Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Waebrania—Yaliyomo

      • Dhabihu za wanyama haziwezi kuondoa dhambi (1-4)

        • Sheria ni kivuli (1)

      • Dhabihu ya Kristo ilitolewa mara moja kwa wakati wote (5-18)

      • Njia mpya ya kuingia yenye uzima (19-25)

        • Tusiache kukutana pamoja (24, 25)

      • Onyo dhidi ya dhambi ya kimakusudi (26-31)

      • Uhakika na imani ili kuvumilia (32-39)

Waebrania 10:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “watu hawawezi.”

Marejeo

  • +Ebr 8:5
  • +Kol 2:16, 17
  • +Ebr 7:19; 9:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2000, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 8/15 17

Waebrania 10:3

Marejeo

  • +Law 16:34

Waebrania 10:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1991, uku. 12

Waebrania 10:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),

    Na. 6 2017, uku. 8

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2000, uku. 18

    7/1/1996, uku. 14

    10/15/1990, uku. 12

    8/15/1986, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 8/15 18; w96 7/1 14

Waebrania 10:6

Marejeo

  • +Zb 40:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2000, uku. 18

    10/15/1990, uku. 12

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 8/15 18

Waebrania 10:7

Marejeo

  • +Zb 40:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2012, uku. 28

    8/15/2000, uku. 18

    3/1/1995, uku. 14

    3/1/1994, uku. 30

    10/15/1990, uku. 12

    “Kila Andiko,” uku. 105

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 10/15 28; w00 8/15 18

Waebrania 10:9

Marejeo

  • +Zb 40:6-8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Upeo wa Ufunuo, uku. 161

  • Fahirishi ya Machapisho

    re 161

Waebrania 10:10

Marejeo

  • +Gal 1:4
  • +Ebr 13:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    7/2020, uku. 31

    Ufahamu,

    Upeo wa Ufunuo, uku. 161

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1996, kur. 14-15

  • Fahirishi ya Machapisho

    re 161; w96 7/1 14-15

Waebrania 10:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kufanya utumishi wa watu wote.”

Marejeo

  • +1Sa 2:27, 28
  • +Kut 29:38; Hes 28:3
  • +Ebr 7:18; 10:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2000, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 11/15 11

Waebrania 10:12

Marejeo

  • +Ro 8:34

Waebrania 10:13

Marejeo

  • +Zb 110:1; 1Ko 15:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kuishi Milele, kur. 136-137

Waebrania 10:14

Marejeo

  • +Ebr 7:19

Waebrania 10:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Yer 31:33; Ebr 8:10

Waebrania 10:17

Marejeo

  • +Yer 31:34; Ebr 8:12

Waebrania 10:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uhakika.”

Marejeo

  • +Ebr 9:8, 24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2023, uku. 28

    Upeo wa Ufunuo, uku. 161

  • Fahirishi ya Machapisho

    re 161

Waebrania 10:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “aliyotuzindulia.”

Marejeo

  • +Mt 27:51

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2023, uku. 28

    Ufahamu,

    Upeo wa Ufunuo, uku. 161

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2000, kur. 15-16

    7/1/1996, kur. 15-16

  • Fahirishi ya Machapisho

    re 161; w00 1/15 15-16; w96 7/1 15-16

Waebrania 10:21

Marejeo

  • +Zek 6:13; Ebr 3:6

Waebrania 10:22

Marejeo

  • +1Yo 1:7
  • +Efe 5:25, 26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2000, kur. 19-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 8/15 19-20

Waebrania 10:23

Marejeo

  • +1Ko 15:58; Kol 1:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2000, kur. 20-21

    12/15/1999, uku. 23

    1/1/1988, uku. 22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 8/15 20-21; w99 12/15 23

Waebrania 10:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tuhangaikiane.”

  • *

    Au “kuhimizana.”

Marejeo

  • +Kol 3:23; 1Ti 6:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 10

    Mapenzi ya Yehova, somo la 6

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2013, kur. 19-21

    3/15/2013, uku. 16

    2/1/2009, uku. 20

    3/15/2002, kur. 24-25

    8/15/2000, kur. 21-22

    12/15/1999, kur. 22-23

    3/15/1999, uku. 11

    3/1/1998, kur. 14-19

    4/1/1995, kur. 15-18, 20

    8/15/1993, kur. 8-9

    Ujuzi, uku. 163

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 2/1 20; od 59; w02 3/15 24-25; w00 8/15 21-22; w99 3/15 11; w99 12/15 22-23; w98 3/1 14-19

Waebrania 10:25

Marejeo

  • +Kum 31:12; Mdo 2:42
  • +Isa 35:3; Ro 1:11, 12
  • +Ro 13:11; 2Pe 3:11, 12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 10

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2018, kur. 20-24

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2016, uku. 7

    Amkeni!,

    7/2014, uku. 15

    10/22/1997, uku. 31

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2013, kur. 19, 21-22

    2/1/2009, uku. 20

    11/15/2002, kur. 4, 6-7

    3/15/2002, kur. 24-25

    3/1/2002, uku. 16

    8/15/2000, kur. 21-22

    3/15/2000, kur. 16-17

    12/15/1999, kur. 22-23

    11/15/1999, uku. 20

    3/1/1998, kur. 14-19

    4/1/1995, kur. 15-16, 18-20

    11/15/1993, kur. 21-22

    8/15/1993, kur. 8-9

    9/1/1991, uku. 22

    12/15/1990, kur. 15-18, 19-20

    Huduma ya Ufalme,

    5/1990, uku. 3

    Kutoa Sababu, kur. 63-65

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 2/1 20; od 60-61; rs 63-64; w02 3/1 16; w02 3/15 24-25; w02 11/15 4, 6-7; w00 3/15 16-17; w00 8/15 21-22; w99 11/15 20; w99 12/15 22-23; w98 3/1 14-19; g97 10/22 31

Waebrania 10:26

Marejeo

  • +2Pe 2:21
  • +Mt 12:32; Ebr 6:4-6; 1Yo 5:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/1/2011, uku. 24

    11/1/2008, uku. 10

    9/15/1992, kur. 9-10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 12/1 24; w08 11/1 10

Waebrania 10:27

Marejeo

  • +Isa 26:11

Waebrania 10:28

Marejeo

  • +Kum 17:6

Waebrania 10:29

Marejeo

  • +Mt 26:27, 28; Lu 22:20
  • +Ebr 6:4-6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1990, uku. 21

Waebrania 10:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Kum 32:35, 36

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2008, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 11/1 10

Waebrania 10:32

Marejeo

  • +2Ko 4:6; Ebr 6:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1999, uku. 17

    1/1/1998, uku. 9

    12/1/1996, kur. 29-31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 12/15 17; w98 1/1 9; w96 12/1 29-31

Waebrania 10:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mlifunuliwa kama katika ukumbi wa maonyesho.”

  • *

    Au “mliungana.”

Waebrania 10:34

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “miliki.”

Marejeo

  • +Mt 5:12
  • +Lu 16:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2007, kur. 30-31

    1/1/2006, kur. 22-23

    5/1/2001, kur. 13-14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 8/15 30; w06 1/1 22-23; w01 5/1 13-14

Waebrania 10:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “uhuru wenu wa kusema.”

Marejeo

  • +Mt 10:32; 1Ko 15:58

Waebrania 10:36

Marejeo

  • +Lu 21:19; Yak 5:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2015, kur. 30-31

    4/1/1996, uku. 32

    11/1/1991, uku. 9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 4/1 32

Waebrania 10:37

Marejeo

  • +Isa 26:20
  • +Hab 2:3; 2Pe 3:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2023, kur. 30-31

Waebrania 10:38

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi yangu haipendezwi.”

Marejeo

  • +Yoh 3:16; Ro 1:17
  • +Hab 2:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Siku ya Yehova, kur. 187-188

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/2000, uku. 15

    12/15/1999, kur. 20-21

  • Fahirishi ya Machapisho

    jd 187-188; w00 2/1 15; w99 12/15 20-21

Waebrania 10:39

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi zetu.”

Marejeo

  • +2Pe 2:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/2006, kur. 17-18

    12/15/1999, kur. 14-24

    “Kila Andiko,” uku. 84

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 10/1 17-18; w99 12/15 14-24

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Ebr. 10:1Ebr 8:5
Ebr. 10:1Kol 2:16, 17
Ebr. 10:1Ebr 7:19; 9:9
Ebr. 10:3Law 16:34
Ebr. 10:6Zb 40:6
Ebr. 10:7Zb 40:8
Ebr. 10:9Zb 40:6-8
Ebr. 10:10Gal 1:4
Ebr. 10:10Ebr 13:12
Ebr. 10:111Sa 2:27, 28
Ebr. 10:11Kut 29:38; Hes 28:3
Ebr. 10:11Ebr 7:18; 10:1
Ebr. 10:12Ro 8:34
Ebr. 10:13Zb 110:1; 1Ko 15:25
Ebr. 10:14Ebr 7:19
Ebr. 10:16Yer 31:33; Ebr 8:10
Ebr. 10:17Yer 31:34; Ebr 8:12
Ebr. 10:19Ebr 9:8, 24
Ebr. 10:20Mt 27:51
Ebr. 10:21Zek 6:13; Ebr 3:6
Ebr. 10:221Yo 1:7
Ebr. 10:22Efe 5:25, 26
Ebr. 10:231Ko 15:58; Kol 1:23
Ebr. 10:24Kol 3:23; 1Ti 6:18
Ebr. 10:25Kum 31:12; Mdo 2:42
Ebr. 10:25Isa 35:3; Ro 1:11, 12
Ebr. 10:25Ro 13:11; 2Pe 3:11, 12
Ebr. 10:262Pe 2:21
Ebr. 10:26Mt 12:32; Ebr 6:4-6; 1Yo 5:16
Ebr. 10:27Isa 26:11
Ebr. 10:28Kum 17:6
Ebr. 10:29Mt 26:27, 28; Lu 22:20
Ebr. 10:29Ebr 6:4-6
Ebr. 10:30Kum 32:35, 36
Ebr. 10:322Ko 4:6; Ebr 6:4
Ebr. 10:34Mt 5:12
Ebr. 10:34Lu 16:9
Ebr. 10:35Mt 10:32; 1Ko 15:58
Ebr. 10:36Lu 21:19; Yak 5:11
Ebr. 10:37Isa 26:20
Ebr. 10:37Hab 2:3; 2Pe 3:9
Ebr. 10:38Yoh 3:16; Ro 1:17
Ebr. 10:38Hab 2:4
Ebr. 10:392Pe 2:20
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Waebrania 10:1-39

Kwa Waebrania

10 Kwa kuwa Sheria ina kivuli+ cha mambo mema yatakayokuja,+ lakini si uhalisi wa mambo hayo, haiwezi* kamwe kwa dhabihu zilezile zinazotolewa mwaka baada ya mwaka, kuwafanya wale wanaokaribia wawe wakamilifu.+ 2 La sivyo, je, dhabihu hazingekoma kutolewa, kwa sababu wale wanaotoa utumishi mtakatifu baada ya kusafishwa mara moja hawangehisi wana dhambi tena? 3 Kinyume chake, dhabihu hizo ni kikumbusho cha dhambi mwaka baada ya mwaka,+ 4 kwa maana damu ya ng’ombe dume na ya mbuzi haiwezi kuondoa dhambi.

5 Basi anapokuja katika ulimwengu anasema: “‘Hukutaka dhabihu na toleo, bali ulinitayarishia mwili. 6 Hukukubali dhabihu nzima za kuteketezwa na dhabihu za dhambi.’+ 7 Kisha nikasema: ‘Tazama! nimekuja (katika kitabu cha kukunjwa imeandikwa kunihusu) kufanya mapenzi yako, Ee Mungu.’”+ 8 Kwanza aliposema: “Hukutaka wala hukukubali dhabihu, matoleo, dhabihu nzima za kuteketezwa, na dhabihu za dhambi”—dhabihu zinazotolewa kulingana na Sheria— 9 kisha anasema: “Tazama! nimekuja kufanya mapenzi yako.”+ Anaondoa la kwanza ili asimamishe la pili. 10 Kwa “mapenzi” hayo+ sisi tumetakaswa kupitia toleo la mwili wa Yesu Kristo mara moja kwa wakati wote.+

11 Pia, kila kuhani husimama mahali pake siku kwa siku ili kutoa utumishi mtakatifu*+ na kutoa mara nyingi dhabihu zilezile,+ ambazo haziwezi kuondoa kabisa dhambi.+ 12 Lakini mtu huyu alitoa dhabihu moja kwa ajili ya dhambi daima na kuketi kwenye mkono wa kuume wa Mungu,+ 13 tangu wakati huo akisubiri mpaka adui zake wawekwe kuwa kiti cha miguu yake.+ 14 Kwa maana kupitia toleo moja la dhabihu amewafanya wale wanaotakaswa wawe wakamilifu+ daima. 15 Zaidi ya hayo, roho takatifu pia inatutolea ushahidi, kwa maana baada ya kusema: 16 “‘Hili ndilo agano nitakalofanya pamoja nao baada ya siku hizo,’ asema Yehova.* ‘Nitazitia sheria zangu katika mioyo yao, nami nitaziandika katika akili zao.’”+ 17 Kisha inasema: “Nami sitazikumbuka tena dhambi zao na matendo yao ya kuasi sheria.”+ 18 Sasa kunapokuwa na msamaha wa mambo hayo, hakuna tena toleo kwa ajili ya dhambi.

19 Kwa hiyo, akina ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri* wa njia ya kuingia katika mahali patakatifu+ kwa damu ya Yesu, 20 aliyotufungulia* kuwa njia mpya na yenye uzima kupitia lile pazia,+ yaani, mwili wake, 21 na kwa kuwa tuna kuhani mkuu aliye juu ya nyumba ya Mungu,+ 22 acheni tukaribie tukiwa na mioyo minyoofu na imani kamili, mioyo yetu ikiwa imenyunyizwa na kuwa safi kutokana na dhamiri yenye uovu+ na miili yetu ikiwa imeoshwa kwa maji safi.+ 23 Acheni tushike imara tangazo la hadharani la tumaini letu bila kuyumbayumba,+ kwa maana yule aliyeahidi ni mwaminifu. 24 Na acheni tufikiriane* ili kuchocheana* katika upendo na matendo mazuri,+ 25 bila kuacha kukutana pamoja,+ kama wengine walivyo na desturi, bali tutiane moyo,+ na kufanya hivyo zaidi kwa kadiri mnavyoona siku ile ikikaribia.+

26 Kwa maana tukiendelea kutenda dhambi kimakusudi baada ya kupokea ujuzi sahihi wa kweli,+ hakuna tena dhabihu yoyote iliyobaki kwa ajili ya dhambi,+ 27 bali kuna tarajio hakika linaloogopesha la hukumu na hasira inayowaka itakayowaangamiza wale wanaopinga.+ 28 Mtu yeyote ambaye ameipuuza Sheria ya Musa hufa bila huruma, kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu.+ 29 Mnafikiri mtu ambaye amemkanyagia chini Mwana wa Mungu na ambaye ameiona kuwa yenye thamani ya kawaida tu damu ya agano+ ambayo kupitia hiyo alitakaswa, na ambaye ameidharau roho ya fadhili zisizostahiliwa, atapata adhabu kubwa kadiri gani?+ 30 Kwa maana tunamjua Yule aliyesema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa.” Na tena: “Yehova* atawahukumu watu wake.”+ 31 Ni jambo lenye kuogopesha kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai.

32 Hata hivyo, endeleeni kuzikumbuka siku za zamani ambazo, baada ya kupata nuru,+ mlivumilia pambano kubwa pamoja na mateso. 33 Nyakati fulani mlifunuliwa hadharani* kwa shutuma na dhiki pia, na nyakati fulani mlishiriki* pamoja na wale waliokuwa wakipatwa na mambo kama hayo. 34 Kwa maana mliwasikitikia wale waliokuwa gerezani na pia kwa shangwe mkakubali kuporwa mali zenu,+ mkijua kwamba ninyi wenyewe mna urithi* bora na wenye kudumu.+

35 Kwa hiyo, msiutupe ujasiri wenu,* ambao utathawabishwa sana.+ 36 Kwa kuwa mnahitaji uvumilivu,+ ili baada ya kufanya mapenzi ya Mungu, mpokee utimizo wa ile ahadi. 37 Kwa maana bado “muda kidogo sana,”+ na “yule anayekuja atafika naye hatakawia.”+ 38 “Lakini mwadilifu wangu ataishi kupitia imani,”+ naye “akirudi nyuma kwa kutetemeka, mimi sipendezwi* naye.”+ 39 Sasa sisi si namna ya watu wanaorudi nyuma kwenye maangamizi,+ bali sisi ni watu walio na imani ya kuhifadhi uhai wetu.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki