.”

Marejeo

  • +1Sa 4:4; Zb 80:1; 99:1
  • +Ebr 1:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 431

2 Samweli 22:12

Marejeo

  • +Ayu 36:29

2 Samweli 22:14

Marejeo

  • +Kut 19:16; 1Sa 2:10
  • +Zb 18:13-16; Isa 30:30

2 Samweli 22:15

Marejeo

  • +Zb 7:13; 77:17
  • +Zb 144:6

2 Samweli 22:16

Marejeo

  • +Kut 14:21; Zb 106:9; 114:3
  • +Kut 15:8

2 Samweli 22:17

Marejeo

  • +Zb 18:16-19; 124:2-4; 144:7

2 Samweli 22:18

Marejeo

  • +Zb 3:7; 56:9

2 Samweli 22:19

Marejeo

  • +1Sa 19:11; 23:26; 2Sa 15:10

2 Samweli 22:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mahali penye nafasi kubwa.”

Marejeo

  • +Zb 31:8
  • +Zb 149:4

2 Samweli 22:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ukosefu wa hatia wa.”

Marejeo

  • +1Sa 26:23; 1Fa 8:32
  • +Zb 18:20-24; 24:3, 4

2 Samweli 22:23

Marejeo

  • +Kum 6:1; Zb 19:9
  • +Kum 8:11

2 Samweli 22:24

Marejeo

  • +Zb 84:11
  • +Zb 18:23; Met 14:16

2 Samweli 22:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ukosefu wangu wa hatia.”

Marejeo

  • +Ayu 34:11; Isa 3:10; Ebr 11:6
  • +Zb 18:24; Met 5:21

2 Samweli 22:26

Marejeo

  • +Zb 37:28; 97:10
  • +Zb 18:25-30

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    6/1/2010, uku. 26

    8/15/2002, uku. 5

    11/15/1992, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 6/1 26; w02 8/15 5

2 Samweli 22:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “unatenda kama mpumbavu.”

Marejeo

  • +Mt 5:8; 1Pe 1:16
  • +Zb 125:5

2 Samweli 22:28

Marejeo

  • +Ayu 34:28
  • +Da 4:37; 1Pe 5:5

2 Samweli 22:29

Marejeo

  • +Zb 27:1
  • +Zb 97:11

2 Samweli 22:30

Marejeo

  • +Zb 18:29; Flp 4:13; Ebr 11:33, 34

2 Samweli 22:31

Marejeo

  • +Kum 32:4
  • +Zb 12:6; Met 30:5
  • +Zb 35:2; 91:4

2 Samweli 22:32

Marejeo

  • +Isa 44:6
  • +Kum 32:31; Zb 18:31-42

2 Samweli 22:33

Marejeo

  • +Zb 27:1; Isa 12:2
  • +Isa 26:7

2 Samweli 22:34

Marejeo

  • +Isa 33:15, 16; Hab 3:19

2 Samweli 22:35

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 169

2 Samweli 22:36

Marejeo

  • +Zb 18:35; 113:6-8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2020, uku. 8

    Ufahamu, uku. 1159

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2012, uku. 17

    9/15/2010, uku. 14

    11/1/2004, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 11/15 17; w10 9/15 14; w04 11/1 29

2 Samweli 22:37

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Vifundo vya miguu yangu havitateleza.”

Marejeo

  • +Zb 17:5

2 Samweli 22:39

Marejeo

  • +Kut 14:13

2 Samweli 22:40

Marejeo

  • +1Sa 23:5
  • +1Sa 17:49; Zb 44:3, 5

2 Samweli 22:41

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Utanionyesha migongo ya maadui wangu.”

  • *

    Au “Nitawanyamazisha.”

Marejeo

  • +Mwa 49:8
  • +Zb 18:40

2 Samweli 22:42

Marejeo

  • +1Sa 28:6; Met 1:28; Isa 1:15; Mik 3:4

2 Samweli 22:44

Marejeo

  • +1Sa 30:6; 2Sa 15:12
  • +2Sa 8:3; Zb 2:8; 60:8
  • +Zb 18:43-45

2 Samweli 22:45

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mara tu sikio lao linaposikia, watanitii.”

Marejeo

  • +Kum 33:29

2 Samweli 22:46

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watafifia.”

2 Samweli 22:47

Marejeo

  • +Kum 32:4
  • +Zb 18:46; 89:26

2 Samweli 22:48

Marejeo

  • +1Sa 25:29; 2Sa 18:19
  • +Zb 18:47; 110:1; 144:1, 2

2 Samweli 22:49

Marejeo

  • +2Sa 5:12; 7:9
  • +Zb 18:48

2 Samweli 22:50

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nitalipigia muziki.”

Marejeo

  • +Kum 32:43; Zb 117:1
  • +1Nya 16:9; Zb 145:2; Ro 15:9

2 Samweli 22:51

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “humpa ushindi mkubwa mfalme wake.”

  • *

    Tnn., “mbegu yake.”

Marejeo

  • +Zb 2:6; 21:1
  • +Zb 89:20, 29; Lu 1:32, 33

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Sam. 22:1Kut 15:1; Amu 5:1
2 Sam. 22:1Zb 34:19
2 Sam. 22:11Sa 23:14; Zb 18:utangulizi
2 Sam. 22:2Zb 31:3
2 Sam. 22:2Zb 18:2, 3
2 Sam. 22:3Kum 32:4; 1Sa 2:1, 2
2 Sam. 22:3Mwa 15:1; Kum 33:29; Zb 3:3
2 Sam. 22:3Zb 9:9; Met 18:10
2 Sam. 22:3Zb 59:16
2 Sam. 22:3Isa 12:2; Lu 1:46, 47; Tit 3:4
2 Sam. 22:5Zb 69:14
2 Sam. 22:5Zb 18:4
2 Sam. 22:6Zb 116:3, 4
2 Sam. 22:6Zb 18:5
2 Sam. 22:7Zb 142:1; Yon 2:2
2 Sam. 22:7Kut 3:7; Zb 18:6; 34:15
2 Sam. 22:8Amu 5:4
2 Sam. 22:8Ayu 26:11
2 Sam. 22:8Zb 18:7-12; 77:18
2 Sam. 22:9Isa 30:27
2 Sam. 22:10Zb 144:5; Isa 64:1
2 Sam. 22:10Kum 4:11; 1Fa 8:12; Zb 18:9; 97:2
2 Sam. 22:111Sa 4:4; Zb 80:1; 99:1
2 Sam. 22:11Ebr 1:7
2 Sam. 22:12Ayu 36:29
2 Sam. 22:14Kut 19:16; 1Sa 2:10
2 Sam. 22:14Zb 18:13-16; Isa 30:30
2 Sam. 22:15Zb 7:13; 77:17
2 Sam. 22:15Zb 144:6
2 Sam. 22:16Kut 14:21; Zb 106:9; 114:3
2 Sam. 22:16Kut 15:8
2 Sam. 22:17Zb 18:16-19; 124:2-4; 144:7
2 Sam. 22:18Zb 3:7; 56:9
2 Sam. 22:191Sa 19:11; 23:26; 2Sa 15:10
2 Sam. 22:20Zb 31:8
2 Sam. 22:20Zb 149:4
2 Sam. 22:211Sa 26:23; 1Fa 8:32
2 Sam. 22:21Zb 18:20-24; 24:3, 4
2 Sam. 22:23Kum 6:1; Zb 19:9
2 Sam. 22:23Kum 8:11
2 Sam. 22:24Zb 84:11
2 Sam. 22:24Zb 18:23; Met 14:16
2 Sam. 22:25Ayu 34:11; Isa 3:10; Ebr 11:6
2 Sam. 22:25Zb 18:24; Met 5:21
2 Sam. 22:26Zb 37:28; 97:10
2 Sam. 22:26Zb 18:25-30
2 Sam. 22:27Mt 5:8; 1Pe 1:16
2 Sam. 22:27Zb 125:5
2 Sam. 22:28Ayu 34:28
2 Sam. 22:28Da 4:37; 1Pe 5:5
2 Sam. 22:29Zb 27:1
2 Sam. 22:29Zb 97:11
2 Sam. 22:30Zb 18:29; Flp 4:13; Ebr 11:33, 34
2 Sam. 22:31Kum 32:4
2 Sam. 22:31Zb 12:6; Met 30:5
2 Sam. 22:31Zb 35:2; 91:4
2 Sam. 22:32Isa 44:6
2 Sam. 22:32Kum 32:31; Zb 18:31-42
2 Sam. 22:33Zb 27:1; Isa 12:2
2 Sam. 22:33Isa 26:7
2 Sam. 22:34Isa 33:15, 16; Hab 3:19
2 Sam. 22:36Zb 18:35; 113:6-8
2 Sam. 22:37Zb 17:5
2 Sam. 22:39Kut 14:13
2 Sam. 22:401Sa 23:5
2 Sam. 22:401Sa 17:49; Zb 44:3, 5
2 Sam. 22:41Mwa 49:8
2 Sam. 22:41Zb 18:40
2 Sam. 22:421Sa 28:6; Met 1:28; Isa 1:15; Mik 3:4
2 Sam. 22:441Sa 30:6; 2Sa 15:12
2 Sam. 22:442Sa 8:3; Zb 2:8; 60:8
2 Sam. 22:44Zb 18:43-45
2 Sam. 22:45Kum 33:29
2 Sam. 22:47Kum 32:4
2 Sam. 22:47Zb 18:46; 89:26
2 Sam. 22:481Sa 25:29; 2Sa 18:19
2 Sam. 22:48Zb 18:47; 110:1; 144:1, 2
2 Sam. 22:492Sa 5:12; 7:9
2 Sam. 22:49Zb 18:48
2 Sam. 22:50Kum 32:43; Zb 117:1
2 Sam. 22:501Nya 16:9; Zb 145:2; Ro 15:9
2 Sam. 22:51Zb 2:6; 21:1
2 Sam. 22:51Zb 89:20, 29; Lu 1:32, 33
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Samweli 22:1-51

Kitabu cha Pili cha Samweli

22 Daudi akamwimbia Yehova maneno ya wimbo huu+ siku ambayo Yehova alimwokoa kutoka mikononi mwa maadui wake wote+ na kutoka mikononi mwa Sauli.+ 2 Akasema:

“Yehova ni jabali langu na ngome yangu+ na Mwokozi wangu.+

 3 Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,

Ngao yangu+ na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama*+

Na mahali pangu pa kukimbilia,+ mwokozi wangu;+ wewe unayeniokoa kutoka katika ukatili.

 4 Ninamlilia Yehova, anayestahili kusifiwa,

Nami nitaokolewa kutoka kwa maadui wangu.

 5 Mawimbi ya kifo yalinizunguka pande zote;+

Mafuriko ya ghafla ya wanaume wasiofaa kitu yaliniogopesha.+

 6 Kamba za Kaburi* zilinizunguka;+

Mitego ya kifo ilinikabili.+

 7 Katika taabu yangu nilimwita Yehova,+

Niliendelea kumlilia Mungu wangu.

Kisha akiwa katika hekalu lake akaisikia sauti yangu,

Na kilio changu cha kuomba msaada kilifika masikioni mwake.+

 8 Dunia ikaanza kutetemeka na kutikisika huku na huku;+

Misingi ya mbingu ikasukasuka+

Nayo ikatikisika huku na huku kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+

 9 Moshi ulipanda kutoka katika mianzi ya pua yake,

Na moto unaoteketeza kabisa ukatoka kinywani mwake;+

Makaa ya mawe yanayowaka moto mkali yakatoka kwake.

10 Alizifanya mbingu zijikunje alipokuwa akishuka,+

Na giza zito lilikuwa chini ya miguu yake.+

11 Alipanda juu ya kerubi,+ akaja akiruka.

Alionekana juu ya mabawa ya kiumbe wa roho.*+

12 Kisha akaweka giza kumzunguka kama kibanda,+

Katika maji yenye giza na mawingu mazito.

13 Kutoka katika mwangaza ulio mbele zake makaa ya mawe yenye moto mkali yaliwaka.

14 Kisha Yehova akaanza kunguruma kutoka mbinguni;+

Aliye Juu Zaidi aliifanya sauti yake isikike.+

15 Alipiga mishale yake+ akawatawanya;

Radi, akawavuruga.+

16 Sakafu ya bahari ikaonekana;+

Misingi ya nchi ikafunuliwa kwa kemeo la Yehova,

Kwa mlipuko wa pumzi kutoka katika mianzi ya pua yake.+

17 Aliunyoosha mkono wake kutoka juu;

Akanishika na kunivuta kutoka katika maji yenye kina.+

18 Aliniokoa kutoka kwa adui yangu mwenye nguvu,+

Kutoka kwa wale wanaonichukia, waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.

19 Walinikabili katika siku ya msiba wangu,+

Lakini Yehova alikuwa tegemeo langu.

20 Alinitoa nje na kunileta mahali penye usalama;*+

Aliniokoa kwa sababu alipendezwa nami.+

21 Yehova hunithawabisha kulingana na uadilifu wangu;+

Hunilipa kulingana na usafi wa* mikono yangu.+

22 Kwa maana nimezishika njia za Yehova,

Nami sijamwacha kwa uovu Mungu wangu.

23 Hukumu zake zote+ ziko mbele yangu;

Sitageuka kando kutoka kwenye sheria zake.+

24 Nitabaki bila lawama+ mbele zake,

Nami nitajiepusha na uovu.+

25 Yehova na anilipe kulingana na uadilifu wangu,+

Kulingana na usafi wangu* mbele zake.+

26 Kwa mtu mshikamanifu unatenda kwa ushikamanifu;+

Kwa mtu asiye na lawama, mtu hodari, unatenda bila lawama;+

27 Kwa walio safi unajidhihirisha mwenyewe kuwa safi,+

Lakini kwa waliopotoka unajidhihirisha mwenyewe kuwa mwenye busara.*+

28 Kwa maana wewe huwaokoa walio wanyenyekevu,+

Lakini macho yako hayapendezwi na wenye kiburi, nawe huwashusha.+

29 Kwa maana wewe ni taa yangu, Ee Yehova;+

Yehova ndiye anayefanya giza langu liangaze.+

30 Kwa msaada wako ninaweza kukabiliana na kundi la wavamizi;

Kwa nguvu za Mungu ninaweza kuupanda ukuta.+

31 Njia ya Mungu wa kweli ni kamilifu;+

Neno la Yehova ni safi.+

Yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia.+

32 Kwa maana ni nani aliye Mungu ila Yehova?+

Na ni nani aliye mwamba isipokuwa Mungu wetu?+

33 Mungu wa kweli ni ngome yangu imara,+

Naye ataifanya njia yangu iwe kamilifu.+

34 Huifanya miguu yangu iwe kama ya paa;

Hunifanya nisimame mahali palipo juu.+

35 Huizoeza mikono yangu kupigana vita;

Mikono yangu inaweza kuukunja upinde wa shaba.

36 Wewe hunipa ngao yako ya wokovu,

Na unyenyekevu wako hunifanya niwe mkuu.+

37 Unapanua njia kwa ajili ya hatua zangu;

Miguu yangu haitateleza.*+

38 Nitawafuatia maadui wangu na kuwaangamiza;

Sitarudi mpaka watakapoangamizwa kabisa.

39 Nami nitawaangamiza kabisa na kuwaponda, hivi kwamba hawatainuka;+

Wataanguka chini ya miguu yangu.

40 Utanipa nguvu kwa ajili ya vita;+

Utawafanya maadui wangu waanguke chini yangu.+

41 Utawafanya maadui wangu wanikimbie;*+

Nitawakomesha* wale wanaonichukia.+

42 Wanalilia msaada, lakini

hakuna mtu wa kuwaokoa;

Hata wanamlilia Yehova, lakini yeye hawajibu.+

43 Nitawaponda wawe laini kama mavumbi ya dunia;

Nitawapondaponda na kuwakanyaga-kanyaga kama matope barabarani.

44 Utaniokoa kutoka kwa watu wangu ambao hutafuta makosa.+

Utanilinda niwe kiongozi wa mataifa;+

Watu ambao siwajui watanitumikia.+

45 Wageni watakuja wakijikunyata mbele zangu;+

Watanitii kwa sababu ya mambo watakayosikia kunihusu.*

46 Wageni watakosa ujasiri;*

Watakuja wakitetemeka kutoka katika ngome zao.

47 Yehova yuko hai! Mwamba wangu na asifiwe!+

Mungu wa mwamba wa wokovu wangu na akwezwe.+

48 Mungu wa kweli hunilipizia kisasi;+

Huyatiisha mataifa chini yangu;+

49 Yeye huniokoa kutoka kwa maadui wangu.

Unaniinua juu+ ya wale wanaonishambulia;

Unaniokoa kutoka kwa mtu mkatili.+

50 Ndiyo sababu nitakushukuru wewe, Ee Yehova, miongoni mwa mataifa,+

Nami nitaliimbia sifa* jina lako:+

51 Yeye hutenda matendo makuu ya wokovu kwa ajili ya mfalme wake;*+

Humtendea mtiwa-mafuta wake kwa upendo mshikamanifu,

Kwa Daudi na kwa uzao wake* milele.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki